No control over Religious radio stations over hate speeches

Wakubwa nataka kusema kitu mara moja. Nimesoma malalamiko ya Ubungo. Kusema kweli kitu kimoja watu wafahamu kwamba kuna tofauti kati ya UISLAM na MUISLAM. Muislam ni mtu, na mtu anaweza kusema chochote kilicho kwenye mind yake. Na uislam ni dini ambayo ina guide peace and harmony. Ni deen ambayo inataka muislam aangalie jirani zake, ni deen ambayo iliingia mkataba na Jews in Maddinah kuhusu kupigania madinna pindi itakapoingiliwa na watu wa nchi nyingine kwani ni nchi huru.

Sasa one thing nitawaambia ambayo hata mimi nilikuwa victim Tanzania watu wache wana knowledge ya deen. Majority ni wafuata Imam kasema nini. Something which Islam doesn't entertain.

So, sababu mtu mmoja kasema something against other religion, that doesn't make every muslim to be out of touch. Ni sawa na kusema Evangelical christians wote wanahubiri hate crime sababu Pastor John Hagee amesema "those who live by the Qur'an have a scriptural mandate to kill Christians and Jewse".

Inconclusion, i think watu wanachanga frustration zao za maisha na deen. Those are two different things,
Wasalam Aleikum.

Mkuu, usituchanganye! Wasingekuwapo Waislamu usingekuwapo Uislamu pia. Watu ndio wanaounda dini, dini haiundi watu. Kwa hiyo, hao tunaowasema ni Waslamu (wakorofi) kwani Waislamu wastaarabu wapo na tunawafahamu. Kwani tungesema Waislamu fulani ni wastaarabu napo ungesema tutofautishe dini na mtu?

Ikiwa Wakristo nao watafanya upuuzi tutasema pia kwani sisi tunataka tuishi pamoja kwa amani na kila mtu awe na uhuru wa kuabudu kupitia dini anayoiamini.

Hao vijana wanaokashifu Ukristo niliwaambia ni wajinga kupindukia kwani "hamwezi kuacha kuhubiri mambo yanayofundishwa na dini yenu na kuanza kuhubiri kuhusu dini nyingine isiyowahusu. Hata mmeacha kusoma Qur'an yenu na kubakia kutafuta mistari kwenye Biblia mnayofikiri mkiwaambia Wakristo waisome halafu muwazomee mnajiona mmefanya kitu cha heri. Huo ni upuuzi mtupu na mnapoteza muda bure," nilisema Jumapili mitaa ya Kariakoo nilipiwakuta hao vijana wanawashambulia Wakristo kwa kuwatusi.
 
Mkuu, usituchanganye! Wasingekuwapo Waislamu usingekuwapo Uislamu pia. Watu ndio wanaounda dini, dini haiundi watu. Kwa hiyo, hao tunaowasema ni Waslamu (wakorofi) kwani Waislamu wastaarabu wapo na tunawafahamu. Kwani tungesema Waislamu fulani ni wastaarabu napo ungesema tutofautishe dini na mtu?

Ikiwa Wakristo nao watafanya upuuzi tutasema pia kwani sisi tunataka tuishi pamoja kwa amani na kila mtu awe na uhuru wa kuabudu kupitia dini anayoiamini.

Hao vijana wanaokashifu Ukristo niliwaambia ni wajinga kupindukia kwani "hamwezi kuacha kuhubiri mambo yanayofundishwa na dini yenu na kuanza kuhubiri kuhusu dini nyingine isiyowahusu. Hata mmeacha kusoma Qur'an yenu na kubakia kutafuta mistari kwenye Biblia mnayofikiri mkiwaambia Wakristo waisome halafu muwazomee mnajiona mmefanya kitu cha heri. Huo ni upuuzi mtupu na mnapoteza muda bure," nilisema Jumapili mitaa ya Kariakoo nilipiwakuta hao vijana wanawashambulia Wakristo kwa kuwatusi.

Sorry but you sound like someone without a knowledge. Please soma nilichoandika and understand the material.
 
Nakubaliana na yote uliyoyasema. Tatizo ni ukimya wa walio wengi inapotokea mmoja wao anatokeza kuisemea ovyo dini nyingine.

Wakristu wengi wemesema wazi kuwa Pastor John Hagee hawazungumzii. Hata John McCain ilibidi ajitenge nae ilipoonekana kuwa itam-cost kura za wakristu wengi. Ni wajibu wetu sote kusema wazi na kwa sauti kubwa pale ambapo mmoja wetu anapotaka kupandikiza chuki ndani ya jamii yetu. Kukaa kwetu kimya kuna hatari ya kumfanya afikirie tunakubaliana nae na jamii kudhani kuwa anatuwakilisha. Kukaa kimya hakufai. Hatuwezi kutumia kisingizio cha kuwa hawa wanachanganya frustration zao na deen. Ni shurti tuwaeleze ukweli na tuwakanye wasifanye hivyo.

Thanks Mkuu.
Hiyo ni sheria kwa waislam wote kuelimishana na kukatazana mabaya. Also, uislam umekataza kabisa Innovation.
Narudia tena, Tanzania watu wachache wana knowledge ya deen, wengi wana jazba. Na wengine wanachukulia deen kama urithi, sababu baba yake ni Muislam then na yeye ni muislam, lakini hajui guidelines za uislam.
Masalam
 
bado inafanya kazi, hivi hii radio kheri inakumbuka kilichofanyika Rwanda kwenye Radio rwanda, magazeti yale na yule ndugu aliyeitwa simon Bikindi? hate speech ni mbaya sana....ubaya au uzuri wake ni kwamba, wale tu wanao incite uovu ndo hao tu huwa wanakuja kujikuta wako kwenye kitimoto siku ya siku, wasikilizaji wanakuwa hawakamatwi..so kila neno lonaloongelewa kuna siku mtu atatoa hesabu, either mbele ya mahakama za tz, au mbele ya mahakama za kimataifa...ole wenu radio kheri na kuhubiri kwenu chuki..
 
Kama kila mtu hawezi kujishugulisha na dini yake mwenyewe, hizi dini zipigwe marufuku nchini mpaka pale tutakapo pata akili za kuelewa malengo ya hizi dini.
 
I have grow up in a place where majority were not people from my religion,parents would even try to stop their child from playing with us(of different religion) but thanks to God who put natural love to the kids,we would normaly go away and play,we grew the friendship and that was the best thing for us.
I found similar scenario in A- level,where other religion would confirn themselves(plus some of reading materials) in a place where they worship(This was a boarding School) and try to avoid much contact with,but again thanx to God,despite of everything i was able to show them Love(remember i grew up with them as majority where i came from) and eventually they learned to be my friend,some of them are indeed my best friends.
My message here is Love is what we need the most despite of our diversity in what we believe..as it has been said If u can't love your neighbour hw can u love Lord your God whom u don't see?
 
fungua radio kheri leo hii hapo DSM ni fm..utasikia wanachoongea, kwa zaidi ya mwaka sasa wamekuwa wakitoa incitement na beliefs fulani hivi kwa jumuiya waislam ili waone kuwa wanaonewa..hakika kama rais angekuwa anasikiliza hii radio..angeshapata jibu la kinachokuja mbele yetu..

kuna prof wao mmoja hivi...sijui shehe..alikuwa anaongea kuhusu alivyokuwa ameenda nigeria akakutana na waislam wa kule...aliongea kuwa ati walimwambia" kwanini mliwapa nafasi/madaraka?" akimaanisha uyo mnigeria alikuwa alikuwa anashangaa kwanini waislam wa tz waliwapa nafasi ya shule na madaraka wakristo wa tz....

kama ulifungulia kipindi kile cha nyaraka nyaraka..hakika ungehama nchi kama mkimbizi mapema...walikuwa wanaongea waziwzi wengine ati "kwani wakristo hawatujui waislam?..kwani wakristo walishawahi kushinda vita lini ktk historia dhidi ya waislam?..nilikuwa nashangaa kumbe wenzetu wanawaza vita hapahapa tz..dah!...walikuwa wakipiga simu...waliongea mambo ya ajabu..hii naongea ukweli kabisa..kama nchi yetu itakuwa haijifunzi kwa Rwanda tu hapo ....Radio Rwanda na radio RTLM ya Rwanda walivyofanya kupandikiza chuki wa wahutu muda baada ya muda ilipokuja kulipuka watu walichinjana bila hata huruma...Mungu atusaidie watz...
 
fungua radio kheri leo hii hapo DSM ni fm..utasikia wanachoongea, kwa zaidi ya mwaka sasa wamekuwa wakitoa incitement na beliefs fulani hivi kwa jumuiya waislam ili waone kuwa wanaonewa..hakika kama rais angekuwa anasikiliza hii radio..angeshapata jibu la kinachokuja mbele yetu..

kuna prof wao mmoja hivi...sijui shehe..alikuwa anaongea kuhusu alivyokuwa ameenda nigeria akakutana na waislam wa kule...aliongea kuwa ati walimwambia" kwanini mliwapa nafasi/madaraka?" akimaanisha uyo mnigeria alikuwa alikuwa anashangaa kwanini waislam wa tz waliwapa nafasi ya shule na madaraka wakristo wa tz....

kama ulifungulia kipindi kile cha nyaraka nyaraka..hakika ungehama nchi kama mkimbizi mapema...walikuwa wanaongea waziwzi wengine ati "kwani wakristo hawatujui waislam?..kwani wakristo walishawahi kushinda vita lini ktk historia dhidi ya waislam?..nilikuwa nashangaa kumbe wenzetu wanawaza vita hapahapa tz..dah!...walikuwa wakipiga simu...waliongea mambo ya ajabu..hii naongea ukweli kabisa..kama nchi yetu itakuwa haijifunzi kwa Rwanda tu hapo ....Radio Rwanda na radio RTLM ya Rwanda walivyofanya kupandikiza chuki wa wahutu muda baada ya muda ilipokuja kulipuka watu walichinjana bila hata huruma...Mungu atusaidie watz...

Uko sawa kabisa, Mwaka jana Shekhe Basareh kupitia radio hii hii alimshambulia sana Dr Slaa na Mr SITA ati wanaendekeza udini bungeni kwa kuongelea mambo ys ufisadi!!!!, mpaka nilishangaa kwa kweli. wasikizaji nao wakapiga simu, wakasherehesha yaani sikuamini. Kusema ukweli nafikiri hii radio ina matatizo si bure
 
fungua radio kheri leo hii hapo DSM ni fm..utasikia wanachoongea, kwa zaidi ya mwaka sasa wamekuwa wakitoa incitement na beliefs fulani hivi kwa jumuiya waislam ili waone kuwa wanaonewa..hakika kama rais angekuwa anasikiliza hii radio..angeshapata jibu la kinachokuja mbele yetu..

kuna prof wao mmoja hivi...sijui shehe..alikuwa anaongea kuhusu alivyokuwa ameenda nigeria akakutana na waislam wa kule...aliongea kuwa ati walimwambia" kwanini mliwapa nafasi/madaraka?" akimaanisha uyo mnigeria alikuwa alikuwa anashangaa kwanini waislam wa tz waliwapa nafasi ya shule na madaraka wakristo wa tz....
bado inafanya kazi, hivi hii radio kheri inakumbuka kilichofanyika Rwanda kwenye Radio rwanda, magazeti yale na yule ndugu aliyeitwa simon Bikindi? hate speech ni mbaya sana....ubaya au uzuri wake ni kwamba, wale tu wanao incite uovu ndo hao tu huwa wanakuja kujikuta wako kwenye kitimoto siku ya siku, wasikilizaji wanakuwa hawakamatwi..so kila neno lonaloongelewa kuna siku mtu atatoa hesabu, either mbele ya mahakama za tz, au mbele ya mahakama za kimataifa...ole wenu radio kheri na kuhubiri kwenu chuki..


Wewe una prejudices zako na uislam na radio Kheri. Kwa nini uisikilize kama haiendani na imani yako?. Wewe ndiyo unatranslate hayo yanayoongewa na radio kheri kwa mtazamo wa violence kwa kuwa tu una roho ya chuki na kwa nini dhidi ya redio hiyo na waislam.

TCRA ipo kama unaona redio kheri wana-violate their licence peleka malalamiko yako kwao TCRA|Tanzania Communications Regulatory Authority Siyo kulialia tu hapa JF na hate post zako. Ukifanya hivyo utakuwa umelisaidia Taifa sana na hayo machafuko unayotaka kuyaleta kwa chuki zako binafsi na radio Kheri na uislam kwa ujumla.
 
I think they really need to speed up the announcement about the existence of extraterrestrials ili watu waamke. Leo kweli watanzania weusi wanaonana maadui kisa hizi dini? Mimi sijawai fikiri kuwa kuna chuki za hivi Tanzania. Hate speeches are far from theological scrutiny which is fine. Hakuna haja yakustir hate mi sijui watu akili zetu zikoje.
 
Wewe una prejudices zako na uislam na radio Kheri. Kwa nini uisikilize kama haiendani na imani yako?. Wewe ndiyo unatranslate hayo yanayoongewa na radio kheri kwa mtazamo wa violence kwa kuwa tu una roho ya chuki na kwa nini dhidi ya redio hiyo na waislam.

TCRA ipo kama unaona redio kheri wana-violate their licence peleka malalamiko yako kwao TCRA|Tanzania Communications Regulatory Authority Siyo kulialia tu hapa JF na hate post zako. Ukifanya hivyo utakuwa umelisaidia Taifa sana na hayo machafuko unayotaka kuyaleta kwa chuki zako binafsi na radio Kheri na uislam kwa ujumla.

ndugu yangu, unauliza kwanini nasikiliza radio kheri?...ninasikiliza ili nijue kinachoendelea nchini mwangu...we vipi...sasa ninaposikiliza alafu naona watu wanahubiri chuki, naogopa hadi naandaa nchi gani nitakimbilia wakianza kurusha majambia yao...wewe ulishawai sikiliza hii radio lakini...mbona kuna Radio kuran hapo Dar iko pale magomeni mapipa kwenye gorofa karibia na mataa, lakini ile radio kuran inaongea kwa ustaarabu sana..na mimi sijaigusa iyo radio...ni radio kheri, ni hatari sana na hii kama viongozi hawataifanyia kazi, kuna kuja kujilaumu baadaye nakwambia..
 
bora hata hiyo ya mafisadi kwasababu mtoto atakua akiwa anauchukia ufisadi. lakini ile ya kucreate chuki dhidi ya dini ingine, mtoto atakua kama vile wale watoto wa palestina wanaofundishwa toka akiwa ananyonya kuwa waislarael in nguruwe na wanatakiwa kuuawa. hivyo akikua anakuja kuafanyia kweli. sisi hatuko huko wala hatuna uadui huo. tunatakiwa tuishi kama secular country not religious.

Hivi na huyu jamaa naye analalamikia udini. Mbona michango yake yote ninayoiona imejaa harufu ya udini? Ama ndio yale ya udini nifanye mimi lakini wengine wasifanye? Ushauri wangu kwako ni kuwa hao uliowasikia katika redio shari hawana tofauti na wewe ni vizuri ukawatafuta mnywe chai ama kahawa pamoja mkipanga mikakati yenu ya kuilipua Tanzania....Wote dugu moja ninyi..
 
Tufanye biashara halali ili kujipatia mlo halali, hizo za matusi kwa waislam ama wakristo Police lazima waingilie kati bila kupuuza na walotoa leseni ama vibali na wavifungie.
 
Jamani wana jf,hivi mnasomaga an nuur? Wanaandika habari za kuchefua akili na za kichokozi sana.eti TBC1 wanapendelea wakristo,kwanini hawafungii gazeti hli la kichokozi? Badala yake wanaanndama mwananchi na mwanahalisi.so interesting.
 
Jamani wana jf,hivi mnasomaga an nuur? Wanaandika habari za kuchefua akili na za kichokozi sana.eti TBC1 wanapendelea wakristo,kwanini hawafungii gazeti hli la kichokozi? Badala yake wanaanndama mwananchi na mwanahalisi.so interesting.

sio kila gazeti litakuwa kama tzdaima. yaani ukisoma wewe ufurahi
 
kweli kabisa si kila gazeti utaliipenda na hii inatokana na interest zako mwenyewe.Waandishi wa annur ni wasomi hawabahatishi wala kuchakachua habari kwani wao wanamwogopa Mungu,sio kama hao mnaowataka nyie ambao ni wachakachuzi wa habari wakubwa.Kidogo mwanahalisi na raia mwema wanajitahidi.
 
Jamani wana jf,hivi mnasomaga an nuur? Wanaandika habari za kuchefua akili na za kichokozi sana.eti TBC1 wanapendelea wakristo,kwanini hawafungii gazeti hli la kichokozi? Badala yake wanaanndama mwananchi na mwanahalisi.so interesting.

Mjomba hiyo ndiyo freedom of speech, sasa kama kuna makala ukuipenda na una data za kuwakosoa kuwa wanachosema si kweli nawe unatoa makala yako na kupinga hoja zao kutokana na facts ulizokuwa nazo, sio kuleta udikteta wa kufungia usivyovipenda wewe, sasa wengine wasiopenda mwananchi na mwanahalisi kuwa ni ya kichochezi wakisema yafungiwe utasema nini?
 
nina wasi wasi kama serikali inajua kuwa yapo magazeti kama hayo,i thnk the gov is not interested kwa kuwa wanajua hayana athari kwa jamii,may be coverage ndogo.
 
Mjomba hiyo ndiyo freedom of speech, sasa kama kuna makala ukuipenda na una data za kuwakosoa kuwa wanachosema si kweli nawe unatoa makala yako na kupinga hoja zao kutokana na facts ulizokuwa nazo, sio kuleta udikteta wa kufungia usivyovipenda wewe, sasa wengine wasiopenda mwananchi na mwanahalisi kuwa ni ya kichochezi wakisema yafungiwe utasema nini?

Saa nyingine mimi naona tunapotezeana muda hapa leteni thread za maana ili JF iwe na maana yake, sasa kama hilo gazeti linakukera na wewe unapenda usome yanayokufurahisha wewe basi nakushauri ununue kitabu kinachoitwa Aya za shetani by Sulman Rushidie.
 
Back
Top Bottom