I
Kama simu ni miongoni mwa vilopotea basi wangemshauri kuenda tawi lililo kalbu naye kwa mlolongo uleule (Impitie)
Ingekua busala zaid km ofisa bank angetumia sim kumpigia mteja husika kutokana na kuibuka mtu kati kuhusu Account yake.Kama wangekubali kufanya uliyotaka kufanya binafsi ningewashangaa sana na kuona hawana weledi wa kazi.
Wao walikuwa na hakika gani kama wewe au huyo ndugu yako kaibiwa??
Kama simu ni miongoni mwa vilopotea basi wangemshauri kuenda tawi lililo kalbu naye kwa mlolongo uleule (Impitie)