Nadhani kanuni zao ni hovyo kabisa. Maana kuzuia miamala isitoke haina madhara kwa Bank na kwa mhusika pia maana ni tukio ka dharura na la muda mfupi ili kuzuia jambo baya lisitokee.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama wangekubali kufanya uliyotaka kufanya binafsi ningewashangaa sana na kuona hawana weledi wa kazi.
Wao walikuwa na hakika gani kama wewe au huyo ndugu yako kaibiwa??
Sent using Jamii Forums mobile app