Kididimo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 4,391
- 4,012
Ni sawa. Aliyokopa ni haki yake kama ilivyo iliyobakia100%-(40%+6%)=56%
So ujue mwisho wa mwezi atapokea 56% ya mshahara woooote.
Ni sawa. Aliyokopa ni haki yake kama ilivyo iliyobakia100%-(40%+6%)=56%
So ujue mwisho wa mwezi atapokea 56% ya mshahara woooote.
Hata katkat ya mwez unachukua tuu mkuuUnawaza kukopeshwa salary adavnce one day before the salalry itself realy??
Lakini hii Huduma sio kwa watumishi woteNaomba kuuliza aliyewahi kupewa 40% ya salary advance kama NMB wanavyojinadi ni nani kweli aliyewahi kupewa 40% as advance pay, na ni kweli interest free au 6% ya processing fee?
Kama mkopo ni 1% au 2% processing fee why salary advance iwe 6% au ndio njia pekee ya kumuibia mlalahoi mwenye shida Lukuki? Acheni wizi.
Mkuu wangu NMB sio tu kwamba ni WEZI bali ni MAJAMBZI wa kutupwa. Siku nilipoona lile tangazo lao la kijambazi nilicheka sana. Anyway, wajinga ndio waliwao!Naomba kuuliza aliyewahi kupewa 40% ya salary advance kama NMB wanavyojinadi ni nani kweli aliyewahi kupewa 40% as advance pay, na ni kweli interest free au 6% ya processing fee?
Kama mkopo ni 1% au 2% processing fee why salary advance iwe 6% au ndio njia pekee ya kumuibia mlalahoi mwenye shida Lukuki? Acheni wizi.
Kumbe inawahusu watumishi gani mkuu?Lakini hii Huduma sio kwa watumishi wote
Naomba kuuliza aliyewahi kupewa 40% ya salary advance kama NMB wanavyojinadi ni nani kweli aliyewahi kupewa 40% as advance pay, na ni kweli interest free au 6% ya processing fee?
Kama mkopo ni 1% au 2% processing fee why salary advance iwe 6% au ndio njia pekee ya kumuibia mlalahoi mwenye shida Lukuki? Acheni wizi.
OK. Hebu tuwekee hizo terms and conditions mkuu maana hapa ndipo bomu lilipolala...ukijipeleka kibwege tu umelipuliwa!!!!!!Tusome vizuri kwenye hiki nimepeperushi chetu
Ahsante karibu nmb View attachment 722284
100%-(40%+6%)=56%
So ujue mwisho wa mwezi atapokea 56% ya mshahara woooote.
Kwani processing fee sio charge? Lahaula! Hivi hawa NMB wanadhani watanzania wote ni matutusa?Soma vigezo na mashariti.
Ingia www.nmbbank.co.tz
Kuna kurasa kama sita au saba za vigezo na mashariti ya huo mkopo.
Processing fee ni 6% ya kiwango cha mkopo unaochukua na hakuna charge nyingine zaidi ya hiyo.
OK. Hebu tuwekee hizo terms and conditions mkuu mana hapa ndipo bomu lilipolala...ukijipeleka kibwege tu umelipuliwa!!!!!!
Mkuu naona bado hujampata mtoa mada. Anachomanisha ni kwamba hili "tangazo" la NMB kuhusu salary advance kwa kujinadi kwamba hakuna charges huku wakikata 6% processing fee ni la kilaghai kuliko ulaghai wa Lucifer. Umenipata?Hujalazimishwa kukopa
Mikopo ni janga la kitaifa. Hii salary advance ni sawa na kuweka rehani maturubai ya kwenye msiba. Yaani mtu anayekopa huwa amepigika sana lakini hicho kipigo cha 6% processing fee ndicho hummaliza kabisa.Hii mikopo noma sana duuuh
Hesabu za chato hizo100%-46%=56%???
This is a fucken business. It is better to eat grasses than take salary advance.Ni 40% ya net salary yako sio basic salary kama maximum ya advance unayoweza kuchukua na gharama pekee ni 6% ya kile utakachochukua advance mfano kama umechukua Tsh 100,000/= utakatwa Tsh 106,000/= mshahara ukitoka
Tatizo ni kwamba hao walengwa wa salary advance wasipokopa bank watakopa hata kwa Mangi au kwa Mpemba tena pengine kwa riba kubwa zaidiThis is a fucken business. It is better to eat grasses than take salary advance.