Njooni tufahamiane wana MMU

Njooni tufahamiane wana MMU

haha hapana bhana unanifanyaga niishiwe maneno sometime
mnh! basi kila wakati huwa unaishiwa maneno manake leo tu nimeyaona hayo maneno kwangu peke yake mara 3! Mie sitaki uishiwe na maneno bhana...
 
mnh! basi kila wakati huwa unaishiwa maneno manake leo tu nimeyaona hayo maneno kwangu peke yake mara 3! Mie sitaki uishiwe na maneno bhana...

nitajitahidi afu nakuona umeanza kummendea mtu hapo huoni aibu
 
Sio shamba tu ndio ninalo bado nina vitu vingi vya kuingiza pesa kwa vibinti vizuri kama wewe ambao mmejariwa..!! Mpaka nifilisike sio rahisi mjukuu..!! Ondoa shaka..!!

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums

Ahaahaha babu, ebu anza kunipeleka show room kesho nataka ka vx tu babu.
 
nitajitahidi afu nakuona umeanza kummendea mtu hapo huoni aibu
Ahhha! Hofu yako tu bhana... c wewe ndo nilikuwa nakuita Sweetheart, we unadhani nilikuwa namuita nani? Mi wewe tu hapa, hao wengine wala!
 
Last edited by a moderator:
Ahhha! Hofu yako tu bhana... c wewe ndo nilikuwa nakuita Sweetheart, we unadhani nilikuwa namuita nani? Mi wewe tu hapa, hao wengine wala!

hhahah unamuita mtu kijanja sichelewegi ku take ufoo saro actions hata kama sina hatimiliki lol
 
Last edited by a moderator:
Occupation😛anya road.
Asili:Tanzania
Kabila:mswahili
Umri:miezi 6
Marital status😀ouble
 
hhahah unamuita mtu kijanja sichelewegi ku take ufoo saro actions hata kama sina hatimiliki lol
kwah! kwah! kwah! Hofu ya nini... wewe ndie my oxygen, pasipo nawe sina japo chembe ya uhai! Hao wanaokutia hofu ni carbon dioxide yangu... ni hewa ninayotakiwa kuitoa ili ikuze maua ya kwenye bustan ye2! Au kama vp, nibadilishe swaga basu, kuanzia sasa nikuite my beautiful neddy, hapo vipi?!
 
kwah! kwah! kwah! Hofu ya nini... wewe ndie my oxygen, pasipo nawe sina japo chembe ya uhai! Hao wanaokutia hofu ni carbon dioxide yangu... ni hewa ninayotakiwa kuitoa ili ikuze maua ya kwenye bustan ye2! Au kama vp, nibadilishe swaga basu, kuanzia sasa nikuite my beautiful neddy, hapo vipi?!

hahaha hapo sawa unajua pa kunipatia
 
Back
Top Bottom