Amicus Curiae
JF-Expert Member
- Sep 12, 2012
- 5,352
- 7,662
- Thread starter
- #101
Mkuu kinachokushangaza ninini?
Naomba nikuulize maswali machache kuhusu golf, nina wasiwasi usije ukawa unajiongeza....
Mkuu kinachokushangaza ninini?
Occupation: Kibaka
Asili: Sijui
Kabila: Sijui
Umri: hakuna kibaka mzee
Marital status: sijui
wachagga si nasikia mmegombana na viuno... unajua kucheza kweli!!!
Simaanishi tufahamiane kwa majina yetu halisi au tubadilishane no za simu, la hasha!
Nimegundua kwamba humu Jamii Forums na MMU in particular kuna watu wa kada mbalimbali, so tukifahamiana kwenye Professions zetu, makabila yetu, maeneo tutakayo, umri, marital status n.k, wengi wetu tutakutana na watu wa makabila na kada zetu, age sio ishu sana.
Hivyo, itakua rahisi mtu akiwa na tatizo kwenye eneo fulani kwa mfano huduma za kibenki au ukandarasi, anafahamu aende kwa nani mwenye taaluma hiyo ili kupata ushauri, so mnakutana PM mnabonga, ikiwapendeza mnabadilishana na n namba za simu kabisaa.
Naanza mimi.
Occupation: Lawyer.
Asili: Msoma na Mwanza ingawa kwa sasa naishi Tanga na Dar es salaam.
Kabila: Mjita.
Umri: In between the age of 25 to 28 (Nipo katikati hapo-siri yangu).
Marital status: Single and Seriously Searching.
Haya karibuni wadau.
Nilidhani ni kitu serious kumbe tupo chitchat...
Au watu hawapeni kufunguka..!
Nifunguke vipi wakati mwenyewe hata Jina hajataja, Umri kaweka ()....funguka wewe basi umpe sapoti
Nifunguke vipi wakati mwenyewe hata Jina hajataja, Umri kaweka ()....
Afunguke vizuri na mie ntafunguka hadi jina kamili na ubini, picha..teeh!
Nifunguke vipi wakati mwenyewe hata Jina hajataja, Umri kaweka ()....
Afunguke vizuri na mie ntafunguka hadi jina kamili na ubini, picha..teeh!
Kumbe hutaki picha we wataka ubini wangu? ha ha ha!Funguka bwana na mie nijue ubini wako
ha ha ha..kiongozi hapo wala hujafunguka..kufunguka maana yake watu wakufahamu...uluvyofunguka hata watu wako wa karibu hawajakufahamu..Hahahaa sidanganyikiiii
Kumbe hutaki picha we wataka ubini wangu? ha ha ha!
ha ha ha..kiongozi hapo wala hujafunguka..kufunguka maana yake watu wakufahamu...uluvyofunguka hata watu wako wa karibu hawajakufahamu..
Funguka bhana..!
Mi nataka ubini tu baas....
Njoo ghetto utafahamu ubini wangu....!Mi nataka ubini tu baas....
kabanga kwa uthibitisho ha ha ha ha ha ha ahahahhahhahhahahahahhahahhaha
Khe! Ubini tu, utakusaidiaje kumfahamu sasa?
Njoo ghetto utafahamu ubini wangu....!