Njooni ndugu zangu mnishauri

Njooni ndugu zangu mnishauri

Dogo hebu tulia utoe ufafanuzi vizuri, hiyo jumamosi atakayorudi mkeo ndio anarudi kwa ajili ya kugegedwa au kuja kufahamiana kwanza na huyo mtongozaji.....

Kama anarudi ili agegedwe basi nakushauri nenda Ubungo ukiwa talaka mkononi maana ulioa MALAYA, nimetumia herufi kubwa ili kuonesha msisitizo, sitaki mambo ya kijinga mimi
 
Huyo mkeo au danga lako mpaka asijue sauti yako.
 
Hakuna aliyeoa anayeweza kufanya huo utopolo. Hii ni chai tena bila sukari
 
Dogo hebu tulia utoe ufafanuzi vizuri, hiyo jumamosi atakayorudi mkeo ndio anarudi kwa ajili ya kugegedwa au kuja kufahamiana kwanza na huyo mtongozaji.....

Kama anarudi ili agegedwe basi nakushauri nenda Ubungo ukiwa talaka mkononi maana ulioa MALAYA, nimetumia herufi kubwa ili kuonesha msisitizo, sitaki mambo ya kijinga mimi
hakika mkuu... Yaani tunaita maji maramoja
 
Mke wangu amesafiri ameenda kwao Tanga Kusalimia wiki imeshapita sasa. Nimetafuta namba ngeni asio ijua nyingine nikampigia NIKAMTONGOZA akakubali akanambia hayupo Dar yupo Mkoani nimtumie nauli akiwa anarudi nimpokee Ubungo, nimemtumia kanambia anarudi Jumamosi nikampokee Ubungo nikakubali.

Sasa nimempigia kwa namba yangu ya kawaida anayoijua kanambia anarudi Jumapili, nimemuliza kuhusu nauli kasema anayo wala nisijali.

Sasa sijui nimpokee Jumapili kuepusha shari au Jumamosi niende Ubungo na TALAKA yake??

Nisaidieni????
Inamaana mkeo haijui sauti yako?
 
So hapo ni umedinda kwakua mkeo anarudi au kamenywea kwa kujua kua kuna uwezekano unamegewa?

Au kanawaka na kuzima?
 
Mke wangu amesafiri ameenda kwao Tanga Kusalimia wiki imeshapita sasa. Nimetafuta namba ngeni asio ijua nyingine nikampigia NIKAMTONGOZA akakubali akanambia hayupo Dar yupo Mkoani nimtumie nauli akiwa anarudi nimpokee Ubungo, nimemtumia kanambia anarudi Jumamosi nikampokee Ubungo nikakubali.

Sasa nimempigia kwa namba yangu ya kawaida anayoijua kanambia anarudi Jumapili, nimemuliza kuhusu nauli kasema anayo wala nisijali.

Sasa sijui nimpokee Jumapili kuepusha shari au Jumamosi niende Ubungo na TALAKA yake??

Nisaidieni????
Jumamosi mnaweza kubadilisha venue na mkeo.unachoweza fanya ni kufika karibu na ubungo chukua hotel,halafu mpe namba ya dereva taxi amelete huko hoteli uliko wewe.them jumapili asubuhi mnapanda dala dala mnarudi nyumbani kwenu mbagala.kuna kuwa wakati huo hakuna foleni
 
Mke wangu amesafiri ameenda kwao Tanga Kusalimia wiki imeshapita sasa. Nimetafuta namba ngeni asio ijua nyingine nikampigia NIKAMTONGOZA akakubali akanambia hayupo Dar yupo Mkoani nimtumie nauli akiwa anarudi nimpokee Ubungo, nimemtumia kanambia anarudi Jumamosi nikampokee Ubungo nikakubali.

Sasa nimempigia kwa namba yangu ya kawaida anayoijua kanambia anarudi Jumapili, nimemuliza kuhusu nauli kasema anayo wala nisijali.

Sasa sijui nimpokee Jumapili kuepusha shari au Jumamosi niende Ubungo na TALAKA yake??

Nisaidieni????
Qmamake walai, mliooa mnakazi sana.
 
Tafuta mtu unayemuamini asiyemjua akampokee ampeleke lodge ambayo wewe ndio utakuwepo kwenye chumba atakacholetwa , hakikisha kuna mtu anamfuatilia kwa nyuma akimrekodi

We jamaa ni mastermind aisee, afanye ivo huyo jamaa kwakweli
 
Mke wangu amesafiri ameenda kwao Tanga Kusalimia wiki imeshapita sasa. Nimetafuta namba ngeni asio ijua nyingine nikampigia NIKAMTONGOZA akakubali akanambia hayupo Dar yupo Mkoani nimtumie nauli akiwa anarudi nimpokee Ubungo, nimemtumia kanambia anarudi Jumamosi nikampokee Ubungo nikakubali.

Sasa nimempigia kwa namba yangu ya kawaida anayoijua kanambia anarudi Jumapili, nimemuliza kuhusu nauli kasema anayo wala nisijali.

Sasa sijui nimpokee Jumapili kuepusha shari au Jumamosi niende Ubungo na TALAKA yake??

Nisaidieni????
Nenda j,mosi tu..... Utakuwa umemfunza jambo
 
Daaah kweli JF ni vichekesho......anyway mwanakulitafuta ...mwana kuli get
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom