kiben10
JF-Expert Member
- Apr 28, 2018
- 616
- 789
Mke wangu amesafiri kaenda kwao kusalimia, ni week ya pili sasa imepita tangu ameenda kwao.
Sasa nimetafuta number nyingine asieijua nimempigia nikamtongoza na akaniambia kuwa hayuko Morogoro, yuko mkoani nimtumie nauli akiwa anarudi nikampokee Msamvu Bus terminal, nimemtumia nauli kaniambia anarudi Jpili nikampokee Msamvu sasa.
Sasa nimempigia kwa number yangu anayoifaham nikamuliza lini anarudi kanaimbia anarudi Jtatu. Nimemuuliza kuhusu nauli kaniambia anayo, sasa sijui nikampokee Jpili or Jtatu kama alivyoniongopea, ili niepushe Kuua?
Au niende Jtatu na Msamvu na TALAKA yake? Naombeni ushauri maana naona huu mwaka unaonekana wa kumwaga DAMU tu aisee
Sasa nimetafuta number nyingine asieijua nimempigia nikamtongoza na akaniambia kuwa hayuko Morogoro, yuko mkoani nimtumie nauli akiwa anarudi nikampokee Msamvu Bus terminal, nimemtumia nauli kaniambia anarudi Jpili nikampokee Msamvu sasa.
Sasa nimempigia kwa number yangu anayoifaham nikamuliza lini anarudi kanaimbia anarudi Jtatu. Nimemuuliza kuhusu nauli kaniambia anayo, sasa sijui nikampokee Jpili or Jtatu kama alivyoniongopea, ili niepushe Kuua?
Au niende Jtatu na Msamvu na TALAKA yake? Naombeni ushauri maana naona huu mwaka unaonekana wa kumwaga DAMU tu aisee