thebosskissima
Member
- May 22, 2017
- 65
- 298
Mke wangu amesafiri ameenda kwao Tanga Kusalimia wiki imeshapita sasa. Nimetafuta namba ngeni asio ijua nyingine nikampigia NIKAMTONGOZA akakubali akanambia hayupo Dar yupo Mkoani nimtumie nauli akiwa anarudi nimpokee Ubungo, nimemtumia kanambia anarudi Jumamosi nikampokee Ubungo nikakubali.
Sasa nimempigia kwa namba yangu ya kawaida anayoijua kanambia anarudi Jumapili, nimemuliza kuhusu nauli kasema anayo wala nisijali.
Sasa sijui nimpokee Jumapili kuepusha shari au Jumamosi niende Ubungo na TALAKA yake?
Nisaidieni?
Sasa nimempigia kwa namba yangu ya kawaida anayoijua kanambia anarudi Jumapili, nimemuliza kuhusu nauli kasema anayo wala nisijali.
Sasa sijui nimpokee Jumapili kuepusha shari au Jumamosi niende Ubungo na TALAKA yake?
Nisaidieni?