JMF
JF-Expert Member
- Jun 29, 2013
- 1,782
- 2,843
AmeeenYataisha mamie, don't worry about how, just hope will be soon and be positive, with 'GODFIDENCE'
Heaven Sent espy Neybright
Espy umefichwa na nani?Vipi upishaipata?
Hivi ile degree nawe uliiamini kabisaaa!! Changamsha genge tu. Yaani pale nilijibu ya ukweli sijui yalikuwa mawili tu kati ya yoooote niloulizwa.Hujamaliza ile degree yako unipe kichupa?
Hahahaaaaa!!! Mbona nipo sana tu.Espy umefichwa na nani?
Nakuona kwa nadra sana
Bi mkubwa ni ile "degree" perfume yako kutoka kwa USA baby, umeisahau?Hivi ile degree nawe uliiamini kabisaaa!! Changamsha genge tu. Yaani pale nilijibu ya ukweli sijui yalikuwa mawili tu kati ya yoooote niloulizwa.
Ooooh!! Kumbe hiyo!! Nyani Ngabu alinidanganya hata hakuniletea.Bi mkubwa ni ile "degree" perfume yako kutoka kwa USA baby, umeisahau?
Haha mbiti leo asubuhi nimekuwaza nimecheka kama kichaa. Nilikuwa naimagine mama mkwe alivyokuwa anamsifia mwanae siku ya harusi, kumbe dooh. Yani nimechekaaademi wapi wewe nani kakuficha jaman mke wa tu wewe? Neybright bado nacheka na jana !hope mko poa ! kumbe espy ushaingizwa mjini na Nyani Ngabu !lol!
Hajaamua tu...Ooooh!! Kumbe hiyo!! Nyani Ngabu alinidanganya hata hakuniletea.
demi wapi wewe nani kakuficha jaman mke wa tu wewe? Neybright bado nacheka na jana !hope mko poa ! kumbe espy ushaingizwa mjini na Nyani Ngabu !lol!
Weka bei zako mkuu tujue zipi zitatufaa..![]()
Hivi unafahamu kuwa kuna perfumes za kike na za kiume zenye manukato tulivu yasiyokera kutoka Sweden..
Karibu tuwasiliane ukihitaji 0672416294 au 0629273281
Sent using Jamii Forums mobile app
Ooooh!! Kumbe hiyo!! Nyani Ngabu alinidanganya hata hakuniletea.
Naanzaje kutokutokea sasa jamani!! we leta bwana, acha visingizio.Oh okay...nachukua notes tu hapa na ole wako siku ya siku usitokee...
Hahahaaaa!! Mie naendelea tu kusubiri, nina moyo wa kupondeka.demi wapi wewe nani kakuficha jaman mke wa tu wewe? Neybright bado nacheka na jana !hope mko poa ! kumbe espy ushaingizwa mjini na Nyani Ngabu !lol!
Kwakweli nami namsubiri aamue.Hajaamua tu...
Nilifichwa shoga ndo nimeachiwa sasa hivi..tehdemi wapi wewe nani kakuficha jaman mke wa tu wewe? Neybright bado nacheka na jana !hope mko poa ! kumbe espy ushaingizwa mjini na Nyani Ngabu !lol!
Nilifichwa shoga ndo nimeachiwa sasa hivi..teh
Hahahaaaa!! Mie naendelea tu kusubiri, nina moyo wa kupondeka.
Kwakweli nami namsubiri aamue.
Ha haaa kwani nimekwambia misuli inauma??? Ila ni kweli sijui umejuaje?? Uchokozi huo jomonii ha haateh teh oga kwanza maji ya moto kurelax misuli teh teh
Ha haaa kwani nimekwambia misuli inauma??? Ila ni kweli sijui umejuaje?? Uchokozi huo jomonii ha haa
Asante mwayaahahhhaha !mie mhenga!hongera karibu tena zizin