Njoo uchague yako

Njoo uchague yako

Haha mbiti leo asubuhi nimekuwaza nimecheka kama kichaa. Nilikuwa naimagine mama mkwe alivyokuwa anamsifia mwanae siku ya harusi, kumbe dooh. Yani nimechekaaa


heaven alipewa mic alitumia km dk 35.. naogopa kusema meng hapa maana mamake anajulikana sn !alimpamba weeeeee kila mara ananigeukia mm ananiambia narudia ten [HASHTAG]#mbiti[/HASHTAG] umepata mume! watu woyoooooooo ! alisema nimebarikiwa kuzaa watoto wazuri angalia matoto yangu yote marefu mazangamba (wasukuma hapa watanielewa) ,angalia mumeo alivyo mzuri na mpole !hahahaha nyokolollllllllllooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo!hapo mama toka asbh alikua anapakia nyagi !maskin ya Mungu meza ya wazaz wangu ni majuic tupu !


had akijaga kwangu full kumpamba mwanae !nilikuambia mbiti !mumeo mtu mzuri si unaona unavyonenepa mama ! hahahah! namjibug moyon mama usinzengue tafadhari ! alafu bas aconcentrate na wanangu awasimamie wale vzr yupo busy kumpa mwanae nyama ,mboga nzuri !yaan anazitoa kwenye sahan yake anamwekea mwanae anamwambia mkeo amepika vzr sana kula mwanangu !vitoto vyangu hata kuviambia bibi kulen wapiii !

huwa ananikera mnoo !mamangu akijaga anadeal na wanangu mnoooo anawalisha n so forth lakini sio yule jaman ! akinywa supu lazima akuambie hiz nyama mama nambakizia mumeo maana jana amekunywa sana !nami namwambia tu sawa mama ! ANAKERA SANA YAAN!


serious ukija ukamuona anavyomtake care mwanae waweza hisi amezaa akiwa na 50! akiwa anaongea nae anamsugua sugua mgongo upo shost ! heheheehheeh!na lenyewe linatuliaaa !pyeeeee eti kisa lastborn shubaaaaaaaaamit
 
heaven alipewa mic alitumia km dk 35.. naogopa kusema meng hapa maana mamake anajulikana sn !alimpamba weeeeee kila mara ananigeukia mm ananiambia narudia ten [HASHTAG]#mbiti[/HASHTAG] umepata mume! watu woyoooooooo ! alisema nimebarikiwa kuzaa watoto wazuri angalia matoto yangu yote marefu mazangamba (wasukuma hapa watanielewa) ,angalia mumeo alivyo mzuri na mpole !hahahaha nyokolollllllllllooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo!hapo mama toka asbh alikua anapakia nyagi !maskin ya Mungu meza ya wazaz wangu ni majuic tupu !


had akijaga kwangu full kumpamba mwanae !nilikuambia mbiti !mumeo mtu mzuri si unaona unavyonenepa mama ! hahahah! namjibug moyon mama usinzengue tafadhari ! alafu bas aconcentrate na wanangu awasimamie wale vzr yupo busy kumpa mwanae nyama ,mboga nzuri !yaan anazitoa kwenye sahan yake anamwekea mwanae anamwambia mkeo amepika vzr sana kula mwanangu !vitoto vyangu hata kuviambia bibi kulen wapiii !

huwa ananikera mnoo !mamangu akijaga anadeal na wanangu mnoooo anawalisha n so forth lakini sio yule jaman ! akinywa supu lazima akuambie hiz nyama mama nambakizia mumeo maana jana amekunywa sana !nami namwambia tu sawa mama ! ANAKERA SANA YAAN!


serious ukija ukamuona anavyomtake care mwanae waweza hisi amezaa akiwa na 50! akiwa anaongea nae anamsugua sugua mgongo upo shost ! heheheehheeh!na lenyewe linatuliaaa !pyeeeee eti kisa lastborn shubaaaaaaaaamit
Hahahaa lakini kila mama anaonaga malezi aliyowapa wanae ndo malezi bora, ila ndo mkishaingia ndoani sasa mnaanza kufixiana. Yani umenichekesha na sifa za mama mkwe, it's like uambiwe umebahatisha sana kuolewa na mwanae, kumbe mweeh

Teh kuna mabibi unaweza ukasafiri kabisa na usiwe na wasiwasi na wanao coz unajua kuna bibi yao atawatunza vizuri, ila wengine sasa mmh
 
Hahahaa lakini kila mama anaonaga malezi aliyowapa wanae ndo malezi bora, ila ndo mkishaingia ndoani sasa mnaanza kufixiana. Yani umenichekesha na sifa za mama mkwe, it's like uambiwe umebahatisha sana kuolewa na mwanae, kumbe mweeh

Teh kuna mabibi unaweza ukasafiri kabisa na usiwe na wasiwasi na wanao coz unajua kuna bibi yao atawatunza vizuri, ila wengine sasa mmh


hahha yaan ninamshanga sana kwakwel! yeah yaan alimanisha labda nimeokota dodo kwenye mpapai !hahahha !angejua!
sasa hv wala huwa simpigii ! nakaaga kimya tu akiwamis wajukuu na mwanaume mpendwa na mm ananipa hi!malez ya ajab kupata kutokea alowapa
 
Back
Top Bottom