Njoo uchague yako

Njoo uchague yako

Cheka tuu dia hakuna namna, ni mwendo wa dede au tatee usipomshika au asiposhikilia kitu dk moja yupo Chini [emoji28][emoji28]


bora huyo dede tatee jaman jitu zima kutapika jaman ! na huwa ngum kufuta mwenyew automatic utafuta wewe !jaman jaman ! ukute na maharufu ya sigara huwa naosha ndooo na maji moto na detol juu kitu bado kinatema !bas mwisho wa mwez ninunulie walau tenge hamna ! aseee
 
Mmh alikuwa anavuta kisiri siri?


ndo alichoniambia !kuwa aliaza lon time std seven !hv kuna mimamamingne jaman sijui ipoje ! walikuwa free sana kwao !argh mie sitakufree kwa mwanangu jaman !hapana !ona sasa mtoto wa darasa la 7 anavuta sigara !siku ya harusi alimpamba mwanae zaid ya 40 min had akapokonywa mic ! kila mara [HASHTAG]#mbiti[/HASHTAG] nakuhakikishia hapa umepata mume labda ushindwe mwenyewe oh wanangu woote mbiti ndo mtoto mpole msikivu blah blah kibaoooooooooooooooo! jaman ! alimsifia had nikakosa makonfidence shoo ! heheehehe kumbe mie ndo bora !dadek
 
ndo alichoniambia !kuwa aliaza lon time std seven !hv kuna mimamamingne jaman sijui ipoje ! walikuwa free sana kwao !argh mie sitakufree kwa mwanangu jaman !hapana !ona sasa mtoto wa darasa la 7 anavuta sigara !siku ya harusi alimpamba mwanae zaid ya 40 min had akapokonywa mic ! kila mara [HASHTAG]#mbiti[/HASHTAG] nakuhakikishia hapa umepata mume labda ushindwe mwenyewe oh wanangu woote mbiti ndo mtoto mpole msikivu blah blah kibaoooooooooooooooo! jaman ! alimsifia had nikakosa makonfidence shoo ! heheehehe kumbe mie ndo bora !dadek

Haha haki nimecheka hapo kwa mama mkwe kumpamba mwanaye. Na hivi anaonekana mpole basi unapewa tu mausia "mbiti usije kumvuruga mtoto wa watu na ukorofi wako", kumbe mweeeh.

Huo ufree wa hivyo kwa watoto hapana jamani. Japo kuna muda watoto wanaweza kujifunza tabia mbaya bila ya wewe kujua
 
Back
Top Bottom