Njoo tulime tikiti ujikomboe

Asante mkuu
 
Nani atahusika na usimamizi kama aliyekodi hawez pata mda wa kusimamia??tufahamisheni vizuri wakuu
Mkuu kama upo tayari tuwasiliane kupitia 0714306015 ui n PM! Ni kijana mwaminifu Nipe kazi hiyo nikakusimamie, nina uwezo kufanya kazi za kilimo ila suala ni mtaji tu!
 
Wapo waliokuja shamba usikurupuke kuongea hata wewe karibu sisi hatuna maneno mengi vingi vitendo njoo ujionee hakuna stori hapa kazi tu wacha maneno mengi
Thanks in advance with a vivid pictures.
 
Mkuu kama upo tayari tuwasiliane kupitia 0714306015 ui n PM! Ni kijana mwaminifu Nipe kazi hiyo nikakusimamie, nina uwezo kufanya kazi za kilimo ila suala ni mtaji tu!
Nafrahi kuona kijana mwenzangu unavyoonyesha ushupavu wa kuona fursa na kuinyaka Big up
Mimi najaziajazia nyama kwenye kibubu changu hapa nianze mtanange bt by 2017 mjini ntakuwa nakuja kutembea tuu Maisha shambani bwana.
 
Jamani wale tuliokubaliana kuja shamba vikindu kesho kuanzia SAA moja asbh ntakua shamba anaetaka kuja kulipia anakaribishwa kuja mikataba itajuwepo
Good work mkuu! Naomba unijulishe spacing ya mashimo,ukubwa wa shimo,idadi ya miche kwa shimo na formula ya mbolea pls!
 
Mbona napiga number yako sikupati
 
Tatizo kubwa mleta maada badala ya kuanza taja gharama zako unazotaka ulipwe, wewe umeanza kutaja faida anayoweza kuipata mtu...mimi umenitisha maana naona unaanza ipigia mahesabu faida ambayo hata sijaipata bado!!!
 
Tatizo kubwa mleta maada badala ya kuanza taja gharama zako unazotaka ulipwe, wewe umeanza kutaja faida anayoweza kuipata mtu...mimi umenitisha maana naona unaanza ipigia mahesabu faida ambayo hata sijaipata bado!!!
Naomba niulize.
Hivi nikipanda hayo matikti mwezi huu,kuna uwezekano ya kuathiliwa na mvua za mwezi wa 11 kabla ya kuvuna.Elimu tafadhali.
 
Mkuu laurentie hongera kwa kuwahamasisha raia kuhusu kuzikamatia fulsa zilizopo shamba!

Mimi ni mkulima mzoefu wa mazao karibu yote ya bustani.

Nimesoma na kujionea picha zako ulizo bandika hapa;
Zipo kasoro nyingi sana nimeziona kwenye hili bandiko. Ningependa kuweka masahihisho ya jumla iwe kama tahadhari kwa wale waliovutiwa na huu uzi hatmae kuja kufanya kazi.
1) Ipo kasoro kwenye upandaji wa hizo tikiti. Umepanda kienyeji sana. Upandaji wako utaathiri huo mmea kipindi cha umwagiliaji maji hasa kwa hiyo hybrid(zebra)
2) kuna mapungufu katika uainishaji wa gharama za uendeshaji. Kwanini huwi realistic kuchambua hatua kwa hatua mpaka mavuno.
Nk nk nk
Nikipata muda, ntatoa mchanganuo wa upandaji, cost na kipato halisi kwa ekari moja ya tikiti ili kuwarahisishia watakaovutika kuingia kwenye sekta hii na hatmae wajue mbivu na mbichi kuhusu kilimo.
 
Unakodisha shamba Moshi sehemu gani bosi
 
Mkuu mimi ni mtanzania. Huku Kenya nimekuja kuangalia mazingira ya kibiashara tu

Alafu mkuu huku kenya nimepokelewa vizuri sana na wenyeji. Sasa ukiniambia hivyo nahuzunika sana
Hawana element za u koffi olomide??[emoji87] [emoji87] [emoji87]
 
mi natamani wakenya wawe watu wa kwanza kukatazwa kuingia nchini mwetu
Tatzo la kuzaliwa na kukulia buguruni kimboka,unakuwa unacopy element zile zile za dada zako pale buguruni shelii-koffi olomide wee
 
Ndg nimekupm no yangu tuwasiliane
 
Mimi nakusahihisha kwenye paragraph ya kwanza.

Fulsa = Fursa.
 
Jamani wale tuliokubaliana kuja shamba vikindu kesho kuanzia SAA moja asbh ntakua shamba anaetaka kuja kulipia anakaribishwa kuja mikataba itajuwepo
Hutakiwi kuwakodishia ardhi raia wa kigeni, unatakiwa kushtakiwa kabisa.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…