seedfarm
JF-Expert Member
- Feb 9, 2020
- 260
- 2,654
Kanisa hilo la Baptist mkoani Njombe linatumia viboko kama sehemu ya waumini kutubu na kusamehewa dhambi zao.
Aidha siri imevuja baada ya muumini mmoja kujeruhiwa kwa viboko.
Baada ya waumini kukiri dhambi zao ,lazima watandikwe viboko kama sehemu ya utakaso.
Haya mambo ya viboko kumbe ni msingi wa Imani za watu, Tutegemee Taifa la kucharazana bakora kuanzia mwakani.
Aidha siri imevuja baada ya muumini mmoja kujeruhiwa kwa viboko.
Baada ya waumini kukiri dhambi zao ,lazima watandikwe viboko kama sehemu ya utakaso.
Haya mambo ya viboko kumbe ni msingi wa Imani za watu, Tutegemee Taifa la kucharazana bakora kuanzia mwakani.