std7
JF-Expert Member
- May 6, 2011
- 1,730
- 2,630
Eti! Unapewa cheti cha msamaha wa zambi, wakimaliza kukupa cheti wakupe na leseni kabisa.Msamaha unaotolewa na Mungu ni free of charge.Ndiyo yale yale yaliyo semwa na martini Luther.Wokovu haunuliwi,tumepata bure tutoe bure.
Huu ni upotoshaji uliofanywa na kanisa la zamani sana,kwamba unapewa cheti cha msamaha wa dhambi na padre