Gucci gang
JF-Expert Member
- Jan 7, 2018
- 2,448
- 4,475
Kenge huwa hasikii hadi umtandike mpaka damu zimtoke kwenye masikio ndiyo anakusikia sawa-sawa.
mchungaji charaza fimbo za kichwa.
😂😂😂😂
Kenge huwa hasikii hadi umtandike mpaka damu zimtoke kwenye masikio ndiyo anakusikia sawa-sawa.
mchungaji charaza fimbo za kichwa.
Becky na wewe una sambi?Viboko vinatrend,
Becky na wewe una sambi?
Ni sawa tu kwa maana unapoenda kutubu dhambi zako kwa Padree au Mchungaji mwishoni atakupa malipizi ya dhamibi ulizo fanya sasa inategemeana, anaweza kukuambia ukafyeke uwanja wakanisa kila siku asubuhi na jioni kwa siku 30, au usali sala fulani mara kumi kila siku ama ufagie kanisa kwa mzwezi mzima au akutandike bakora kama alivyoamua huyo mtumishi ... na ili toba yako iwe kamili lazima utimize malipizi uliyopewa.
Yeye aliona atoe malipizi hayo kwao tatizo liko wapi na hulazimishwi kama hutaki unaacha. Sasa mtu anakuja kutubu kamsaliti mumewe/mkewe, au kaiba au kaua mtu si bora umkung'ute hizo mboko kadhaa akujutie dhambi zake huko na familia yake usifanye tena dhambi ..... Congole kwake mchungaji
Naona baada ya DC na uyu baba mchungaji tena imetosha tu kusema wanatimiza ilaniKwahyo mchungaji anatekeleza ilani
Wenzetu mnatushangaza inamana huyo mchungaji ndio anaesamehe dhambi?Ni sawa tu kwa maana unapoenda kutubu dhambi zako kwa Padree au Mchungaji mwishoni atakupa malipizi ya dhamibi ulizo fanya sasa inategemeana, anaweza kukuambia ukafyeke uwanja wakanisa kila siku asubuhi na jioni kwa siku 30, au usali sala fulani mara kumi kila siku ama ufagie kanisa kwa mzwezi mzima au akutandike bakora kama alivyoamua huyo mtumishi ... na ili toba yako iwe kamili lazima utimize malipizi uliyopewa.
Yeye aliona atoe malipizi hayo kwao tatizo liko wapi na hulazimishwi kama hutaki unaacha. Sasa mtu anakuja kutubu kamsaliti mumewe/mkewe, au kaiba au kaua mtu si bora umkung'ute hizo mboko kadhaa akujutie dhambi zake huko na familia yake usifanye tena dhambi ..... Congole kwake mchungaji