mkonomtupu
JF-Expert Member
- Jul 5, 2011
- 441
- 118
<br />Napingana na wewe ............... Unajuwa challenges ndo zinakufanya ukuwe kimawazo, kifikra, kielimu, kimaisha ya kawaida, na vile vile ili ujuwe uwepo wa mnene basi mwembamba lazima awepo vinginevyo utakosa mahala pa kulinganishia.................. WAACHENI WAFU WAWEPO ILI TUJUWE THAMANI YA UZIMA
<br /
Well said