Njiwa, Yoyo,FF, MS poteleeni huko huko

Napingana na wewe ............... Unajuwa challenges ndo zinakufanya ukuwe kimawazo, kifikra, kielimu, kimaisha ya kawaida, na vile vile ili ujuwe uwepo wa mnene basi mwembamba lazima awepo vinginevyo utakosa mahala pa kulinganishia.................. WAACHENI WAFU WAWEPO ILI TUJUWE THAMANI YA UZIMA
<br />
<br /
Well said
 
Nimechukungulia forums ya malaria sugu imekuwa ikiandama sana Chadema, wale user waliokuwa wakilalamika sana hapa jf naona wamepotelea huko.
Nawatakia masiha mema ktk forums yao.
wapotee huko huko hawana mchango wowote kwa taifa

Kama vile JF inavyoiandama sana CCM?
 
Back
Top Bottom