Mavella
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 459
- 75
maana nilipata update tangu tarehe 2 kuwa bidhaa imeingia nchini lakini hadi leo sijapigiwa simu na watu wa postaNdani ya masaa 72
maana nilipata update tangu tarehe 2 kuwa bidhaa imeingia nchini lakini hadi leo sijapigiwa simu na watu wa postaNdani ya masaa 72
Usisubr simu mkuu..mzigo ukishafika kaa hata siku 3 au 5 nenda tu posta ukaulziemaana nilipata update tangu tarehe 2 kuwa bidhaa imeingia nchini lakini hadi leo sijapigiwa simu na watu wa posta
Mkuu unaagizia wapi naomba kujuzwa pia niko mbeya nmejarbu kuagiza amazon nmeshindwa pia sina visa naomba kujua kuhusu mpesa mastercardUnafika mkuu... Ila kwa huku nlivyoona ukiandika posta ndogo izi mzigo unachukulia posta ya mkoa.. Mfano kwa uku naandikaga iyunga ila naenda kuchukulia ya mkoa
Amazon??agiza kupitia aliexpress na ukutaka kufanya malipo tumia master card za voda zile unatengeneza au halotel nimeona nao wameanzishaMkuu unaagizia wapi naomba kujuzwa pia niko mbeya nmejarbu kuagiza amazon nmeshindwa pia sina visa naomba kujua kuhusu mpesa mastercard
Amazon na eBay wanazingua na zile restrictions zao.Amazon??agiza kupitia aliexpress na ukutaka kufanya malipo tumia master card za voda zile unatengeneza au halotel nimeona nao wameanzisha
Naanzia wapi mkuu na hizo bidhaa nazotaka amazon nazikuta aliexpress kwa bei hiohio?Amazon??agiza kupitia aliexpress na ukutaka kufanya malipo tumia master card za voda zile unatengeneza au halotel nimeona nao wameanzisha
mtandao gan huu?Me nipo mwanza ila niliweka jina la mtaa na namba ya simu ..inakuwaje hapo msaada plzz
Aliexpress broomtandao gan huu?
Nenda posta pale magereza kawaulize mi mzigo wangu juz tu nimechukua na walinipigia simu na inachukua siku tatu au mbiliivi kama bidhaa uliyoagiza ikifika nchini inaweza fika mkoani kwa mda gani mkoani kama Ruvuma
Vp kuhusu yale ma Zip code.?. na je, mzigo wangu utapo tumwa nita ujuaje pale ntapo ufwata posta?Mkuu hapokwenye street address 1 jaza Postal Address iliyokamilika na mtaa. Postal code mi huwa najaza dash (_). Address 2 ni optional
Ndiyo unaweza haina shida mkuu,ili mradi tu imewezeshwa kufanya manunuzi kwenye mtandao. Kaza buti hakuna kurudi nyuma. Tunasubiri mrejesho umeipata na umejaribu hata kununua kitu cha hata dola mbiliMkuu naomba kuuliza kwenye hili...Je hizo card unaweza zi link na paypal baada ya kupewa na bank maana kama ebay sellers payment method ni paypal..
Ndiyo USPS ni posta ya Marekani. Hawacheleweshi mizigo. Nakumbuka nilishanunua tv ilichukua siku tano tu mpaka Tz. Lakini kutoka posta kuu Dsm mpaka nilipo ilichukua wiki mbiliMkuu ni tofauti na UPS nadhan hawa UPS kama Kama DHL.Je unazungumzia hawa USPS ambao ni shirika la posata?
Ndiyo, naona kote wanakamua kwelikweli. Ni mkakati wa kuongeza mapatoHivi wakuu huwa mnalipia tozo pale posta?
Maana wamama walikuwa wananikaba 2000k kila parcel hata kama ni meagiza sindano ya nusu Dollar.
Sasa wamepandisha Hadi 2500@ parcel haijalishi ni registered mail au yoyote wao wanakaba Tu eti ni agizo toka juu.
Je hili ni kwa posta zote au ndio nageuzwa fursa kiaina?
Mpombote , Mwl.RCT Mr. Mobile uyui kwetu[/USE
@Ymoller
Mzigo ukija hapa kwetu kwakweli ni shida kuu-track kwa sisi tulioko wilayani. Hapo naona mzigo wako umefika na kupokelewa posta kuu Dsm upo ktk mchakato. Subiri utaupata tumsaada
mimi ni mgeni wa kuagiza bidhaa online nimejaribu na nimetrack bidhaa mara ya mwisho nimepata information hii
LAO, (The item has been processed in the country of destination) je hapa kama niko mkoani siwezi kuutrack tena na nitajuaje kama umefika mkoa nilioko.?
Hata airtel pia wanayo iko poa tuAmazon??agiza kupitia aliexpress na ukutaka kufanya malipo tumia master card za voda zile unatengeneza au halotel nimeona nao wameanzisha
Bay wanakuja track number ukinunua mzigo kwao Kama aliexpress.kiukweli nimekua mtumiaji wa ebay kwa mda mwingi sana...wana option ya standard int'l shipping(kama haipo natafuta buyer anaeprovide hii)kwa $2.5 mzigo hauzidi siku 10 ushafika...
eBay not bayE
Bay wanakuja track number ukinunua mzigo kwao Kama aliexpress.
duh me no MBEYA mjn isanga APA kakaa