Njia za kupokea mzigo wako ulionunua kwenye mtandao(ebay,alibaba,amazon)

Askari Muoga

JF-Expert Member
Oct 22, 2015
6,113
4,645
Kwa Moderato nawaomba musi unganishe Uzi huu katika Uzi wa kununua au kufanya manunuzi mtandaoni
Ndugu zangu wengi tunapenda kufanya manunuzi ya vitu mtandaoni mfano EBay,alibaba na amazon ila je tunapataje vitu vyeti
1:Njia gani salama za kutumia kuletewat mzigo
2:je anuani gani au utambulisho gani natuma ili mzigo ufike kwenye eneo husika
3:je gharama gani nitatoa au kulipia nitakapo pokea mzigo
4:je usalama wa hizo njia mfano posta je endapo mzigo wangu ukaibiwa
5:muda gani uchukua hadi nipate mzigo wangu
6:je posta zetu zinapokea mzigo toka nje na je kuna ufanisi kweli wa usalama na ni mizogo gani,kiwango au uzito
Karibuni tusaidiane
Nn Moderator usi merge uzi huu
MCHANGO WA MDAU MMOJA
Wauzaji wengi wanaweza kutuma kwenye address za kawaida, Postal Address. Kuna baadhi hasa wa US ndio wanakataa kutuma kwenye postal addresses.

Postal address ni njia salama, hasa ukiwa kwenye ebay, kuna wauzaji wengine wanakupa na tracking codes/numbers, so unaweza kujua mzigo wako umefika wapi.

Gharama za kulipia zinapishana kati ya mzigo na mzigo. Kuna mizigo inayolipiwa kodi, mingine haina kodi kabisa au ushuru kidogo tu wa posta.

Mzigo ukiibiwa posta, posta wanakua responsible. Ila wauzaji wengi on ebay ukiwataarifu kuwa mzigo haujafika, wanakurefund pesa yako, au wanakutimia mwingine.

Muda unaochukua kwa mzigo kufika inategemea na mbinu ya usafirishaji uliyotumia na nchi huo mzigo unatoka, na mkoa au eneo address yako ilipo. Kwa njia expensive kidogo za usafirishaji sawa na EMS, unachukua 3 to 7 days. Kwa the cheapest means na free shipping, inaweza kuchukua week2 mpaka mwezi.

Posta zetu zinapokea mizigo. Good thing wauzaji wanakwambia kabisa kama wanaweza kutuma mzigo nchini kwako ama la. Kama hawawezi au kama ni means iliyopo kutuma mzigo nchini kwako ni expensive wanakwambia pia. Kuna baadhi ya wauzaji waliniambia kwa nchini kwetu wanapenda kutumia DHL au Fedex ambazo ni expensive kidogo, ila za uhakika zaidi.
 
Kwa Moderato nawaomba musi unganishe Uzi huu katika Uzi wa kununua au kufanya manunuzi mtandaoni
Ndugu zangu wengi tunapenda kufanya manunuzi ya vitu mtandaoni mfano EBay,alibaba na amazon ila je tunapataje vitu vyeti
1:Njia gani salama za kutumia kuletewat mzigo
2:je anuani gani au utambulisho gani natuma ili mzigo ufike kwenye eneo husika
3:je gharama gani nitatoa au kulipia nitakapo pokea mzigo
4:je usalama wa hizo njia mfano posta je endapo mzigo wangu ukaibiwa
5:muda gani uchukua hadi nipate mzigo wangu
6:je posta zetu zinapokea mzigo toka nje na je kuna ufanisi kweli wa usalama na ni mizogo gani,kiwango au uzito
Karibuni tusaidiane
Nn Moderator usi merge uzi huu
Kweli hata mm linaniumiza kichwa hilo
 
kiukweli nimekua mtumiaji wa ebay kwa mda mwingi sana...wana option ya standard int'l shipping(kama haipo natafuta buyer anaeprovide hii)kwa $2.5 mzigo hauzidi siku 10 ushafika...
unatumia address gani
 
unatumia address gani
Wauzaji wengi wanaweza kutuma kwenye address za kawaida, Postal Address. Kuna baadhi hasa wa US ndio wanakataa kutuma kwenye postal addresses.

Postal address ni njia salama, hasa ukiwa kwenye ebay, kuna wauzaji wengine wanakupa na tracking codes/numbers, so unaweza kujua mzigo wako umefika wapi.

Gharama za kulipia zinapishana kati ya mzigo na mzigo. Kuna mizigo inayolipiwa kodi, mingine haina kodi kabisa au ushuru kidogo tu wa posta.

Mzigo ukiibiwa posta, posta wanakua responsible. Ila wauzaji wengi on ebay ukiwataarifu kuwa mzigo haujafika, wanakurefund pesa yako, au wanakutimia mwingine.

Muda unaochukua kwa mzigo kufika inategemea na mbinu ya usafirishaji uliyotumia na nchi huo mzigo unatoka, na mkoa au eneo address yako ilipo. Kwa njia expensive kidogo za usafirishaji sawa na EMS, unachukua 3 to 7 days. Kwa the cheapest means na free shipping, inaweza kuchukua week2 mpaka mwezi.

Posta zetu zinapokea mizigo. Good thing wauzaji wanakwambia kabisa kama wanaweza kutuma mzigo nchini kwako ama la. Kama hawawezi au kama ni means iliyopo kutuma mzigo nchini kwako ni expensive wanakwambia pia. Kuna baadhi ya wauzaji waliniambia kwa nchini kwetu wanapenda kutumia DHL au Fedex ambazo ni expensive kidogo, ila za uhakika zaidi.
 
Dhl unatukatana na mikodi kibao
Kwa alibaba tafuta watu walio china watakusafirishia kwa dollar 10 kwa kg
Simu ni 20,000 tsh tu
Laptop 50000 tsh
 
Wauzaji wengi wanaweza kutuma kwenye address za kawaida, Postal Address. Kuna baadhi hasa wa US ndio wanakataa kutuma kwenye postal addresses.

Postal address ni njia salama, hasa ukiwa kwenye ebay, kuna wauzaji wengine wanakupa na tracking codes/numbers, so unaweza kujua mzigo wako umefika wapi.

Gharama za kulipia zinapishana kati ya mzigo na mzigo. Kuna mizigo inayolipiwa kodi, mingine haina kodi kabisa au ushuru kidogo tu wa posta.

Mzigo ukiibiwa posta, posta wanakua responsible. Ila wauzaji wengi on ebay ukiwataarifu kuwa mzigo haujafika, wanakurefund pesa yako, au wanakutimia mwingine.

Muda unaochukua kwa mzigo kufika inategemea na mbinu ya usafirishaji uliyotumia na nchi huo mzigo unatoka, na mkoa au eneo address yako ilipo. Kwa njia expensive kidogo za usafirishaji sawa na EMS, unachukua 3 to 7 days. Kwa the cheapest means na free shipping, inaweza kuchukua week2 mpaka mwezi.

Posta zetu zinapokea mizigo. Good thing wauzaji wanakwambia kabisa kama wanaweza kutuma mzigo nchini kwako ama la. Kama hawawezi au kama ni means iliyopo kutuma mzigo nchini kwako ni expensive wanakwambia pia. Kuna baadhi ya wauzaji waliniambia kwa nchini kwetu wanapenda kutumia DHL au Fedex ambazo ni expensive kidogo, ila za uhakika zaidi.
asante ubarikiwe kwa maelezo mazuri
 
Alichoeleza RugambwaYT ndicho kilicho sahihi.

Agiza kutoka kwa mwuzaji ambaye anaweza kuusafirisha mzigo kwa haraka kulingana na mahitaji yako kama vile thamani ya mzigo, uharaka wa hitaji lako, usalama, na kadhalika.

Wako wauzaji wengi online, ni chaguo lako tu, ila wauzaji wengi kutoka China na Hongkong, huchelewesha mizigo hasa ya 'free' na 'standard shipping'.
 
Samahanini, Sijuni ntakua nje ya mada!!!

Mtu anawezaje kunitumia mzigo wa 10-20 kg kutoka Nigeria kuja Tanzania?
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Mfano nikiagizia simu mbili mzigo ukifika nitapigwa kodi sh ngap?

Kupigwa kodi inategemeana na njia uliyotumia!
Fedex,ems,ups,dhl au posta(percel) kwa uzoefu wangu hapa lazima mzigo ufunguliwe na utapigwa kodi 25%income tax+18%vat ya thamani ya pesa uliyonunua kwa kulingana na kiwango cha pesa cha dola siku hiyo.
Kama mzigo ni mdogo chini ya kg 2 hapa nakushauri utumie registered airmail with tracking namba hii ni huduma ya posta na inachukua siku 7-21 kufika,advantage ya hii mzigo haufunguliwi unapewa kama ulivyo na hubugudhiwi na wale watu wa tra pale posta.
Asante.
 
Kupigwa kodi inategemeana na njia uliyotumia!
Fedex,ems,ups,dhl au posta(percel) kwa uzoefu wangu hapa lazima mzigo ufunguliwe na utapigwa kodi 25%income tax+18%vat ya thamani ya pesa uliyonunua kwa kulingana na kiwango cha pesa cha dola siku hiyo.
Kama mzigo ni mdogo chini ya kg 2 hapa nakushauri utumie registered airmail with tracking namba hii ni huduma ya posta na inachukua siku 7-21 kufika,advantage ya hii mzigo haufunguliwi unapewa kama ulivyo na hubugudhiwi na wale watu wa tra pale posta.
Asante.
Jinsi gani naweza pata hio airmal ndugu au mpaka niende posta
 
wadau me cjui ktu ktk maswala haya ya kutuma na kupokea lkn nataman sn ningeweza kufnya biashara hyo km kuna mtu anaweza kunielekeza vzr ni vtu gani natakiwa niwe navyo na procedure....nackiaga kwa watu tuu
 
Back
Top Bottom