Askari Muoga
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 6,113
- 4,645
Kwa Moderato nawaomba musi unganishe Uzi huu katika Uzi wa kununua au kufanya manunuzi mtandaoni
Ndugu zangu wengi tunapenda kufanya manunuzi ya vitu mtandaoni mfano EBay,alibaba na amazon ila je tunapataje vitu vyeti
1:Njia gani salama za kutumia kuletewat mzigo
2:je anuani gani au utambulisho gani natuma ili mzigo ufike kwenye eneo husika
3:je gharama gani nitatoa au kulipia nitakapo pokea mzigo
4:je usalama wa hizo njia mfano posta je endapo mzigo wangu ukaibiwa
5:muda gani uchukua hadi nipate mzigo wangu
6:je posta zetu zinapokea mzigo toka nje na je kuna ufanisi kweli wa usalama na ni mizogo gani,kiwango au uzito
Karibuni tusaidiane
Nn Moderator usi merge uzi huu
MCHANGO WA MDAU MMOJA
Wauzaji wengi wanaweza kutuma kwenye address za kawaida, Postal Address. Kuna baadhi hasa wa US ndio wanakataa kutuma kwenye postal addresses.
Postal address ni njia salama, hasa ukiwa kwenye ebay, kuna wauzaji wengine wanakupa na tracking codes/numbers, so unaweza kujua mzigo wako umefika wapi.
Gharama za kulipia zinapishana kati ya mzigo na mzigo. Kuna mizigo inayolipiwa kodi, mingine haina kodi kabisa au ushuru kidogo tu wa posta.
Mzigo ukiibiwa posta, posta wanakua responsible. Ila wauzaji wengi on ebay ukiwataarifu kuwa mzigo haujafika, wanakurefund pesa yako, au wanakutimia mwingine.
Muda unaochukua kwa mzigo kufika inategemea na mbinu ya usafirishaji uliyotumia na nchi huo mzigo unatoka, na mkoa au eneo address yako ilipo. Kwa njia expensive kidogo za usafirishaji sawa na EMS, unachukua 3 to 7 days. Kwa the cheapest means na free shipping, inaweza kuchukua week2 mpaka mwezi.
Posta zetu zinapokea mizigo. Good thing wauzaji wanakwambia kabisa kama wanaweza kutuma mzigo nchini kwako ama la. Kama hawawezi au kama ni means iliyopo kutuma mzigo nchini kwako ni expensive wanakwambia pia. Kuna baadhi ya wauzaji waliniambia kwa nchini kwetu wanapenda kutumia DHL au Fedex ambazo ni expensive kidogo, ila za uhakika zaidi.
Ndugu zangu wengi tunapenda kufanya manunuzi ya vitu mtandaoni mfano EBay,alibaba na amazon ila je tunapataje vitu vyeti
1:Njia gani salama za kutumia kuletewat mzigo
2:je anuani gani au utambulisho gani natuma ili mzigo ufike kwenye eneo husika
3:je gharama gani nitatoa au kulipia nitakapo pokea mzigo
4:je usalama wa hizo njia mfano posta je endapo mzigo wangu ukaibiwa
5:muda gani uchukua hadi nipate mzigo wangu
6:je posta zetu zinapokea mzigo toka nje na je kuna ufanisi kweli wa usalama na ni mizogo gani,kiwango au uzito
Karibuni tusaidiane
Nn Moderator usi merge uzi huu
MCHANGO WA MDAU MMOJA
Wauzaji wengi wanaweza kutuma kwenye address za kawaida, Postal Address. Kuna baadhi hasa wa US ndio wanakataa kutuma kwenye postal addresses.
Postal address ni njia salama, hasa ukiwa kwenye ebay, kuna wauzaji wengine wanakupa na tracking codes/numbers, so unaweza kujua mzigo wako umefika wapi.
Gharama za kulipia zinapishana kati ya mzigo na mzigo. Kuna mizigo inayolipiwa kodi, mingine haina kodi kabisa au ushuru kidogo tu wa posta.
Mzigo ukiibiwa posta, posta wanakua responsible. Ila wauzaji wengi on ebay ukiwataarifu kuwa mzigo haujafika, wanakurefund pesa yako, au wanakutimia mwingine.
Muda unaochukua kwa mzigo kufika inategemea na mbinu ya usafirishaji uliyotumia na nchi huo mzigo unatoka, na mkoa au eneo address yako ilipo. Kwa njia expensive kidogo za usafirishaji sawa na EMS, unachukua 3 to 7 days. Kwa the cheapest means na free shipping, inaweza kuchukua week2 mpaka mwezi.
Posta zetu zinapokea mizigo. Good thing wauzaji wanakwambia kabisa kama wanaweza kutuma mzigo nchini kwako ama la. Kama hawawezi au kama ni means iliyopo kutuma mzigo nchini kwako ni expensive wanakwambia pia. Kuna baadhi ya wauzaji waliniambia kwa nchini kwetu wanapenda kutumia DHL au Fedex ambazo ni expensive kidogo, ila za uhakika zaidi.