bohemian
Senior Member
- Feb 20, 2017
- 103
- 86
Unaponunua mzigo utaona options za shipment chagua hiyo, lakini inategemea mzigo unaununua kupitia mtandao gani mitandao mingine hainaJinsi gani naweza pata hio airmal ndugu au mpaka niende posta
Unaponunua mzigo utaona options za shipment chagua hiyo, lakini inategemea mzigo unaununua kupitia mtandao gani mitandao mingine hainaJinsi gani naweza pata hio airmal ndugu au mpaka niende posta
Asante mkuuIngia alibaba andika air freight na eneo ulipo utaona wasafirishaji wengi wasiliana nao watakupa bei
Mkuu kwa uzoefu wangu njia hii hutumia siku 14 hadi 30 hivi, nimeshaagiza mara nyingi sana.kiukweli nimekua mtumiaji wa ebay kwa mda mwingi sana...wana option ya standard int'l shipping(kama haipo natafuta buyer anaeprovide hii)kwa $2.5 mzigo hauzidi siku 10 ushafika...
niliagiza charging mini usb port for s4 mini from uk, gsm module from germ, box la sweets from germ hakuna kilichozidi 14days...wiki3 zilizopita ila kama ni items za china ndo hua zinachukua masiku mingimingiMkuu kwa uzoefu wangu njia hii hutumia siku 14 hadi 30 hivi, nimeshaagiza mara nyingi sana.
nenda uhuru heights posta pale kwa ground floor Banc abc wanauza izo card dk 10 tu unamaliza kila kitu nenda na picha na sh5000(nadhani ishapanda)napenda sana kununua vitu online lakin means of payments ndio kikwazo sina credit card
Upo sawa mkuu, ni kweli, nadhani pia nchi vinakotokea inaweza kuchangia kuwahi au kuchelewa kwa bidhaa.niliagiza charging mini usb port for s4 mini from uk, gsm module from germ, box la sweets from germ hakuna kilichozidi 14days...wiki3 zilizopita ila kama ni items za china ndo hua zinachukua masiku mingimingi
Hizo mini usb ulipigwa kodi? Na ulizichukulia wap mzgo ulpo fika bongoniliagiza charging mini usb port for s4 mini from uk, gsm module from germ, box la sweets from germ hakuna kilichozidi 14days...wiki3 zilizopita ila kama ni items za china ndo hua zinachukua masiku mingimingi
amna cha kodi..nachukulia postaHizo mini usb ulipigwa kodi? Na ulizichukulia wap mzgo ulpo fika bongo
Okey mkuu,,vipi kuhusu address sasa especially kama kweny hii picha plus postal codeamna cha kodi..nachukulia posta
Na ile huduma ya USPS imekaajeMkuu kwa uzoefu wangu njia hii hutumia siku 14 hadi 30 hivi, nimeshaagiza mara nyingi sana.
Ile mkuu mzigo unafika ndani ya siku saba hivi, delays nyingine labda zitokane na TRA procedures lkn sio wao. Mi nilitumiwa kwa njia ya USPS nilinunua kupitia amazon nilipata ndani ya siku nne. Mzigo ukifika unapigiwa simu wakuletee wapi.Na ile huduma ya USPS imekaaje
Mkuu hapokwenye street address 1 jaza Postal Address iliyokamilika na mtaa. Postal code mi huwa najaza dash (_). Address 2 ni optionalOkey mkuu,,vipi kuhusu address sasa especially kama kweny hii picha plus postal code View attachment 483212
Okey okey mkuu...Mkuu hapokwenye street address 1 jaza Postal Address iliyokamilika na mtaa. Postal code mi huwa najaza dash (_). Address 2 ni optional
Mkuu naomba kuuliza kwenye hili...Je hizo card unaweza zi link na paypal baada ya kupewa na bank maana kama ebay sellers payment method ni paypal..nenda uhuru heights posta pale kwa ground floor Banc abc wanauza izo card dk 10 tu unamaliza kila kitu nenda na picha na sh5000(nadhani ishapanda)
Tofauti na Banc ABC ni njia au bank gani naweza kutumia kufanya malipo? Lazima niwe na account maalumu?nenda uhuru heights posta pale kwa ground floor Banc abc wanauza izo card dk 10 tu unamaliza kila kitu nenda na picha na sh5000(nadhani ishapanda)
Mkuu ni tofauti na UPS nadhan hawa UPS kama Kama DHL.Je unazungumzia hawa USPS ambao ni shirika la posata?Ile mkuu mzigo unafika ndani ya siku saba hivi, delays nyingine labda zitokane na TRA procedures lkn sio wao. Mi nilitumiwa kwa njia ya USPS nilinunua kupitia amazon nilipata ndani ya siku nne. Mzigo ukifika unapigiwa simu wakuletee wapi.