Frumence M Kyauke
JF-Expert Member
- Aug 30, 2021
- 630
- 1,245
- Thread starter
- #21
Pole sana, tendo la ndoa ni baraka, linapofanywa kinyume halina barakaAsante...
Basi mwanzo nikadhani haramu ni zinaa na uasherati...
Pole sana, tendo la ndoa ni baraka, linapofanywa kinyume halina barakaAsante...
Basi mwanzo nikadhani haramu ni zinaa na uasherati...
Kwa kudadavua maana ni kwamba tendo la ndoa likifanywa kwa utaratibu uliowekwa basi ni baraka, linapofanywa kinyume halina mantiki, kinyume maana kwamba kutumia viungo visivyo vya uzazi katika tendo hilo, zimetajwa baadhi ya njia za kujiepusha na tendo lisilo sahihi.Reporting first