Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,263
- 16,288
sawaWEKA BEI MKUU SISI WA MIKOANI HIVYO VITU NI ADIMU
sawaWEKA BEI MKUU SISI WA MIKOANI HIVYO VITU NI ADIMU
zipo 250000HIYO BREAD MAKER NITAIPATA WAPI MKUU JE INATUMIA UMEME AU GAS
Ahaaahaahaaa wa mikoani!WEKA BEI MKUU SISI WA MIKOANI HIVYO VITU NI ADIMU
Kuna frampen zakuchomea nyama at a kwenye gas saizi ya kati zinauzwa 90,000
Weka beiView attachment 631735 chapati maker 220000
ndogo yake 140000View attachment 631735 View attachment 631738bread maker unaweka unga na vikolombwezo inakanda na kuoka mkate ukitoka hapo ni tumboniView attachment 631741 hii unachoma mahindi nyama nk bei poa see me kijana na unachokichoma hakikamati kwenye jiko .............. og from uk
Nimecheka sana yani wewe ulitaka tujue una gheto kali mno si ndio hoja yakowadau naomba kujuzwa kama kuna njia ya kuchoma nyama bila kuwasha mikaa wala kuni, make jiko ninalotumia ni la gas mambo ya wali natumia rice cooker, gheto langu ni kali mno, la kibabe linang'aa sio la hadhi ya kuwasha mikaa, lakin sasa ninapenda mno nyama choma kuliko ya kupika hali inayopelekea nikitaka kula nyama lazima nikanunue kwenye mabar iliyochomwa tayari afu kwa bei za ajabu ajabu so naona napata hasara. bas bandugu naombeni mnisaidie kama kunanjia mbadala wa kuchoma mnyama ili niwe nachoma gheto natafuna. hasara sitaki tena