Shomary47
JF-Expert Member
- Feb 12, 2021
- 234
- 371
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]Huyo Kibaka ndie Jini mwenyewe sasa,
Hakukwambia umekabwa na Jini Msela!!!? [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]Huyo Kibaka ndie Jini mwenyewe sasa,
Hakukwambia umekabwa na Jini Msela!!!? [emoji23][emoji23][emoji23]
ukishakula chapati iliyotengenezwa hivi utaishia kulala na wenye msikiti wakukute asubuhi.Jinsi ya kutengeneza chapati ya Jinni
Mayai mawili ya kuku wa kiswahili
Unga wa ngano kikombe kimoja
Maziwa robo kikombe
Kijiko kimoja cha sukari nyeupe
vijiko vinne vya baking powder
Nusu kijiko cha chumvi
robo kijiko siki, (vinegar)
Naona raia wanavyo andika...ni shida[emoji1787] na wao wamejipanga usione wapo mule kihovyo hovyo
Ukiionja TU, unageuka mjusi[emoji28]Chapati inaruhusiwa kuonjwa?
Jini wa kisasa,Kweli huyo jini hana madhara anakula chapati za maji
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]nyie majamaa bhanaVipi nikimbebea na kikombe kimoja cha maziwa fresh ili chapati isimkabe?
Ha ha ha....hahahahaha,hii ndo ile unanenepesha shetani wkt kiti anakonda
Dah hapo sasa changamotoSasa tusio na access na misikiti tutamuonaje jini mkuu
sababu ya uzoefu, pengine unaweza kukutana nao kanisani ila mimi uzoefu wangu nimekurana nao msikitini siwezi kuwawekea jambo ambalo sina ushahid naloKwa nini Majini yanahusiana na dili ya Kiislamu, yaonekana kuna fungamano sehemu as we can see kutoka kwa mtoa hoja - mbona hajasema kutengeneza vitu hivyo kwenye na kuingia navyo kutipita lango kuu la kanisa ?
walioomba niwafahamishe wanajua mimi nimeitikia wito waoFaida yake nini sasa
kila kitu kinautaratibu wakeVipi nikimbebea na kikombe kimoja cha maziwa fresh ili chapati isimkabe?
Majini wazuri yanapenda harufu nzuri, ila sio kweli kama wanakula moshiEeenhh bwana nilijua majini yanakula moshi wa ubani.
Hii njia salama na hawawezi kukudhuru sababu umeenda na zawadi na umeenda kwwnye sehemu ambayo wanafanya ibadaBora hii njia yako naiona ina usalama kwa mtumiaji tofauti na yule sheikh mwingine aliyesema nenda usiku njia panda utamke maneno fulani jini litakuja ambapo mwisho wa siku nilikuja kukabwa na kibaka
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Chapati inaruhusiwa kuonjwa?
Wanafanya ibada kwenye misikiti yetu wanadamu? Kwani wao hawana misikiti huko ujinini? Ila nahisi majini wanatamani sana kuwa kama wanadamu ila basi tu hawana namna!! Wanatumia Koroani hii hii kwenye kuswali?Hii njia salama na hawawezi kukudhuru sababu umeenda na zawadi na umeenda kwwnye sehemu ambayo wanafanya ibada
wajini wapo wa kila dini, wengine wanafata qur an wengine bibilia kama wanaadamWanafanya ibada kwenye misikiti yetu wanadamu? Kwani wao hawana misikiti huko ujinini? Ila nahisi majini wanatamani sana kuwa kama wanadamu ila basi tu hawana namna!! Wanatumia Koroani hii hii kwenye kuswali?
majini wanakula vitu vingi ila damu wanapenda sanna ila majini wazuri hawanywi damuMajini Wanakula vizuri hivi..