Njia rahisi ya kupata mtaji wa kuanzisha biashara

Mjasiliamali niyule mwenye uwezo wakutafuta mtaji au kuanza na kidogo kilichopo hata kama ni sh 100 ,kama huna sifa hiyo basi wewe ujasiliamali huuwezi.

Mimi binafsi kipindi naanza ujasiliamali nilianza na laki tatu na elfu 37.Lakini sio lazima na wewe uanze na hiyohiyo,jitahidi kuanza na kidogo ulichonacho.Mtu(watu) watakapokuona umepiga hatua ndipo watakapokuja kwako nakukuongezea mtaji either mshirikiane au uwaelekeze namna gani wafanye.
 
Kuna jamaa alinipaga mbinu japo sijawahi ifanya hila nahisi ina msaada anaitwa ONTARIO ni member wa humu jf.

Yeye jamaa anadai kuna kitu kinaitwa FOREX yaani foreighn exchange kikimaanisha kubadilisha pesa kimtandao

Yaani wewe unatafuta mentor ambaye atakusaidia kufanya hiyo miamala nisawa unavyofanya biashara ya kuuza dollar kama unaelewa hicho kitu.

Mtafute huyo jamaa kwa msaada zaidi hutakuja kulialia tena huku utakuwa unatunyasia maji tu huko barabarani.
Ninao jamaa zangu wanafanya hvyo vitu.. Na viko nadharia sanaa kwenye vitendo zero... Wanafaidika wenye mitaji mikubwa... Na ni kama kamali tuu...

Nnachotaka sanaa mimi ni mtaji basii sio vitu vingine.. Nataka pesa nifanyie biashara sio hizi kamali
 
Kwanini milion tano? Kwanini usiweke wazo la kuanzia chini kiasi ambacho inakua pia ni rahisi kukipata?
Wazo langu...
Million 1-5 na sio chini ya hapo.. Lengo kutaka mtaji WA kufanya biashara inayo eleweka na itakayo nitoa kimaisha sio hizi hadithi za karanga.. Nataka biashara kidogo inayo eleweka
 
Mjasiliamali niyule mwenye uwezo wakutafuta mtaji au kuanza na kidogo kilichopo hata kama ni sh 100 ,kama huna sifa hiyo basi wewe ujasiliamali huuwezi.

Mimi binafsi kipindi naanza ujasiliamali nilianza na laki tatu na elfu 37.Lakini sio lazima na wewe uanze na hiyohiyo,jitahidi kuanza na kidogo ulichonacho.Mtu(watu) watakapokuona umepiga hatua ndipo watakapokuja kwako nakukuongezea mtaji either mshirikiane au uwaelekeze namna gani wafanye.
Mkuu laki tatu hyo ilikua mwaka gan kumbuka uchumi una change kila siku na kila miaka... Kumbuka mtu wa 1930 alianza na mtaji wa 500 xo kwa kipindi kile ni kubwa mnoo.. Xo miaka hii mtaji angalau wa sh m 1.5
 
Kuna jamaa alinipaga mbinu japo sijawahi ifanya hila nahisi ina msaada anaitwa ONTARIO ni member wa humu jf.

Yeye jamaa anadai kuna kitu kinaitwa FOREX yaani foreighn exchange kikimaanisha kubadilisha pesa kimtandao

Yaani wewe unatafuta mentor ambaye atakusaidia kufanya hiyo miamala nisawa unavyofanya biashara ya kuuza dollar kama unaelewa hicho kitu.

Mtafute huyo jamaa kwa msaada zaidi hutakuja kulialia tena huku utakuwa unatunyasia maji tu huko barabarani.
Acha usanii boss, sasa kwanini wewe hukufanya wakati una uhakika saa hizi ungekuwa unanyasia (Sijui hata maana yake nini) maji huko barabarani?
 
simpo saaana huku kwetu kunajamaaa anamashamba anachukua vijana anawalipa 5000 kwa sku anawalisha na kuwapa hifadh so ukienda pale jichimbie mwaka mzima uhakikiahe umetoka na 1.5m
Dah hakika... Vp ukiugua.. Mavazi.. Vyote juu yake?? Mi kazi kwangu itakua kusave tuu mkwanja sio
 
Acha usanii boss, sasa kwanini wewe hukufanya wakati una uhakika saa hizi ungekuwa unanyasia (Sijui hata maana yake nini) maji huko barabarani?
Ndio tatizo la wabongo, nakupa njia rahisi ya kupata pesa pasipo na kutumia mtaji Au kutumia mtaji mdogo na income kubwa.
 
Acha usanii boss, sasa kwanini wewe hukufanya wakati una uhakika saa hizi ungekuwa unanyasia (Sijui hata maana yake nini) maji huko barabarani?
Mkuuuu huu ni zaidi ya uhuni bora ubet kuliko kufanya hvyo vitu vyao
 
Mkuu laki tatu hyo ilikua mwaka gan kumbuka uchumi una change kila siku na kila miaka... Kumbuka mtu wa 1930 alianza na mtaji wa 500 xo kwa kipindi kile ni kubwa mnoo.. Xo miaka hii mtaji angalau wa sh m 1.5
Usifikirie nilianza miaka hiyoo nimeanza biashara ndogondogo 2014 mwezi wa 10.Na mpaka sasa nafedha kidogo tu ni vimiradi kama viwili kimoja cha Mil 7.Kingine cha Mil 4.
 
Usifikirie nilianza miaka hiyoo nimeanza biashara ndogondogo 2014 mwezi wa 10.Na mpaka sasa nafedha kidogo tu ni vimiradi kama viwili kimoja cha Mil 7.Kingine cha Mil 4.
Vp biashara gan ulianza nayo??
 
Back
Top Bottom