Jinsi ya kupata mtaji wa kuanzisha biashara

Powell Gonzalez

JF-Expert Member
Jun 28, 2023
622
1,276
Ngoja Mimi Leo nitoe njia ambazo Mtu anaweza kupata mtaji Kwa ajili ya Kuanzisha biashara ambayo anatarajia kuifanya.

wote bila Shaka Tunakubaliana kuwa watu Wengi wapo na ideas nzuri Sana za biashara ambazo kama wakiweza kuzi-finance basi baada ya miaka Kumi tungeweza kuwaita mabilionaire,Ila changamoto inayokuja hapa ni Jinsi ya kupata mtaji.

huu NI ushauri ambao MTU anaweza kuufata ili kufanikisha kupata kiwango cha mtaji anachakihitaji.
Ila Kwanza ningependa kusema kuwa kiwango cha mtaji kinategemeana na uwezo wa MTU alionao sasa.Kwa njia za kupata mtaji zipo nyingi Ila hapa nitataja njia ambazo ni za juhudi binafsi (personal efforts) na sio zile za bahati (yaani kama kurithishwa,kupewa zaidi,kupew na mzazi NK)

1. Kupitia Akiba (personal savings)
Hii ndio njia maarufu zaidi ambayo MTU anaweza kuitumia kupata mtaji Kwa ajili ya Kuanzisha.Mtu mwenye malengo ya Kuanzisha biashara lazima awe na uhakika wa kuweka akiba angalau asilimia 30% ya kipato anachokipata ( monthly, weekly or daily)

Kipato hiki kinaweza kutoka kwenye mshahara,vibarua au Kazi yoyote ambayo unaifanya na unakupa kuishi.Acha visingizio kuwa pesa hazitoshi ,hata kama unaingiza Shilingi elfu mbili/2000 Kwa siku basi weka akiba Mia Sita/600 tumia 1400,hii Mia Sita Kwa mwaka mzima ni 600 × 365 = 219,000/= Kwa miaka mitano utakuwa na zaidi ya milion Moja.

Hiyo ni Kwa MTU mwenya Maisha ya chini kabisa, kipato chake Kwa siku ni 2000( chini ya Dola Moja)
vipi Kwa Yule ambae kipato chake Kwa siku ni elfu Kumi? Ndio maana nilisema huko juu ili kufikia kiwango flani cha mtaji Hali yako ya sasa itakuwa na effect za Moja Kwa Moja.

Cha msingi NI kuwa serious na kuweka akiba weka juu ya 30% ya kipato chako,na hakikisha unaweka akiba kila unapoingiza kipato ie daily, weekly or monthly depends on your income period.

Kuweka akiba sio rahisi hata kidogo,si rahisi hata kidogo,ndio maana MTU anaweza kuweka akiba Kwa mda fulani lakini ghafla akaitumia akiba yake kwenye starehe au matatizo mbali mbali ya kimaisha.
Kama unahitaji kuweka akiba serious fanya haya;

1.Kwanza panga utaweka akiba Kwa mda gani na ungependa baada ya MDA huo UWE umefikia kiasi gani cha fedha,kisha chagua kiwango cha fedha ambacho itakubidi kila siku/wiki/mwezi uweke ili ufikie lengo ndani ya muda kwa mfano kama lengo ni milioni moja basi kila mwezi itabidi uweke zaidi ya elfu tisini Kwa mwezi.

2.Angalia mbinu ambayo utaweza kuweka akiba bila kuitoa kwa Muda mrefu.Huu ni ushauri wangu;
a.Tumia akaunti za benki ambazo zipo maalumu Kwa ajili ya kuweka akiba.Akounti hizi hazikuruhusu kutoa pesa mpaka Mda ufike,Kwa mfano Kwa benki ya NBC kuna malengo fasta account, wasiliana nao wakupe maelezo zaidi.

b.Fungua akaunti ya benki Ila usifungue huduma ya ATM wala SIM banking.Hii itakusaidia kwani kutoa pesa itakubidi uende banki kabisa huu usumbufu itakusaidia kuairisha kutoa pesa.

c.Tumia UTT AMIS,hati fungani wasiliana nao watakupa maelekezo zaidi(hii NI nzuri zaidi)
Cha msingi ili Uweze kuweka akiba na kufanikiwa:

- Acha starehe
-punguza gharama zako Kwa kiwango unachoweza,kwa mfano Acha kununua vitu kama huna uhitaji navyo,nunua vitu Kwa jumla,epuka gharama za usafiri Kwa kutembea kwenda kazini,iheshinu hata shilii Mia Moja,na vitu kama hivyo!
  • panga bajeti yako na uifate Kwa usahihi.
  • ongeza kipato chako Kwa kadri unachoweza, mfano kufanya side hustle MDA wako wa ziada
  • kuwa na malengo ya MDA mrefu, mfupi na kila siku.
2. KUPITIA MKOPO KUTOKA KWA TAASISI ZINAZOTOA MKOPO
njia hii ya pili sitaelezea Sana ,Kwa kuwa ni njia inayowafaa Sana watu ambao tayari wanamtaji kidogo au wanabiashara inayoendelea. Si rahisi kupata mkopo kama wewe huna mtaji kabisa,au huna biashara .

3. KUANZISHA BIASHARA YA PAMOJA ( PARTNERSHIP BUSINESS)
hii NI njia ambayo inatumika pale unapokuwa na mpango wa biashara lakini mtaji unoahitajika ni mkubwa kuliko kiwango cha pesa ulichonacho,hapa itakubidi utafute washirika ( partners) ambao wataongeza mtaji kufikia kiwango cha pesa kinachohitajika.Kuanzisha biashara hii itategemeana na ukubwa wa biashara, kiwango cha pesa kinachohitajika na idadi ya washirika.

Kwa ushauri wa bure,wasiliana na Mimi;
Raphael kalolo (mwanafunzi wa shahada ya Kwanza ya biashara Katika chuo cha biashara CBE dar es salaam)

Phone/ watsapp; +255756401790
Email: raphaelmathewkalolo@gmail.com
Instagram: raphaelkalolo23
 
Mpk saizi ww umepata mtaji kiasi gani?
Kaka, samahani lakini
Ila kama kuna kitu umekiona kina umuhimu hapo basi kifuate Ila kama hamna,basi naomba tu usiache, lakini pia ningekuona WA maana kama ungekosoa na kutoa ushauri ambao wewe unauona ni sahihi,ningefurahi zaidi Kama ungeniambi kuna kitu hakipo Sawa katika hayo, that's how smart men tend to be,Ila Kwa Hilo swali lako na wewe unajiona upo sahihi kabisa et kaka? subili uone watu wanaojitambua jinsi watakavyoreact!
 
Kaka, samahani lakini
Ila kama kuna kitu umekiona kina umuhimu hapo basi kifuate Ila kama hamna,basi naomba tu usiache, lakini pia ningekuona WA maana kama ungekosoa na kutoa ushauri ambao wewe unauona ni sahihi,ningefurahi zaidi Kama ungeniambi kuna kitu hakipo Sawa katika hayo, that's how smart men tend to be,Ila Kwa Hilo swali lako na wewe unajiona upo sahihi kabisa et kaka? subili uone watu wanaojitambua jinsi watakavyoreact!
Neno lakini zimekuwa nyingi

Jibu swali umekusanya mtaji kiasi gani au unafanya biashara gani
 
Neno lakini zimekuwa nyingi

Jibu swali umekusanya mtaji kiasi gani au unafanya biashara gani
vizuri Kwa sasa Mimi bado mwanafunzi wa chuo kikuu,Ila Nimeweka UTT AMIS kiasi cha milioni Tatu,na ninaendelea kuuliza,my goal, nifikishe hata Milioni sita miaka miwili ijayo ili nianze bussiness officially!,as side hustle huwa naagiza bidhaa mbalimbali kupitia AliExpress nakuziuza,Sana Sana huwa na watches,bila Shaka umenipata Kaka!
 
punguza gharama zako Kwa kiwango unachoweza,kwa mfano Acha kununua vitu kama huna uhitaji navyo,nunua vitu Kwa jumla,epuka gharama za usafiri Kwa kutembea kwenda kazini,iheshinu hata shilii Mia Moja,na vitu kama hivyo!

Hapa nimeeelewa
asante mkuu
 
Acha starehe
-punguza gharama zako Kwa kiwango unachoweza,kwa mfano Acha kununua vitu kama huna uhitaji navyo,nunua vitu Kwa jumla,epuka gharama za usafiri Kwa kutembea kwenda kazini,iheshinu hata shilii Mia Moja,na vitu kama hivyo.
Hapa hapa
 
vizuri Kwa sasa Mimi bado mwanafunzi wa chuo kikuu,Ila Nimeweka UTT AMIS kiasi cha milioni Tatu,na ninaendelea kuuliza,my goal, nifikishe hata Milioni sita miaka miwili ijayo ili nianze bussiness officially!,as side hustle huwa naagiza bidhaa mbalimbali kupitia AliExpress nakuziuza,Sana Sana huwa na watches,bila Shaka umenipata Kaka!
Dogo wacha story za uongo

Chuo unachanzo gani cha mapato mpaka kufanya saving ya 3m?

Huna matumizi mengine?
 
Dogo wacha story za uongo

Chuo unachanzo gani cha mapato mpaka kufanya saving ya 3m?

Huna matumizi mengine

Dogo wacha story za uongo

Chuo unachanzo gani cha mapato mpaka kufanya saving ya 3m?

Huna matumizi mengine?
bro hivi 3 m unaiona kubwa Sana et????
duuuh pole Sana mkuu, nimegundua kuwa huna hata ufahamu yaani wewe unafananisha unachoshindwa kila Mtu asiweze!, alafu Acha kupinga kila uchokiona wewe ni Mtu mzima, first master human communication skills bcoz I see hii ndio kitu haipo kwako "better stay silence because once you open your mouth you will tell the world who you are"
 
bro hivi 3 m unaiona kubwa Sana et????
duuuh pole Sana mkuu, nimegundua kuwa huna hata ufahamu yaani wewe unafananisha unachoshindwa kila Mtu asiweze!, alafu Acha kupinga kila uchokiona wewe ni Mtu mzima, first master human communication skills bcoz I see hii ndio kitu haipo kwako "better stay silence because once you open your mouth you will tell the world who you are"
Chanzo chako cha mapato hakiendani na uliyoyaandika

Maisha ya chuo ukiishi hivyo labda ushindie mihogo, maji ya kudownload, usiwe na pisi, uwe na shati moja, suriali na kiatu vivyohivyo

Maliza chuo uje mtaani uone uhalisia wa maisha
 
Chanzo chako cha mapato hakiendani na uliyoyaandika

Maisha ya chuo ukiishi hivyo labda ushindie mihogo, maji ya kudownload, usiwe na pisi, uwe na shati moja, suriali na kiatu vivyohivy

Chanzo chako cha mapato hakiendani na uliyoyaandika

Maisha ya chuo ukiishi hivyo labda ushindie mihogo, maji ya kudownload, usiwe na pisi, uwe na shati moja, suriali na kiatu vivyohivyo

Maliza chuo uje mtaani uone uhalisia wa maish

Chanzo chako cha mapato hakiendani na uliyoyaandika

Maisha ya chuo ukiishi hivyo labda ushindie mihogo, maji ya kudownload, usiwe na pisi, uwe na shati moja, suriali na kiatu vivyohivyo

Maliza chuo uje mtaani uone uhalisia wa maisha
nikwambie Tu kwamba siwezi kuandika kila kitu hapa,nimeshatoa ushauri kufata au kutokufuata itabaki kuwa Maamuzi yako, kuhusu Mimi najishughulisha,Nina shingapi hayo ni very personal.Hapo ndio watu huwa wanakwama,ngoja nikwambie kitu,IPO hivi usimjudge anayetoa ushao Kwa kuangalia mafanikio yake cha msingi angalia je huo ushauri unafaa au haufai.Watu huwa wanakuwa na ujuzi kichwani lakini hawatumii ndio maana unaweza kusoma vitabu vya jinsi ya kuwa Tajiri vilivyoandikwa na mtu ambae si Tajiri sio kwamba alivyoandika ni vya uongo,la hasha,Ila ni kwamba kuvifuata na kuviishi hivyo vitu si rahisi hata kidogo,Ila ukiweza kuvifuata na kuviishi basi unakuwa umewin .Ndio maana hata unapomaliza kusoma vitabu vya uchumi bado hutayafuata yaliyoandikwa,just imagine inakubidi usave asilimia 30 ya kipato chako wakati unamahitaji ambayo hata kipato chako hakitoshi, ndio maana sio rahisi mkuu, yaani kitu unakifahamu lakini kukifata ndio kipengele,.
NAKUSHAURI ACHA TABIA YA KUMJAJI MTU ANAEONGEA,JAJI KILE ANACHOKIONGEA!!!
that's how smart men behave!
 
nikwambie Tu kwamba siwezi kuandika kila kitu hapa,nimeshatoa ushauri kufata au kutokufuata itabaki kuwa Maamuzi yako, kuhusu Mimi najishughulisha,Nina shingapi hayo ni very personal.Hapo ndio watu huwa wanakwama,ngoja nikwambie kitu,IPO hivi usimjudge anayetoa ushao Kwa kuangalia mafanikio yake cha msingi angalia je huo ushauri unafaa au haufai.Watu huwa wanakuwa na ujuzi kichwani lakini hawatumii ndio maana unaweza kusoma vitabu vya jinsi ya kuwa Tajiri vilivyoandikwa na mtu ambae si Tajiri sio kwamba alivyoandika ni vya uongo,la hasha,Ila ni kwamba kuvifuata na kuviishi hivyo vitu si rahisi hata kidogo,Ila ukiweza kuvifuata na kuviishi basi unakuwa umewin .Ndio maana hata unapomaliza kusoma vitabu vya uchumi bado hutayafuata yaliyoandikwa,just imagine inakubidi usave asilimia 30 ya kipato chako wakati unamahitaji ambayo hata kipato chako hakitoshi, ndio maana sio rahisi mkuu, yaani kitu unakifahamu lakini kukifata ndio kipengele,.
NAKUSHAURI ACHA TABIA YA KUMJAJI MTU ANAEONGEA,JAJI KILE ANACHOKIONGEA!!!
that's how smart men behave!
Jamaa hajielewi mwanangu mkubwa lakini hana akili ila kama hana akili basi stress zinamsumbua msamehe ka mkubwa kateleza tu
 
Nikajua kuna njia mbadala zaidi ya saving.
Halafu huo ushauri wa kupata mtaji kupitia mkopo umepotosha watu mkuu.

Kibiashara mtu anaeanza biaahara hakopeshwi hata banks hazimkopeshi asie na kitu.
Ni mbaya sana hiyo, utaangukia pua punde tu maana kuanza biashara kuna mambo mengi, sio vyema kuanza kwa pesa ya mkopo.

Na pia nikupe hongera kwa kujitambua na kuanza kujitafuta mapema.
 
Huwezi ongea na kushauri vitu ambavyo huvijui na huna

Maliza shule uje ujionee maisha yanavyokwenda
nikwambie Tu kwamba siwezi kuandika kila kitu hapa,nimeshatoa ushauri kufata au kutokufuata itabaki kuwa Maamuzi yako, kuhusu Mimi najishughulisha,Nina shingapi hayo ni very personal.Hapo ndio watu huwa wanakwama,ngoja nikwambie kitu,IPO hivi usimjudge anayetoa ushao Kwa kuangalia mafanikio yake cha msingi angalia je huo ushauri unafaa au haufai.Watu huwa wanakuwa na ujuzi kichwani lakini hawatumii ndio maana unaweza kusoma vitabu vya jinsi ya kuwa Tajiri vilivyoandikwa na mtu ambae si Tajiri sio kwamba alivyoandika ni vya uongo,la hasha,Ila ni kwamba kuvifuata na kuviishi hivyo vitu si rahisi hata kidogo,Ila ukiweza kuvifuata na kuviishi basi unakuwa umewin .Ndio maana hata unapomaliza kusoma vitabu vya uchumi bado hutayafuata yaliyoandikwa,just imagine inakubidi usave asilimia 30 ya kipato chako wakati unamahitaji ambayo hata kipato chako hakitoshi, ndio maana sio rahisi mkuu, yaani kitu unakifahamu lakini kukifata ndio kipengele,.
NAKUSHAURI ACHA TABIA YA KUMJAJI MTU ANAEONGEA,JAJI KILE ANACHOKIONGEA!!!
that's how smart men behave!
 
Nikajua kuna njia mbadala zaidi ya saving.
Halafu huo ushauri wa kupata mtaji kupitia mkopo umepotosha watu mkuu.

Kibiashara mtu anaeanza biaahara hakopeshwi hata banks hazimkopeshi asie na kitu.
Ni mbaya sana hiyo, utaangukia pua punde tu maana kuanza biashara kuna mambo mengi, sio vyema kuanza kwa pesa ya mkopo.

Na pia nikupe hongera kwa kujitambua na kuanza kujitafuta mapema.
kama umesoma vizuri nimesema hivyo pia,kuwa hii njia ya mkopo NI Kwa watu ambao tayari wanabiashara inayoendelea,soma vizuri kabla hujakosoa kaka
 
Huwezi ongea na kushauri vitu ambavyo huvijui na huna

Maliza shule uje ujionee maisha yanavyokwenda
bado nazidi kukudharau,soma tena apo juu,hivi waziri wa kilimo na biashara no mkulima au mfanyabiashara?
Mwalimu anaefundisha uchumi lazima awe Tajiri?
professor lipumba ni mtaalam wa uchumi ana utajiri gani?
fikilia kabla ya kusema,and by the way nimeandika vitu ambavyo vimefanyiwa research,na vinasapatiwa na watu wengine wengi (nilifanya literature review ya kutosha)
Kwa hiyo apo unabishana na ukweli ambao upo,we kaza Tu!!!!
 
Hongera mdogo wangu kwa kuwa broadminded lakini hayo ni maono yako ni kitu kizuri lakini fanya kumaliza kwanza chuo ukae mwaka mmoja mtaani ndio uje utoe ushauri. Sawa mdogo wangu? Toa ushauri kwa kitu ambacho unaexperience nacho.
 
Back
Top Bottom