RUSTEM PASHA
JF-Expert Member
- Jan 26, 2016
- 3,590
- 8,476
Mikoa ya magharibi,baada yakukuza mtaji kidogo nilikuwa napeleka hivyo vitu katika mikoa hiyo vikiisha nikija DSM nakuja na mchele.Hakika mkuuu hongera... Mkoa gan huo ulikua unapeleka??
Mikoa ya magharibi,baada yakukuza mtaji kidogo nilikuwa napeleka hivyo vitu katika mikoa hiyo vikiisha nikija DSM nakuja na mchele.Hakika mkuuu hongera... Mkoa gan huo ulikua unapeleka??
Nakupongeza mkuu kuna kitu nimejifunza hapaMikoa ya magharibi,baada yakukuza mtaji kidogo nilikuwa napeleka hivyo vitu katika mikoa hiyo vikiisha nikija DSM nakuja na mchele.
Nadharia za karanga zinampaisha Diamond.Million 1-5 na sio chini ya hapo.. Lengo kutaka mtaji WA kufanya biashara inayo eleweka na itakayo nitoa kimaisha sio hizi hadithi za karanga.. Nataka biashara kidogo inayo eleweka
Jiongeze basi mdada.... Kwahyo hzo karanga nnazo zungumzia mimi we tayari umepeleka kwa diamond..... Hv unajua ni kiasi gan smart industry imejiwekeza pale... Kuanzia packaging hadi promotion... Hv ata hyo million 5 nnayo itaka mimi kurusha tuu tangazo haitoshi...Nadharia za karanga zinampaisha Diamond.
Jiongeze basi mdada.... Kwahyo hzo karanga nnazo zungumzia mimi we tayari umepeleka kwa diamond..... Hv unajua ni kiasi gan smart industry imejiwekeza pale... Kuanzia packaging hadi promotion... Hv ata hyo million 5 nnayo itaka mimi kurusha tuu tangazo haitoshi...
Nadhan karanga nnazo maanisha unazijua ila jeuri tuuu...
Hv ndio wakunijibu hvyo mimi??
Biashara gani ndg.?Nimefungua biashara juzi kwa mtaji wa laki nne na nusu. Biashara ina week mbili, mpaka sasa kila siku nina uwezo wa kuingiza elfu kumi. Lakini tayari niliahagundua jinsi ya kuifanya idouble hapo ilipo. Kaa umiza kichwa uanze na kidogo utakachoweza
Umetolea mfano wa kulipwa laki 5 au ni wewe ndie unalipwa laki 5Kwanza naomba nitangulize salaam kwenu natumaini mu wazima wa afya...
Twende kwenye hoja.. Nimejaribu kutafakari,kuwaza na kuwazua mtu ukitaka kufanikiwa kimaisha ni lazima ujiajiri lasivyo utaishia kua masikini kama wastaafu wengine..
Kwanini nimesema hivyo Now days makampuni mengi yanatafuta sana ma cheap labor,yani wakuajiri na wakulipe ujira mdogo kulingana na hali ya uchumi ulivyo sasa..
Mfano vijana wengi tukiajiriwa tunaliwapwa sio zaidi ya 500,000 yani kwenye hiyo hyo laki tano.. Inatakiwa ule, usafiri, pango la nyumba, umeme,maji,uvae,bado kama ndugu na jamaa usaidie kidogo kama mnavyo jua familia za kiafrica.. Huwezi iacha familia yako na ndugu baadhi..
Ukija kufanya hesabu hapo huwezi save zaidi ya 50,000 kwa mwenzi inamaana hadi ufikishe 1,000,000 sio chini ya miaka miwili..Sana mimi kama kijana napenda sana kufanya biashara lakini tatizo lipo hapa..
Wapi nitapata mtaji ata kwa kukopa...naamini katika kulima na biashara sio kuajiriwa ni kupotezeana mda na kutufanya tuzidi kua masikini..
Wakuu kwa anayefahamu namna ya kupata mkopo nafuu kwa sisi vijana tusio na asset yeyote ile kama ardhi ama nyumba.. Naomba nisaidiwe hapa najua wajuvi wa mambo mpo mtatoa msaaada wenu..
Na mtaji ninao utaka ni wa (5,000,000) million tano
Mkuu naomba share nasii kwa faida ya woteUsifikirie nilianza miaka hiyoo nimeanza biashara ndogondogo 2014 mwezi wa 10.Na mpaka sasa nafedha kidogo tu ni vimiradi kama viwili kimoja cha Mil 7.Kingine cha Mil 4.
Nimekuelewa sanaa pendoNunua matetea 3 na jogoo 2 jenga zizi la kuku ufuge kuku wa nyama na mayai kama wa kienyeji ni wazuri na wana soko la uhakika. Nani asiyependa nyama?
Anza hata na laki 2 hivi hakikisha unapandisha mtaji ukianza chini unapanda lakini ukianza juu ukishindwa na mtaji ulowekeza mkubwa utaeza ukate tamaa tu bure.
Biashara gan mkuu hyo unayofanya?Nimefungua biashara juzi kwa mtaji wa laki nne na nusu. Biashara ina week mbili, mpaka sasa kila siku nina uwezo wa kuingiza elfu kumi. Lakini tayari niliahagundua jinsi ya kuifanya idouble hapo ilipo. Kaa umiza kichwa uanze na kidogo utakachoweza
We jamaa tupo pamojaanaleta utani huyu.. diamond plutnumz tu kalipwa milioni 50.. azifanyie promo na jina litumike.. mtaji wa kiwanda cha smart sio chini ya bilioni moja... packaging tu wanayofanya smart kwa mwezi ina wacost mamilioniiii.. kijana utoke chuo ushindane na smart aka diamond karanga
Sawa mkuu japo mikopo mingi wanataka uwe na asset... Mbaya zaidi mi sina asset yeyoteKama una kazi na mshahara wa 500k/mwez, huwezi kukosa mkopo unaoongelea. Kama huna akaunti benki, fungua, baada ya miezi kadhaa, omba