daniseckadam
Member
- Jul 15, 2015
- 72
- 30
Working hard depends on wat ur working for,wakulima vijijin wanawork hard miaka yote,du they have money?
how much have you made so far chief..4Corners Alliance Group ni kampuni inayotokana na kampuni mama ya Cornerstone LLC iliyopo Las Vegas Marekani. Imeanzishwa mwaka 2012 na mwanzilishi wake akiwa ni David Harrison ambaye alikuwa ni mfanya biashara ya aina ya mtandao (network marketing) katika kampuni ya Herbal Life.
4Corners Alliance Group ni kampuni ambayo imejikita katika kutoa elimu ya ujasiriamali, uchumi, fedha, uwekezaji na biashara kwa kutumia bidhaa mbili kuu:
1. Vitabu vya mtandaoni (e-books)
2. Jarida la kila mwezi la mtandaoni (e-newsletter)
Bidhaa ya vitabu imegawanyika katika madaraja sita, ambavyo ununuliwa kadiri biashara inavyosonga.
Kwakuwa 4Corners ni biashara ya mtandao, unaweza kujenga timu ya watu watakaoangukia kwenye vizazi (levels) vyako tofauti tofauti.
Level 1 inakuwa na watu 4 tu.
Level 2 inakuwa na watu 16 tu.
Level 3 inakuwa na watu 64 tu.
Level 4 inakuwa na watu 256 tu.
Level 5 inakuwa na watu 1,024 tu.
Level 6 inakuwa na watu 4,096 tu.
Kila ngazi ina seti yake ya vitabu vikiwa na dhima tofauti na kwa bei tofauti.
Level 1 ni $10
Level 2 ni $10
Level 3 ni $25
Level 4 ni $60
Level 5 ni $150
Level 6 ni $300
Unaweza kuvinunua vitabu vyoote hivi kwa hela yako mwenyewe ukajisomea mwenyewe.
Lakini pia unaweza kuvinunua kwa malipo unayoweza kuyapata kwa kujenga timu ya watu chini yako.
Hapa ndo unakuja mpango wa kuunda timu ili kujenga kipato cha kukuwezesha kununua vitabu zaidi na kujipatia ziada kubwa kabisa.
Inafanyaje kazi?
Unapojiunga tu kwa $18, $8 ni ya usajili na $10 inanunulia vitabu vya level 1.
Unapoanza kujenga timu hiki ndicho kinatokea kati yako na kampuni:
Watu walioko level 1 wakinunua level 1 (wakati wa kujiunga) kwa $10, utalipwa jumla ya $4 x 4 = $16, na mdhamini wako atalipwa $16 bonus ya 100%. $2 x 4 = $8 inabakia kwa kampuni kama faida yake.
Watu walioko level 2 wakinunua level 2 kwa $10, utalipwa jumla ya $4 x 16 = $64, na mdhamini wako atalipwa $64 bonus ya 100%. $2 x 16 = $32 inabakia kwa kampuni.
Watu walioko level 3 wakinunua level 3 kwa $25, utalipwa jumla ya $10 x 64 = $640, na mdhamini wako atalipwa $640 bonus ya 100%.
$5 x 64 = $320 inabakia kwa kampuni.
Watu walioko level 4 wakinunua level 4 kwa $60, utalipwa jumla ya $24 x 256= $6,144 na mdhamini wako atalipwa $6,144 bonus ya 100%. $12 x 256 = $3,072 inabakia kwa kampuni.
Watu walioko level 5 wakinunua level 5 kwa $150, utalipwa jumla ya $60 x 1,024= $61,440, na mdhamini wako atalipwa $61,440 bonus ya 100%. $30 x 1,024 = $30,720 inabakia kwa kampuni.
Watu walioko level 6 wakinunua level 6 kwa $300, utalipwa jumla ya $120 x 4,096 = $491,520, na mdhamini wako atalipwa $491,520 bonus ya 100%. $60 x 4,096 = $245,760 inabakia kwa kampuni.
Nadhani hadi hapo umeelewa kampuni inanufaikaje.
UKUMBUKE KUWA HELA YOTE HIYO ITATOKANA NA MALIPO UNAYOPATA KWA KUJENGA TIMU YAKO NA SIO MFUKONI MWAKO.
KIKUBWA ZAIDI ni 100% bonus.
Hii hutolewa kwa kila kila mtu uliyemuingiza chini yako moja kwa moja.
Baada ya wale wanne tulioona pale mwanzo kila utakayemwingiza atakupatia $4 lakini hatakaa kwenye level 1 yako. System itatafuta pengo itamuweka huko.
Nini faida ya kuingiza watu zaidi?
Unapokuwa na watu wengi zaidi chini yako utafaidi zaidi ile bonus ya 100%. Bonus hii utolewa pindi pale mtu uliyemwingiza moja kwa moja anapoliwa. Chochote atakacholipwa unalipwa kwa 100% wewe ukiwa ndo mdhamini wake.
Mfano: Ukiwa na watu 20 na kila mmoja akawa amelipwa $50, ina maana utalipwa $50 x 20 = $1,000 papo hapo.
..sio utani..ni kweli...
Vitu muhimu:
1. Hakuna kikomo cha uanachama.
2. Hakuna kukimbizana na deadlines. Kila mtu anafanya kwa starehe zake. Spidi yako mafanikio yako.
3. Bidhaa inajiuza yenyewe.
4. Hakuna kutoa hela nyingine mfukoni mwako baada ya $18.
JARIDA LA KILA MWEZI (e newsletter):
Hili jarida utoka kila mwezi mara moja na gharama yake ni $29.95. Ya kuzingatia ni haya:
1. Sio la lazima.
2. Hautalipwa kamisheni zake kama hulichukui.
3. Inashauriwa kulichukua pindi unapokea malipo ya level 4.
4. $29.95 inakatwa kwenye kamisheni zako.
Kwa kila anayelichukua jarida hili unalipwa ifuatavyo:
Level 1: $1 x 4 = $4
Level 2: $1 x 16 = $16
Level 3: $1 x 64 = $64
Level 4: $1 x 256 = $256
Level 5: $2 x 1,024 = $2,048
Level 6: $2 x 4,096 = $8,192
Level 7: $4 x 16,384 = $65,536
Hiki ni kipato cha kila mwezi..ndioo...kila mwezi!
NINALIPWAJE?
Uapojiunga unapewa ofisi yako ya mtandaoni (backoffice), ambayo utatumia kuangalia maendeleo yako, ya timu yako, mapato yako na kutoa pesa. Pia, vitabu ulivyokwisha kuvilipia unaweza kuvichukia (download) na kuvisoma ukipenda.
Maombi ya kutoa hela yanafanyika siku ya J2, J3 na J4, na malipo yatafanyika J4 itakayofuata kupitia Visa/Mastercard ya benki yako, na utaweza kutoa kupitia ATM za hapa hapa kwetu au akaunti yako ya benki.
Naanzaje kufanya kazi?
Kinachohitajika ni:
1. $18
2. Email (isiwe Yahoo au AOL)
3. Link/jina la mdhamini wako
Hakikisha fursa hii haikupiti! Ni ya kipekee sana katika ulimwengu wa biashara za mtandao.
Heshima kwenu wadau,
Kibiashara kuna njia nyingi za kupata mtaji wa biashara hasa kwa zile zinazoanza ingawa nyingi kati ya hizo ni NGUMU sana, hivyo kupelekea watu wengi kuwa na mawazo mazuri ya kibiashara lakini hushindwa kuyafanikisha kutokana na mitaji. Kwa mtazamo wangu, naona kama ukitumia njia ya kuomba fedha kidogo kidogo kutoka kwa watu wengi walio karibu yako, wanaokuamini, kukuheshimu, kukufahamu na wenye uwezo kiasi itakuwa njia rahisi ukilinganisha na mikopo kutoka taasisi za kifedha ambapo utajikuta unafanya biashara kwa presha na hofu ya kurejesha deni. unaweza kufanya kama ifuatavyo kwa kuchukulia uhitaji wa mtaji wa Tsh 10,000,000:
1 - kuomba / kuazima / kukopa Tsh 100,000 kutoka kwa watu 100 = Tsh 10,000,000
2 - kuomba / kuazima / kukopa Tsh 200,000 kutoka kwa watu 50 = Tsh 10,000,000
3 - kuomba / kuazima / kukopa Tsh 350,000 kutoka kwa watu 30 = Tsh 10,000,000
4 - kuomba / kuazima / kukopa Tsh 500,000 kutoka kwa watu 20 = Tsh 10,000,000
5 - kuomba / kuazima / kukopa Tsh 1,000,000 kutoka kwa watu 10 = Tsh 10,000,000
NB: - Naamini tunafahamiana na watu wengi sana tangu mtoto unakua hadi hapo ulipo, kuanzia uliocheza nao, marafiki wa primary, sekondary, vyuo, kazini, majirani, ndugu, jamaa, marafiki, marafiki uliojuana nao kwenye mitandao kama JF, Facebook, Twitter nk..nina hakika hutakosa watu wasiopungua 100 wenye nia, uelewa na uwezo wa kukufanikishia hili.
- Uhitaji, madhumuni ya kuomba, muda wa kurejesha, malengo ya matumizi inategemea na makubaliano yako na unayemuomba, na si lazima hao watu utakao waomba wajue kusudio lako la njia hii ya kupata mtaji, pia usiombe kama msaada, omba kama mkopo ili baada ya muda mfupi kama miezi miwili ama mitatu uahidi kurejesha.
- Nina imani kiasi cha Tsh 10,000,000 ni mtaji tosha kwa biashara ndogo ndogo kwa kuanzia. Mfano: jiko la baa, kibanda cha chips, salon ya kiume, stationary, internet cafe, duka la jumla, duka la kawaida, genge, grecery, bajaji, duka la nguo hasa mitumba bomba nk.. ambapo itakuwa rahisi kwako kwa muda wa miezi mitatu kuweza kurejesha fedha ulizoomba.
Nawasilisha.
naomba nikopeshe Laki tatu....!
Habari wana JF!..
Mimi ni mwanafunzi wa chuo kidogo jijini Arusha ambaye nimekuwa na wazo la kuanzisha biashara itakayonipatia kipato endelevu bila kuathiri masomo yangu lakini "Mtaji" umekuwa kikwazo na changamoto kwangu... Tafadhali kwa yeyote ambaye anaweza kunishauri ni kwa vipi naweza kufanya kitu kikanitengenezea walau kiasi kidogo kidogo mwisho wa siku nikapata pesa ya kutosha ili nianze ujasiriamali... Ushauri wako ndiyo jibu la tatizo langu.. Ahsante
Ni ujuzi upi huo ndugu tujue kwanza wa kukuzalishia laki 8 per wiki mbili?poleni na majukumu. mm nina ujuzi ambao unaweza ukanizalishia laki nane kwa wiki mbili kama faida ila sina mtaji lengo nikutaka kujua je inaweza kupata mkopo maana benk wanahitaji dhamana kubwa je wap naweza pata msaada?