Njia rahisi ya kupata mtaji wa kuanzisha biashara

@wote mliosema hii kitu inawezekana na ni rahisi, naombeni mnikopeshe tsh 500,000 each nifanye biashara na hapo hapo nichunguze kwa kuanzia humu kama hili jambo linawezekana au lah.

Msipende kupinga kila jambo, Mwandishi ameandika kuwa fuata watu unaofahamiana nao!!
Unaposema wote tunaokubaliana na mada hii tukuchangie tsh laki5 unafahamiana na sisi? Tunajua tukiihitaji tukupate vp? Usikae kupinga lolote hata kama hujalielewa!!!
 
watu wanafahamiana kupitia sehemu mbali mbali. Kuna watu wamekutana humu humu wameanzisha saccos, partnership na maprojects kibao ya kuingiza pesa.

Sasa kama hili limewezekana unachopinga wewe hapa hakina mashiko!
 
ninafurahi sana kuona kwamba kila kukicha wana jf wanaumiza vichwa jinsi ya kupata mitaji na kukwamuka kibiashara

big up and God bless
Hii inaonyesha jinsi gani watanzania wana kiu ya maendeleo.Inabidi tujifunze kwa wenzetu wanigeria.Those guys are very aggresive kwenye mambo ya maendeleo,mifano hai:- movie industry,music industry,angalia matajiri wanaoongoza africa kina Dangote,kina Mike Adenuga,angalieni pia kwa upande wa injili(wachungaji wakubwa wana rise up kutoka huko na wanasaidia wengi)
Kuna kitu kinaitwa 'risk taking' ambacho ni vizuri sana watanzania tukajifunza.Pia,unapopewa ushauri ambao unaona utakusaidia(proven advice),ni vizuri ukafuata,chukua hatua ya kwanza,Mungu atakusaidia.Najua watu watu walioanza biashara na mtaji wa shillingi laki 8 tu na sasa hivi wako mbali.Walifanyaje?...nitafute nitakwambia.
Check on me:- 0659143784
 
BUSIMINET COMPANY LIMITED
Po.box 12659
Kinondoni-Dar es salaam

Tanzania
Mob: 07 65 90 10 93 / 06 58 12 31 58
E-mail: busiminet@gmail.com
Website: busiminet.blogspot.com
OUR SERVICES: Tax, Business, IT, Accounting &Bookkeeping and Other services
TAX
1.Assist in preparation and submission of Returns to TRA
2.
Assist in estimation and determination of tax liabilities.
3.Online Returns submission and Payment Registration with TRA.
4.
Assist in Tax Payment processing.
5.Reminding about due dates for Tax payment and Other Tax/Statutory compliance.
6.
Tax health-checks
7.
Processing transfer or change of ownership with TRA
8.
Assist in filing and submission of TRA forms.
9.
Assist in Applications for Requesting Tax exemption.
10.
Tax consultation and advisory.
BUSINESS

1.
Assist in business licenses registration with municipals, ministries and other Government bodies.
2. Assist in business name, NGO’s, Succoss and Company registration with BRELA.
3.
Preparation of Business Proposal, Constitution, Memorandum, Article of Association and Company Profile

4.Preparation of business plans
5.
Business Restructuring
6.Loan processing
7
.
Business consultations
8.
Preparation of Research proposals

IT AND RELATED SERVICES
GRAPHIC DESIGN
1.
Logo,Bill boards, Posters.
2.
Business cards, Identity cards (ID).
3.
Brochures Flyers, Invitation cards.
4.
Calendar,Product label Magazines
5.
Photo Editing and Retouching Special Envelope, Movie covers
6.
Website, Blogs and Systemdesign and development
7.
Computer maintenance
8.
Computer software installation
9.
Network designing and installation
10.CCTV installation
11.
AC installation and maintenance

ACCOUNTING AND BOOK-KEEPING SERVICES
1.Stock counting
2.
Preparation of bank reconciliations
3.
Preparation of annual financial statements complying with International Financial Reporting Standards.

4.Posting of financial transactions from source documents , (IFRS).
5.
Preparation of budgets and management reports.
6.
Payroll services (preparation of the payroll including pay slips)
7.
How to keep books of account

OTHER SERVICES
1.
Mining
2.
Marketing and advertisement
3.
Education
4.
Agricultural activities
5.
Gas activities
6.
Cargo clearing
7.
Legal consultancy
8.
Staff recruitment & Out-Sourcing
9.
Project management and analysis
10. Training and workshops to Enterpreneurs, scholars and other groups that need to excel in their business

Business in the smooth environment ensures growth


okoa muda,okoa pesa na kuza biashara yako kwakuhudumiwa na Busiminet co.ltd

 
[h=1]Namna ya Kuanzisha na Kukuza Biashara Kutumia Fedha Za Watu Wengine[/h]



Karibu katika safu hii ya wajasiliamali






Kupata fedha za mtaji wa kuanzisha biashara na kukuza biashara ni changamoto kubwa kwa wengi. Watu wengi tu wana mawazo mazuri ya biashara lakini wana kwamishwa na ugumu wa kupata mitaji ya fedha za kuanzia au kuendeleza biashara zilizokwishaanza.

Lakini wakati baadhi ya watu wakihangaika na fedha za mitaji wengine wanaweka benki mamilioni ya fedha ambazo hazifanyi kazi. Zinasubiria riba ndogo sana ambaayo ni sawa na hakuna. Makundi haya mawili kama yangekutana na kupanga mikakati basi kila upande ungeweza kufaidika.

Wenye mawazo ya biashara wangepeta fedha na kuweza kuzalisha faida ambayo ingeweza kulipa deni la mkopo na faida kukuza biashara na wakati huohuo waliotoa mkopo wa fedha wataweza kurudishiwa fedha ikiwa na riba kubwa kuliko ya benki.

Watu maridadi katika biashara na waliofanikiwa wanatumia mbinu hii kujenga biashara zenye mafanikio na kujijengea utajiri mkubwa. Wanatumia fedha za watu wengine kujitajirisha.

Zifuatazo ni mbinu 5 ambazo unaweza kuzitumia kupata fedha za kuanzisha biashara au kukuza biashara uliyonayo toka kwa watu wengine

[h=2]Mbinu 5 za Kupata Fedha za Watu Wengine za Kuanzisha na Kukuza Biashara:[/h]
  1. [h=3]Kukopa toka Benki au Mashirika ya Mikopo[/h]


Benki ni sehemu moja kubwa kabisa ambayo unaweza kuitumia kuipata fedha za mtaji. Watu wenye fedha wanaweka fedha zao hapo kwa ajili ya usalama. Benki wanatumia fedha hizo kuzalisha zaidi kwakuwekeza katika sehemu mbalimbali ikiwemo kutoa mikopo kwa biashara zenye uwezo wa kurudisha kwa faida.

Unachotakiwa kuwaonesha benki ni kuwa unabishara yenye mpango mzuri na unaweza kurudisha fedha hiyo ikiwemo riba ambayo ni faida yao.

Unaweza ukaanza na kiasi kidogo tu kama Milioni 1-5 na ukiweza kurudisha kama inavyotakikana basi unakuwa umejenga uaminifu na hivyo kuwa rahisi unapoomba kwa mara nyingine.

Ukiwa katika kikundi klwabaadhi ya mashrikaya fedha ni rahisi zaidi kupata mkopo kuliko ukiwa peke yako.Ukiwa na mali kama ardhi,nyumba au hata gari unaongeza uwezekano wa kuaminika na kupewa mkopo.


  1. [h=3]Kukopa toka Kwa Ndugu na Marafiki[/h]


Ndugu zako au marafiki ni mojawapo ya sehemu ya kupata mkopo. Mara nyingi mikopo ya watu hawa haina masharti magumu sana,japo ni hatari kama utashindwa kurudishakama ilivyopangwa kwani utahatarisha uhusiano wako nao.

Wakati mmoja katika familia ni masikini au anakosa mtaji wa bishara kuna ndugu mwingine anafedha isiyotumika kukua na kuleta faida (Fedha iliyolala). Tafuta jinsi ya kushawishi fedha hii itumike kujizalisha na mazao ya mtaji huo uwafaidishe wote,wewe mkopaji na mwenye fedha.

Uaminifu ni kitu cha msingi sana katika kufanikisha hili. Ukiwa mtu unayeaminika ni rahisi kwa ndugu na marafiki kukuamini na fedha zao. Uaminifu ni mtaji mkubwa katika mchezo wa fedha.


  1. [h=3] Kuingia Ubia na Wenye Fedha[/h]


Baadhi ya watu wenye fedha inawawia vigumu kuwaamini watu na fedha zao. Hawa unaweza kuwashirikisha katika utendaji na usimamizi wa biashara husika. Uza wazo lakokwao na uwashawishi waeke fedha. Kwakuwa wewe hauna fedha mchango wako utakuwa nguvu zako za kuendesha biashara hiyo (Mtendaji). Unaweza kumweka mshirika wako mwenyefedha katika maeneo ya kiuongozi hasa wa fedha ili alinde fedha zake na kujenga imani.

Njia hii ni rahisi zaidi kwani hauhitaji kulipa deni na ni rahisi mwenyefedha kuamini kwani yeye mwenyewe ni mshirika na anjua kinachofanyika.


  1. [h=3]Vikundi vya Kuweka na Kukopa na Vikoba[/h]


Vikundi vya kuweka na kukopa na vile vya kuchangiana kwa madhumuni ya kukusanya fedha nyingi ya kutosha kufanya jambo kubwa kwa mmoja wa wanakikundi ni jinsi mojawapo ya kutumia fedha za watu wengine kujiendeleza.

Tengeneza mpango wa biashara ambao una faida na chukua fedha katika kikundi chako ulichojisajili. Hakikisha bishara yako inaweza kurudisha fedha kwa wakati kulingana na masharti ya kikundi chenu.


  1. [h=3]Pokea Malipo Kabla ya Kutoa Huduma[/h]


Ili kutengeneza bidhaa za kuuza,au kununua bidhaa ili uziuze unahitaji fedha kabla. Na hili linafanya wasio na mtaji kutoendelea na mipango yao.

Mbinu hii inakuhitaji wewe kutafuta mteja kwanza kabla ya kutengeneza au kununua bidhaa. Mteja akiwa tayari amekubali kununua atatakiwa kutoa malipo kabla,kisha unanunua bidhaa kwa fedha zake na kuwauzia kwa bei ya juu ili kupata faida. Kwa namna hii basi unakuwa unatumia fedha zao wenyewe kuendesha biashara yako na kutengeneza faida.

Wateja wanahitaji kukuamini sana ilikuweza kukupa fedha kabla ya huduma.
[h=2]Benki si Sehemu Sahihi ya Kuweka Fedha[/h] Benki ni sehemu ya kufanyia miamala na kuweka fedha kwa muda tu. Kama unahitaji fedha yako ikue na kukutajirisha ni muhimu kuitafutia sehemu ambayo itazalisha kwa haraka.
Kuwekeza katika biashara au mali zisizohamishika kama ardhi na majumba ni njia bora zaidi.

Kuwa mshirika katika biashara zenye mipango mizuri na zenye kuzalisha faida,nunua hisa katika makampuni na uwezekano wa kuzalisha fedha zako ni mkubwa kuliko kuweka benki.
[h=2]Elimu na Ujuzi wa Uongozi wa Bishara na Fedha ni Muhimu[/h] Unahitaji kuwa na ujuzi na uzoefu wa kuendesha biashara na fedha ili uweze kupata fedha toka kwa watu. Wekeza katika elimu ya biashara,jisajili katika kozi ya uendeshaji biashara na fedha katika vyuo katika mji wako.
Pia soma vitabu vya kujiendeleza ili kukuza ufahamu wako.
Ukiwa na ufahamu mkubwa na ujuzi itakuwia rahisi kuaminika na hivyo kupata fedha toka kwa watu wengine.
Kuanzisha na kukuza biashara kwa fedha za watu wengine kumahitaji ushawishi wa hali ya juu ukiachia ujuzi na uzoefu uamininifu ni kitu kingine cha kuzingatiwa sana.

abtwahil@gmail.com
 
hiyo ya ndugu na marafiki, hiyo picha wanavyocheka sasa utadhani ukiwaendea ndugu zako watacheka hivyo, usishangae wakaangali pembeni
 
Moja ya changamoto ambazo watu wengi wanaotutafuta huwa ni wanawezaje kupata mtaji wa kuanza biashara. Hiki kimekuwa kikwazo kwa watu wengi kuingia kwenye biashara. Hata wale ambao tayari wapo kwenye biashara, wamekuwa wakitamani kukuza biashara zao ila wanashindwa kutokana na kukosa fedha za kuingiza kwenye biashara.

Tatizo kubwa ambalo linawazuia wengi kutopata mtaji wa biashara ni kwa sababu inapokuja swala la mtaji wanafikiria sehemu moja tu, ambayo ni mkopo. Na kwa bahati mbaya sana watu wengi wanakuwa hawana sifa zinazowawezesha kupata mkopo wa kibiashara. Kwa kukosa sifa hizo huishia kukaa na kulalamika nataka kuingia kwenye biashara ila mtaji sina.

Kama wewe unapenda biashara, na umepanga kuingia au umeshaingia lakini hujaweza kukuza mtaji wako, hapa tutakupa njia mbalimbali za kupata mkopo kwa ajili ya biashara yako.


  1. Fedha zako binafsi.
Njia nzuri sana kwako kupata mtaji wa biashara ni kwa kuanza kuweka akiba ya fedha zako mwenyewe. Kama umeajiriwa anza utaratibu maalumu wa kuweka kiasi cha fedha pembeni ambacho hutakigusa hata iweje. Baadae unaweza kukitumia kwenye kuanza biashara. Kama hujaajiriwa unaweza kutafuta shughuli yoyote ukafanya na hii ikakuingizia kipato ambacho baadae utaweza kuanzia biashara.


  1. Michango kutoka kwa ndugu jamaa na marafiki.
Kama unaweza kukaa chini na ndugu zako na ukawashawishi vizuri, watakuwa tayari kukuchangia uanze biashara. Kama watu wanaweza kuchangia harusi na mambo mengine, wanaweza pia kuchangia biashara, ni wewe uweze kuwashawishi vizuri. Ila hapa unahitaji kuwa unaaminika na ndugu hao n apia waoneshe ni jinsi gani wao watanufaika na biashara utakayoanzisha.


  1. Kutafuta mtu au watu wa kushirikiana nao.
Kwa uzoefu wetu, kuna watu wengi ambao wana mitaji ya kibiashara ila hawajui ni biashara gani wafanye au hawana muda wa kusimamia biashara. Na wakianzisha biashara kwa sababu hawana usimamizi mzuri wanapata hasara. Sasa wewe unahitaji kuwajua watu wa aina hii na andaa mpango ambao utawashirikisha na kuonesha ni kwa jinsi gani mkiungana pamoja mnaweza kuwa na biashara nzuri na yenye faida. Hii pia inahitaji uwe unaaminika na yule unayempelekea mpango wako.


  1. Kuanza biashara kwa fedha za mteja.
Hapa unaweza kukusanya fedha kwa wateja kwanza halafu ndio ukawapata huduma au bidhaa wanayohitaji. Kama utaweza kuwa na mpango mzuri wa biashara ambapo mteja anahitaji sana unachotoa, na tayari anakuamini anaweza kukupa sehemu ya gharama na wewe kutumia gharama hiyo kumpatia bidhaa au huduma anayotaka. Hii pia inahitaji uaminifu na wale unaofanya nao biashara.

Hii ndio njia ambayo inafahamika na kila mtu na watu ndio huwa wanaifikiria hii kila wanapofikiria mkopo wa biashara. Kama una sifa za kupata mkopo unaweza kuchukua mkopo na kuutumia kwenye biashara. Ila kuwa makini sana kama unachukua mkopo kwa ajili ya kuanzia biashara, ni hatari sana na unaweza kujiingiza kwenye matatizo zaidi.

Bado unafikiria ni njia gani unazoweza kutumia kupata mkopo wa biashara? Anza na hizo hapo juu na boresha kadiri biashara yako ilivyo na wale wanaokuzunguka walivyo. Hakuna kitu kinachoshindikana kama utaamua kweli kupata mkopo wa biashara.
 
Makirita Amani, ahsante kwa bandiko mujarab. Tatizo kubwa la wengi wetu ni wazo la biashara au aina ya biashara stahiki. Sio kila mtu anaweza kua mfanya biashara ila kwa wale wafanya biashara, hii itawasaidia sana kukuza au kupata vyanzo vipya vya mitaji ya biashara zao.
 
Last edited by a moderator:
Makirita Amani, ahsante kwa bandiko mujarab. Tatizo kubwa la wengi wetu ni wazo la biashara au aina ya biashara stahiki. Sio kila mtu anaweza kua mfanya biashara ila kwa wale wafanya biashara, hii itawasaidia sana kukuza au kupata vyanzo vipya vya mitaji ya biashara zao.

Ni kweli mkuu, mawazo ya biashara yapo mengi sana, lakini kupata wazo ambalo linaendana na mtu kwa hali aliyonayo na kile anachotaka kufanya kunahitaji muongozo mzuri. Kuna kitabu ambacho kina muongozo wa kupata wazo bora la biashara, kitabu hiko kinatumwa kwa email na ni bure kabisa. kukipata bonyeza hii link na unaweka email yako kisha unatumiwa; Kitabu Cha Pata Wazo La Biashara | Napenda Biashara
Karibu sana.
 
Uko sawa kuanza na pesa ya mteja ni ujanja hapo, kuna jamaa bodaboda yeye aliagizwa kwend kununua watergard mteja akampa 40 000. akamuelekeza niletee vidonge kazaa vinauzwa bei kazaa kila kimoja. alipoenda akakuta bei ni nusu ya aliyo ambiwa akatumia 20 000. nyingine kibindon, tena akaagizwa kuku na ndizi, kuku akaenda kusubiri njiani akabakiwa 4000. na ndizi akagalaliza akapata 2000 pia akalipwa trip zake akapata jumla 30 000. chapchap akapata trip ya kwenda kijijini akanunua mkaa kwa bei ndogo akampa mkewe akaanza kuuza. leo ana kibanda kikubwa wastani, pia mkaa bado anauza na jamaa alishanunua pikipiki yake. huyu jamaa nimepiganae bodaboda kabla sijapata ajira lakini naona maisha yake ni mazuri kuliko mimi mwenye ajira, yaani ninaenda kumkopa kibandani kwake namlipa mwisho wa mwezi, naona aibu sana
 
Uko sawa kuanza na pesa ya mteja ni ujanja hapo, kuna jamaa bodaboda yeye aliagizwa kwend kununua watergard mteja akampa 40 000. akamuelekeza niletee vidonge kazaa vinauzwa bei kazaa kila kimoja. alipoenda akakuta bei ni nusu ya aliyo ambiwa akatumia 20 000. nyingine kibindon, tena akaagizwa kuku na ndizi, kuku akaenda kusubiri njiani akabakiwa 4000. na ndizi akagalaliza akapata 2000 pia akalipwa trip zake akapata jumla 30 000. chapchap akapata trip ya kwenda kijijini akanunua mkaa kwa bei ndogo akampa mkewe akaanza kuuza. leo ana kibanda kikubwa wastani, pia mkaa bado anauza na jamaa alishanunua pikipiki yake. huyu jamaa nimepiganae bodaboda kabla sijapata ajira lakini naona maisha yake ni mazuri kuliko mimi mwenye ajira, yaani ninaenda kumkopa kibandani kwake namlipa mwisho wa mwezi, naona aibu sana

Mkuu watu wengi tulio kwenye ajira tuna maisha ambayo siyo halisi hata kidogo. Wale tunaowadharau kwamba hawako kwenye ajira rasmi ndio wanafanya vitu vinavyoonekana na wana uwezo wa kuweka hela ya akiba na wamejifunza nidhamu ya fedha kwa sababu wanaipata kwa kuumiza kichwa sana. Kundi letu kubwa hatuna nidhamu ya pesa, tunatumia tu bila kujali tunaingiza kiasi gani kisa tutapata nyingine mwisho wa mwezi, hauko peke yako mkuu!
 
Mkuu watu wengi tulio kwenye ajira tuna maisha ambayo siyo halisi hata kidogo. Wale tunaowadharau kwamba hawako kwenye ajira rasmi ndio wanafanya vitu vinavyoonekana na wana uwezo wa kuweka hela ya akiba na wamejifunza nidhamu ya fedha kwa sababu wanaipata kwa kuumiza kichwa sana. Kundi letu kubwa hatuna nidhamu ya pesa, tunatumia tu bila kujali tunaingiza kiasi gani kisa tutapata nyingine mwisho wa mwezi, hauko peke yako mkuu!

Yaani maisha ya utumishi kazi sana, mimi mshahara ukitoka, cha kwanza kununua ni mafuta ya kwendea kazini ya mwezi mzima, kiasi kinacho baki ndo nakujanacho home badget inaanza isipotosha ndo mikopo inaanza. yaani unajikuta mwezi unaisha hata elf kumi huna, maisha haya iposiku nitatoboza tu.
 
4Corners Alliance Group ni kampuni inayotokana na kampuni mama ya Cornerstone LLC iliyopo Las Vegas Marekani. Imeanzishwa mwaka 2012 na mwanzilishi wake akiwa ni David Harrison ambaye alikuwa ni mfanya biashara ya aina ya mtandao (network marketing) katika kampuni ya Herbal Life.

4Corners Alliance Group ni kampuni ambayo imejikita katika kutoa elimu ya ujasiriamali, uchumi, fedha, uwekezaji na biashara kwa kutumia bidhaa mbili kuu:

1. Vitabu vya mtandaoni (e-books)
2. Jarida la kila mwezi la mtandaoni (e-newsletter)

Bidhaa ya vitabu imegawanyika katika madaraja sita, ambavyo ununuliwa kadiri biashara inavyosonga.

Kwakuwa 4Corners ni biashara ya mtandao, unaweza kujenga timu ya watu watakaoangukia kwenye vizazi (levels) vyako tofauti tofauti.

Level 1 inakuwa na watu 4 tu.
Level 2 inakuwa na watu 16 tu.
Level 3 inakuwa na watu 64 tu.
Level 4 inakuwa na watu 256 tu.
Level 5 inakuwa na watu 1,024 tu.
Level 6 inakuwa na watu 4,096 tu.

Kila ngazi ina seti yake ya vitabu vikiwa na dhima tofauti na kwa bei tofauti.

Level 1 ni $10
Level 2 ni $10
Level 3 ni $25
Level 4 ni $60
Level 5 ni $150
Level 6 ni $300

Unaweza kuvinunua vitabu vyoote hivi kwa hela yako mwenyewe ukajisomea mwenyewe.

Lakini pia unaweza kuvinunua kwa malipo unayoweza kuyapata kwa kujenga timu ya watu chini yako.

Hapa ndo unakuja mpango wa kuunda timu ili kujenga kipato cha kukuwezesha kununua vitabu zaidi na kujipatia ziada kubwa kabisa.

Inafanyaje kazi?

Unapojiunga tu kwa $18, $8 ni ya usajili na $10 inanunulia vitabu vya level 1.

Unapoanza kujenga timu hiki ndicho kinatokea kati yako na kampuni:

Watu walioko level 1 wakinunua level 1 (wakati wa kujiunga) kwa $10, utalipwa jumla ya $4 x 4 = $16, na mdhamini wako atalipwa $16 bonus ya 100%. $2 x 4 = $8 inabakia kwa kampuni kama faida yake.

Watu walioko level 2 wakinunua level 2 kwa $10, utalipwa jumla ya $4 x 16 = $64, na mdhamini wako atalipwa $64 bonus ya 100%. $2 x 16 = $32 inabakia kwa kampuni.

Watu walioko level 3 wakinunua level 3 kwa $25, utalipwa jumla ya $10 x 64 = $640, na mdhamini wako atalipwa $640 bonus ya 100%.
$5 x 64 = $320 inabakia kwa kampuni.

Watu walioko level 4 wakinunua level 4 kwa $60, utalipwa jumla ya $24 x 256= $6,144 na mdhamini wako atalipwa $6,144 bonus ya 100%. $12 x 256 = $3,072 inabakia kwa kampuni.

Watu walioko level 5 wakinunua level 5 kwa $150, utalipwa jumla ya $60 x 1,024= $61,440, na mdhamini wako atalipwa $61,440 bonus ya 100%. $30 x 1,024 = $30,720 inabakia kwa kampuni.

Watu walioko level 6 wakinunua level 6 kwa $300, utalipwa jumla ya $120 x 4,096 = $491,520, na mdhamini wako atalipwa $491,520 bonus ya 100%. $60 x 4,096 = $245,760 inabakia kwa kampuni.

Nadhani hadi hapo umeelewa kampuni inanufaikaje.

UKUMBUKE KUWA HELA YOTE HIYO ITATOKANA NA MALIPO UNAYOPATA KWA KUJENGA TIMU YAKO NA SIO MFUKONI MWAKO.

KIKUBWA ZAIDI ni 100% bonus.
Hii hutolewa kwa kila kila mtu uliyemuingiza chini yako moja kwa moja.

Baada ya wale wanne tulioona pale mwanzo kila utakayemwingiza atakupatia $4 lakini hatakaa kwenye level 1 yako. System itatafuta pengo itamuweka huko.

Nini faida ya kuingiza watu zaidi?
Unapokuwa na watu wengi zaidi chini yako utafaidi zaidi ile bonus ya 100%. Bonus hii utolewa pindi pale mtu uliyemwingiza moja kwa moja anapoliwa. Chochote atakacholipwa unalipwa kwa 100% wewe ukiwa ndo mdhamini wake.

Mfano: Ukiwa na watu 20 na kila mmoja akawa amelipwa $50, ina maana utalipwa $50 x 20 = $1,000 papo hapo.

💰💰..sio utani..ni kweli...

Vitu muhimu:

1. Hakuna kikomo cha uanachama.
2. Hakuna kukimbizana na deadlines. Kila mtu anafanya kwa starehe zake. Spidi yako mafanikio yako.
3. Bidhaa inajiuza yenyewe.
4. Hakuna kutoa hela nyingine mfukoni mwako baada ya $18.

JARIDA LA KILA MWEZI (e newsletter):

Hili jarida utoka kila mwezi mara moja na gharama yake ni $29.95. Ya kuzingatia ni haya:

1. Sio la lazima.
2. Hautalipwa kamisheni zake kama hulichukui.
3. Inashauriwa kulichukua pindi unapokea malipo ya level 4.
4. $29.95 inakatwa kwenye kamisheni zako.

Kwa kila anayelichukua jarida hili unalipwa ifuatavyo:

Level 1: $1 x 4 = $4
Level 2: $1 x 16 = $16
Level 3: $1 x 64 = $64
Level 4: $1 x 256 = $256
Level 5: $2 x 1,024 = $2,048
Level 6: $2 x 4,096 = $8,192
Level 7: $4 x 16,384 = $65,536

👆Hiki ni kipato cha kila mwezi..ndioo...kila mwezi!

NINALIPWAJE?

Uapojiunga unapewa ofisi yako ya mtandaoni (backoffice), ambayo utatumia kuangalia maendeleo yako, ya timu yako, mapato yako na kutoa pesa. Pia, vitabu ulivyokwisha kuvilipia unaweza kuvichukia (download) na kuvisoma ukipenda.

Maombi ya kutoa hela yanafanyika siku ya J2, J3 na J4, na malipo yatafanyika J4 itakayofuata kupitia Visa/Mastercard ya benki yako, na utaweza kutoa kupitia ATM za hapa hapa kwetu au akaunti yako ya benki.

Naanzaje kufanya kazi?

Kinachohitajika ni:
1. $18
2. Email (isiwe Yahoo au AOL)
3. Link/jina la mdhamini wako

Hakikisha fursa hii haikupiti! Ni ya kipekee sana katika ulimwengu wa biashara za mtandao.
 
4Corners Alliance Group ni kampuni inayotokana na kampuni mama ya Cornerstone LLC iliyopo Las Vegas Marekani. Imeanzishwa mwaka 2012 na mwanzilishi wake akiwa ni David Harrison ambaye alikuwa ni mfanya biashara ya aina ya mtandao (network marketing) katika kampuni ya Herbal Life.

4Corners Alliance Group ni kampuni ambayo imejikita katika kutoa elimu ya ujasiriamali, uchumi, fedha, uwekezaji na biashara kwa kutumia bidhaa mbili kuu:

1. Vitabu vya mtandaoni (e-books)
2. Jarida la kila mwezi la mtandaoni (e-newsletter)

Bidhaa ya vitabu imegawanyika katika madaraja sita, ambavyo ununuliwa kadiri biashara inavyosonga.

Kwakuwa 4Corners ni biashara ya mtandao, unaweza kujenga timu ya watu watakaoangukia kwenye vizazi (levels) vyako tofauti tofauti.

Level 1 inakuwa na watu 4 tu.
Level 2 inakuwa na watu 16 tu.
Level 3 inakuwa na watu 64 tu.
Level 4 inakuwa na watu 256 tu.
Level 5 inakuwa na watu 1,024 tu.
Level 6 inakuwa na watu 4,096 tu.

Kila ngazi ina seti yake ya vitabu vikiwa na dhima tofauti na kwa bei tofauti.

Level 1 ni $10
Level 2 ni $10
Level 3 ni $25
Level 4 ni $60
Level 5 ni $150
Level 6 ni $300

Unaweza kuvinunua vitabu vyoote hivi kwa hela yako mwenyewe ukajisomea mwenyewe.

Lakini pia unaweza kuvinunua kwa malipo unayoweza kuyapata kwa kujenga timu ya watu chini yako.

Hapa ndo unakuja mpango wa kuunda timu ili kujenga kipato cha kukuwezesha kununua vitabu zaidi na kujipatia ziada kubwa kabisa.

Inafanyaje kazi?

Unapojiunga tu kwa $18, $8 ni ya usajili na $10 inanunulia vitabu vya level 1.

Unapoanza kujenga timu hiki ndicho kinatokea kati yako na kampuni:

Watu walioko level 1 wakinunua level 1 (wakati wa kujiunga) kwa $10, utalipwa jumla ya $4 x 4 = $16, na mdhamini wako atalipwa $16 bonus ya 100%. $2 x 4 = $8 inabakia kwa kampuni kama faida yake.

Watu walioko level 2 wakinunua level 2 kwa $10, utalipwa jumla ya $4 x 16 = $64, na mdhamini wako atalipwa $64 bonus ya 100%. $2 x 16 = $32 inabakia kwa kampuni.

Watu walioko level 3 wakinunua level 3 kwa $25, utalipwa jumla ya $10 x 64 = $640, na mdhamini wako atalipwa $640 bonus ya 100%.
$5 x 64 = $320 inabakia kwa kampuni.

Watu walioko level 4 wakinunua level 4 kwa $60, utalipwa jumla ya $24 x 256= $6,144 na mdhamini wako atalipwa $6,144 bonus ya 100%. $12 x 256 = $3,072 inabakia kwa kampuni.

Watu walioko level 5 wakinunua level 5 kwa $150, utalipwa jumla ya $60 x 1,024= $61,440, na mdhamini wako atalipwa $61,440 bonus ya 100%. $30 x 1,024 = $30,720 inabakia kwa kampuni.

Watu walioko level 6 wakinunua level 6 kwa $300, utalipwa jumla ya $120 x 4,096 = $491,520, na mdhamini wako atalipwa $491,520 bonus ya 100%. $60 x 4,096 = $245,760 inabakia kwa kampuni.

Nadhani hadi hapo umeelewa kampuni inanufaikaje.

UKUMBUKE KUWA HELA YOTE HIYO ITATOKANA NA MALIPO UNAYOPATA KWA KUJENGA TIMU YAKO NA SIO MFUKONI MWAKO.

KIKUBWA ZAIDI ni 100% bonus.
Hii hutolewa kwa kila kila mtu uliyemuingiza chini yako moja kwa moja.

Baada ya wale wanne tulioona pale mwanzo kila utakayemwingiza atakupatia $4 lakini hatakaa kwenye level 1 yako. System itatafuta pengo itamuweka huko.

Nini faida ya kuingiza watu zaidi?
Unapokuwa na watu wengi zaidi chini yako utafaidi zaidi ile bonus ya 100%. Bonus hii utolewa pindi pale mtu uliyemwingiza moja kwa moja anapoliwa. Chochote atakacholipwa unalipwa kwa 100% wewe ukiwa ndo mdhamini wake.

Mfano: Ukiwa na watu 20 na kila mmoja akawa amelipwa $50, ina maana utalipwa $50 x 20 = $1,000 papo hapo.

💰💰..sio utani..ni kweli...

Vitu muhimu:

1. Hakuna kikomo cha uanachama.
2. Hakuna kukimbizana na deadlines. Kila mtu anafanya kwa starehe zake. Spidi yako mafanikio yako.
3. Bidhaa inajiuza yenyewe.
4. Hakuna kutoa hela nyingine mfukoni mwako baada ya $18.

JARIDA LA KILA MWEZI (e newsletter):

Hili jarida utoka kila mwezi mara moja na gharama yake ni $29.95. Ya kuzingatia ni haya:

1. Sio la lazima.
2. Hautalipwa kamisheni zake kama hulichukui.
3. Inashauriwa kulichukua pindi unapokea malipo ya level 4.
4. $29.95 inakatwa kwenye kamisheni zako.

Kwa kila anayelichukua jarida hili unalipwa ifuatavyo:

Level 1: $1 x 4 = $4
Level 2: $1 x 16 = $16
Level 3: $1 x 64 = $64
Level 4: $1 x 256 = $256
Level 5: $2 x 1,024 = $2,048
Level 6: $2 x 4,096 = $8,192
Level 7: $4 x 16,384 = $65,536

👆Hiki ni kipato cha kila mwezi..ndioo...kila mwezi!

NINALIPWAJE?

Uapojiunga unapewa ofisi yako ya mtandaoni (backoffice), ambayo utatumia kuangalia maendeleo yako, ya timu yako, mapato yako na kutoa pesa. Pia, vitabu ulivyokwisha kuvilipia unaweza kuvichukia (download) na kuvisoma ukipenda.

Maombi ya kutoa hela yanafanyika siku ya J2, J3 na J4, na malipo yatafanyika J4 itakayofuata kupitia Visa/Mastercard ya benki yako, na utaweza kutoa kupitia ATM za hapa hapa kwetu au akaunti yako ya benki.

Naanzaje kufanya kazi?

Kinachohitajika ni:
1. $18
2. Email (isiwe Yahoo au AOL)
3. Link/jina la mdhamini wako

Hakikisha fursa hii haikupiti! Ni ya kipekee sana katika ulimwengu wa biashara za mtandao.
The easy way to get money is to work hard.nothing else. Hakuna hela laisi.
 
Back
Top Bottom