Njia rahisi ya kupata mtaji wa kuanzisha biashara

Inawezekana Kufanya baadhi ya biashara paipo kuwa na mtaji, ila ni kwa biashara chache sana na hasa za service mfano consultance ambapo unaweza tembea mtaani na kutafuta wateja na kaunza kuwapa shule hapo hapo, Ingawa hata hizi still lazima uwe na hata pesa ya nauli ingawa bado unawe hata tembea kwa miguu,

Ila hutokea watu kuanza biashara bila mtaji lakini unakuta wana sound business Aidea ambayo unaweza uza wazo na kupata watu wa kushare nao katika biashara hiyo,

Ila kama mjasirimali ni jukumu lako kutafuta na kuumiza kichwa jinsi ya kupata mtaji wa kuanzia biashara, Sifa moja wapo ya kuwa Mjasirimali ni Pamoja na kuwa na uwezo wa kuendeleza wazo lako kwa namna yoyote ile
 
Nadhani unachoongelea kinaitwa Bootstrap Financing :-

Bootstrap financing is to build a business out of little or nothing with no or minimal outside capital.

Read more: Bootstrap Financing - Business Finance

Kumbuka hapo ni outside capital (yaani wewe kukopa au kuingia kwenye madeni) ila haimaanishi kwamba hautatumia pesa zako mwenyewe au kufanya vitu ambavyo haviitaji cash injection ili wewe kufanya hio kazi (mfano kufuata maji mtoni kwa miguu na kuyauza mjini) au kuuza vitabu vyako online kama ebook kitu ambacho hakihitaji cash injection

Lakini utaona kwamba kazi kama hizi either utakuwa unatumia ujuzi wako au service na kama ni products basi ni virtual products kama ebooks, lakini kumbuka unaweza kuanza biashara bila kuweka pesa upfront kwa kutumia mali kauli (mtu anakupa vitu ukiuza ndio unamlipa) au the normal way ya kukopa , msaada au grants
 
Hapa mtatofautiana sana, but pa kuanzia ni hapa: What's capital?


Kwa vyovyote vile, huu ni Mtaji ambao huhitajiwa au hutumiwa na Mjasirimali katika kutengeneza Product au serivise katika biashara yakem

Ila kuna definition Mbalimbali kuhusu capitala make kwenye acounting Capitala ni pesa inayotolewa na mtoa mkopo kwa kwa mjasirimali wakati kwenye Uchumi Capital ni vitu kama Mitambo ya kukuwezesha kufanya kazi kama Mashine na kazallika

Ila all in all Capital inabakia kama Mtaji uwe ni Finacial or Real Capita, so kwenye Capital kuna mambo mengi sana na ni humo unapata Fixed Capital na Warking capital na bado unakuja kupata vitu kama Capital Market

ILA BADO NI KWAMBA KWA MJASIRIMALI CAPITAL NI MTAJI ANAO HITAJI KUTENGENEZA PRODUCT AU SERVICE HIZO DIFINITION ZINGENE HAZINA UMUHIMU WOWOTE KWA SABABU KILA NYANJA WANAELEZEA CAPITAL WANAVYO JUA WAO
 
Mkuu umeniacha kidogo, Naomba ebu nifafanulie what u mean intellectual capita?

Naona hapa anamaanisha huwezi kuanza biashara out of nothing (something for nothing) akimaanisha hata kama mtaji hautakuwa pesa unaweza ukawa your technical know how, ukiangalia sana hata ujuzi wako nao ulipatikana baada ya ku-invest kwenye elimu, unless kama ni kipaji (ila hata utunzi sometimes unahitaji mazoezi) in short hata nguvu nazo ni mtaji
 
Is that to say Chasha na sun wu mnaungana na John Mashaka ktk hili in blue? Je, is there intellectual capital?

Intellectual capital :-
Inategemea tunaongelea nini sababu mtu anaweza aka-argue kwamba hata nguvu nazo ni mtaji ukizingatia wengine wanazo hizo nguvu wengine hawana, au talent pia ni mtaji as tukiongelea Messi kwamba mtaji wake ni talent yake, kwahio akianza kuuza signatures zake hapo anachouza ni brand yake (ule U-Messi wake), lakini as I said hapo juu kuna kitu kinaitwa bootstrap financing ingawa hata hapo technically kuna capital inatumika
Collective knowledge (whether or not documented) of the individuals in an organization or society. This knowledge can be used to produce wealth, multiply output of physical assets, gain competitive advantage, and/or to enhance value of other types of capital. Intellectual capital is now beginning to be classified as a true capital cost because (1) investment in (and replacement of) people tantamounts to investment in machines and plants, and (2) expenses incurred in education and training (to maintain the shelf life of intellectual assets) are equivalent to depreciation costs of physical assets. Intellectual capital includes customer capital, human capital, intellectual property, and structural capital.
 
Intellectual capital :-
Inategemea tunaongelea nini sababu mtu anaweza aka-argue kwamba hata nguvu nazo ni mtaji ukizingatia wengine wanazo hizo nguvu wengine hawana, au talent pia ni mtaji as tukiongelea Messi kwamba mtaji wake ni talent yake, kwahio akianza kuuza signatures zake hapo anachouza ni brand yake (ule U-Messi wake), lakini as I said hapo juu kuna kitu kinaitwa bootstrap financing ingawa hata hapo technically kuna capital inatumika

Nilikuwa nakusanya mawazo ili kuweza kufikia conclusion ya mada husika. So, haiwezekani kutengeneza mtaji pasipo mtaji, i.e. lazima kuwe na mtaji mmoja ili kupata mtaji mwingine.
 
Kusema kweli umepata ideas humu za kukusaidia. Nami niongeze kidogo. Nilivokuelewa ni kuwa wewe ungependa kufanya biashara bila kuwa na fedha kama ilivyo kwa mtu anayeanzisha duka la nguo. ni kweli kuna uwezekano wa kuanza biashara kwa kuwa na wazo yaani 'business idea'. utatakiwa kubainisha watu na mahitaji yao kwanza. watu hao wa kuanzia ni wale unaowafahamu muda mrefu. utalazimika kuwa na uwezo wa kuzungumza na kushawishi. ni lazima ujulikane kuwa ni mwaminifu. utaintroduce product fulani ambayo unajua watu wako wanaipenda na wataihitaji lakini pengine hawajui kwa kuipata au muda ni adimu kwao. utawaeleza kuwa wewe unaweza kuwaletea hiyo bidhaa endapo wanakuamini na kukupa kiasi husika kisha wewe unaenda kuifuata hiyo bidhaa na kuwaletea na kubakiwa na faida fulani. utaendelea kuwasiliana na watu zaidi taratibu biashara itakua lakini kwa uvumilivu na ujuzi mkubwa wa kushawishi
 
Nilikuwa nakusanya mawazo ili kuweza kufikia conclusion ya mada husika. So, haiwezekani kutengeneza mtaji pasipo mtaji, i.e. lazima kuwe na mtaji mmoja ili kupata mtaji mwingine.

Technically yes ila inategemea unaongea na nani wengi wetu mtaji tunahusisha na pesa ya kuanzia biashara ndio maana unakuta mtu kama mwalimu anasema siwezi kufanya biashara sababu sina mtaji wakati kumbe elimu yake ya kufundisha inaweza kuwa mtaji tosha wa yeye kupata pesa na kuendesha biashara ya Tuition, sasa swali linakuja je ile elimu/ujuzi wake ni mtaji ? Jibu utakalopata hapo ndio litakujibu kama unaweza kuanzisha mtaji pasipo mtaji kutokana na mtizamo wa watu tofauti
 
Labda nikupe mfano fulani ambao ulinisaidia nilipokuwa chuoni udsm. kuna wanafunzi walihitaji computer lakini hawakuwa hasa wanajua aina, sifa na ubora. mimi nilikuwa na uelewa kiiasi kwani wakati wa kununua niliikagua kwanza kila kitu muhimu. basi niliwasimulia wanafunzi wenzangu habari za komputa na umuhimu wa kuelewa aina ya komputa unayoitaka. pia niliyajua maduka karibu yote ya computer hapa dar na namna ya be zao n.k. wanafunzi wachache walinielewa na kuniamini hivyo walinituma kuwanunulia na mara nyingi tulienda wote. kwa vile wenye biashara zao walinijua na kuniamini basi walinipunguzia sana bei. baada ya muda nikajikuta nawapeleka wanachuo wengi tu kununua computer. niliwaomba wanilipe kiasi kidogo kwa kuwapeleka, kubageini bei na ushauri. basi hadi nalipomaliza chou hela yangu ya matumizi ilitokana na biashara hii. tena nilikuwa mwaminifu sana. na huu ni msngi muhimu kwa biashara kama hii. sikuwa na mtaji wa fedha lakini nilifanya biashara. nilikuwa na mtaji wa maarifa lakini.
 
kuna kitu wanaitaga starting capital without capital, yaan unatengeneza mtaji pasipo mtaji, natamani kupata mtu wa kunielimisha kuhusu hili, niliwah kuhudhuria semina moja ya wajasiramali walikua wanalizungumzia jinsi ya kutengeneza mtaji pasipo kuhitajika kuwa hata na shilingi., sasa nlikua nimechelewa kidogo hata vipeperush hawakua navyo na kila nliemuomba anielekeze alisema hajaelewa... mpaka leo bado linaniumiza kichwa sana wadau, naomba mwenye uelewa na hili anisaidie jamani,.,Ntashukuru sana maana natamani kushare hili na vijana wenzangu lakini sina uelewa wa kutosha kuhusu hili suala.Ahsanteni

Usiwaze tatizo/swali lako limefika penyewe mama. Tembelea www.cashking.7figuresuccess.com kuna videos inside kindly watch them utaelewa kila kitu na nini hasa cha kufanya. #Barikiwa
 
Labda nikupe mfano fulani ambao ulinisaidia nilipokuwa chuoni udsm. kuna wanafunzi walihitaji computer lakini hawakuwa hasa wanajua aina, sifa na ubora. mimi nilikuwa na uelewa kiiasi kwani wakati wa kununua niliikagua kwanza kila kitu muhimu. basi niliwasimulia wanafunzi wenzangu habari za komputa na umuhimu wa kuelewa aina ya komputa unayoitaka. pia niliyajua maduka karibu yote ya computer hapa dar na namna ya be zao n.k. wanafunzi wachache walinielewa na kuniamini hivyo walinituma kuwanunulia na mara nyingi tulienda wote. kwa vile wenye biashara zao walinijua na kuniamini basi walinipunguzia sana bei. baada ya muda nikajikuta nawapeleka wanachuo wengi tu kununua computer. niliwaomba wanilipe kiasi kidogo kwa kuwapeleka, kubageini bei na ushauri. basi hadi nalipomaliza chou hela yangu ya matumizi ilitokana na biashara hii. tena nilikuwa mwaminifu sana. na huu ni msngi muhimu kwa biashara kama hii. sikuwa na mtaji wa fedha lakini nilifanya biashara. nilikuwa na mtaji wa maarifa lakini.

what you did is an occupation/specialization known as Sourcing Agents

information on brands, specifications, where, prices, freight costss is the capital of sourcing agents
 
Thank you for a good thread, kutafuta mbinu na Idea kama hizi tayari ni ujasiriamali na mtaji pia.
 
kuna kitu wanaitaga starting capital without capital, yaan unatengeneza mtaji pasipo mtaji, natamani kupata mtu wa kunielimisha kuhusu hili, niliwah kuhudhuria semina moja ya wajasiramali walikua wanalizungumzia jinsi ya kutengeneza mtaji pasipo kuhitajika kuwa hata na shilingi., sasa nlikua nimechelewa kidogo hata vipeperush hawakua navyo na kila nliemuomba anielekeze alisema hajaelewa... mpaka leo bado linaniumiza kichwa sana wadau, naomba mwenye uelewa na hili anisaidie jamani,.,Ntashukuru sana maana natamani kushare hili na vijana wenzangu lakini sina uelewa wa kutosha kuhusu hili suala.Ahsanteni

Hayo ni maneno tu, hicho kitu hakipo under the world of business!!!!
(HII NDIO BUSINESS: C=A-L; C-capital, A-asset, L-liability full stop)
Yaani hakuna capital bila asset, lakn inaweza kuwepo bila liability; na wewe tayari ni asset; kwa hio wanachofanya ni hv: C=A, yaani hakuna liability, ila asset ipo ambayo ni wewe; kwa hapo ndio utasikia mtu anasema unaweza kuanzisha biashara bila ya kuwa na capital, but the fact is haiwezekani under the sun of business!!!!

Hata hivyo when you mention capital, you may mean this among other things
1. financial capital
2. human capital
kwa kutaja chache tu!

Financial capital----- ndio kusema mtaji pesa
human capital-------ndio kusema mtaji binadamu hapa nalenga zaidi knowledge yake, yaani wewe mwenyewe, na lazima wewe biashara ikuthaminishe kipesa kama tupo kwenye biashara context!! hapa ndipo sarakasi inapoanza yaani unakuwa asset badala ya kuwa capital!!

Hata hivyo nasikia in the books of accounts wanarecord kitu kama copyright, goodwill, intellectula property, nk km asset na wala sio capital, ila vitabu vya accounts visikudanganye maana ukiangalia first treament ya capital kwenye kuanzisha biashara inakuwa hv(kwa kumbukumbu zangu za form two)
Dr-CASH/BANK
Cr-Capital, which means capital lazima iwe ni hela kwa huo muktadha!!

Kwa mantiki hio sio kweli kuwa biashara yaweza kuanza bila capital ila tu capital inapokuwa sawasawa na asset, ambayo asset ndio wewe na pia tunaamua kusema capital ni pesa tu bhaaas!!
Ahsante sana!!
 
Hayo ni maneno tu, hicho kitu hakipo under the world of business!!!!
(HII NDIO BUSINESS: C=A+L; C-capital, A-asset, L-liability full stop)
Yaani hakuna capital bila asset, lakn inaweza kuwepo bila liability; na wewe tayari ni asset; kwa hio wanachofanya ni hv: C=A, yaani hakuna liability, ila asset ipo ambayo ni wewe; kwa hapo ndio utasikia mtu anasema unaweza kuanzisha biashara bila ya kuwa na capital, but the fact is haiwezekani under the sun of business!!!!

Hata hivyo when you mention capital, you may mean this among other things
1. financial capital
2. human capital
kwa kutaja chache tu!

Financial capital----- ndio kusema mtaji pesa
human capital-------ndio kusema mtaji binadamu hapa nalenga zaidi knowledge yake, yaani wewe mwenyewe, na lazima wewe biashara ikuthaminishe kipesa kama tupo kwenye biashara context!! hapa ndipo sarakasi inapoanza yaani unakuwa asset badala ya kuwa capital!!

Hata hivyo nasikia in the books of accounts wanarecord kitu kama copyright, goodwill, intellectula property, nk km asset na wala sio capital, ila vitabu vya accounts visikudanganye maana ukiangalia first treament ya capital kwenye kuanzisha biashara inakuwa hv(kwa kumbukumbu zangu za form two)
Dr-CASH/BANK
Cr-Capital, which means capital lazima iwe ni hela kwa huo muktadha!!

Kwa mantiki hio sio kweli kuwa biashara yaweza kuanza bila capital ila tu capital inapokuwa sawasawa na asset, ambayo asset ndio wewe na pia tunaamua kusema capital ni pesa tu bhaaas!!
Ahsante sana!!

oooh thanks muuch my dear, nimejifunza kitu,.
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom