Njia rahisi ya kukatisha mahusiano

Njia rahisi ya kukatisha mahusiano

LORDVILLE

Mkuu you said it all. Ila suala la kutoingia katika mahusiano ni gumu sana. Vile vile kumbuka kuna wengine hawaachwi bali wanaamua kuacha wenyewe either kwa kuona mahusiano hayana muafaka ama kwa kuchoshwa na vituko vya wapenzi wao.

Mkuu kumbuka hapo mmoja ndio kaamua kumuacha mwenziwe baada ya kumuona haeleweki na yeye aliyeacha unakuta ni innocent kabisa ktk mahusiano.

Case kama hiyo ni ngumu sana mkuu
 
Kuachwa ni kuachwa tu na maumivu hayatofautiani sn sema kuwekana wazi sababu za kuachana ni nzuri mn wawezajifunza ucrudie da same mistake hk uendako
 
Na ni yupi atakaeanzisha hiyo mada ya kuachana.. Coz ndie atakaelaumiwa na kuonekana kamwacha mwenzake. Njia ya kumwacha mtu c hadi maneno. Matendo yenyewe yanaongea, hasa kwenye communication.. Ulikuwa unampigia simu mara nne kwa siku, unaanza kupunguza taratibu. Ulikuwa unachat nae masaa matatu mfululizo, unapunguza ultimately to zero
 
RICARDO KAKA

Yaani sio utani wanaume wengine dakika 5 mbele, ilinitokea hiyo mimi, yaani yeye alikuwa na mchepuko sasa mimi nilipogundua akaona kama namghasi fulani. tukaanza kukatiana mawasiliano taratibu mwishowe kila mtu akashika lake,"bahati nzuri kuna siku alikutana na mwenye nyumba wangu, mwenye nyumba akamuuliza mbona siku hizi huji?

Akasema kwa kinywa chake ameachana na mimi na anataka kuoa kwao" baada ya miezi minne akasikia mimi nina mtu, Aisee mwanaume alikuja kasi, shati mkononi eti kaja kunifumania, yaani kama sio busara za mwenye nyumba wangu hata sijui ingekuwaje, kutoka hapo kwakweli mtu namwambia kabisa tena kwa amani tu, kila mtu ashike lake tubaki tunaheshimiana tu.
 
Last edited by a moderator:
Kuachwa ni kuachwa tu na maumivu hayatofautiani sn sema kuwekana wazi sababu za kuachana ni nzuri mn wawezajifunza ucrudie da same mistake hk uendako

Kuna utofauti wa maumivu kati ya kumuacha unayempenda na kuachwa na unayempenda? ooh yes, unaweza ukawa unampenda mtu na bado ukalazimika kumuacha,kwa mtu anayejua nini maana ya kupenda haijalishi kama kaacha au kaachwa, what pains is "we are no longer together"
 
Mkuu ni kweli usemayo ila kutojiingiza katika mahusiano ni suala lingine

LORDVILLE
Mkuu you said it all. Ila suala la kutoingia katika mahusiano ni gumu sana. Vile vile kumbuka kuna wengine hawaachwi bali wanaamua kuacha wenyewe either kwa kuona mahusiano hayana muafaka ama kwa kuchoshwa na vituko vya wapenzi wao.

Mkuu kumbuka hapo mmoja ndio kaamua kumuacha mwenziwe baada ya kumuona haeleweki na yeye aliyeacha unakuta ni innocent kabisa ktk mahusiano.

Case kama hiyo ni ngumu sana mkuu
Nikweli msemacho wakuu.. nimesha edit post hapo juu!!

Leo unataka mwacha belive me ataumia tena sana, na wewe kwa sasa hutajali, utaondoka utamwacha anaumia huku ukijifariji umemwacha, one day utahitaji kurudi kwake (according to my experience it might happen) unadhani kitatokea nini?? kuliko kumuumiza kwanini msiongee yakaisha? Nnavyoona njia sahihi ya kukatisha mahusiano bila kuumiza mtu ni kutojiingiza katika mahusiano na mtu ambaye huna feelings/future nae!!
 
hahahha huyo demu kauzu... sa jamaa papuchi aitolee wap tena aweke kwenye gazeti!!!! inabidi kuwa mpole tu nshakula hasara hapo

Sio kula hasara hapo ni kumalizana tu kwa busara sio habar za kuanza kudaiana
 
mpe live mi sikutaki basi

Hii wanaume hawaiwezi kusema live situtaki? never coz anajua atarudi pasha na hawafutagi no.ila kwa upande wetu tuna ubavu wa kusema direct.
kwangu mie kama simpendi uwa namwambia " nipe baba yako" ndo nishafikisha ujumbe.
 
hii wanaume hawaiwezi kusema live situtaki? never coz anajua atarudi pasha na hawafutagi no.
ila kwa upande wetu tuna ubavu wa kusema direct.
kwangu mie kama simpendi uwa namwambia " nipe baba yako"

Eeeh hilo jibu chungu
 
RICARDO KAKA

Yaani sio utani wanaume wengine dakika 5 mbele, ilinitokea hiyo mimi, yaani yeye alikuwa na mchepuko sasa mimi nilipogundua akaona kama namghasi fulani. tukaanza kukatiana mawasiliano taratibu mwishowe kila mtu akashika lake,"bahati nzuri kuna siku alikutana na mwenye nyumba wangu, mwenye nyumba akamuuliza mbona siku hizi huji?

Akasema kwa kinywa chake ameachana na mimi na anataka kuoa kwao" baada ya miezi minne akasikia mimi nina mtu, Aisee mwanaume alikuja kasi, shati mkononi eti kaja kunifumania, yaani kama sio busara za mwenye nyumba wangu hata sijui ingekuwaje, kutoka hapo kwakweli mtu namwambia kabisa tena kwa amani tu, kila mtu ashike lake tubaki tunaheshimiana tu.
Hahahahahahahaahahah! dah hapo penye rangi ya Valentine day, umenichekesha sana.
Dah! Baba mwenye nyumba kamuuliza mbona siku hizi huji? Dah naye baba mwenye nyumba Mnaa kweli yaani, najua alitaka kuuliza mbona siku hizi huji kuua? Dah aisee nimecheka sana leo dah!
 
Hahahahahahahaahahah! dah hapo penye rangi ya Valentine day, umenichekesha sana.
Dah! Baba mwenye nyumba kamuuliza mbona siku hizi huji? Dah naye baba mwenye nyumba Mnaa kweli yaani, najua alitaka kuuliza mbona siku hizi huji kuua? Dah aisee nimecheka sana leo dah!

We nawe unamambo.
Mwenye nyumba alimuuliza sababu walikuwa wamezoeana akaona hamuoni.
Kibaya zaidi alikuja kuniharibia yaani mapemaa, kauhusiano bado kabichi kabisa akampeperusha ndege wangu.
Kiukweli yule mtu kanisurubu sana, yaani zaidi ya miaka 3 mwendo wakukimbizana hadi nikaamua kuwa mpole na kukubaliana naye.
 
We nawe unamambo.
Mwenye nyumba alimuuliza sababu walikuwa wamezoeana akaona hamuoni.
Kibaya zaidi alikuja kuniharibia yaani mapemaa, kauhusiano bado kabichi kabisa akampeperusha ndege wangu.
Kiukweli yule mtu kanisurubu sana, yaani zaidi ya miaka 3 mwendo wakukimbizana hadi nikaamua kuwa mpole na kukubaliana naye.
Lakini jamaa hana makosa si unakumbuka kale kamsemo ka babu zetu "HAWALA HATONGOZWI"
Na kuna ile ya wazungu " IT IS NOT OVER UNTIL IT IS OVER" Yaani yeye ataacha mpaka pale itokee kama ilivyotokea kwa Komba. Mpaka BWANA atwae ndo jamaa ataacha.
Ila na nyie akina dada mmezidi, wakati wa show unampa mtu manjonjo mpaka akienda kwa mwingine anakuta mmmmmmm, huyo mwingine ni mweupe kishenzi yaani kwenye show. Sasa wewe unafikiri ataacha kuja kwa Kasi na shati mkononi, mbaya zaidi akifanya imagination za show inavyokuwa tamu.
 
Umenikumbusha mbali sana, Mchumba wangu alinipa makavu live yani nikiyakumbuka maneno yake huwa nalia sana.
aliniambia sikupendi na nahisi nalazimisha kukupenda na nalazimisha kuwa na wewe,haunivutii na kudai ya kwamba hatokaa aje kunioa mimi.
nilimuona mkatiri sana ila nashukuru aliniambia mapema hata maumivu yameisha.
 
Back
Top Bottom