mwalimumzalendo1
JF-Expert Member
- May 19, 2014
- 1,098
- 407
Kimyakimya inaumiza sana kwa mtendewa
uzi mzuri sana mkuu. Kweli kuna mda unaona kabisa uhusiano umefikia pasipowezekana tena kuendelea matokeo yake mnateseka tu kwa kushindwa kuachana. Mimi napenda sana kuvunja uhusiano bila kumsababishia maumivu makali ila sasa utekelezaji wake mgumu!
Ila mitama hapana. Hahahahahahaa
Bora umpe mwenzako ukweli, there is no way utakosa kuonekana mbaya au kutosababisha maumivu hususani kama kulikua na honesty feelings.Kama una kifua mawasiliano na mtu unayemwacha imawezekana ila ni ngumu sana ma wala haina ulazima.
nakwambia uninogeshi sasa usinitie shombo
Bwana eh, sijui alikuwa anawazaga nini huyu kichwani mwake... tena sio kwamba anampa mtama tu anamwachia, ni kwamba anamfukuza hata meta 200 na ushee na humo mwote anapita kula mitama!!! Demu anakula mtama hadi chini, anainuka, anakimbia, jamaa anamfukuza, akimkuta, mtama hadi chini; demu anainuka, anatoka nduki, jamaa anae....
eenh rudisha vitu vyangu.... unajua gharama zake au ulikua unaagiza tu!!!
eenh rudisha vitu vyangu.... unajua gharama zake au ulikua unaagiza tu!!!
bora kimya kimya ...niljaribu kuongea kistaarabu and we ended up having sex after kumbembeleza.it was the best sex(make up sex)
Another incident I got slapped
nakwambia uninogeshi sasa usinitie shombo
sirudishi nilijua utabadilika kumbe bure tu,,, sikupi wakati nakuvumilia shombo zako
hahahahahahahahahKwa wanawake bora kumwambia mtu macho meupe kuliko habari ya kimya kimya, kuna wanaume akili zao sio nzuri, mtu utajua mmeachana baada ya muda utasema unaanzisha mahusiano mapya, siku utashangaa mtu alikoibukia hujia anasema kakufumania. kuambiana ni bora kwa kweli
kuna mmoja alivyodai vitu vyake kama hivyo... bidada ilibidi amuulize kama amekuja na papuchi alokuwa anaitumia kama hajaja nayo akailete tena aifunge kwenye gazeti wapeana mkono kwa mkono