Njia rahisi ya kukatisha mahusiano

Njia rahisi ya kukatisha mahusiano

Zeddicus

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2012
Posts
627
Reaction score
540
Habari zenu wadau wa jukwaa hili la MMU, bila shaka mu buheri wa afya na mnaendelea na shughuli zenu za kila siku za kujenga familia na taifa kwa ujumla.

Lengo la huu uzi wangu ni kutaka kupata michango kutoka kwenu kuhusiana na njia mujarabu ya kukatisha mahusiano.
Najua kitu kikubwa kinachoumiza wapenzi wawili wanapoachana ni yale mazuri ya kukumbukwa wakati wakiwa pamoja. Hii haswa ni kwa ule upande mmoja ulioachwa with no guilty.

Au ulioamua kuacha baada ya mahusiano kubadilika ghafla.Sasa je njia ipi ni muafaka, ambayo haitaleta maumivu kwa pande zote mbili au hata upande mmoja. Je ni vema kukaa na kuelezana kwamba tumeshindwana so we have to break up au ni kuacha kimya kimya tu no texts no calls wala appointment.

Ipi njia muafaka wadau
 
Nadhani kuachana kokote kule ni lazima kue na maumivu Kwa pande zote mbili hata mmoja wapo akijitia ujasiri lakini japo kidogo itamgusa, Kwa upande Wangu naona bora mkae chini muelezane ukweli kua mpaka hapa mwenzangu naona hatuwezani bora kila mmoja ashike ustarabu wake..
 
Kwa wanawake bora kumwambia mtu macho meupe kuliko habari ya kimya kimya, kuna wanaume akili zao sio nzuri, mtu utajua mmeachana baada ya muda utasema unaanzisha mahusiano mapya, siku utashangaa mtu alikoibukia hujia anasema kakufumania. kuambiana ni bora kwa kweli
 
Inategemea moyo watu mtu na mtu..!!kimya kimya au kuchanana live maumivu yanaweza kutokea

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
If you can break relationship in peace, hiyo ndiyo mujarab kabisa! Ikiwa mtaweza kuongea na kuambiana ukweli kwamba, kwa hapa tulipofikia ni ngumu ku-fix this relationship, inakuwa njema zaidi! I hate aina ya kuachana as if mlikutana barabarani, mkaenda kugongana na baada ya hapo kila mtu kuchukua hamsini zake as if nothing else ever happened between you two! Kuachana sio ugomvi ni kwamba ilikuwa lazima iwe hivyo! Namkumbuka mshikaji wangu mmoja... enz zile za foolish age, bwana eh, kuna demu wake mmoja alikuwa hamtaki... basi akikutana nae tu, MITAMA!
 
If you can break relationship in peace, hiyo ndiyo mujarab kabisa! Ikiwa mtaweza kuongea na kuambiana ukweli kwamba, kwa hapa tulipofikia ni ngumu ku-fix this relationship, inakuwa njema zaidi! I hate aina ya kuachana as if mlikutana barabarani, mkaenda kugongana na baada ya hapo kila mtu kuchukua hamsini zake as if nothing else ever happened between you two! Kuachana sio ugomvi ni kwamba ilikuwa lazima iwe hivyo! Namkumbuka mshikaji wangu mmoja... enz zile za foolish age, bwana eh, kuna demu wake mmoja alikuwa hamtaki... basi akikutana nae tu, MITAMA!

Hahaaa huyo jamaa yako alikuwa foolish kweli
 
Hahaaa huyo jamaa yako alikuwa foolish kweli
Bwana eh, sijui alikuwa anawazaga nini huyu kichwani mwake... tena sio kwamba anampa mtama tu anamwachia, ni kwamba anamfukuza hata meta 200 na ushee na humo mwote anapita kula mitama!!! Demu anakula mtama hadi chini, anainuka, anakimbia, jamaa anamfukuza, akimkuta, mtama hadi chini; demu anainuka, anatoka nduki, jamaa anae....
 
uzi mzuri sana mkuu. Kweli kuna mda unaona kabisa uhusiano umefikia pasipowezekana tena kuendelea matokeo yake mnateseka tu kwa kushindwa kuachana. Mimi napenda sana kuvunja uhusiano bila kumsababishia maumivu makali ila sasa utekelezaji wake mgumu!

Ila mitama hapana. Hahahahahahaa
 
Bora umpe mwenzako ukweli, there is no way utakosa kuonekana mbaya au kutosababisha maumivu hususani kama kulikua na honesty feelings.Kama una kifua mawasiliano na mtu unayemwacha imawezekana ila ni ngumu sana ma wala haina ulazima.
 
Back
Top Bottom