Jamanery naombeni ushauri,,, nimsaidie huyu rafiki yangu,,,,, ni mjamzito na yuko chuo mwaka wa kwanza,,,,, mwanzni alitaka kuitoa,, mwenza wake akakataa,,,, yeye sababu nzake ni anahôfia kwao na masomo pia,,,, bt mwenza wake alivyokataa alisema sawa kwasababu anajua madhara ya kutoa mimba,,,,, but hivi juzi mwenza wake kaja juu na kumsisitiza kuitoa eti hata akijitambulisha kwao aibu kwao aibu itakuwa palepale,,,, binti hataki amesoma madhara ya kutoa mimba ni mengi,,,, kuliko aibu anayotaka kuificha,,,, anasema kwao watamuelewa tu,,,, ishatokea,,,,, sa jamaa htaki kumuelewa na kamjibu itakuwa ya kwako,,,, afanyeje???