Nje ya mawazo ya Mwanadamu Mungu hayupo, hajawahi kuwepo, na hatakuwepo

Na hapo ndio imani zilipoanza
Bongo zetu zimekua hardwired na evolution since the beginning ku search pattern na ku find meaning kwenye kila kitu

Bahati mbaya, sio kila kitu kina meaning
Uwepo wetu hapa hauna maana yoyote, we are so insignificant

Huu ni ukweli mchungu, lakini maisha yana meaning,ila sio inherent meaning

Unaweza kutengeneza maana yako ya maisha, kama utakubali kuwa tunaishi mara moja tu
Utaona kuna faida kubwa sana ya kuishi kila sekunde ya maisha yako to the fullest
Kuna vitu vingi vinaweza kuyapa maisha yako meaning, mwanasayansi nguli kama Richard feyman alikua haamini Mungu yet maisha yake yalijaa a lot of meaning
Kwa kiasi chako fanya dunia iwe sehemu nzuri zaidi, ukiondoka watu wakukumbuke hata familia yako tu inatosha

Kama una insist Mungu lazima awepo ili maisha yako yawe na maana, otherwise hakuna maana ya wewe kuwepo

Basi Mungu unayemuamini yupo desperate kuliko wewe

Ushawahi kujiuliza purpose ya maisha ya Mungu?

Purpose ya maisha yake ni nini?
Kutuumba tu na kututazama?

Purpose ya kutuumba na kututazama ni nini?

Kujifurahisa?
Purpose ya kujifurahisa kwake ni ipi?

Au alituumba ili tujue yupo, purpose ya sisi kujua yupo ni nini?

Utaona hata maisha ya Mungu hayana maana kwa logic yako

Maana ya maisha ni kuishi each and every second, kabla hujazaliwa ulikua unateseka?

Kwanini uogope kifo kiasi cha kuona maisha hayana maana kama hakuna afterlife?
Binadamu kutokana na curiosity yake inapelekea lazima ahitaji purpose and something bigger to believe in.

Na ili uamini then hutakiwi kuhoji na ndio maana ya imani.
So no hutakiwi kuhoji purpose ya maisha ya mungu au hiyo itakiuka maana ya imani sababu nothing will make any sense at that point.

Binadamu kuinsit uwepo wa mungu haimaanishi maisha yake hayana maana nyingine, maana nyingine zipo.
Bali ili kujipa sense of security and peace of mind itabidi binadamu afanye hivyo, because the truth is too hard to bear.
Kwenye ukweli ni full of Loneliness and Sadness, na hivyo vitu ni ngumu kwa ubongo wa binadamu kuhandle hivyo vinapelekea insaneness na kuondoa maana nzima ya kuwa Binadamu. I've been there and so weird out there that I don't wanna be there ever again lakini nimejifunza vingi tayari.

I got some simple questions for you:
Pale mtu wako wa karibu anapoumwa wewe humuombei kupona?
Wewe ushawahi kutoa msaada au kusaidia yoyote yule?
Na lastly kwanini unapinga uwepo wa mungu?
 
Tatizo hujuwi tofauti ya neno Mungu na mungu
Mungu na mungu kimatamshi unaweza kutofautishaje?

Mtu akitamka utajuaje kua kakusudia mungu na sio Mungu?

Najua proposal uliyotaka kuja nayo, ulitaka kusema mungu inasimama kama miungu. Lakini ushawahi jiuliza wenye dini hiyo ambayo mungu wao unai consider kama miungu na kuiandika kwa herufi ndogo, wao wanamchukuliaje mungu wako?

Hata mungu wako unayemuheshimu kwa kumuita Mungu, naye anahesabika kama ni miungu katika dini zingine.

Thamani na heshima ya Mungu wako ina mipaka kwa wengine, ni kama tu wewe ambavyo huoni shida kutompa heshima Mungu ng'ombe kutoka dini ya kihindu
 
Binadamu kutokana na curiosity yake inapelekea lazima ahitaji purpose and something bigger to believe in.

Na ili uamini then hutakiwi kuhoji na ndio maana ya imani.
So no hutakiwi kuhoji purpose ya maisha ya mungu au hiyo itakiuka maana ya imani sababu nothing will make any sense at that point.

Binadamu kuinsit uwepo wa mungu haimaanishi maisha yake hayana maana nyingine, maana nyingine zipo.
Bali ili kujipa sense of security and peace of mind itabidi binadamu afanye hivyo, because the truth is too hard to bear.
Kwenye ukweli ni full of Loneliness and Sadness, na hivyo vitu ni ngumu kwa ubongo wa binadamu kuhandle hivyo vinapelekea insaneness na kuondoa maana nzima ya kuwa Binadamu. I've been there and so weird out there that I don't wanna be there ever again lakini nimejifunza vingi tayari.

I got some simple questions for you:
Pale mtu wako wa karibu anapoumwa wewe humuombei kupona?
Wewe ushawahi kutoa msaada au kusaidia yoyote yule?
Na lastly kwanini unapinga uwepo wa mungu?
Mkuu kwanza nikupongeze kwa namna ya uwasilishaji wako wa hoja ambapo umefanya nikuone tofauti kabisa na wengine

Ni kweli kwa namna fulani naweza kukubaliana na hoja yako kua dhana ya Mungu ilikuja baada ya binadamu kutaka kujua kusudi lake kwanini yupo duniani

Lakini hapa tunaweza tukaona ni mwanzo mzuri ambao alianza nao kwa kudadisi pengine mazingira yaliomzunguka. Na kwa mfano huu tutaina jindi watu hawataki kukubali jibu la "sijui" pale ambapo jitihada za kutafuta majibu sahihi zinaposhindikana

Lakini pia kanuni hii ya kudadisi ili iwe sahihi basi ni lazima ikupe jibu la hakika ambalo lina consistence. Kanuni hii haitakua sahihi na wala haitaleta jibu sahihi kama kuna mahali utaweka limitations za kudadisi au kupata majibu ambayo hayajapitia kwenye kingo za udadisi.

Ukisema mimi nipo, na vitu vilivyonizunguka vipo, hivyo nahitaji kujua nini kimesababisha mimi na hivyo vitu tuwepo.

Hapo by default unakua hujakubaliana na wazo la kusema wewe na hivyo vitu vilivyokuzunguka hamna chanzo.

Kwasababu kama unaweza kufikiri kua kilichopo kinaweza kuwepo pasipo kuhitaji chanzo nadhani kulikua hakuna sababu ya kuhoji chanzo chako na hivyo vilivyo kuzunguka.

Ungekomea hapo hapo usinge hitaji kufanya udadisi wa kujua kusudi lako kwasababu in the first place ulishaona hakuna ili kitu kiwepo basi chanzo si muhimu.

Kwa hiyo jibu lolote lililopitia principle hiyi afu baadaye principle hiyo ikapinduliwa ili kufosi jibu la uongo haliwezi kukubalika, labda kama tusifikirie irrational

Ukisema imani ya mungu haihitaji kuhoji unakua unanichanganya. Kwanini tuna dini nyingi zenye imani na mungu tofauti tofauti, je hizo imani zote zilikujaje kitofauti bila kuhoji

Ni kweli leo hii mkristo atakubali kua thor ni mungu wa kweli kwasababu imani ya mungu haipaswi kuhoji?

Ni kweli hata leo hii nikikuambia mimi ni Mungu nahitaji sadaka ya dollar 50,000 utatoa na utakubali kua mimi ni Mungu kwakua imani ya mungu haipaswi kuhoji?

Nikija kwenye swali lako kua 'Ndugu yangu akiumwa simuombei kupona'

Siamini katika kuomba, kwangu mimi neno hili naliona limekaa zaidi katika angle ya kiimani (sijui kama ulimaanisha hivi kama nilivyoelewa)

Hua simuombei, hua naangalia zaidi katika njia yenye uhakika wa ku solve tatizo na kipi kifanyike kuokoa uhai wake. Kama tatizo ni pesa kwa ajili ya matibabu sitapiga magoti kuomba muujiza ufanyike, nitaenda hata kukopa.

Hata wenye imani ya mungu na wajuzi wa kuomba sikumbuki kua kuna siku ambulance zilishawahi kupeleka wagonjwa kwenye nyumba zao za ibada ili waombewe wapone.

Na ingekua maombi yanafanya kazi basi tusingeona hospitali za mission na hospitali kubwa zinazo milikiwa na misikiti. Hiyo tu inatosha kuthibitisha kua maombi ni useless ni tumaini la kinafki lisilo na msaada

Nikija kwenye swali lako la pili
"Ushawahi kutoa msaada au kusaidia mtu?"

Yeah, kwanini usisaidie ikiwa msaada unao ombwa uko ndani ya uwezo wako?

Hiyo ni "empathy" unajiweka katika position ya yule mtu anayekuomba msaada na ku-imagine situation yake anayo i-face kua vipi ingenikuta mimi.

Utajiskiaje kunyimwa msaada na mtu ambaye unajua kwa hakika kua ulicho muomba kipo ndani ya uwezo wake lakini amekunyima?

Wala haihitaji mungu ni utu. Wapo wenye imani na mungu wanaweza wakakupita wakaishia kusema "tunakuombea dua mungu atakushushia baraka", "astakhfilah" afu wakapita zao. Je huo ndo msaada ulio hitaji kwa wakati huo?

Swali lako la mwisho
"kwanini napinga uwepo wa mungu"

Sio kweli kwamba ni mimi pekee naye pinga uwepo wa mungu bali hata wewe kuna Miungu nahakika unayopinga uwepo wake. Katika list ya miungu 5,000 wewe umejichagulia mmoja na kuikataa miungu 4,999

Mimi nimeikataa hiyo yote 5,000, so kabla ya kudai kwanini napinga uwepo wa mungu at least unipe sababu kwanini unapinga hiyo miungu 4,999. Utaweza?
 
Mungu yupo, sina shaka na hili. Ila namna watu wengi walifundishwa kuhusu Mungu ndiyo inawafanya kuwa wagumu kuamini uwepo wake.

Watu wengi wanapopitia shida na changamoto mbalimbali hukimbilia kuhitimisha kuwa huenda Mungu hayupo au haoni shida zake!
umeshawahikumuona au kuwasiliana nae? au umehadithiwa tu pamoja na kusoma vitabu?
 
issue ya Mungu ilizaliwa pale wanadamu walipokosa majibu ya maswali magumu waliokutana nayo kipindi hicho ndio maana hata magonjwa yalionekana ni km vile hasira toka kwa mungu ila tangu wanadamu walipogundua causes za haya magonjwa na tiba zake huwez ckia mtu akalaumu hasira ya mungu akipata malaria coz tiba yake ipo, cku science itakapoupatia majawabu ya maswali magumu ambayo hayajapata majawabu basi hutosikia sn habari za mungu, niseme tu ht waandish wa vile vitabu vilivyomo kwe biblia wa;iandika habari za vitu walivyoviona tu km dunia jua mwezi na nyota na km wangekua wanafahamu kuhusu jupiter na saturn basi leo hii tungesikia si tu dunia ila pia hadithi zinazohusu uumbaji wa sayari hizo pia, kungekua na habari za kutisha kuhusu milkway au andromeda galaxies ila kwakuwa hawakufaham basi stori zao zikaishia kwe vile walivyoviona plus imaginations zao
 
umeshawahikumuona au kuwasiliana nae? au umehadithiwa tu pamoja na kusoma vitabu?
NDIYO NIMEMUONA NA NINAWASILIANA NAYE KILA SIKU HASA KUPITIA MALAIKA ZAKE

Mungu ni kama alivyo Rais wa nchi, huwezi kuamka tu na ukampigia simu Rais na akapokea, haiwezekani. Lazima upitie kwa wasaidizi wake uwaeleze shida yako ndiyo watakuunganisha uongee na Rais kama wakiona kuna umhimu huo.

Hata wewe kama unataka kuwasiliana na Mungu jifunze namna ya kuwatumia Malaika na ujifunze lugha wanayotumia Malaika na ishara zao wanapokujibu maombi yako.

KAMA UNAHITAJI KUFAHAMU NAMNA YA KUMUONA MUNGU AU NAMNA YA KUWASILIANA NAYE NITAFUTE PRIVATE NITAKUSAIDIA
 
Mungu na mungu kimatamshi unaweza kutofautishaje?

Mtu akitamka utajuaje kua kakusudia mungu na sio Mungu?

Najua proposal uliyotaka kuja nayo, ulitaka kusema mungu inasimama kama miungu. Lakini ushawahi jiuliza wenye dini hiyo ambayo mungu wao unai consider kama miungu na kuiandika kwa herufi ndogo, wao wanamchukuliaje mungu wako?

Hata mungu wako unayemuheshimu kwa kumuita Mungu, naye anahesabika kama ni miungu katika dini zingine.

Thamani na heshima ya Mungu wako ina mipaka kwa wengine, ni kama tu wewe ambavyo huoni shida kutompa heshima Mungu ng'ombe kutoka dini ya kihindu
mungu ni wewe binadamu

Wewe ulivyo ni mfano wa Mungu

Sasa sielewi upo bize na maandishi mengi ukimpinga Mungu sijuwi inakusaidia nini

Au ndiyo unataka uonekane una akili nyingi
 
Halafu nimewauliza dawa inayotibu kabisa pumu ya kisayansi ni ipi bado hamjanijibu
 
Binadamu kutokana na curiosity yake inapelekea lazima ahitaji purpose and something bigger to believe in.

Na ili uamini then hutakiwi kuhoji na ndio maana ya imani.
So no hutakiwi kuhoji purpose ya maisha ya mungu au hiyo itakiuka maana ya imani sababu nothing will make any sense at that point.

Binadamu kuinsit uwepo wa mungu haimaanishi maisha yake hayana maana nyingine, maana nyingine zipo.
Bali ili kujipa sense of security and peace of mind itabidi binadamu afanye hivyo, because the truth is too hard to bear.
Kwenye ukweli ni full of Loneliness and Sadness, na hivyo vitu ni ngumu kwa ubongo wa binadamu kuhandle hivyo vinapelekea insaneness na kuondoa maana nzima ya kuwa Binadamu. I've been there and so weird out there that I don't wanna be there ever again lakini nimejifunza vingi tayari.

I got some simple questions for you:
Pale mtu wako wa karibu anapoumwa wewe humuombei kupona?
Wewe ushawahi kutoa msaada au kusaidia yoyote yule?
Na lastly kwanini unapinga uwepo wa mungu?

Kuna njia bora ya kuishi maisha yenye maana bila kujidanganya mwenyewe

Sio lazima uamini kwenye some fairy tales ili uishi maisha yenye maana,
Wapo watu mashuhuri wengi ambao wameacha alama zao kwenye dunia hii kiasi kwamba mpaka lifetime yako yote huwezi achieve hata nusu ya walichofanya, yet walikua Atheists

Huo ulazima wa kujidanganya kuwa kuna kitu kipo ili upate tumaini la kuishi, ni uongo tu unaokufanya usiwe responsible kwenye maisha yako

Kukujibu swali lako, Mtu wangu wa karibu akiwa kwenye matatizo, simuombei

Nafanya kila ninaloweza kumsaidia

Msaada natoa pale ninapo pata nafasi ya kusaidia, hio kwangu ni symbol of humanity

Swali la mwisho ni la kipumbavu
 
Mkuu kwanza nikupongeze kwa namna ya uwasilishaji wako wa hoja ambapo umefanya nikuone tofauti kabisa na wengine

Ni kweli kwa namna fulani naweza kukubaliana na hoja yako kua dhana ya Mungu ilikuja baada ya binadamu kutaka kujua kusudi lake kwanini yupo duniani

Lakini hapa tunaweza tukaona ni mwanzo mzuri ambao alianza nao kwa kudadisi pengine mazingira yaliomzunguka. Na kwa mfano huu tutaina jindi watu hawataki kukubali jibu la "sijui" pale ambapo jitihada za kutafuta majibu sahihi zinaposhindikana

Lakini pia kanuni hii ya kudadisi ili iwe sahihi basi ni lazima ikupe jibu la hakika ambalo lina consistence. Kanuni hii haitakua sahihi na wala haitaleta jibu sahihi kama kuna mahali utaweka limitations za kudadisi au kupata majibu ambayo hayajapitia kwenye kingo za udadisi.

Ukisema mimi nipo, na vitu vilivyonizunguka vipo, hivyo nahitaji kujua nini kimesababisha mimi na hivyo vitu tuwepo.

Hapo by default unakua hujakubaliana na wazo la kusema wewe na hivyo vitu vilivyokuzunguka hamna chanzo.

Kwasababu kama unaweza kufikiri kua kilichopo kinaweza kuwepo pasipo kuhitaji chanzo nadhani kulikua hakuna sababu ya kuhoji chanzo chako na hivyo vilivyo kuzunguka.

Ungekomea hapo hapo usinge hitaji kufanya udadisi wa kujua kusudi lako kwasababu in the first place ulishaona hakuna ili kitu kiwepo basi chanzo si muhimu.

Kwa hiyo jibu lolote lililopitia principle hiyi afu baadaye principle hiyo ikapinduliwa ili kufosi jibu la uongo haliwezi kukubalika, labda kama tusifikirie irrational

Ukisema imani ya mungu haihitaji kuhoji unakua unanichanganya. Kwanini tuna dini nyingi zenye imani na mungu tofauti tofauti, je hizo imani zote zilikujaje kitofauti bila kuhoji

Ni kweli leo hii mkristo atakubali kua thor ni mungu wa kweli kwasababu imani ya mungu haipaswi kuhoji?

Ni kweli hata leo hii nikikuambia mimi ni Mungu nahitaji sadaka ya dollar 50,000 utatoa na utakubali kua mimi ni Mungu kwakua imani ya mungu haipaswi kuhoji?

Nikija kwenye swali lako kua 'Ndugu yangu akiumwa simuombei kupona'

Siamini katika kuomba, kwangu mimi neno hili naliona limekaa zaidi katika angle ya kiimani (sijui kama ulimaanisha hivi kama nilivyoelewa)

Hua simuombei, hua naangalia zaidi katika njia yenye uhakika wa ku solve tatizo na kipi kifanyike kuokoa uhai wake. Kama tatizo ni pesa kwa ajili ya matibabu sitapiga magoti kuomba muujiza ufanyike, nitaenda hata kukopa.

Hata wenye imani ya mungu na wajuzi wa kuomba sikumbuki kua kuna siku ambulance zilishawahi kupeleka wagonjwa kwenye nyumba zao za ibada ili waombewe wapone.

Na ingekua maombi yanafanya kazi basi tusingeona hospitali za mission na hospitali kubwa zinazo milikiwa na misikiti. Hiyo tu inatosha kuthibitisha kua maombi ni useless ni tumaini la kinafki lisilo na msaada

Nikija kwenye swali lako la pili
"Ushawahi kutoa msaada au kusaidia mtu?"

Yeah, kwanini usisaidie ikiwa msaada unao ombwa uko ndani ya uwezo wako?

Hiyo ni "empathy" unajiweka katika position ya yule mtu anayekuomba msaada na ku-imagine situation yake anayo i-face kua vipi ingenikuta mimi.

Utajiskiaje kunyimwa msaada na mtu ambaye unajua kwa hakika kua ulicho muomba kipo ndani ya uwezo wake lakini amekunyima?

Wala haihitaji mungu ni utu. Wapo wenye imani na mungu wanaweza wakakupita wakaishia kusema "tunakuombea dua mungu atakushushia baraka", "astakhfilah" afu wakapita zao. Je huo ndo msaada ulio hitaji kwa wakati huo?

Swali lako la mwisho
"kwanini napinga uwepo wa mungu"

Sio kweli kwamba ni mimi pekee naye pinga uwepo wa mungu bali hata wewe kuna Miungu nahakika unayopinga uwepo wake. Katika list ya miungu 5,000 wewe umejichagulia mmoja na kuikataa miungu 4,999

Mimi nimeikataa hiyo yote 5,000, so kabla ya kudai kwanini napinga uwepo wa mungu at least unipe sababu kwanini unapinga hiyo miungu 4,999. Utaweza?
Kanuni ya kudadisi ili iwe sahihi sio lazima iwe na jibu explicitly sababu sio kila kitu kinajibika kwa kudadisi na logic.
Kama nilivyosema kabla kwamba binadamu kuna vitu anahitaji na lazima awe navyo ili awe na mind iliyo stable, kimoja wapo ni imani.
Ili kurelease the tension from unanswerable questions, au huyo mtu mind yake haitokuwa sawa. hii ni inaapply kwa wengi.

Ili kuwa clear itabidi nikusahihishe kidogo hapa kwenye imani.
Mimi sijasema "imani ya mungu" bali nilisema "Imani kama Imani" means haijalishi ni imani gani mtu anaamini.

Kuna imani nyingi lakini kila mtu anaamini Imani na miungu tofauti, Ukisema "imani ya mungu" tayari hiyo sentence itakuwa inamaanisha kitu kimoja.
kitu ambacho mimi sijaamanisha.

Hivyo leo hii ukimuambia mkristo kwamba Thor ni mungu wa kweli basi bila shaka hawezi kukubali kisa "thor" ni "imani ya mungu hivyo hapaswi kuhoji", well lazima akatae sababu sio "Imani" yake!.

Na hata ukiniambia kwamba wewe ni Mungu hivyo nikupe dollar 50,000, siwezi kukupa sababu again wewe siyo mungu wa "imani" ninayo iamini mimi.
Wanaokuamini then ni juu yao kukupa wewe mungu wao dollar 50,000.

Ni kweli neno (kumuombea ndugu anayeumwa) limekaa kwenye angle ya kiimani na ndio sababu ya kulitumia.

Kitendo cha wewe kusema (nitafanya kila njia ili kuhakikisha naokoa maisha yake) ni tayari hujui kama atapona au hatopona lakini bado unafanya kila njia ili umsaidie.
Na mpaka hapo tayari umeshaweka hope, na hope tayari ni imani.
Kama ungetaka kutumia logic basi ungeshindwa kumsaidia ndugu yako sababu hauwezi kuapply logic juu ya imani.

Tofauti yako wewe na wanaoshinda wakiomba ni kwamba wewe unaweka imani while unafanya actions lakini wao wanaacha imani kama imani.
Ili kutaka kujua kwamba ubinadamu ni kuwa na imani na imani ipo ndani ya nature yake, ni pale hata wewe unapoikimbia imani lakini at the same time bado unafanya mambo kwenye misingi ya imani bila ya wewe kujua explicitly.

kama unakataa basi nakuuliza:
Kwanini unamsaidia ndugu yako ili apone ilihali hujui kama atapona au lah?
Point ya kutoa msaada ni nini?


Empathy, Kwamba utajisikiaje na ingekuwaje kama hicho kitu kingenikuta mimi.

Lakini hapo'hapo hujui kama hilo jambo litakutokea au halitakutokea lakini bado unatoa msaada, sasa kama hujui hilo jambo litakutokea au lah then kwanini unatoa msaada?
Mpaka hapo hiyo ni imani yaani hujui kama hilo tatizo litakutokea wewe au halitakutokea lakini bado unamsaidia huyo mtu.
Ni kweli hicho kitu kingenikuta mimi ningejisikia vibaya kwamba kuna mtu ninajua ana uwezo wa kunisaidia lakini hanisaidii.
Lakini kwanini ajisumbue kama hajui hilo jambo litamtokea au lah.
Je unaweza kuapply logic hapo na uniambie kwanini unatoa msaada?

Empathy na Utu why vinamatter kwako na kuna logic gani nyuma ya hayo maneno mawili?

swali la lako la mwisho:
Sipingi uwepo wa miungu ya wengine bali sijui kama ipo au haipo sababu siamini kwenye hizo imani.
hivyo ni Simple sababu hiyo miungu 4,999 haitambuliki kwenye ninachokiamini.
 
Kuna njia bora ya kuishi maisha yenye maana bila kujidanganya mwenyewe

Sio lazima uamini kwenye some fairy tales ili uishi maisha yenye maana,
Wapo watu mashuhuri wengi ambao wameacha alama zao kwenye dunia hii kiasi kwamba mpaka lifetime yako yote huwezi achieve hata nusu ya walichofanya, yet walikua Atheists

Huo ulazima wa kujidanganya kuwa kuna kitu kipo ili upate tumaini la kuishi, ni uongo tu unaokufanya usiwe responsible kwenye maisha yako

Kukujibu swali lako, Mtu wangu wa karibu akiwa kwenye matatizo, simuombei

Nafanya kila ninaloweza kumsaidia

Msaada natoa pale ninapo pata nafasi ya kusaidia, hio kwangu ni symbol of humanity

Swali la mwisho ni la kipumbavu
Exactly that's why nimetumia neno "kumuombea" because I already knew lazima ufike hapa.

humuombei lakini kwanini unamsaidia?
Unamsaidia kwa nia ya "ili apone" Hujui kama atapona au lah lakini bado unamsaidia ili apone.
Na ukifikia hiyo hatua tayari umeshatengeneza hope.
Au ungeshindwa kumsaidia ndugu yako kama ungetaka kuapply logic kwenye hope, sababu hope ni imani already.
Na huwezi kutumia logic kwenye imani.

You see you don't have to apply logic in everthing in oder to make it real au kumake sense out of it. na hiyo ndio maana ya kuwa binadamu, na ndio maana unatumia Imani bila kujua sababu it's in your nature.
Au wewe usingekuwa unasaidia ndugu zako au kutoa misaada kwa yoyote, sababu What's the point of helping?

Kama unakataa, basi nakuuliza je unaweza kuniamba nini kimekufanya umsaidie ndugu yako?
Na unaweza kudefine hicho kilichokufanya umsaidie ndugu yako?

Unasema unatoa misaada pale unapopata nafasi sababu kwako wewe hiyo ni "symbol of humanity" unadhani hiyo ni sensible point?
Now nakuuliza swali : kwanini unatoa misaada and what's the point?
Symbol of humanity?. Why does symbol of humanity matters to you?
Kuna logic gani nyuma ya "symbol of humanity?

To assure you nipo responsible na maisha yangu kwa 100%. sababu I've been there it's just too dark lakini tayari nimeshajifunza mengi.

The point is kuwa atheist au kutokuwa haimaanishi utaa"achieve" au utashidwa "kuachieve" chochote walichoachieve wengine it doesn't matter who they were nor who they are.
Sababu deepdown again sisi wote ni Binadamu.

Kwangu mimi kuwa atheist au kutokuwa it just doesn't matter lakini ni vizuri kufikiria nje ya box kama unaweza kutolerate kilichopo nje.

Please nitajie njia moja tu ambayo itakufanya uishi maisha yenye maana?

Swali la mwisho sio la kipumbavu bali hujui kwanini unapinga uwepo wa mungu now una tofauti gani na anayeamini uwepo wa mungu?
 
Umeuliza swali ambalo watu wasio madaktari hawawezi kuwa na uelewa mpana kulihusu kwa sababu asthma ni ugonjwa wa watu wachache sana na watu wengi hawana taarifa sahihi kuhusu.
Jibu kwanza swali ndiyo uulize swali
 
Umeuliza swali ambalo watu wasio madaktari hawawezi kuwa na uelewa mpana kulihusu kwa sababu asthma ni ugonjwa wa watu wachache sana na watu wengi hawana taarifa sahihi kuhusu.
Hawa si wanasayansi jamani na kwamba sayansi inaweza yote?
 
Ulisikia wapi sayansi inaweza yote?

Mpaka sasa Sayansi haiwezi mambo yote ndio maana kuna ajali, watu wanakufa, wanazaliwa na matatizo, kuna magonjwa yasiyo na dawa n.k

Sayansi inapiga hatua kila siku kadri mwanadamu anavyoendelea kuwepe duniani na kufanya utafiti, nafahamu angalau wanasayansi wote mashuhuri wanasema hivyo, wanakubali sayansi inapiga hatua kila siku na kuna mengi bado hayajulikani au kueleweka.
Hawa si wanasayansi jamani na kwamba sayansi inaweza yote?
 
Back
Top Bottom