BIG STONE AND CONER STONE
JF-Expert Member
- Mar 11, 2023
- 320
- 495
Bila kuweka Tabaka lolote la dini au imani Tutambue ni Mungu YUPI mwenye Nguvu.
Sote tunajua Jamii nyingi za binadamu wanaimani zao na Mungu wanaye mwabudi Sasa basi yupe Aliye juu ya wote'?
Kwanza Niorotheshe hivi.
1. Wakristo protestant Mungu Ni Mmoja na Kupitia Yesu kristo alifanyika mwili Akakaa na wanadamu.
b. Wakristo wakatoliki wameongezea hapo na bikira maria kuwa naye miongoni. Hapa wataeleza wengine.
2. Waislam ni Allah kupitia mwamedi na kupitia ishara kama nyota na mwezi.
3. Wahindi krishna na baadhi ya wanyama wakubwa, tembo, ngombe.. na viumbe wengine.
hapo sijui Sana.
4. Wayahudi..Yehova ndie Mungu Aliye jifunua kupitia Ibrahim kwenda isaka na yakobo hadi nabii Musa...na kuchagua wafalme kama Mfalme Daudi. suleman na wengineo kama samson hapo awali kabla ya wafalme.
5. Zoroastrianism huko iran kupitia Masda. Nuru na giza. Mwenye kujua Anaweza elezea vizuri.
6. Wagiriki...walikuwa na Mungu Wao pia.
7. WaMisri wa kale walikuwa na Mungu Wao.
8. Wachina wana Mungu Wao kupitia joka dragon.
Orotha ni ndefu waweza ongezea hapo.
Sasa Basi ni Yupi Mungu Mkuu Aliye Juu ya vyote na wote'?
Chambua kwa hoja ya Matendo yake Aliyofanya , sio alisema mtu No, sio mtume, sio hivi. Tutaje Matendo yake Makuu tu Aliyofanya.
Thibitisha Matendo yake Makuu ndipo Aweze kuaminiwa.
Sote tunajua Jamii nyingi za binadamu wanaimani zao na Mungu wanaye mwabudi Sasa basi yupe Aliye juu ya wote'?
Kwanza Niorotheshe hivi.
1. Wakristo protestant Mungu Ni Mmoja na Kupitia Yesu kristo alifanyika mwili Akakaa na wanadamu.
b. Wakristo wakatoliki wameongezea hapo na bikira maria kuwa naye miongoni. Hapa wataeleza wengine.
2. Waislam ni Allah kupitia mwamedi na kupitia ishara kama nyota na mwezi.
3. Wahindi krishna na baadhi ya wanyama wakubwa, tembo, ngombe.. na viumbe wengine.
hapo sijui Sana.
4. Wayahudi..Yehova ndie Mungu Aliye jifunua kupitia Ibrahim kwenda isaka na yakobo hadi nabii Musa...na kuchagua wafalme kama Mfalme Daudi. suleman na wengineo kama samson hapo awali kabla ya wafalme.
5. Zoroastrianism huko iran kupitia Masda. Nuru na giza. Mwenye kujua Anaweza elezea vizuri.
6. Wagiriki...walikuwa na Mungu Wao pia.
7. WaMisri wa kale walikuwa na Mungu Wao.
8. Wachina wana Mungu Wao kupitia joka dragon.
Orotha ni ndefu waweza ongezea hapo.
Sasa Basi ni Yupi Mungu Mkuu Aliye Juu ya vyote na wote'?
Chambua kwa hoja ya Matendo yake Aliyofanya , sio alisema mtu No, sio mtume, sio hivi. Tutaje Matendo yake Makuu tu Aliyofanya.
Thibitisha Matendo yake Makuu ndipo Aweze kuaminiwa.