Poa.Sio kweli kua umewahi kujibu, hujawahi kujibu na ndio maana swali hili limeulizwa hapa.
Huko unakosema umejibu kwanini umeshindwa hata kuweka post namba ya uzi ili wote tulione hilo jibu?
Weka hata screenshot ya hilo jibu vinginevyo we ni mzushi tu