Kuchwizzy
JF-Expert Member
- Oct 1, 2019
- 1,072
- 2,308
Kwa mindset kama yako, sidhani kama nina mda wa kukujibu tenaMaelezo marefu ila umethibitisha tu nilichokisema, yani nashindwa kuona ile connection au sababu za msingi za mtu kuwa atheist kutokana na hayo maelezo yako na ndio maana nikasema huwa ni watu waliyokata tamaa. Wengi kama sio wote huwa mnafikiri kuonesha madhaifu au makosa ya kwenye vitabu vya hizi dini ndio kitu chenye kuwafanya ninyi kuwa sahihi kwenye hiyo misimamo yenu, mnasahau kwamba wapo watu ambao hawaamini dini kabisa ila wanakubali uwepo wa Mungu. Kuna watu wana mitizamo kama yako kuhusu vitabu vya dini ila tu ni kwamba wao wanakubali uwepo wa Mungu ila nyie mnapinga kuwepo Mungu.
kwa sababu inawezekana hata uwezo wa kuelewa ni changamoto
Nikigeuza swali, nipe sababu ambazo zinaweza kukufanya wewe uwe atheist?