Nje ya mawazo ya Mwanadamu Mungu hayupo, hajawahi kuwepo, na hatakuwepo

Mkuu umefafanua vizuri, idea ya god ilikuja ili kuikabili hofu ya duniani ndio maana wafia dini wanaamini kuwa kuna nchi inaitwa mbinguni, huko hakuna kuugua, kufa, njaa n.k yaani huko ni full kula bata tu, huhitaji ajira wala kufanya biashara ili uishi huko vyakula vipo vya kutosha yaani kuna chipsi za kumwaga, nyama choma, piza baga n.k

Ndio maana unawaona wanapambana usiku na mchana kusali ili siku moja waingie kwenye hiyo nchi. Hata telebani nao wanapambana waingie huko lakini najiuliza hao majamaa ukiingia nao mbinguni itakuaje
Kinachofanya mseme Mungu hayupo ni kwa kuwa haonekani au?
 
Ulisikia wapi sayansi inaweza yote?

Mpaka sasa Sayansi haiwezi mambo yote ndio maana kuna ajali, watu wanakufa, wanazaliwa na matatizo, kuna magonjwa yasiyo na dawa n.k

Sayansi inapiga hatua kila siku kadri mwanadamu anavyoendelea kuwepe duniani na kufanya utafiti, nafahamu angalau wanasayansi wote mashuhuri wanasema hivyo, wanakubali sayansi inapiga hatua kila siku na kuna mengi bado hayajulikani au kueleweka.
Basi badala ya kupoteza muda kukaa kumpinga Mungu mngetumia huo muda kutafuta dawa za magonjwa watu wangewashukuru zaidi kuliko huo upotoshaji wenu
 
Exactly that's why nimetumia neno "kumuombea" because I already knew lazima ufike hapa.

humuombei lakini kwanini unamsaidia?
Unamsaidia kwa nia ya "ili apone" Hujui kama atapona au lah lakini bado unamsaidia ili apone.
Na ukifikia hiyo hatua tayari umeshatengeneza hope.
Au ungeshindwa kumsaidia ndugu yako kama ungetaka kuapply logic kwenye hope, sababu hope ni imani already.
Na huwezi kutumia logic kwenye imani.

You see you don't have to apply logic in everthing in oder to make it real au kumake sense out of it. na hiyo ndio maana ya kuwa binadamu, na ndio maana unatumia Imani bila kujua sababu it's in your nature.
Au wewe usingekuwa unasaidia ndugu zako au kutoa misaada kwa yoyote, sababu What's the point of helping?

Kama unakataa, basi nakuuliza je unaweza kuniamba nini kimekufanya umsaidie ndugu yako?
Na unaweza kudefine hicho kilichokufanya umsaidie ndugu yako?

Unasema unatoa misaada pale unapopata nafasi sababu kwako wewe hiyo ni "symbol of humanity" unadhani hiyo ni sensible point?
Now nakuuliza swali : kwanini unatoa misaada and what's the point?
Symbol of humanity?. Why does symbol of humanity matters to you?
Kuna logic gani nyuma ya "symbol of humanity?

To assure you nipo responsible na maisha yangu kwa 100%. sababu I've been there it's just too dark lakini tayari nimeshajifunza mengi.

The point is kuwa atheist au kutokuwa haimaanishi utaa"achieve" au utashidwa "kuachieve" chochote walichoachieve wengine it doesn't matter who they were nor who they are.
Sababu deepdown again sisi wote ni Binadamu.

Kwangu mimi kuwa atheist au kutokuwa it just doesn't matter lakini ni vizuri kufikiria nje ya box kama unaweza kutolerate kilichopo nje.

Please nitajie njia moja tu ambayo itakufanya uishi maisha yenye maana?

Swali la mwisho sio la kipumbavu bali hujui kwanini unapinga uwepo wa mungu now una tofauti gani na anayeamini uwepo wa mungu?
Bro, hope na faith ni vitu viwili tofauti
Usichanganye mambo
 
Kanuni ya kudadisi ili iwe sahihi sio lazima iwe na jibu explicitly sababu sio kila kitu kinajibika kwa kudadisi na logic.
Kama nilivyosema kabla kwamba binadamu kuna vitu anahitaji na lazima awe navyo ili awe na mind iliyo stable, kimoja wapo ni imani.
Ili kurelease the tension from unanswerable questions, au huyo mtu mind yake haitokuwa sawa. hii ni inaapply kwa wengi.

Ili kuwa clear itabidi nikusahihishe kidogo hapa kwenye imani.
Mimi sijasema "imani ya mungu" bali nilisema "Imani kama Imani" means haijalishi ni imani gani mtu anaamini.

Kuna imani nyingi lakini kila mtu anaamini Imani na miungu tofauti, Ukisema "imani ya mungu" tayari hiyo sentence itakuwa inamaanisha kitu kimoja.
kitu ambacho mimi sijaamanisha.

Hivyo leo hii ukimuambia mkristo kwamba Thor ni mungu wa kweli basi bila shaka hawezi kukubali kisa "thor" ni "imani ya mungu hivyo hapaswi kuhoji", well lazima akatae sababu sio "Imani" yake!.

Na hata ukiniambia kwamba wewe ni Mungu hivyo nikupe dollar 50,000, siwezi kukupa sababu again wewe siyo mungu wa "imani" ninayo iamini mimi.
Wanaokuamini then ni juu yao kukupa wewe mungu wao dollar 50,000.

Ni kweli neno (kumuombea ndugu anayeumwa) limekaa kwenye angle ya kiimani na ndio sababu ya kulitumia.

Kitendo cha wewe kusema (nitafanya kila njia ili kuhakikisha naokoa maisha yake) ni tayari hujui kama atapona au hatopona lakini bado unafanya kila njia ili umsaidie.
Na mpaka hapo tayari umeshaweka hope, na hope tayari ni imani.
Kama ungetaka kutumia logic basi ungeshindwa kumsaidia ndugu yako sababu hauwezi kuapply logic juu ya imani.

Tofauti yako wewe na wanaoshinda wakiomba ni kwamba wewe unaweka imani while unafanya actions lakini wao wanaacha imani kama imani.
Ili kutaka kujua kwamba ubinadamu ni kuwa na imani na imani ipo ndani ya nature yake, ni pale hata wewe unapoikimbia imani lakini at the same time bado unafanya mambo kwenye misingi ya imani bila ya wewe kujua explicitly.

kama unakataa basi nakuuliza:
Kwanini unamsaidia ndugu yako ili apone ilihali hujui kama atapona au lah?
Point ya kutoa msaada ni nini?


Empathy, Kwamba utajisikiaje na ingekuwaje kama hicho kitu kingenikuta mimi.

Lakini hapo'hapo hujui kama hilo jambo litakutokea au halitakutokea lakini bado unatoa msaada, sasa kama hujui hilo jambo litakutokea au lah then kwanini unatoa msaada?
Mpaka hapo hiyo ni imani yaani hujui kama hilo tatizo litakutokea wewe au halitakutokea lakini bado unamsaidia huyo mtu.
Ni kweli hicho kitu kingenikuta mimi ningejisikia vibaya kwamba kuna mtu ninajua ana uwezo wa kunisaidia lakini hanisaidii.
Lakini kwanini ajisumbue kama hajui hilo jambo litamtokea au lah.
Je unaweza kuapply logic hapo na uniambie kwanini unatoa msaada?

Empathy na Utu why vinamatter kwako na kuna logic gani nyuma ya hayo maneno mawili?

swali la lako la mwisho:
Sipingi uwepo wa miungu ya wengine bali sijui kama ipo au haipo sababu siamini kwenye hizo imani.
hivyo ni Simple sababu hiyo miungu 4,999 haitambuliki kwenye ninachokiamini.
Na ndio maana nimetanguliza kusema kua kukubali kua kitu fulani hukijui kwasababu umeshindwa kukitafiti na kupata majibu sahihi ni jambo la busara wala sio aibu. Kutokubali kushindwa na kulazimisha majibu ambayo hayajapitia uchunguzi kwa lengo la kujipa tumaini ni ujinga kabisa.

Imagine unaelewa kabisa hiki unachokisadiki sio halisi umekitunga tu lakini unaamua kufumba macho na ubongo kujidanganya kua ni cha kweli kwa ajili ya kujipa tumaini, huu si wazimu?

Kwenye swala la imani (faith) ambayo ni common kwenye dini so nimegusa imani kwenye angle ya kiroho ambayo ni universal, sikumaanisha imani ya (trust) kama kuweka confidence kwa mtu mwingine kua hatokuangusha kwa jambo fulani. Kama mimi nilivyokuwekea confidence kua hutanijibu post yangu kwa kunitukana. Trust, Believe, Faith, Hope and Love ni somo pana na ni maneno yanayo changanya sana kimatumizi kulingana na muktadha husika

Hivyo leo hii ukimuambia mkristo kwamba Thor ni mungu wa kweli basi bila shaka hawezi kukubali kisa "thor" ni "imani ya mungu hivyo hapaswi kuhoji", well lazima akatae sababu sio "Imani" yake!.

Kuna swali ambalo hujalijibu, niliuliza kama imani haitakiwi kuhoji kwanini tuna imani zaidi ya moja kuhusu mungu huku zikipingana?

Huoni wingi wa hizo imani ulikuja baada ya watu kuanza kuhoji imani iliyotangulia ambayo walikua wakiiamini na wao kuanzisha imani yao walioona inafaa?

Kitendo cha wewe kusema (nitafanya kila njia ili kuhakikisha naokoa maisha yake) ni tayari hujui kama atapona au hatopona lakini bado unafanya kila njia ili umsaidie.
Na mpaka hapo tayari umeshaweka hope, na hope tayari ni imani.
Kama ungetaka kutumia logic basi ungeshindwa kumsaidia ndugu yako sababu hauwezi kuapply logic juu ya imani.


Hiki ulichokiandika hapa nime-notice kua we ni miongoni mwa watu ambao wanasumbuliwa na matumizi haya maneno matano trust, hope, faith, love and believe. Kwa ufupi tu ni kwamba hujaelewa mantiki yangu, mantiki yangu kwanza haikua mimi kukataa kutumia imani, tatizo linakuja kwako kushindwa kujua imani gani ambayo naizungumzia hapa.

Mzee kajifunze maana ya hayo maneno na matumizi yake kwanza unaonekana kuchanganywa sana
 
Bro, hope na faith ni vitu viwili tofauti
Usichanganye mambo
yani jamaa kaniacha njia panda mi mwenyewe nilikua naimani kua najadiliana na mtu ambaye kavuka hizo level za kushindwa kutofautisha faith, hope, trust, believe and love lakini kumbe sio

Atakuambia hata hii imani niliyojengea hoja hapa hainitofautishi na imani ya kuamini mungu yupo
 
Nikupe heko kwanza kwa kugundua udhaifu wa kutumia vitabu vya dini ku prove uwepo wa Mungu
(Circular Argument)

Pia kabla huja prove uwepo wa Mungu, ni busara kama ukitoa tafsiri yako ya neno Mungu

Mungu sio neno lenye maana moja, ku avoid ambiguity, mmoja anapaswa kutoa tafsiri yake ya neno hilo

Nakupa mfano, Mwanasayansi Professor Albert Einstein, alipoulizwa na wanafunzi wake kama anaamini juu uwepo wa Mungu

Alijibu ndio,kuwa anaamini Mungu yupo

Mkristo au muislam, anaweza kufurahi juu ya kisa hiki kwa kugundua kuwa kumbe mwanadamu mashuhuri namna hii anaamini Mungu yupo, mimi ni mjinga kiasi gani nipinge?

Ila ukitafuta tafsiri ya neno Mungu kulingana na Einstein ni tofauti kabisa, kiufupi ni kinyume cha na maana ya neno Mungu kwa mujibu wa imani ya kikristo au kiislamu

Albert Einstein aliamini Mungu ni 'summation of all laws of physics'
Mungu ni mkusanyiko wa sheria zote za asili, kwa maana nyingine Mungu ni just concept tu, abstraction ya jinsi gani Ulimwengu unafanya kazi

Kwa mkristo anayeamini Mungu mwenye hisia, aliyeumba kila kitu kwa kusudi, yaani Personal God. Hii ni habari mbaya kwake

Umeona hapo, kundi la watu ambao mwanzoni tunaona wanakubaliana, kumbe kiuhalisia wanatofautiana kwa 100%

Pia kwenye hoja yako sioni premise inayo justify hitimisho lako juu ya uwepo wa Mungu kupitia wema na ubaya

Ukirejea 'Problem of evil' utaona hivyo vitu viwili (Good and Evil) ndio vinatumika kuthibitisha kuwa Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote hawezi kuwepo kwenye ulimwengu wenye kila aina ya maovu na natural calamities kama huu
Kwa sababu kwa upendo wote asingeruhusu mateso yatokee, kwa uwezo wote asingeshindwa, na kwa ujuzi wote angekuwa na njia bora zaidi ya kuuepuka

Mungu mwenye upendo wote kwa viumbe vyake hawezi kuumba 'Mbwa mwitu' wanaokula nyama ya Swala mjamzito akiwa hai... Huo ni mfano wa natural cruelty iliyopo kwenye animal kingdom
Unless uwe unaamini wanyama hawahisi maumivu
Unajalibu ku justify hoja zako kwa reasoning....
sisi tunaoamini Mungu yupo tunaongozwa na imani /faith.....
just to remind you reasoning hazitufingi
 
Nakuruhusu, Tumia kitabu chako cha dini ku prove uwepo wa Mungu wako

Lakini kabla ya yote, kuna Maelefu ya Dini na imani tofauti tofauti Duniani na kila imani ina mitume au watu wake wanaoaminiwa kuwa na 'highest authority' na pia kila imani ina some sort of holly scripture inayoheshimiwa na imani

Haya maswali ni muhimu kuya address kwenye hoja yako

1.Kati ya hizo thousands religions, na holly scriptures kwanini dini yako wewe (Ukristo) na kitabu chako cha dini (Biblia) ni sahihi kuliko nyingine (zisizo sahihi)
NB: Kwasababu Mungu lazima awe mmoja, na haiwezekani kwa Mungu mwenye nia ya kutaka binadamu wote wamfahamu na kumwabudu, aanzishe dini nyingi zinazopingana kwenye hoja za msingi

Assumption yetu ni kwamba, kama umeona ukristo ni dini sahihi, na biblia ndiyo kitabu kitakatifu pekee na Mungu wa kwenye biblia (Agano jipya na kale) ndiye Mungu sahihi

Basi ni lazima utupe justifications kwanza kwanini Ukristo na Biblia na sio Uislam au Quran au dini nyingine elfu

Hapa napenda kukazia kitu muhimu, kwa kuwa utaamua kutumia kitabu chako cha dini basi hata tafsiri ya neno Mungu kwako inapaswa kuwa Strict

Mfano Generally, kwa dini za uyahudi, ukristo na uislamu

Mungu anajulikana kama mwenye nguvu zote, upendo wote na ujuzi zote

Hizi ndio sifa kuu za Mungu, ambazo hata moja ikiondoka kati ya hizo sio Mungu tena

Sasa unapotumia Biblia kuthibitisha uwepo wa Mungu wako, kutumia hio tafsiri haitoshi kwa sababu haito tenganisha Mungu wako 'Jehovah ' na 'Allah' Mungu wa imani ya kiislamu

Wote wana share tafsiri moja ya hapo juu, wote wana nguvu zote, ujuzi wote na maarifa yote

Hivyo hawawezi kutokea kwa pamoja, ni either Jehovah yupo na Allah hayupo au Allah yupo na Jehovah hayupo

Au aidha Ukristo ni imani sahihi na uislamu sio sahihi au vice versa

Na usiseme Allah na Jehovah ni kitu kimoja, tofauti yao ni misconception tu ya hizi dini mbili

Hapana, Jehovah na Allah ni miungu miwili tofauti kwa mujibu wa Biblia na Quran

Jehovah ana nafsi tatu za uungu, Allah ana nafsi moja pekee

Jehovah hamtambui mtume Muhammad ila Allah anamtambua

Jehovah anaitambua israel kama taifa teule ila Allah halitambui

Sasa utapotumia kutabu chako cha dini kuthibitisha uwepo wa Mungu wako lazima upite kwanza hii Filter..

Kwanini Ukristo, Bibilia na Jehovah ndiyo vitu pekee sahihi kuliko imani zote zilizopo, Vitabu vyote vilivyopo na Miungu yote iliyopo?

2.Vitabu vya dini vinaaminiwa kuwa inerrant
Havina hata nukta ya kosa kwasababu viliandikwa chini ya uongozi wa Mungu mjuzi wa yote, kwa case ya dini yako 'Roho mtakatifu'
Lakini ukifanya cross examination ya biblia utagundua ina makosa mengi ya msingi ambaye yasingewezekana chini ya uongozi wa Mungu mjuzi wa yote

Galileo alifungwa kifungo cha ndani maisha kwa kosa la kukosao biblia ilipodai kuwa Dunia ndio 'center' ya mfumo wa jua, na vingine vyote kwanzia Jua lenyewe,Sayari na nyota vinaizunguka Dunia

Na hio 'Geocentric Model' ndiyo inayo hubiriwa na Biblia mpaka leo

Baada ya Galileo kuonekana sahihi, kanisa katoliki likamuomba msamaha juzi juzi miaka mingi baada ya kifo chake

Na hio ni moja kati ya mara nyingi, Biblia iliyokumbatia false theories

In fact, naweza kukupa list ya scientific errors zilizo jaa kwenye biblia

Sasa unapotaka kutumia biblia kama evidence, lazima upite pia kwenye hii Filter ya pili

Je biblia haina scientific error yoyote ukilinganisha na vitabu vingine?

Ukiacha Scientific inaccuracies zilizopo, pia kuna Internal inaccuracies
Kitu ambacho hakiwezekani chini ya supervision ya roho mtakatifu

Vitabu vikuu vitatu vya injili, Luka, Mathayo, na Marko havikubaliani na kitabu cha Yohana kuwa Yesu alikufa kabla ya Pasaka au baada ya Pasaka

Na hivyo vitatu vyenyewe bado havikubaliani kulikua na wanawake wangapi kaburini (kwa yesu)

Naweza kukupa list ya internal inaccuracies nyingi za kwenye biblia

Hio ndiyo reason ya baadhi ya watu kusema njia rahisi ya kuwa Atheist ni kusoma biblia

Kabla hajatumia biblia kuthibitisha uwepo wa Mungu wako twambie kwanza

Je biblia haina internal inconsistencies ulinganisha ni vitabu vingine vya dini

Ukitoka hapo, twambie dhehebu lako, issue sio kuwa mkristo tu

Hizo internal inconsistencies na confusions zinazotengenezwa na biblia zimezalisha madhehebu kibao yanayopingana mpaka kwenye hoja za Msingi

Wasabato hawali bata na nguruwe na wanasali jumamosi

Madhehebu mengine ya kilokole wanakula Nguruwe na bata na wana sali Jumapili

Wote hawa wanatumia version moja ya Biblia

Papa,kiongozi mkuu wa dhehebu la kikatoliki (dhehebu kubwa katika ukristo), in fact kama wingi wa waumini unashabihiana na ukweli, hili lipo karibu na ukweli

Yet Papa, hana shida kabisa na ndoa za jinsia moja
Na ana nukuu biblia hio hio

Jehovah witnesses hawaamini uungu wa Yesu kristo, na yet wanatumia same version ya biblia kuwa support

So twambie kwanza Wewe ni dhehebu gani na kwanini la kwako ni sahihi kuliko madhehebu mengine ya kikristo

Uki address hizo issues zote basi utakua qualified kutumia biblia kama prove yako

Ukishindwa ku address hizo issue, just stick tu kwenye General definition ya neno Mungu na yet kuna hoja nyingi za kuipinga

Kuthibitisha usahihi wa dhehebu au dini yako sio rahisi kama kuhubri kanisani Mchungaji
Huko hutopata mtu wa kukuuliza maswali ya msingi, ila huku wapo

Karibu
Kweli nimeamini shetani ana nguvu na ushawishi zama hizi....
manake unaandika kwa ushawishi mkubwa....
mtu mwenye imani haba anaweza nunua mawazo yako
 
'Spirituality' ina maana gani kwako?
Umeishia tu hapo, haitoshi kuky define wewe ni nani?

Una amini katika Mungu wa kidini, au tafsiri yako ya neno Mungu ni ipi

Au unaamini katika roho isiyokufa?
Twambie wewe ni nani tujue tuna deal na mtu wa aina gani

Pia, naona umekua trapped kwenye 'God of the gap fallacy'

Hoja za namna hii,
Kama Mungu hayupo kwanini kuna hiki na kile

Sayansi haina uwezo wa kujibu kila swali kwenye lifetime yako

Sayansi ni progressive,hatua kwa hatua inatupa majibu

Mpaka hivi tunavyofahamu sasa ni zao la miaka mingi, zao la wenye busara waliotutangulia

Zao la wakristo, waislamu na non believers ambao waliacha imani na mitazamo yao walipofika kwenye sayansi

Unapotaka kuthibitisha uhalali wa imani yako kwa ku point gape lililipo kwenye sayansi ni makosa

Sayansi, haiwezi kuelezea 99% ya jinsi gani ubongo unavyofanya kazi

Tunafahamu 1% tu, kutumia hili gape sio wewe tu hata mimi naweza sema kwenye kila ubongo wa binadamu kuna 'vijitu vidogo vidogo' Vinavyotengeneza ufahamu

Wala sina ushahidi wowote wa ninachosema

Unapo uliza energy imetokea wapi, ushawahi tenga mda wako na kujifunza kuhusu Casmir effect

Unafahamu kwamba, notion ya absolutely empty space haipo

vacuum ni bahari ya virtual particles zinazo tokea na kupotea kila sekunde, haijawahi kuwa empty na ndio origin ya ordinary particles zilizopo

Na hio sio theory tu, ni result ya maabara
Na haina ulazima wowote wa ku make sense kwako, kama huwezi tenga mda wa kufanya research

Kukipa kiumbe uhai maana yake nini?

Hebu elezea hata procedure unayotaka ifanyike?

Ushawahi sikia kuhusu GMO au cloning?
Au unataka wanasayansi wa design kiumbe hai out of thin air?

Hata wanasayansi wakishidwa kuumba kiumbe unachotaka kivipi kuna thibitisha imani yako?

Hata kama sijui squre ya 4 kwanini iwe 1?

Pia unaongea kama mtu ambaye hajawahi kusoma biological evolution

Possibly unachanganya biological evolution na historia ya chimpanzee na home sapience uliyosoma kwenye history

Kwenye historia ulionyeshwa just tip of the iceberg

Ukisoma evolution ukiwa open minded utagundua kwanini Charles Darwin anaheshima kubwa kwenye Biology kama Einsten kwenye Physics

Na ina applications kila sehemu mpaka kwenye computer science

Nikikwambia tunaweza kupata software yenye uwezo wa kufanya brain surgery kwa mafanikio bila ya kuitengeneza (kui program) utaamini?

Ushawahi sikia kuhusu Genetic programming?
Kivipi tunaweza pata high quality software kwa ku apply principle ya natural selection tukianza na trivial programs zisizoweza fanya chochote kile useful

Ndio maana kuna msemo unasema 99% wanaopinga evolution ni wale ambao hawajawahi soma kuhusu evolution
Inawezekana kila mtu ana tafsiri yake kuhusu mungu......
nilishawahi kutana na mlevi mmoja bar anasema pesa ndio mungu wake.....
 
kwa kuongezea sayansi kwa mara ya kwanza inakubali inferantion conclusion hii n kwenye gravitional force only tunaona effect yake tu vitu vikirushwa juu vinarudi chini beyond that hakuna prove yeyote.
Hiyo bahari ya vacuum unaongelea dual-particle nature ambayo ndio basis ya law energy cannot be created no destroyed but can change from one state to another.
Hiyo walikuwa wanafanya maabara kuobserve hiyo particle baada ya mda ilipotea afu ikarejea ndio wakaja na hiyo law .
Huyo jamaa amekuzidi maarifa achana nae baki na imani yako pita vile.....
hii mijadala hainaga mwisho
 
Huyo jamaa amekuzidi maarifa achana nae baki na imani yako pita vile.....
hii mijadala hainaga mwisho
Maarifa yap hayo unazugumzia?
Maarifa ni eternity ndio maana tunasoma na kujifunza kila siku..,
sipo hapa kum-impress mtu yeyote.
Najijua vizur kuliko unavonijua sihitaj comment yako ku-justify nina maarifa au sina.
Mind your own business.
Amekuzid maarifa wewe sio wote.
 
Maarifa yap hayo unazugumzia?
Maarifa ni eternity ndio maana tunasoma na kujifunza kila siku..,
sipo hapa kum-impress mtu yeyote.
Najijua vizur kuliko unavonijua sihitaj comment yako ku-justify nina maarifa au sina.
Mind your own business.
Amekuzid maarifa wewe sio wote.
Kakuzidi huyo!! kubali mapungufu pita vile....
usione noma
 
Kakuzidi huyo!! kubali mapungufu pita vile....
usione noma
Kuzidiwa maarifa ni mapungufu?
umeshindwa kuelewa maana ya mapungufu utaelew maarifa,
Sina mashaka kuandika uwezo wako wa kufikiri umefika mwisho.
Huna credentials za kuiweka into trial IQ wala maarifa yang.
Hayo ni mapungufu yako usilazmishe yawe yang.
 
Kuzidiwa maarifa ni mapungufu?
umeshindwa kuelewa maana ya mapungufu utaelew maarifa,
Sina mashaka kuandika uwezo wako wa kufikiri umefika mwisho.
Huna credentials za kuiweka into trial IQ wala maarifa yang.
Hayo ni mapungufu yako usilazmishe yawe yang.
Angalia unavyolia lia hutaki kubali jamaa kakuzidi kwenye hii angle hahaaa wabongo wabishi
 
Back
Top Bottom