Njama za kuimega Sudan

Njama za kuimega Sudan

No, no, no! True religion must have high view of life! You cannot simply kill somebody simply because he doesn't subscribe to your religion. I like Christianity because it says: honor every human life for, although they are not on right direction according to Bible, but they were also created in the image of God.

Back to the topic now, I badly wait to see southern Sudan independence from nothern colonialism

My friend religion only exist if there is life..no life no religion,remember there can be life without religion thereforet life comes first before religion hence life is worth than so called religion..some religion don't acknowledge this, to them religion comes first then life that's why we have people killing themselves for the sake of religion which isn't right. Lets us value life and all other will be granted
 
Naomba nielekeze kitabu ulichonacho wewe wapi nitakipata ili nione iwapo kina hiyo biashara ya utumwa unayoitaka wewe.

Nijuwavyo ni kuwa habari nyingi za biashara ya utumwa afrika mashariki ni za chuki za wamishionari wa kikristo kuwasingizia waarabu kwa nia ya kuudhuru uislamu.


Teh teh teh teh ... Wewe kweli bado sana! Itabidi shule nyingine zaidi za wakristo zitaifishwe kuwapeleka shule watu kama wewe.
 
Nakubali kwamba unataka kuleta umoja na mshikamano, ambao ni muhimu kwetu sisi. Lakini angalia ktk hizi topic zinazohusu Waislamu zinavyoshambuliwa na hawa Christians Fundamentalists, kama Max Simba, huyu mpagani aneyejiita Abdulhalim nk.

Topic zenu hazishambuliwi, zinajibiwa kwa hoja.

Kama ni pumba haziwezi kuhimili hoja.
 
Ami,

Kuna vijarida vyenu vilivyojaa udini kama Annur, na radio zenu za kidini Radio Heri nadhani wasomaji wake akili zao zimetayarishwa kupenda mada kama zako. Sio hapa please.

Fahamu kuwa Sudan ni nchi iko vitani tangu mwaka 1983. Sababu ya vita ni kuwa watu wa Sudan Kusini ambao si waarabu na ambao hawahitaji kuwa waarabu au Waislamu wanalazimishwa na serikali ya kiislamu ya Sudan kubeba Uarabu na Uislamu. Watu karibu million 4 wamekufa kwa vita hiyo na walio wengi kati ya hao ni wa Kusini ndio waliokufa.

Fahamu pia kuwa kuna watu wapatao million 4 wa Sudan ya Kusini wamekimbia makazi yao kwa hofu ya majeshi ya Serikali, na pia raia 500,000 wa Sudani Kusini ni wakimbizi nje ya Sudan.

Sudan ina mchanganyiko mkubwa wa makabila na tamaduni. Wasudan hao ni waumini wa dini mbalimbali pia. Ni wazi Waislamu ndio wengi asilimia 65, wakifuatiwa na wakristu asilimia 15 na wanaofuata dini za jadi ni takriban 20%. Kitamaduni 52% wanafuata utamaduni wa kiafrika, japo wengine ni Waislamu (kama Darfur), wengine ni Wakristo wa Kusini na Wafuatao dini za jadi. Wanaofuata utamaduni wa Kiarabu moja kwa moja ni kama asilimia 39, na waliobaki wanachanganya.

Makabila yaliyopo Sudan kama nilivyosema ni mchanganyiko mkubwa sana. Kaskazini kuna makabila ya waafrika (weusi) ambao ni waislamu: Wanubi na Wabeja; na magharibi wako Wafur (Watu wa Darfur) ambao nao ni Waislamu pia. Hawa wa Darfur pamoja na kwamba ni Waislamu wanabaguliwa na Waislamu wanaojipa Uarabu pia. Kusini walio wengi ni Wakristu na wanaofuata dini za jadi. Wako Wadinka ambao ni 10% ya Wasudan wote, na kwa Kusini ni 40% ya WaSudan wa Kusini, wapo pia wanuer, Wachollo, Wamurle, Wamandari na Wabaka; pamoja na makabila mengi madogo madogo.

Ni kweli Sudan Kusini kuna mafuta ambayo yanaiingizia Serikali $2 millioni kwa siku, lakini $1million kwa siku zinatumika kwa jeshi tu.

Kwa maoni yangu, Serikali yoyote ambayo haiwezi kukubali tofauti za watu na kujaribu kuwaunganisha kwa kuwafanya waarabu na waislamu kama huko Sudan haitafanikiwa kumaliza umwagaji wa damu. Na kama hawawezi kupokea hizo tofauti, basi mawazo ya kujigawa lazima yawepo, na ni kwa kunusuru maisha ya watu, ambayo yana thamani sana bila kujali rangi wala dini zao.
Mbona nyinyi wabaguzi halafu wajinga!.
Vita hiyo ya kusini mwa Sudan imeanzishwa na wakristo wa kimagharibi kwa kuwachonganisha watu kwa rangi zao,makabila na dini zao.Si kwamba wanawapenda bali jicho lao liko kwenye huo utajiri wa mafuta.
Sudan imeweza kuhimili kwa vile inaongozwa na wasomi waliobobea wa kiislamu.Inakuuma kuhusu hesabu ya jeshi.Lakini ni kwa maslahi ya umoja wa Sudan.
Unajuwa Marekani inatumia mabilioni mangapi kuuwa waislamu mpaka iko karibu kufilisika, mbona hamsemi!.
 
ngoja kusini waigawe,maana hawa wa north wanawakandamiza wa2 wa kusini.kumbuka kusini kuna wakistro 20%,waislam 10% na wengne dini za asili,so bora wajigawe,walio na resources wajiendeleze kivyao
 
Hao hawapendi kiarabu wanalazimishwa tu

Ndiyo lugha yao ya kuzaliwa na inayotumika kila sehemu.Tatizo ni nini?.
Ubaguzi wenu kila pahala,hata lugha nayo munaiogopa.
 
Ndugu naomba source ya takwimu zako maana mara ya mwisho sudan kufanya censue ni 1991- na wakristo ni asilimia 5%, animist 25% na islam 70%- ntashukuru nikipata source maana am writting a paper on the a practical solution on how to end the darfur Conflict!
 
Nakubali kwamba unataka kuleta umoja na mshikamano, ambao ni muhimu kwetu sisi. Lakini angalia ktk hizi topic zinazohusu Waislamu zinavyoshambuliwa na hawa Christians Fundamentalists, kama Max Simba, huyu mpagani aneyejiita Abdulhalim nk.

John10 mbona wewe ni John??? nani mpagani zaidi? Tunaomba mawazo yaliyonyooka zaidi Mkuu!
 
Sudan imeweza kuhimili kwa vile inaongozwa na wasomi waliobobea wa kiislamu.Inakuuma kuhusu hesabu ya jeshi.Lakini ni kwa maslahi ya umoja wa Sudan.

Crap!

Kuhimili kwa kuua watu milioni nne! Wewe unaona kama wameua mbu tu! Na msahafu wako unaruhusu hilo?

Katika forum hii unajibu hoja kwa hoja. Tena hoja zako ziwe zimefanyiwa utafiti, si jazba tu na ushabiki.

Vinginevyo Ami kaandike makala zako Annur, huko kuna watu wenye mawazo kama yako wasomaji wa gazeti hilo watafurahia please. Au kaongee kwenye vijiwe vya kahawa vya kiswahili.

Kwa kifupi unaboa sana.
 
Crap!

Hii si forum ya wajinga.

Kaandike makala zako Annur please.

Wewe huwezi kunipangia wapi pa kuandika na wapi pa kuishi.
Nikipenda ni hapa na kuishi kwetu Darfur.
Mimi sina hofu wala ubaguzi kama wako.
 
Ndiyo lugha yao ya kuzaliwa na inayotumika kila sehemu.Tatizo ni nini?.
Ubaguzi wenu kila pahala,hata lugha nayo munaiogopa.

Nimeishi maeneo ya Juba, nafahamu wana lugha zao. Lugha kuu ni Dinka!
 
Mapema mwakani kura ya maoni inatarajiwa kupigwa nchini Sudan kuamua mustakbali wa eneo la kusini la nchi hiyo.
Wakati dunia nzima ikipigania kuwa wamoja na maeneo yenye kujaribu kujitenga kama huko Comoro nguvu zikitumika kupinga kujitenga,mambo ni tofauti huko Sudan.
Baadhi ya uongo wa mataifa ya magharibi kuhalalisha kujitenga eneo la kusini lenye utajiri mkubwa wa mafuta ni eti waarabu wanawabagua waafrika.
Hapo chini ni raisi wa Sudan general Omar Al bashir akionesha upanga wake kama silaha ya kupambana na wenye kuitakia mabaya Sudan,akiwa amezungukwa na wasaidizi na walinzi wake.

ni mvivu tu wa kufikiri atakaye kusapoti kwenye huu ufinyu na ulevi wa dini kuliko haki za watu
ifike mahari tuvue kofia za dini na imanizetu ili kuweka usawa kwenye utu wa kila pande bila kujari dini zetu
tatizo ni pale mwarabu akifanya ufyolo kupigiwa makofi na watu wafinyu wa kufikiri ambao hugeuka kumwabudu
mwarabu kama kwamba yeye ni Mungu husahau kuwa naye ni mtu kama watu wengine na uovu wake unatakiwa kupingwa hata
kama yeye ndiye mwasisi wa dini tulizo nazo, kwa ukweli ughafidhuna unaofanywa na wasudani
kaskazini kwa wasudani wa kusini haufai kupigiwa mkofi na mtu ambaye akili yake iko sawasawa labda nduli
 
Nawashauri sana mnaozungumzia maswala ya Sudan ambao hamjawahi kufika, kuishi na kujionea mwenyewe usijitahidi kuelimisha wale ambao wameshafanya hivyo. Nimekaa Sudan zaidi ya miaka mitatu. Je utakubali kuwa hadi leo hii tunavyoongea utumwa bado upo nchi ile?? Hivi unayo habari kuwa wanao watumwa hata kwenye balozi zao leo hii? Tafadhali tafuta kitabu kimetungwa na Msudani wa kusini ambaye alikuwa mtumwa aliyebahatika kutoroka na akaweza kujiendeleza kiasi cha kutunga kitabu "Escape from Slavery" kimetungwa na Fancis Bok. Kuna Mama aliyetekwa nyara na waarabu wa kaskazini mwaka 1993 akiwa na umri wa miaka 12 tu akauzwa na kuteswa sana na mwarabu wa Kaskazini mwishowe akauzwa na kupelekwa kufanya ubalozi wao London ndiko aliweza kutoroka kwa bahati sana na kuwa huru baada ya miaka saba. Nadhani anaitwa Nazer Mende. Iko mifano mingi sana ya hivi karibuni tu. Wapo wa-Sudani wa kusini wengi sana ambao ndugu zao walipotea kwa kutekwa nyara na waarabu wa kaskazini na hawajui walipo. Wapo wanaume wengi ambao wamerudi nyumbani wasikute wake zao na watoto wao, na kukuta tu habari kuwa askari wa kaskazini walivamia na kuondoka nao. Wapo wanawake wengi sana wamepoteza waume zao na watoto kwa mtindo huo huo. Ninaomba sana asiyefahamu mambo ya Sudan asiyazungumzie hapa kijuu juu. tafuta kwanza kufahamu kitu unachoshabikia maana ukikutana na watu waliopoteza ndugu zao uchungu utakaokupata unaweza ukuletee magonjwa yasiyo na tiba maishani. Tafadhali shukuruni Mungu tuko Tanzania nchi yenye ustaarabu wa kuishi pamoja bila kubaguana. Sote tusisahahu kusema "Mungu ibariki Tanzania".
 
Nawashauri sana mnaozungumzia maswala ya Sudan ambao hamjawahi kufika, kuishi na kujionea mwenyewe usijitahidi kuelimisha wale ambao wameshafanya hivyo. Nimekaa Sudan zaidi ya miaka mitatu. Je utakubali kuwa hadi leo hii tunavyoongea utumwa bado upo nchi ile?? Hivi unayo habari kuwa wanao watumwa hata kwenye balozi zao leo hii? Tafadhali tafuta kitabu kimetungwa na Msudani wa kusini ambaye alikuwa mtumwa aliyebahatika kutoroka na akaweza kujiendeleza kiasi cha kutunga kitabu "Escape from Slavery" kimetungwa na Fancis Bok. Kuna Mama aliyetekwa nyara na waarabu wa kaskazini mwaka 1993 akiwa na umri wa miaka 12 tu akauzwa na kuteswa sana na mwarabu wa Kaskazini mwishowe akauzwa na kupelekwa kufanya ubalozi wao London ndiko aliweza kutoroka kwa bahati sana na kuwa huru baada ya miaka saba. Nadhani anaitwa Nazer Mende. Iko mifano mingi sana ya hivi karibuni tu. Wapo wa-Sudani wa kusini wengi sana ambao ndugu zao walipotea kwa kutekwa nyara na waarabu wa kaskazini na hawajui walipo. Wapo wanaume wengi ambao wamerudi nyumbani wasikute wake zao na watoto wao, na kukuta tu habari kuwa askari wa kaskazini walivamia na kuondoka nao. Wapo wanawake wengi sana wamepoteza waume zao na watoto kwa mtindo huo huo. Ninaomba sana asiyefahamu mambo ya Sudan asiyazungumzie hapa kijuu juu. tafuta kwanza kufahamu kitu unachoshabikia maana ukikutana na watu waliopoteza ndugu zao uchungu utakaokupata unaweza ukuletee magonjwa yasiyo na tiba maishani. Tafadhali shukuruni Mungu tuko Tanzania nchi yenye ustaarabu wa kuishi pamoja bila kubaguana. Sote tusisahahu kusema "Mungu ibariki Tanzania".

Nakubaliana nawe kabisa.
 
Nawashauri sana mnaozungumzia maswala ya Sudan ambao hamjawahi kufika, kuishi na kujionea mwenyewe usijitahidi kuelimisha wale ambao wameshafanya hivyo. Nimekaa Sudan zaidi ya miaka mitatu. Je utakubali kuwa hadi leo hii tunavyoongea utumwa bado upo nchi ile?? Hivi unayo habari kuwa wanao watumwa hata kwenye balozi zao leo hii? Tafadhali tafuta kitabu kimetungwa na Msudani wa kusini ambaye alikuwa mtumwa aliyebahatika kutoroka na akaweza kujiendeleza kiasi cha kutunga kitabu "Escape from Slavery" kimetungwa na Fancis Bok. Kuna Mama aliyetekwa nyara na waarabu wa kaskazini mwaka 1993 akiwa na umri wa miaka 12 tu akauzwa na kuteswa sana na mwarabu wa Kaskazini mwishowe akauzwa na kupelekwa kufanya ubalozi wao London ndiko aliweza kutoroka kwa bahati sana na kuwa huru baada ya miaka saba. Nadhani anaitwa Nazer Mende. Iko mifano mingi sana ya hivi karibuni tu. Wapo wa-Sudani wa kusini wengi sana ambao ndugu zao walipotea kwa kutekwa nyara na waarabu wa kaskazini na hawajui walipo. Wapo wanaume wengi ambao wamerudi nyumbani wasikute wake zao na watoto wao, na kukuta tu habari kuwa askari wa kaskazini walivamia na kuondoka nao. Wapo wanawake wengi sana wamepoteza waume zao na watoto kwa mtindo huo huo. Ninaomba sana asiyefahamu mambo ya Sudan asiyazungumzie hapa kijuu juu. tafuta kwanza kufahamu kitu unachoshabikia maana ukikutana na watu waliopoteza ndugu zao uchungu utakaokupata unaweza ukuletee magonjwa yasiyo na tiba maishani. Tafadhali shukuruni Mungu tuko Tanzania nchi yenye ustaarabu wa kuishi pamoja bila kubaguana. Sote tusisahahu kusema "Mungu ibariki Tanzania".

Iwapo kufanya kazi kwa malipo madogo ni Utumwa basi utumwa uko kila pahala
Haya ya Sudan huwa yanakuzwa kwa malengo tuliyoyataja hapo juu.

Majina ya watungaji wa hadithi yoyote ile yako mengi tu.
 
@wa ukweli,
nilimaanisha hivi: Mungu aliyetupa uhai hawezi kutoa imani ambayo haiuthamini uhai. Kwa hiyo imani ya kweli LAZIMA iuthamini uhai wa mwanadamu. Hope you got me, na nakubaliana nawe juu ya Sudani kus. Kujitoa ktk kongwa la wakoloni wa kas.

@Ami,
mbona inakuuma sana watu wa kusini kujipatia uhuru wao kwa kura zao? Kama hawaridhiki kuendelea kuteswa na Khartoum, kwani umoja ni lazima? Au kwa sababu damu yao haina thamani machoni pako?
 
Sudan nzima na africa ni ardhi ya waafrika na sio waarabu.Waarabu walivamia sudan ambayo wakati huo ilikuwa inacivilization iliyodumu miaka 4000.Wasudani walijenga mapiramini na miji mikubwa kama Cush, Meroe n.k wakati Waarabu/uisilamu ( they did not exist at the time) na wazungu wanaishi kwenye mapango.

Waarabu walipovamia sudan waliharibu himaya yote ya waafrika, wakawasilimisha wasudani.Sasa inasemekana asilimia 95 ya wasudan wa kaskazini hawana hata chembe moja ya damu ya 'kiarabu'( i can give you proof). Hawa wasudan walikuwa brainwashed/ forced kuwa waarabu na wanajiita waarabu kwa sababu lugha yao ya kwanza ni 'kiarabu' - wamesahau lugha zao za asili za kiafrika- lakini hawana damu ya waarabu.

Mimi nawatetea hawa wasudani wa kusini kujitenga na hao wannabe so called 'arab' phychos wa kaskazini.Hawa majamaa ni makatiri sana,and do not deserve to live with the civilised people of southern sudan.

Nitafurahi siku afrika nzima itakapokombolewa kutoka kwa wavamizi wa kiarabu kama walivyofanya zanzibar.
 
SOma link hiyo utaona SUDAN darfur ilivyo kama CCM walivyo finya hapa leteni habari nyingine tarehe 08-01-2011 ndio referendum announce inatolewa kujitenga au laaa
 
Na hii itawasaidia kusoma habari za Darfur Sudan na pia SUdan ya kusini finya hapa pia angali hii ya Rebels finyahapa utajua nini Bashiri anataka kuwaondoa watu weusi.Hii JEM ni noma ndo inajitahidi kupambana na GoS (Government of Sudan kuokoa kizazi Cheusi :tape:
 
Back
Top Bottom