Njama za kuimega Sudan

Mapema mwakani kura ya maoni inatarajiwa kupigwa nchini Sudan kuamua mustakbali wa eneo la kusini la nchi hiyo.
Wakati dunia nzima ikipigania kuwa wamoja na maeneo yenye kujaribu kujitenga kama huko Comoro nguvu zikitumika kupinga kujitenga,mambo ni tofauti huko Sudan.
Baadhi ya uongo wa mataifa ya magharibi kuhalalisha kujitenga eneo la kusini lenye utajiri mkubwa wa mafuta ni eti waarabu wanawabagua waafrika.
Hapo chini ni raisi wa Sudan general Omar Al bashir akionesha upanga wake kama silaha ya kupambana na wenye kuitakia mabaya Sudan,akiwa amezungukwa na wasaidizi na walinzi wake.

Kwanza kabisa unajichanganya sana kwenye hoja yako. Kwanza unaanza kwa kusema "Mapema mwakani kura ya maoni inatarajiwa kupigwa nchini Sudan kuamua mustakbali wa eneo la kusini la nchi hiyo." Then, unasema "Baadhi ya uongo wa mataifa ya magharibi kuhalalisha kujitenga eneo la kusini..." Kama kujitenga kumeshahalalishwa, hiyo kura ya maoni inayotarajiwa kupigwa nchini Sundan ni ya nini tena? Sina uhakika una elimu ya kiasi gani, but surely usirukie mambo usiyofahamu. Inaonyesha kabisa hufahamu kabisa historia mgogoro wa kusini mwa Sudan. Inaonekana hujui kabisa ni jinsi gani mataifa ya magharibi yameisadia Sudan kijeshi kuhusiana na huo mgogoro. Huu mgogoro haujaanza juzi na hautaisha kesho.

Huu mgogoro inabidi uangaliwe zaidi kihistoria na sio kidini. Ni vigumu sana kuijua historia ya kusini mwa sudan ukilinganisha na ile ya kaskazini. Wanahistoria wanasema inaonekana kama upande wa kusini ulikuwa na variety of semi-nomadic tribes. Kwenye karne ya 16 haya makabila, yaliyokuwa yanajulikana kama Funj yaliungana na Wanubia na kuanzisha Kingdom ya Sennar. Baada ya hapo masultani wa Funj waliconvert to islam na hapo ndio hii sehemu ya kusini ilipoanza kuwa entrenched. Wakati huo huo, Sultani wa Darfur alijitokeza upande wa mashariki mwa sudan, na kati yao Taqali alinzisha nchi ya Nuba Hills. Wakati huo, uchumi wa sudan ulikuwa feudalim ambapo watumwa wengi walikuwa wakiwasaidia Funj ruling class. Kwa hiyo biashara ya utumwa sudan haijanza leo.

Baada ya Berlin Conference (1882), Belgium ilichukua sehemu ya kusini mwa sudan na kuwa sehemu ya Belgian Congo. Waingereza walichukuwa kaskazini mwa sudan. Hata hivyo mwaka 1886, makubaliano kati ya Belgium na Uingereza yalifanya sehemu ya kusini ichukuliwe na Uingereza baada ya kifo cha King Léopold II in 1910.

Kuanzia hapo Waingereza walitawala kaskazini na kusini mwa Sudan tofauti na ninafikiri ndio hapo huu mgogoro wa sasa uliponzia. Upande wa kusini ulilinganishwa na sehemu nyingine za makoloni ya kiingereza kama ambayo yalikuwa Kenya, Tanganyika na Uganda wakati Upande wa kaskazini ulikuwa ulilinganishwa zaidi na nchi zinazoengea kiarabu kama Misri. Waarabu wa kaskazini walizuiwa kuchukua nafasi zozote za uongozi upande wa kusini uliokuwa dominated na wakatoliki. Pia Waingereza walikataza biashara kufanyanyika kati ya sehemu hizi mbili.

Hata hivyo Waingereza walishidwa kuhimili pressure toka upande wa kaskazini na mnamo mwaka 1946 ilibidi wakubali azimio la upande wa kaskazini on the condition kuwa wataform federal system of governance. Hata hivyo Lugha ya Kiarabu ilifanywa kama lugha ya utawala kusini na watu wa kaskazini walianza kuchukua nafasi mbalimbali za uongozi upande wa kusini. Watu wa kusini ambao walikuwa wamefundishwa zaidi lugha ya kiingereza hawakukubaliana na haya mabadiliko. Matokeo yake hawakuhusishwa kwenye serikali iliyoundwa na watu wa kaskazini. Baada ya uhuru, watu wa kaskazini walipewa mamlaka yote ya kumiliki na kutawala upande wa kusini. Hii ilisababisha mgogoro upande wa kusini.

Mwaka 1955 mgogoro ulikuwa mkubwa baada ya upande wa kaskazini kushindwa kutimiza makubaliano waliokubaliana na uongozi wa kikoloni kuwa wangeanzisha federal system. Miaka 17 iliyofuata ilikuwa ni vita tuu, na viongozi wa upande wa kusini wakaanza kudai regional autonomy au kujitenga kabisa.

Pia ikumbukwe kuwa moja ya sababu zilizosababisha vita kuu ya pili ya dunia ni natural resources za Sudan hasa zilizoko upande wa kusini. Pia kusini ndiko kuliko na tributaries nyingi za mto Nile na heavier precipitation. Upande wa kusini pia una access kubwa ya maji na ina rutuba zaidi. Upande wa kaskazini umepakana zaidi na jangwa. Hata hivyo, upande wa kaskazini ndio unaomiliki natural resources zote za kusini. Nia ya upande wa kaskazini ni kuendelea kumiliki vyanzo hivi vya uchumi wakati nia ya upande wa kusini ni kuwa na mkono kwenye hizi natural resources. Hili pia zimechangia sana kuzuka kwa hii vita. Kinachonishangaza ni kwamba pia kuna vita kati ya Nuer and Dinka ambao wote wanatoka upande wa kusini.

Mwaka 1983, rais Nimeiry alitaka kuibadilisha Sudan iwe nchi ya Kiislamu na kuigawa nchi kwenye sehemu tatu ambazo zingeongozwa na Sheria za Kiislamu. Hii ilikuwa issue sana hata miongoni mwa vikundi vya kiislamu. Kama mnakumbuka hii ndio iliyofanya Ansnar awekwe kwenye house of arrest. Mwaka 1984, Nimeiry alidecrare state of emergency kuhakikisha kuwa sheria za kiislamu zinatumika zaidi. Haki zote za kikatiba zilikuwa-suspended na sheria za kiislamu zilianza kutumika zaidi. Hii yenyewe iliongeza chachu kwenye vita ya wenyewe kwa wenyewe ukizingatia upande wa kusini walikuwa ni wakatoliki.

Jeshi la Sudan People's Liberation Army (SPLA) lilianzishwa mwaka 1983 na watu wa kusini kupambana na serikali ya kaskazini. Nia yao ilikuwa ni kuanzishwa kwa nchi mpya kusini mwa Sudan na kiongozi wa jeshi hili alikuwa John Garang. Nasikia alisoma Tanzania. Mwaka 1984, Nimeiry alitangaza kuisha kwa hali ya hatari. Pia aliwahakikia wasio kuwa waislamu kuwa haki zao zitaheshimiwa japokuwa watu wa kusini hawakumwamini.

Pia cold war imechangia sana kwenye hii vita. Baada ya huru jeshi la sudan liliendelea kufundishwa na kupata zana za kijeshi to Uingereza. Hata hivyo, Ungereza, Marekani na Ujerumani Mashariki, walikata mawasiliano mwaka 1967 baada ya ile vita kali ya siku sita huko sudan. Kati ya mwaka 1968 hadi 1972 Urusi na nchi nyingine za COMECON waliuza silaha nyingi sana Sudan. Pia walitoa training na supports za kijeshi. Urusi iliendelea kuisaidia Sudan Kijeshi mpaka mwaka 1977, pale Sudan ilipofuta mkataba baada ya Urusi kuunga mkono issues za Marxist nchini Ethiopia. Kuanzia hapo China ndio ilikuwa supplier mkubwa wa slaa Sudan, ikisaidiwa na Misri. Hata hivyo katikati ya miaka ya 1970, Marekani ilianza tena kusambaza slaa Sudan ili ku-counteract kitendo cha Urusi kuunga mkono Ethiopia na Libya kwenye issues za Marxist. Hata hiyo, Marekani walikatisha uuzaji wa silaha sudan mwaka 1987 baada ya kuanza kwa vita ya pili Sudan. Ninachojaribu kuonyesha hapa nk kwamba, wakati mtoa hoja anadhani kuwa nchi za magharibi zinafagilia zaidi upande wa kusini ujitenge, pia zimesaidia sana upande wa kaskazini kijeshi. Silaha walizouza Sudan ndio zilizotumika kwa mauaji yaliofanyika huko sudan ya kusini.

Wafuatiliaji wa mambo wanaestimate that kati ya watu 200,000 toka sudan ya kusini wanawake kwa watoto wamechukuliwa kama watumwa na watu wa kaskazini. Watumwa hawa walikuwa wanapatikana kwa kuraid miji na vijiji. Karibia watu 4,000,0000 wameyakimbia makazi yao. Karibia watu 5,000,000 wameikimbia sudan kutokana na vita. Vita imesababisha watu washindwe kulima au kufanya biashara. Vita imesababisha njaa na utapiamlo mkubwa. Watu wa kusini wanaitwa "lost generation". Hawana elimu, ajira na afya bora ukilinganisha na watu wa kaskazini.

Kweli kuna umuhimu wa Waafrika kuungana kama kweli tunataka kupambana na nchi za magharibi. Lakini hatuwezi kulazimisha muungano kama watu wenyewe wanaona hauna manufaa kwao. Na hapa siongelei udini. Kwa mfano, sioni umuhimu wa kulazimisha Chechnya ambao wengi wao ni waislau iwe ndani Russia, kama Wachechnya wenyewe hawataki. Kama njia pekee ya kumaliza vita ya sudan ni sehemu hizo mbili kujitenga na kuwa nchi mbili then let it be so. Let the people exercise their right to self determination - their inherent right to choose how they want to be governed.

Leo, kama watu wa Zanzibar wakiamua kutaka kujitenga sidhani kama itakuwa busara kwa watu wa bara kuwarushia makombora eti kwa nia kudumisha muungano. Let people choose if they want to unite, but do not impose such unification on them especially if they think that they won't benefit from it. Kitu kinachonikera ni double standards zinazotumiwa na nchi za magharibi. Kama kweli wanaona kuna haki ya watu wa kusini mwa sudani kujitenga, vipi watu wa Western Sahara?
 
Ndiyo lugha yao ya kuzaliwa na inayotumika kila sehemu.Tatizo ni nini?.
Ubaguzi wenu kila pahala,hata lugha nayo munaiogopa.

Mkuu naomba nikusahihishe hapo. Sudan ina jumla ya lugha 142. Kati ya hizo, lugha 134 bado zinazungunzwa, na lugha nane 8 ni kama zimekuwa extingished. Sudan ni multilingual country ambapo lugha ya kiarabu inazungunzwa zaidi kaskazini na lugha nyingine kusini. Katiba ya Sudan inasema wazi kuwa Kiarabu na Kiingereza ndio lugha kuu za Sudan. Ibara ya 8 ya katiba ya Sudan inasema:

Article 8:

All indigenous languages of Sudan are national languages and shall be respected, developed and promoted.
Arabic is a widely spoken national language in Sudan.
Arabic, as a major language at the national level and English shall be the official working languages of the national government and the languages of instruction for higher education.
In addition to Arabic and English, the legislature of any sub-national level of government may adopt any other national language as an additional official working language at its level.
There shall be no discrimination against the use of either Arabic or English at any level of government or stage of education.



Nafikiri Kingereza kimechaguliwa kama lugha ya taifa kwa kwa sababu kinazungumzwa zaidi upande wa kusini. In face watu wa kusini wanazungunza Kiingereza kizuri zaidi kulinganisha na watu wa kaskazini. Kama katiba ingesema Kiarabu ndio kiwe lugha pekee ya taifa, nafikiri wasudani wengi wakiwemo waislamu wa kusini wangepinga. Pia upande wa kusini lugha ya Dinka inazungumzwa kwenye vijiji vingi sana.
 
Tatizo letu sisi Africa (binadamu) tunapenda sana kujitenga. Kusini mwa Sudan kama wakijitenga ni kuonyesha jinsi gani dunia inavyoendelea kugawanyika. Tumeona nchi kibao in Asia, Eastern Europe zinajitenga, sasa hivi Africa. Mandela alipopata nchi, watu wengi walitegemea kwamba Mandela atawafukuza Wazungu, matokeo yake, Mandela hakufanya hivyo.
WaZimbabwe waliona Wazungu ndiyo tatizo la nchi yao, wakampush Mugabe awafukuze Wazungu, matokeo yake, Zimbabwe imekuwa nchi maskini sana kwa muda mfupi.
 
1.Kwanza kabisa unajichanganya sana kwenye hoja yako. Kwanza unaanza kwa kusema "Mapema mwakani kura ya maoni inatarajiwa kupigwa nchini Sudan kuamua mustakbali wa eneo la kusini la nchi hiyo." Then, unasema "Baadhi ya uongo wa mataifa ya magharibi kuhalalisha kujitenga eneo la kusini..." Kama kujitenga kumeshahalalishwa, hiyo kura ya maoni inayotarajiwa kupigwa nchini Sundan ni ya nini tena? Sina uhakika una elimu ya kiasi gani, but surely usirukie mambo usiyofahamu. Inaonyesha kabisa hufahamu kabisa historia mgogoro wa kusini mwa Sudan. 2.Inaonekana hujui kabisa ni jinsi gani mataifa ya magharibi yameisadia Sudan kijeshi kuhusiana na huo mgogoro. Huu mgogoro haujaanza juzi na hautaisha kesho.

Huu mgogoro inabidi uangaliwe zaidi kihistoria na sio kidini. Ni vigumu sana kuijua historia ya kusini mwa sudan ukilinganisha na ile ya kaskazini. Wanahistoria wanasema inaonekana kama upande wa kusini ulikuwa na variety of semi-nomadic tribes. Kwenye karne ya 16 haya makabila, yaliyokuwa yanajulikana kama Funj yaliungana na Wanubia na kuanzisha Kingdom ya Sennar. Baada ya hapo masultani wa Funj waliconvert to islam na hapo ndio hii sehemu ya kusini ilipoanza kuwa entrenched. Wakati huo huo, Sultani wa Darfur alijitokeza upande wa mashariki mwa sudan, na kati yao Taqali alinzisha nchi ya Nuba Hills. Wakati huo, uchumi wa sudan ulikuwa feudalim ambapo watumwa wengi walikuwa wakiwasaidia Funj ruling class. Kwa hiyo biashara ya utumwa sudan haijanza leo.

Baada ya Berlin Conference (1882), Belgium ilichukua sehemu ya kusini mwa sudan na kuwa sehemu ya Belgian Congo. Waingereza walichukuwa kaskazini mwa sudan. Hata hivyo mwaka 1886, makubaliano kati ya Belgium na Uingereza yalifanya sehemu ya kusini ichukuliwe na Uingereza baada ya kifo cha King Léopold II in 1910.

Kuanzia hapo Waingereza walitawala kaskazini na kusini mwa Sudan tofauti na ninafikiri ndio hapo huu mgogoro wa sasa uliponzia. Upande wa kusini ulilinganishwa na sehemu nyingine za makoloni ya kiingereza kama ambayo yalikuwa Kenya, Tanganyika na Uganda wakati Upande wa kaskazini ulikuwa ulilinganishwa zaidi na nchi zinazoengea kiarabu kama Misri. Waarabu wa kaskazini walizuiwa kuchukua nafasi zozote za uongozi upande wa kusini uliokuwa dominated na wakatoliki. Pia Waingereza walikataza biashara kufanyanyika kati ya sehemu hizi mbili.

Hata hivyo Waingereza walishidwa kuhimili pressure toka upande wa kaskazini na mnamo mwaka 1946 ilibidi wakubali azimio la upande wa kaskazini on the condition kuwa wataform federal system of governance. Hata hivyo Lugha ya Kiarabu ilifanywa kama lugha ya utawala kusini na watu wa kaskazini walianza kuchukua nafasi mbalimbali za uongozi upande wa kusini. Watu wa kusini ambao walikuwa wamefundishwa zaidi lugha ya kiingereza hawakukubaliana na haya mabadiliko. Matokeo yake hawakuhusishwa kwenye serikali iliyoundwa na watu wa kaskazini. Baada ya uhuru, watu wa kaskazini walipewa mamlaka yote ya kumiliki na kutawala upande wa kusini. Hii ilisababisha mgogoro upande wa kusini.

Mwaka 1955 mgogoro ulikuwa mkubwa baada ya upande wa kaskazini kushindwa kutimiza makubaliano waliokubaliana na uongozi wa kikoloni kuwa wangeanzisha federal system. Miaka 17 iliyofuata ilikuwa ni vita tuu, na viongozi wa upande wa kusini wakaanza kudai regional autonomy au kujitenga kabisa.

Pia ikumbukwe kuwa moja ya sababu zilizosababisha vita kuu ya pili ya dunia ni natural resources za Sudan hasa zilizoko upande wa kusini. Pia kusini ndiko kuliko na tributaries nyingi za mto Nile na heavier precipitation. Upande wa kusini pia una access kubwa ya maji na ina rutuba zaidi. Upande wa kaskazini umepakana zaidi na jangwa. Hata hivyo, upande wa kaskazini ndio unaomiliki natural resources zote za kusini. Nia ya upande wa kaskazini ni kuendelea kumiliki vyanzo hivi vya uchumi wakati nia ya upande wa kusini ni kuwa na mkono kwenye hizi natural resources. Hili pia zimechangia sana kuzuka kwa hii vita. Kinachonishangaza ni kwamba pia kuna vita kati ya Nuer and Dinka ambao wote wanatoka upande wa kusini.

Mwaka 1983, rais Nimeiry alitaka kuibadilisha Sudan iwe nchi ya Kiislamu na kuigawa nchi kwenye sehemu tatu ambazo zingeongozwa na Sheria za Kiislamu. Hii ilikuwa issue sana hata miongoni mwa vikundi vya kiislamu. Kama mnakumbuka hii ndio iliyofanya Ansnar awekwe kwenye house of arrest. Mwaka 1984, Nimeiry alidecrare state of emergency kuhakikisha kuwa sheria za kiislamu zinatumika zaidi. Haki zote za kikatiba zilikuwa-suspended na sheria za kiislamu zilianza kutumika zaidi. Hii yenyewe iliongeza chachu kwenye vita ya wenyewe kwa wenyewe ukizingatia upande wa kusini walikuwa ni wakatoliki.

Jeshi la Sudan People's Liberation Army (SPLA) lilianzishwa mwaka 1983 na watu wa kusini kupambana na serikali ya kaskazini. Nia yao ilikuwa ni kuanzishwa kwa nchi mpya kusini mwa Sudan na kiongozi wa jeshi hili alikuwa John Garang. Nasikia alisoma Tanzania. Mwaka 1984, Nimeiry alitangaza kuisha kwa hali ya hatari. Pia aliwahakikia wasio kuwa waislamu kuwa haki zao zitaheshimiwa japokuwa watu wa kusini hawakumwamini.

Pia cold war imechangia sana kwenye hii vita. Baada ya huru jeshi la sudan liliendelea kufundishwa na kupata zana za kijeshi to Uingereza. Hata hivyo, Ungereza, Marekani na Ujerumani Mashariki, walikata mawasiliano mwaka 1967 baada ya ile vita kali ya siku sita huko sudan. Kati ya mwaka 1968 hadi 1972 Urusi na nchi nyingine za COMECON waliuza silaha nyingi sana Sudan. Pia walitoa training na supports za kijeshi. Urusi iliendelea kuisaidia Sudan Kijeshi mpaka mwaka 1977, pale Sudan ilipofuta mkataba baada ya Urusi kuunga mkono issues za Marxist nchini Ethiopia. Kuanzia hapo China ndio ilikuwa supplier mkubwa wa slaa Sudan, ikisaidiwa na Misri. Hata hivyo katikati ya miaka ya 1970, Marekani ilianza tena kusambaza slaa Sudan ili ku-counteract kitendo cha Urusi kuunga mkono Ethiopia na Libya kwenye issues za Marxist. Hata hiyo, Marekani walikatisha uuzaji wa silaha sudan mwaka 1987 baada ya kuanza kwa vita ya pili Sudan. Ninachojaribu kuonyesha hapa nk kwamba, wakati mtoa hoja anadhani kuwa nchi za magharibi zinafagilia zaidi upande wa kusini ujitenge, pia zimesaidia sana upande wa kaskazini kijeshi. Silaha walizouza Sudan ndio zilizotumika kwa mauaji yaliofanyika huko sudan ya kusini.

3.Wafuatiliaji wa mambo wanaestimate that kati ya watu 200,000 toka sudan ya kusini wanawake kwa watoto wamechukuliwa kama watumwa na watu wa kaskazini. Watumwa hawa walikuwa wanapatikana kwa kuraid miji na vijiji. Karibia watu 4,000,0000 wameyakimbia makazi yao. Karibia watu 5,000,000 wameikimbia sudan kutokana na vita. Vita imesababisha watu washindwe kulima au kufanya biashara. Vita imesababisha njaa na utapiamlo mkubwa. Watu wa kusini wanaitwa "lost generation". Hawana elimu, ajira na afya bora ukilinganisha na watu wa kaskazini.

Kweli kuna umuhimu wa Waafrika kuungana kama kweli tunataka kupambana na nchi za magharibi. Lakini hatuwezi kulazimisha muungano kama watu wenyewe wanaona hauna manufaa kwao. Na hapa siongelei udini. Kwa mfano, sioni umuhimu wa kulazimisha Chechnya ambao wengi wao ni waislau iwe ndani Russia, kama Wachechnya wenyewe hawataki. Kama njia pekee ya kumaliza vita ya sudan ni sehemu hizo mbili kujitenga na kuwa nchi mbili then let it be so. Let the people exercise their right to self determination - their inherent right to choose how they want to be governed.

Leo, kama watu wa Zanzibar wakiamua kutaka kujitenga sidhani kama itakuwa busara kwa watu wa bara kuwarushia makombora eti kwa nia kudumisha muungano. Let people choose if they want to unite, but do not impose such unification on them especially if they think that they won't benefit from it. Kitu kinachonikera ni double standards zinazotumiwa na nchi za magharibi. Kama kweli wanaona kuna haki ya watu wa kusini mwa sudani kujitenga, vipi watu wa Western Sahara?

Umezungumza vizuri,kuna sehemu nakupongeza kwa kutumia muda wako kuipitia hii historia ya Sudan.Hii haikufanyi wewe ujifakharishe na kunibeza kwa kusema "Sina uhakika una elimu ya kiasi gani,". kikubwa ulichokifanya ni kuwa umefungua google kujiangalia historia ya Sudan.Tofauti na wenzako wengine kwenye huu mjadala.
Kadiri utakavyoona kwenye google kuna ukweli mwingi ambao haupatikani humo.Kumbuka hizi teknolojia kwa sasa zinatawaliwa na hao hao wanaochochea mifarakano.Watu wenye misimamo na uoni kama wangu hawakatazwi kuandika,lakini maandishi yao ni machache,hivyo katika kutafuta utakutana na uongo na uchochezi kwanza kabla kukutana na mawazo yetu.
Mwenyewe hujasalimika na kujichanganya kwenye maelezo yako.Umeshangaa kwamba nimetumia "Baadhi ya uongo wa mataifa ya magharibi kuhalalisha kujitenga eneo la kusini...".Umesahau kuwa uchaguzi unaanza na kampeni.Misimamo ya vyama na kampeni zao hujulikana kabla.Wazungu,wakristo kama wewe na wabaguzi wengi tumeshajuwa nini wanakiita halali kuhusiana na Sudan ya kusini,kwamba ijitenge.
Kuhusiana na mataifa ya magharibi kuisaidia kijeshi Sudan ni kweli kwa namna fulani.
Kumbuka hawa ni watu waovu sana katika dunia.Ukitaka kujua maana ya undumila kuwili angalia hawa watu.Usiingie kichwa kichwa kwenye kampeni zao.Hufanya mambo kwa maslahi ya maisha ya dunia tu.Hapendwi mtu...
Hivyo uliponishtumu kwamba eti "Inaonekana hujui kabisa ni jinsi gani mataifa ya magharibi yameisadia Sudan kijeshi kuhusiana na huo mgogoro".Hapa umejitukana uwezo wako wa kufikiri tu na kupokea mambo.
Unakumbuka sept.2008 MV Faina - iliyotekwa kibahati mbaya na maharamia wa kisomali ikiwa imepakia 33 Soviet-made T-72 tanks na silaha nyengine nzito zilizokuwa zikipelekwa Kusini mwa Sudan.Marekani ilikuwa mbele kuziokoa silaha hizi,zaidi ilikuwa ni wivu wa kibiashara na kuhofu zisiingie mikononi mwa mahasimu wake wa kiislamu.Sio kwamba walikuwa wanaipenda serikali ya kiislamu ya Sudan.
Kuhusiana na mauzo ya silaha hapa ndipo ulipojichangaya,uliposema "Ninachojaribu kuonyesha hapa nk kwamba, wakati mtoa hoja anadhani kuwa nchi za magharibi zinafagilia zaidi upande wa kusini ujitenge, pia zimesaidia sana upande wa kaskazini kijeshi. Silaha walizouza Sudan ndio zilizotumika kwa mauaji yaliofanyika huko sudan ya kusini.

Nakuuliza! Sasa muuwaji wa watu wa kusini ni Waarabu/waislamu au ni wazungu/wakristo?.

Angalia na.3 juu kwenye mchango wako.Unaposema wafuatiliaji wa mambo,una maana gani?.Au lazima huyo mfuatiliaji awe ni wewe au mkristo fulani kutoka Ulaya?.
Hizo takwimu ndio uchochezi wenyewe unaoingia kwenye vichwa vyenu.Kama ni vita sawa !,lakini hakuna utumwa.Neno utumwa limeleta mafanikio sana katika siasa kwenye nchi za Afrika.
Si mnajuwa kuwa katika vita kuna kuteka nyara na kuwachukua mateka wa vita.Vijana wanaotiwa hamasa na maadui wa umoja wa Sudan mara nyingi huwa hawana uzoefu wa kivita hivyo hushindwa haraka na kuchukuliwa mateka.Uzuri wa jeshi la waislamu ni kuwa hauwatendei vibaya mateka wao.Hivyo hao vijana hupelekwa maeneo na kuchanganywa katika jamii.Kwanini mateka wa kivita kwa Sudan waitwe ni watumwa?.Tumia akili yako kufikiri na kuangalia mambo mitaani Sudan ilivyo.
 
Al Qaeda Ami naona sasa kaelemewa..he he he..

Wewe najua ni wa kushangilia tu.Huna hoja katika huu mjadala.Wewe huwa ni mkali kule kwenye majukwaa ya umbea.Sio hapa.
Lakini hata hao unaowashangiria si unaona wamekimbia!.Ubaguzi haukubaliki na hauwezi kutetewa.
 
Yeah tusisahau historia, during colonialism walitumia method inayoitwa "DIVIDE AND RULE" na wanataka kufanya hivyo Sudan, daima wazungu wanahatarisha amani ya maeneo wenye interest nayo km viongozi husika hawapo upande wao.


Sio wazungu tu bob hata waarabu na siku hizi wachina wote wanachoweka mbele ni interest zao tu. Kumbuka hata sisi, labda tukishakuja kuwa na akili huko mbeleni tutawakandamiza wenzetu kwa ajili ya interest zetu. That is the world system we have to accept and look for ways to avoid their traps wisely!
 
Sio wazungu tu bob hata waarabu na siku hizi wachina wote wanachoweka mbele ni interest zao tu. Kumbuka hata sisi, labda tukishakuja kuwa na akili huko mbeleni tutawakandamiza wenzetu kwa ajili ya interest zetu. That is the world system we have to accept and look for ways to avoid their traps wisely!
Hata watanzania wapo...nina maana binadamu wengi ni wahatarisha amani, kutokana na ubinafsi wao. Kwa hiyo issue sio rangi wala mbari, bali ni UBINAFSI WA MTU HUSIKA
 
Wewe najua ni wa kushangilia tu.Huna hoja katika huu mjadala.Wewe huwa ni mkali kule kwenye majukwaa ya umbea.Sio hapa.
Lakini hata hao unaowashangiria si unaona wamekimbia!.Ubaguzi haukubaliki na hauwezi kutetewa.

Hoja zako ni za kipumbavu na ndio maana unapojibiwa, unajibu kwa mistari miwili kuonesha ulivo shallow..
 
Iwapo kufanya kazi kwa malipo madogo ni Utumwa basi utumwa uko kila pahala
Haya ya Sudan huwa yanakuzwa kwa malengo tuliyoyataja hapo juu.

Majina ya watungaji wa hadithi yoyote ile yako mengi tu.

Inaelekea umegubikwa na udini kiasi kwamba hata husomi ukaelewa michango inayotolewa ila unajibu ili kukithi mahitaji yako binafsi, udini! Sasa kweli ukisoma maelezo yangu hapo juu kuna jambo lililoashiria mshahara mdogo kuwa tatizo? Hata sipotezi muda zaidi! Aibu sana.
 
Umezungumza vizuri,kuna sehemu nakupongeza kwa kutumia muda wako kuipitia hii historia ya Sudan.Hii haikufanyi wewe ujifakharishe na kunibeza kwa kusema "Sina uhakika una elimu ya kiasi gani,". kikubwa ulichokifanya ni kuwa umefungua google kujiangalia historia ya Sudan.Tofauti na wenzako wengine kwenye huu mjadala.
Kadiri utakavyoona kwenye google kuna ukweli mwingi ambao haupatikani humo.Kumbuka hizi teknolojia kwa sasa zinatawaliwa na hao hao wanaochochea mifarakano.Watu wenye misimamo na uoni kama wangu hawakatazwi kuandika,lakini maandishi yao ni machache,hivyo katika kutafuta utakutana na uongo na uchochezi kwanza kabla kukutana na mawazo yetu.
Mwenyewe hujasalimika na kujichanganya kwenye maelezo yako.Umeshangaa kwamba nimetumia "Baadhi ya uongo wa mataifa ya magharibi kuhalalisha kujitenga eneo la kusini...".Umesahau kuwa uchaguzi unaanza na kampeni.Misimamo ya vyama na kampeni zao hujulikana kabla.Wazungu,wakristo kama wewe na wabaguzi wengi tumeshajuwa nini wanakiita halali kuhusiana na Sudan ya kusini,kwamba ijitenge.
Kuhusiana na mataifa ya magharibi kuisaidia kijeshi Sudan ni kweli kwa namna fulani.
Kumbuka hawa ni watu waovu sana katika dunia.Ukitaka kujua maana ya undumila kuwili angalia hawa watu.Usiingie kichwa kichwa kwenye kampeni zao.Hufanya mambo kwa maslahi ya maisha ya dunia tu.Hapendwi mtu...
Hivyo uliponishtumu kwamba eti "Inaonekana hujui kabisa ni jinsi gani mataifa ya magharibi yameisadia Sudan kijeshi kuhusiana na huo mgogoro".Hapa umejitukana uwezo wako wa kufikiri tu na kupokea mambo.
Unakumbuka sept.2008 MV Faina — iliyotekwa kibahati mbaya na maharamia wa kisomali ikiwa imepakia 33 Soviet-made T-72 tanks na silaha nyengine nzito zilizokuwa zikipelekwa Kusini mwa Sudan.Marekani ilikuwa mbele kuziokoa silaha hizi,zaidi ilikuwa ni wivu wa kibiashara na kuhofu zisiingie mikononi mwa mahasimu wake wa kiislamu.Sio kwamba walikuwa wanaipenda serikali ya kiislamu ya Sudan.
Kuhusiana na mauzo ya silaha hapa ndipo ulipojichangaya,uliposema "Ninachojaribu kuonyesha hapa nk kwamba, wakati mtoa hoja anadhani kuwa nchi za magharibi zinafagilia zaidi upande wa kusini ujitenge, pia zimesaidia sana upande wa kaskazini kijeshi. Silaha walizouza Sudan ndio zilizotumika kwa mauaji yaliofanyika huko sudan ya kusini.

Nakuuliza! Sasa muuwaji wa watu wa kusini ni Waarabu/waislamu au ni wazungu/wakristo?.

Angalia na.3 juu kwenye mchango wako.Unaposema wafuatiliaji wa mambo,una maana gani?.Au lazima huyo mfuatiliaji awe ni wewe au mkristo fulani kutoka Ulaya?.
Hizo takwimu ndio uchochezi wenyewe unaoingia kwenye vichwa vyenu.Kama ni vita sawa !,lakini hakuna utumwa.Neno utumwa limeleta mafanikio sana katika siasa kwenye nchi za Afrika.
Si mnajuwa kuwa katika vita kuna kuteka nyara na kuwachukua mateka wa vita.Vijana wanaotiwa hamasa na maadui wa umoja wa Sudan mara nyingi huwa hawana uzoefu wa kivita hivyo hushindwa haraka na kuchukuliwa mateka.Uzuri wa jeshi la waislamu ni kuwa hauwatendei vibaya mateka wao.Hivyo hao vijana hupelekwa maeneo na kuchanganywa katika jamii.Kwanini mateka wa kivita kwa Sudan waitwe ni watumwa?.Tumia akili yako kufikiri na kuangalia mambo mitaani Sudan ilivyo.

UNABOA KWELI KWELI. KWANI KUNA TATIZO GANI UKASOME VITABU HALAFU ULETE POINTI, NOJA ZAKO NYINGI NI ZA UMBEA NA NI KMA HADITHI AMBAZO UMESIMULIWA KYK MAGENGE. hUNA SOURCE YA INFO. NA UNAKUJA HAPA KTK FORUM. KAKA UNABOA, KILA MTU AMEJITAHIDI KUKUELIMISHA NA HUTAKI KUELEWA, UTABAKI NA UMBUMBU WAKO HUO
 
Umezungumza vizuri,kuna sehemu nakupongeza kwa kutumia muda wako kuipitia hii historia ya Sudan.Hii haikufanyi wewe ujifakharishe na kunibeza kwa kusema "Sina uhakika una elimu ya kiasi gani,". kikubwa ulichokifanya ni kuwa umefungua google kujiangalia historia ya Sudan.Tofauti na wenzako wengine kwenye huu mjadala.
Kadiri utakavyoona kwenye google kuna ukweli mwingi ambao haupatikani humo.Kumbuka hizi teknolojia kwa sasa zinatawaliwa na hao hao wanaochochea mifarakano.Watu wenye misimamo na uoni kama wangu hawakatazwi kuandika,lakini maandishi yao ni machache,hivyo katika kutafuta utakutana na uongo na uchochezi kwanza kabla kukutana na mawazo yetu.
Mwenyewe hujasalimika na kujichanganya kwenye maelezo yako.Umeshangaa kwamba nimetumia "Baadhi ya uongo wa mataifa ya magharibi kuhalalisha kujitenga eneo la kusini...".Umesahau kuwa uchaguzi unaanza na kampeni.Misimamo ya vyama na kampeni zao hujulikana kabla.Wazungu,wakristo kama wewe na wabaguzi wengi tumeshajuwa nini wanakiita halali kuhusiana na Sudan ya kusini,kwamba ijitenge.
Kuhusiana na mataifa ya magharibi kuisaidia kijeshi Sudan ni kweli kwa namna fulani.
Kumbuka hawa ni watu waovu sana katika dunia.Ukitaka kujua maana ya undumila kuwili angalia hawa watu.Usiingie kichwa kichwa kwenye kampeni zao.Hufanya mambo kwa maslahi ya maisha ya dunia tu.Hapendwi mtu...
Hivyo uliponishtumu kwamba eti "Inaonekana hujui kabisa ni jinsi gani mataifa ya magharibi yameisadia Sudan kijeshi kuhusiana na huo mgogoro".Hapa umejitukana uwezo wako wa kufikiri tu na kupokea mambo.
Unakumbuka sept.2008 MV Faina — iliyotekwa kibahati mbaya na maharamia wa kisomali ikiwa imepakia 33 Soviet-made T-72 tanks na silaha nyengine nzito zilizokuwa zikipelekwa Kusini mwa Sudan.Marekani ilikuwa mbele kuziokoa silaha hizi,zaidi ilikuwa ni wivu wa kibiashara na kuhofu zisiingie mikononi mwa mahasimu wake wa kiislamu.Sio kwamba walikuwa wanaipenda serikali ya kiislamu ya Sudan.
Kuhusiana na mauzo ya silaha hapa ndipo ulipojichangaya,uliposema "Ninachojaribu kuonyesha hapa nk kwamba, wakati mtoa hoja anadhani kuwa nchi za magharibi zinafagilia zaidi upande wa kusini ujitenge, pia zimesaidia sana upande wa kaskazini kijeshi. Silaha walizouza Sudan ndio zilizotumika kwa mauaji yaliofanyika huko sudan ya kusini.

Nakuuliza! Sasa muuwaji wa watu wa kusini ni Waarabu/waislamu au ni wazungu/wakristo?.

Angalia na.3 juu kwenye mchango wako.Unaposema wafuatiliaji wa mambo,una maana gani?.Au lazima huyo mfuatiliaji awe ni wewe au mkristo fulani kutoka Ulaya?.
Hizo takwimu ndio uchochezi wenyewe unaoingia kwenye vichwa vyenu.Kama ni vita sawa !,lakini hakuna utumwa.Neno utumwa limeleta mafanikio sana katika siasa kwenye nchi za Afrika.
Si mnajuwa kuwa katika vita kuna kuteka nyara na kuwachukua mateka wa vita.Vijana wanaotiwa hamasa na maadui wa umoja wa Sudan mara nyingi huwa hawana uzoefu wa kivita hivyo hushindwa haraka na kuchukuliwa mateka.Uzuri wa jeshi la waislamu ni kuwa hauwatendei vibaya mateka wao.Hivyo hao vijana hupelekwa maeneo na kuchanganywa katika jamii.Kwanini mateka wa kivita kwa Sudan waitwe ni watumwa?.Tumia akili yako kufikiri na kuangalia mambo mitaani Sudan ilivyo.

UNABOA KWELI KWELI. KWANI KUNA TATIZO GANI UKASOME VITABU HALAFU ULETE POINTI, NOJA ZAKO NYINGI NI ZA UMBEA NA NI KMA HADITHI AMBAZO UMESIMULIWA KYK MAGENGE. hUNA SOURCE YA INFO. NA UNAKUJA HAPA KTK FORUM. KAKA UNABOA, KILA MTU AMEJITAHIDI KUKUELIMISHA NA HUTAKI KUELEWA, UTABAKI NA UMBUMBU WAKO HUO
 
UNABOA KWELI KWELI. KWANI KUNA TATIZO GANI UKASOME VITABU HALAFU ULETE POINTI, NOJA ZAKO NYINGI NI ZA UMBEA NA NI KMA HADITHI AMBAZO UMESIMULIWA KYK MAGENGE. hUNA SOURCE YA INFO. NA UNAKUJA HAPA KTK FORUM. KAKA UNABOA, KILA MTU AMEJITAHIDI KUKUELIMISHA NA HUTAKI KUELEWA, UTABAKI NA UMBUMBU WAKO HUO

Toa hoja ya msingi, sio unabisha bila ya point.
 
Scared southern Sudanese flee the north to vote

By James Copnall
BBC News, Khartoum
12 November 2010

Thousands of southern Sudanese are fleeing the north as tension grows in the build-up to January's referendum on possible southern independence. Southern Sudan's government is trying to organise many of the returns. Many southerners have been scared by suggestions from senior northern officials that they would not be welcome if the south votes to secede.

The referendum is part of a 2005 deal to end the 21-year civil war in Africa's largest nation. The Muslim north and south where most people are Christian or follow traditional religions are also divided along ethnic, economic and political lines and have fought for most of Sudan's post-independence history.

'Uncertain in south'

The government of the south is paying for transport for many of those wanting to leave the capital, Khartoum - although some people have been waiting for weeks for a bus. "I am going to the south because the referendum is near," Michael Mashot told the BBC.

A thin man carrying a luminous green plastic chair on his shoulder, he says he is returning to Bentiu, the capital of Unity State. "It's difficult to be a southerner in Khartoum because this place is not my place."

The south's Unity State has set up a makeshift office in the Khartoum suburb of Sahafa, and has already registered more than 5,000 people to get buses heading south - a journey which can take several days.

Men mill around outside the office, while women sit on mats on the dusty street, clutching small children on their laps. Mattresses and chairs and tightly stuffed plastic bags of household belongings are piled up on a scrap of wasteland.

UN head of humanitarian affairs Baroness Valerie Amos, who has been touring Sudan this week, is worried about too many people returning to the south, to uncertain conditions. "Where people want to return, it's important this return is done on a phased basis," she says. "There is no point people leaving jobs in the north to go to the south to be unemployed."

David Ring Gai, a young man who fled Sudan's civil war and lived for several years in a refugee camp in Kenya, moved to Khartoum to study.

Now he is preparing to leave - with the intention of voting a new country into being. "Many people are gathering to go back to their homelands to vote for separation, not for unity," he explains. "We are here for many years suffering from the Khartoum regime." He says he is worried he would not get a fair vote if he stays in the north. "Whenever we vote here we cannot get good voting. They can put that we are voting for unity but we are voting for separation."

Frustration

The Sudan People's Liberation Movement, which controls the south since a 2005 peace deal, clearly agrees. Some people wait weeks to get on to a bus heading south. It is trying to move as many southerners as possible to vote in areas away from northern control - preferring them to be in places it influences.

At one point it announced it wanted more than a million southerners to return, though this number has been revised down. But outside the Unity State office in Sahafa, frustration is growing as there is no money for the buses to transport people back home. "I've been waiting here for almost three months," Mr Gai says.

"We are waiting for southerners to bring money to transfer the people to the south. "There are many children; they sleep on the road without any shelter and without any food. "We are suffering too much."

Simon, a young man with a large watch almost slipping off his slim wrist, says he too is desperate to leave Khartoum. "We are disturbed; we don't know what is going on. We just want to get to Southern Sudan."

BBC News - Scared southern Sudanese flee the north to vote
 
[COLOR]Umezungumza vizuri,kuna sehemu nakupongeza kwa kutumia muda wako kuipitia hii historia ya Sudan.Hii haikufanyi wewe ujifakharishe na kunibeza kwa kusema "Sina uhakika una elimu ya kiasi gani,". kikubwa ulichokifanya ni kuwa umefungua google kujiangalia historia ya Sudan.Tofauti na wenzako wengine kwenye huu mjadala.
.
Mkuu hapo yaani unazidi kudhihirisha ni jinsi gani ulivyo so dumb. In short unasikitisha. Kama ungekuwa na elimu ya maana ungetumia elimu yako kuandika vitu vya maana. Historia ya sudan ipo everywhere. Ila kwa u-dumb wako umeshindwa hata kufungua google usome. Badala yake unatuletea mambo ya vijiweni hapa. Mkuu jitambue na heshimu utu wako. Otherwise kwa haya unayoandika ni kujidhalilisha mwenyewe tuu.
[COLOR] Kadiri utakavyoona kwenye google kuna ukweli mwingi ambao haupatikani humo.Kumbuka hizi teknolojia kwa sasa zinatawaliwa na hao hao wanaochochea mifarakano.Watu wenye misimamo na uoni kama wangu hawakatazwi kuandika,lakini maandishi yao ni machache,hivyo katika kutafuta utakutana na uongo na uchochezi kwanza kabla kukutana na mawazo yetu.[/COLOR]
.
Sikushangai ndio maana unaiabudu sana SPACE STATION yao na umeamua kuishi huko kabisa. Unaponda technology yao wakati unadai uko SPACE STATION. This just show how hypocrity you are.
[COLOR] Mwenyewe hujasalimika na kujichanganya kwenye maelezo yako.Umeshangaa kwamba nimetumia "Baadhi ya uongo wa mataifa ya magharibi kuhalalisha kujitenga eneo la kusini...".Umesahau kuwa uchaguzi unaanza na kampeni.Misimamo ya vyama na kampeni zao hujulikana kabla.Wazungu,wakristo kama wewe na wabaguzi wengi tumeshajuwa nini wanakiita halali kuhusiana na Sudan ya kusini,kwamba ijitenge.[/COLOR][/B]
.
Hivi wewe umeenda shule kweli? Nani kakwambia kuwa kusini mwa sudan wanafanya uchaguzi? Yaani hujui hata tofauti ya election na referendum? Pia nipe list ya nchi za kiislamu zinazopinga kujitenga kwa sudan ya kusini.
[COLOR]Kuhusiana na mataifa ya magharibi kuisaidia kijeshi Sudan ni kweli kwa namna fulani. Kumbuka hawa ni watu waovu sana katika dunia.Ukitaka kujua maana ya undumila kuwili angalia hawa watu.Usiingie kichwa kichwa kwenye kampeni zao.Hufanya mambo kwa maslahi ya maisha ya dunia tu.Hapendwi mtu..[/COLOR][/COLOR][/B]
.
Kwa wanaongia kichwa kichwa ni akina nani? Si ni hao hao waarabu? Angalia huko Afghanistan, Pakistan, Iraq, etc. Ndio maana waarabu huko sudan waliingia mkenge pia.
[COLOR]Hivyo uliponishtumu kwamba eti "Inaonekana hujui kabisa ni jinsi gani mataifa ya magharibi yameisadia Sudan kijeshi kuhusiana na huo mgogoro".[/COLOR]Hapa umejitukana uwezo wako wa kufikiri tu na kupokea mambo.
Unakumbuka sept.2008 MV Faina - iliyotekwa kibahati mbaya na maharamia wa kisomali ikiwa imepakia 33 Soviet-made T-72 tanks na silaha nyengine nzito zilizokuwa zikipelekwa Kusini mwa Sudan.Marekani ilikuwa mbele kuziokoa silaha hizi,zaidi ilikuwa ni wivu wa kibiashara na kuhofu zisiingie mikononi mwa mahasimu wake wa kiislamu.Sio kwamba walikuwa wanaipenda serikali ya kiislamu ya Sudan.
Kuhusiana na mauzo ya silaha hapa ndipo ulipojichangaya,uliposema "Ninachojaribu kuonyesha hapa nk kwamba, wakati mtoa hoja anadhani kuwa nchi za magharibi zinafagilia zaidi upande wa kusini ujitenge, pia zimesaidia sana upande wa kaskazini kijeshi. Silaha walizouza Sudan ndio zilizotumika kwa mauaji yaliofanyika huko sudan ya kusini. Nakuuliza! Sasa muuwaji wa watu wa kusini ni Waarabu/waislamu au ni wazungu/wakristo?.
[/COLOR][/B]
.
Yaani na hapo unataka nikupe jibu? Hivi mimi nikikupa silaha halafu ukaitumia kumwua mtu mwingine, nani atakuwa responsible? Mimi, wewe or both? Dah! Watu wengine! Ngumu kweli kuelewa.
[COLOR]Angalia na.3 juu kwenye mchango wako.Unaposema wafuatiliaji wa mambo,una maana gani?.Au lazima huyo mfuatiliaji awe ni wewe au mkristo fulani kutoka Ulaya?.[/COLOR]
.
Kwani wakristo or watu kutoka ulaya ndio wanaofuatilia mambo tuu? Na kwa vile napingana nawe tayari umeshaniweka kwenye kundi la wakristu. kwa akili zako butu mfuatiliaji maana yake ni mkristu.
[COLOR]Hizo takwimu ndio uchochezi wenyewe unaoingia kwenye vichwa vyenu.Kama ni vita sawa !,lakini hakuna utumwa.Neno utumwa limeleta mafanikio sana katika siasa kwenye nchi za Afrika. Si mnajuwa kuwa katika vita kuna kuteka nyara na kuwachukua mateka wa vita.Vijana wanaotiwa hamasa na maadui wa umoja wa Sudan mara nyingi huwa hawana uzoefu wa kivita hivyo hushindwa haraka na kuchukuliwa mateka.Uzuri wa jeshi la waislamu ni kuwa hauwatendei vibaya mateka wao.Hivyo hao vijana hupelekwa maeneo na kuchanganywa katika jamii.Kwanini mateka wa kivita kwa Sudan waitwe ni watumwa?.Tumia akili yako kufikiri na kuangalia mambo mitaani Sudan ilivyo.

Hapo pia umebogi step. Unashindwa hata kutofautisha kati mateka na watumwa. Kwa kweli unahitaji msaada mkubwa sana ndugu yangu.

Tusiandikie mate wakati wino upo. The fact is that wasudani wa kusini watachagua kujitenga hapo mwakani. Na hautaweza kufanyanya lolote. Watakuwa na nchi yao wenyewe tena yenye resources za kuwatosha kabisa. Watumwa wote waliopelekwa kaskazini watarudi kusini. In fact wameshaanza kurudi. Wanaojiita waarabu huko kaskazini watabaki na jangwa lao. Wataanza kutafuta watumwa sehemu nyingine kwa sababu hakuna mtu wa kusini atakayekubali kuwa mtumwa wao tena. Kwa jinsi nilivyokusoma unaweza ukawa mtumwa wao mzuri sana wa hao waarabu utaowatetea. Nafikiri hii itakuwezesha kujua maana ya utumwa na tofauti yake na mateka.
 
Kujitenga ni muhimu kuwe na nchi mbili. Wasudan wenyewe wamekubali hilo kwa sababu za kihistoria na ili waweze kuishi kwa amani na si kwa sababu ya wazungu.
 
.
Mkuu hapo yaani unazidi kudhihirisha ni jinsi gani ulivyo so dumb. In short unasikitisha. Kama ungekuwa na elimu ya maana ungetumia elimu yako kuandika vitu vya maana. Historia ya sudan ipo everywhere. Ila kwa u-dumb wako umeshindwa hata kufungua google usome. Badala yake unatuletea mambo ya vijiweni hapa. Mkuu jitambue na heshimu utu wako. Otherwise kwa haya unayoandika ni kujidhalilisha mwenyewe tuu.
.
Sikushangai ndio maana unaiabudu sana SPACE STATION yao na umeamua kuishi huko kabisa. Unaponda technology yao wakati unadai uko SPACE STATION. This just show how hypocrity you are.
.
Hivi wewe umeenda shule kweli? Nani kakwambia kuwa kusini mwa sudan wanafanya uchaguzi? Yaani hujui hata tofauti ya election na referendum? Pia nipe list ya nchi za kiislamu zinazopinga kujitenga kwa sudan ya kusini.
.
Kwa wanaongia kichwa kichwa ni akina nani? Si ni hao hao waarabu? Angalia huko Afghanistan, Pakistan, Iraq, etc. Ndio maana waarabu huko sudan waliingia mkenge pia.
.
Yaani na hapo unataka nikupe jibu? Hivi mimi nikikupa silaha halafu ukaitumia kumwua mtu mwingine, nani atakuwa responsible? Mimi, wewe or both? Dah! Watu wengine! Ngumu kweli kuelewa.
.
Kwani wakristo or watu kutoka ulaya ndio wanaofuatilia mambo tuu? Na kwa vile napingana nawe tayari umeshaniweka kwenye kundi la wakristu. kwa akili zako butu mfuatiliaji maana yake ni mkristu.

Hapo pia umebogi step. Unashindwa hata kutofautisha kati mateka na watumwa. Kwa kweli unahitaji msaada mkubwa sana ndugu yangu.

Tusiandikie mate wakati wino upo. The fact is that wasudani wa kusini watachagua kujitenga hapo mwakani. Na hautaweza kufanyanya lolote. Watakuwa na nchi yao wenyewe tena yenye resources za kuwatosha kabisa. Watumwa wote waliopelekwa kaskazini watarudi kusini. In fact wameshaanza kurudi. Wanaojiita waarabu huko kaskazini watabaki na jangwa lao. Wataanza kutafuta watumwa sehemu nyingine kwa sababu hakuna mtu wa kusini atakayekubali kuwa mtumwa wao tena. Kwa jinsi nilivyokusoma unaweza ukawa mtumwa wao mzuri sana wa hao waarabu utaowatetea. Nafikiri hii itakuwezesha kujua maana ya utumwa na tofauti yake na mateka.

Mimi sasa nakuona ni kama mtu unayetafuta pa kutokea.Huna hoja na hukubali kukaa pembeni kama wenzako.
Kusini mwa Sudan wana fanya uchaguzi kuchagua baina ya kuwa na Sudan kuu au kujitenga.
Inaonekana hata magazeti husomi. Angalia gazeti la mwananchi hapa.
Ukiangalia Kamusi la Kiswahili Sanifu-TUKI referendum wamefasiri kuwa ni kura ya maoni.Ukiangalia kura ya maoni wamesema ni vote.
Ukitoka kwenye TUKI makamusi yote yanasema vote ni kuchagua baina ya vitu vilivyo mbele yako.Hii ndio maana iliyofahamika na Mwananchi.

Akili yako haiwezi kuunganisha vitu ukapata jawabu.Kuhusu silaha kwamba wewe ukinipa mimi nikaua mtu inakuwa mkosa ni mimi tu.
Wewe unajuwa kwamba mimi ni kichaa ninayeuwa watu.Halafu ukanipa silaha na kweli nikafanya hivyo.Katika mashtaka wewe utakwenda jela kwanza.
Ingekuwa kutoa silaha kwa muuwaji si kosa basi hayo maazimio ya umoja wa mataifa kuhusiana na maeneo mbali mbali yangekuwa nayo hayana maana hata moja.
Kwa kifupi ni kuwa katika Sudan babu zako wakristo na wazungu ni ndumi la kuwili.Wanachochea mgawanyiko kwa gharama yoyote.Wanauma na kupuuliza.Wenye akili kama zako za kuamini unachosoma kwenye google tu ndio ambao hawawezi kuona.

Wakristo kutoka Ulaya tu sio wafuatiliaji wa mambo peke yao.Tatizo ni kuwa kichwa chako kinawaamini wao peke yao.Hutaki kuniamini na mimi kwamba ni mfuatilaji wa mambo.
Kwa kuamini kwako wazungu peke yao kama ndio kigezo cha kufikiri kwako na utendaji wako,ndio maana unashangaa kwamba mimi niko Space station.Hapa space station sisi ndio wavumbuzi wake na tuna vitu vya maana kuchunguza kuliko rafiki zako_Omba upate umri wa kuona vitu vyetu hapo baadae.

Nina vitu vingi vya kukujibu kwa hiyo hapo juu lakini wacha nisimame hapa kwa kukupa changamoto uniletee maana ya Utumwa na watumwa unavyoelewa wewe.Kumbuka haya maneno ndiyo yanayokushawishi wewe na wenzako muone kuwa kujitenga kwa kusini ya Sudan ni sawa.
Ukirudi hupaswi kuleta majibu mengine ya utumbo kabla ya hilo.
 
Nyerere kawafunga Waislamu kibao TZ. Mikoa yote ya kusini haina maendeleo kwa sababu ya Ubaguzi wa Nyerere kwa Waislamu. Kama Sudan wakiweza kujitenga basi mpango maalum uandaliwe ili TZ ijitenge pia. Waislamu wamechoka kuonewa na Wakristo.

kama waislam wenyewe ndio walikua hawachukulii suala la elimu muhimu wafanye nini? wazazi wanashiriki mpaka leo discourage elimu, kwani si hata sasa huko kusini wanaosoma si wakristo wachache waliohamia, issue ni culture watu wa kusini elimu sio issue kwao na wazizi ndio wanaongoza kutotoa kipaumbele hicho!
 
Mimi sasa nakuona ni kama mtu unayetafuta pa kutokea.Huna hoja na hukubali kukaa pembeni kama wenzako.
Kusini mwa Sudan wana fanya uchaguzi kuchagua baina ya kuwa na Sudan kuu au kujitenga.
Inaonekana hata magazeti husomi. Angalia gazeti la mwananchi hapa.
Ukiangalia Kamusi la Kiswahili Sanifu-TUKI referendum wamefasiri kuwa ni kura ya maoni.Ukiangalia kura ya maoni wamesema ni vote.
Ukitoka kwenye TUKI makamusi yote yanasema vote ni kuchagua baina ya vitu vilivyo mbele yako.Hii ndio maana iliyofahamika na Mwananchi.

Akili yako haiwezi kuunganisha vitu ukapata jawabu.Kuhusu silaha kwamba wewe ukinipa mimi nikaua mtu inakuwa mkosa ni mimi tu.
Wewe unajuwa kwamba mimi ni kichaa ninayeuwa watu.Halafu ukanipa silaha na kweli nikafanya hivyo.Katika mashtaka wewe utakwenda jela kwanza.
Ingekuwa kutoa silaha kwa muuwaji si kosa basi hayo maazimio ya umoja wa mataifa kuhusiana na maeneo mbali mbali yangekuwa nayo hayana maana hata moja.
Kwa kifupi ni kuwa katika Sudan babu zako wakristo na wazungu ni ndumi la kuwili.Wanachochea mgawanyiko kwa gharama yoyote.Wanauma na kupuuliza.Wenye akili kama zako za kuamini unachosoma kwenye google tu ndio ambao hawawezi kuona.

Wakristo kutoka Ulaya tu sio wafuatiliaji wa mambo peke yao.Tatizo ni kuwa kichwa chako kinawaamini wao peke yao.Hutaki kuniamini na mimi kwamba ni mfuatilaji wa mambo.
Kwa kuamini kwako wazungu peke yao kama ndio kigezo cha kufikiri kwako na utendaji wako,ndio maana unashangaa kwamba mimi niko Space station.Hapa space station sisi ndio wavumbuzi wake na tuna vitu vya maana kuchunguza kuliko rafiki zako_Omba upate umri wa kuona vitu vyetu hapo baadae.

Nina vitu vingi vya kukujibu kwa hiyo hapo juu lakini wacha nisimame hapa kwa kukupa changamoto uniletee maana ya Utumwa na watumwa unavyoelewa wewe.Kumbuka haya maneno ndiyo yanayokushawishi wewe na wenzako muone kuwa kujitenga kwa kusini ya Sudan ni sawa.
Ukirudi hupaswi kuleta majibu mengine ya utumbo kabla ya hilo.


Ami

Wewe unaweza ukapenda umoja na watu wanaoua ndugu zako kwa mamilioni? Kama ni hivyo, basi akili yako ndogo sana, na hii inaonekana hata katika ugumu wako wa kuelewa.

Cha kusikitisha zaidi hoja za kihistoria unazikataa, sasa tukuweke wapi?

Lakini pia kuna kila tabia ya KIGAIDI katika misimamo yako. Unafurahia vifo vya watu wa Kusini ya Sudani, kwa kuwa wauaji ni waislamu na wanaokufa wamo akina mama na watoto wasio na hatia wasio waislamu. Hivi kwako utu ni nini? Msingi wako katika kuheshimu utu ni nini? Kwako lini Binadamu anakuwa na thamani? Ama hukubali kuwa Binadamu wote ni sawa? Huu ni msimamo wako au wa dini yako?

By the way, akina Bashir wenyewe wameona mambo yamekuwa moto na haiwezekani kuendelea hivyo na wameona suluhisho ni kuruhusu wa Kusini wajitenge. Sababu kubwa ni Serikali kutokubali na kuheshimu tofauti za dini na tamaduni za raia wake.

Utu kwanza, hilo ni fundisho kubwa! Thamani ya binadamu ni kubwa sana, huwezi kumpa binadamu daraja kutokana na dini au utamaduni. Hata kama ni mnyonge namna gani atapigania haki yake kwa sadaka kubwa ya damu ya watu wake na hatatulia mpaka amehakikishiwa kuheshimiwa kwa utu wake!!!! Wasudan Kusini wamepoteza wenzao zaidi ya milioni tatu. Na hiyo imekuwa ndio gharama ya kurudishiwa heshima ya utu wao.

Tambua kuwa pia umejipa uwakilishi wa waislamu, lakini kwa hoja zako unauaibisha hata na uislamu. Nadhani hata waislamu wenzako walio na akili wanakuonea aibu!!

Mtu ambaye hajui, na hajui kwamba hajui huyo ni wa kuonea huruma sana.

I have discovered that continuing contributing in this thread is arguing with a fool!
 
Back
Top Bottom