Njama za kuimega Sudan

Njama za kuimega Sudan

wasudani wengi sana wamekufa chini ya kisingizio cha sharia. hiyo ni nafasi ya pekee kwa sudani ya kusini kujitenga kama ilivyo huko;

  • kosovo
  • bosnia and herzegovina
  • macedonia
  • yugoslavia iliyozaa serbia na montenegro
  • timor mashariki
  • ongezea...!
 
Ami

Wewe unaweza ukapenda umoja na watu wanaoua ndugu zako kwa mamilioni? Kama ni hivyo, basi akili yako ndogo sana, na hii inaonekana hata katika ugumu wako wa kuelewa.

Cha kusikitisha zaidi hoja za kihistoria unazikataa, sasa tukuweke wapi?

Lakini pia kuna kila tabia ya KIGAIDI katika misimamo yako. Unafurahia vifo vya watu wa Kusini ya Sudani, kwa kuwa wauaji ni waislamu na wanaokufa wamo akina mama na watoto wasio na hatia wasio waislamu. Hivi kwako utu ni nini? Msingi wako katika kuheshimu utu ni nini? Kwako lini Binadamu anakuwa na thamani? Ama hukubali kuwa Binadamu wote ni sawa? Huu ni msimamo wako au wa dini yako?

By the way, akina Bashir wenyewe wameona mambo yamekuwa moto na haiwezekani kuendelea hivyo na wameona suluhisho ni kuruhusu wa Kusini wajitenge. Sababu kubwa ni Serikali kutokubali na kuheshimu tofauti za dini na tamaduni za raia wake.

Utu kwanza, hilo ni fundisho kubwa! Thamani ya binadamu ni kubwa sana, huwezi kumpa binadamu daraja kutokana na dini au utamaduni. Hata kama ni mnyonge namna gani atapigania haki yake kwa sadaka kubwa ya damu ya watu wake na hatatulia mpaka amehakikishiwa kuheshimiwa kwa utu wake!!!! Wasudan Kusini wamepoteza wenzao zaidi ya milioni tatu. Na hiyo imekuwa ndio gharama ya kurudishiwa heshima ya utu wao.

Tambua kuwa pia umejipa uwakilishi wa waislamu, lakini kwa hoja zako unauaibisha hata na uislamu. Nadhani hata waislamu wenzako walio na akili wanakuonea aibu!!

Mtu ambaye hajui, na hajui kwamba hajui huyo ni wa kuonea huruma sana.

I have discovered that continuing contributing in this thread is arguing with a fool!
Ngoja nimsubiri huyu anayejiita emt.

Majibu yako ni rahisi yatafuatia baadae.
Halafu nimegundua kufikiri kwako ni hafifu zaidi kuliko huyo emt.
nikikumbusha ni kuwa umoja wa Sudan ni muhimu na wanaoupinga ni wajinga.
 
Ami,
mbona inakuuma sana watu wa kusini kujipatia uhuru wao kwa kura zao? Kama hawaridhiki kuendelea kuteswa na Khartoum, kwani umoja ni lazima? Au kwa sababu damu yao haina thamani machoni pako?
Ami,
Ina maana hii post huioni au hutaki kuijibu? 😛eep:
 
Ami,
Ina maana hii post huioni au hutaki kuijibu? 😛eep:
Asante YeshuaHaMelen!.



Inaponiuma kusini kujitenga-(sio kupata uhuru) ni kwa vile mimi nawathamini sana watu wa kusini mwa Sudan.Damu yao naipenda sana ndio maana sipendi wawe mbali nasi.

Wewe Yeshua mwenye asili ya uyahudi ndiye ambaye huthamini damu za watu wengine.
 
Ami

Wewe unaweza ukapenda umoja na watu wanaoua ndugu zako kwa mamilioni? Kama ni hivyo, basi akili yako ndogo sana, na hii inaonekana hata katika ugumu wako wa kuelewa.

Cha kusikitisha zaidi hoja za kihistoria unazikataa, sasa tukuweke wapi?

Lakini pia kuna kila tabia ya KIGAIDI katika misimamo yako. Unafurahia vifo vya watu wa Kusini ya Sudani, kwa kuwa wauaji ni waislamu na wanaokufa wamo akina mama na watoto wasio na hatia wasio waislamu. Hivi kwako utu ni nini? Msingi wako katika kuheshimu utu ni nini? Kwako lini Binadamu anakuwa na thamani? Ama hukubali kuwa Binadamu wote ni sawa? Huu ni msimamo wako au wa dini yako?

By the way, akina Bashir wenyewe wameona mambo yamekuwa moto na haiwezekani kuendelea hivyo na wameona suluhisho ni kuruhusu wa Kusini wajitenge. Sababu kubwa ni Serikali kutokubali na kuheshimu tofauti za dini na tamaduni za raia wake.

Utu kwanza, hilo ni fundisho kubwa! Thamani ya binadamu ni kubwa sana, huwezi kumpa binadamu daraja kutokana na dini au utamaduni. Hata kama ni mnyonge namna gani atapigania haki yake kwa sadaka kubwa ya damu ya watu wake na hatatulia mpaka amehakikishiwa kuheshimiwa kwa utu wake!!!! Wasudan Kusini wamepoteza wenzao zaidi ya milioni tatu. Na hiyo imekuwa ndio gharama ya kurudishiwa heshima ya utu wao.

Tambua kuwa pia umejipa uwakilishi wa waislamu, lakini kwa hoja zako unauaibisha hata na uislamu. Nadhani hata waislamu wenzako walio na akili wanakuonea aibu!!

Mtu ambaye hajui, na hajui kwamba hajui huyo ni wa kuonea huruma sana.

I have discovered that continuing contributing in this thread is arguing with a fool!
Wakati emt hajatokea kuleta maana ya utumwa nimeonelea bora nikujibu wewe Mwanaukweli.

Kwanza wewe si mkweli wa nafsi yako.Hiki kipande hapo chini kinakusuta mwenyewe:

Lakini pia kuna kila tabia ya KIGAIDI katika misimamo yako. Unafurahia vifo vya watu wa Kusini ya Sudani, kwa kuwa wauaji ni waislamu na wanaokufa wamo akina mama na watoto wasio na hatia wasio waislamu. Hivi kwako utu ni nini? Msingi wako katika kuheshimu utu ni nini? Kwako lini Binadamu anakuwa na thamani? Ama hukubali kuwa Binadamu wote ni sawa? Huu ni msimamo wako au wa dini yako? .

Sudan haijauwa watu kama inavyofanya Marekani na umoja wa mataifa ya Ulaya magharibi-NATO.Hawafanyi hivyo kwenye eneo moja tu bali nchi zote za waislamu.Wanavunja miundo mbinu na kuangamiza mazingira.Kwa vile wanaouliwa ni waislamu sijakusikia ukilaumu.

Ukiwapongeza watu wanaojitetea hadhi zao za kibinadamu na kwamba hawawezi kutulia mpaka wahakikishe kuheshimika kwao naamini uko pamoja na mashujaa wa kiislamu wa Iraq,Taliban wa Afghanistan na Hamas wa Palestina.Ikiwa si hivyo basi hujui unachokisema umekuwa kama kasuku tu.Huwezi kuaminika hayo unayoyaeleza kuhusu Sudan.Ni ukasuku tu unaoukufanya uandike.
 
Asante YeshuaHaMelen!.
Ni YeshuaHaMelech

Inaponiuma kusini kujitenga-(sio kupata uhuru) ni kwa vile mimi nawathamini sana watu wa kusini mwa Sudan.Damu yao naipenda sana ndio maana sipendi wawe mbali nasi.
Sasa iambie serikali ya Sudani, inayowasapoti magaidi wa Janjaweed iache mchezo wake mchafu! Hata sisi uhuru wetu si tulijitenga kutoka kwa waingereza na leo hatupo chini ya malkia!

Wewe Yeshua mwenye asili ya uyahudi ndiye ambaye huthamini damu za watu wengine.
Mh! Sijakuelewa...una maana gani?
 
Ni YeshuaHaMelech

Sasa iambie serikali ya Sudani, inayowasapoti magaidi wa Janjaweed iache mchezo wake mchafu! Hata sisi uhuru wetu si tulijitenga kutoka kwa waingereza na leo hatupo chini ya malkia!


Mh! Sijakuelewa...una maana gani?
As much as i hate the Janjaweed wewe unatakiwa kwenda kujifunza mafuta ya Sudan yapo wapi, halafu ujuwe ni ya kiwango gani na ni nani anachimba huko (kwa upuuzi wako ni wachina). Alafu ndio ujue janjaweed wanapigana kwa nini na wakina nanii na wapuuzi rebels wanatumia tactics at the cost of those civilians kwakujificha huko. Then ujiulize nani ana wa arm hawa rebels kupitia kenya to Uganda. Umjue mshenzi mwenyewe acha tabia za kuchotwa akili kama America inavyokuchota. Amini mungu kwa sababu zako na si za kupewa **** we.

Im here all day kukujibu ujinga wako na kukufundisha imani yako aina maana uhuu saliti uafrika wako hivyo ni vita vingine ndugu ambavyo havikuhusu wewe na participants dont give a fu#k about you.
 
Ngoja nimsubiri huyu anayejiita emt.

Majibu yako ni rahisi yatafuatia baadae.
Halafu nimegundua kufikiri kwako ni hafifu zaidi kuliko huyo emt.
nikikumbusha ni kuwa umoja wa Sudan ni muhimu na wanaoupinga ni wajinga.

hata mimi naona umoja wa sudan ni muhimu ili ufedhuri unaofanywa na waarab dhidi ya wasio waarab udumu.
 
As much as i hate the Janjaweed wewe unatakiwa kwenda kujifunza mafuta ya Sudan yapo wapi, halafu ujuwe ni ya kiwango gani na ni nani anachimba huko (kwa upuuzi wako ni wachina). Alafu ndio ujue janjaweed wanapigana kwa nini na wakina nanii na wapuuzi rebels wanatumia tactics at the cost of those civilians kwakujificha huko. Then ujiulize nani ana wa arm hawa rebels kupitia kenya to Uganda.
Mi nimeongelea mauaji yanayofanywa na Janjaweed, na sikuongelea mafuta. Mbona kasi na hasira vipi? Na hao rebels unaowaongelea ni wapi? Hata Nyerere alikuwa rebel kipindi fulani kama ilivyokuwa kwa Samora Machel. Hayo maswali mengine unayouliza itakuwa vema ukimwaga data zako ziwe scrutinized!

Umjue mshenzi mwenyewe acha tabia za kuchotwa akili kama America inavyokuchota. Amini mungu kwa sababu zako na si za kupewa **** we.
America imenichotaje? Mi naamini Mungu kwa utafiti wangu na sio kumezeshwa madrassa! Nahisi umetoka ktk usingizi wa majinamizi...pole!

Im here all day kukujibu ujinga wako na kukufundisha imani yako aina maana uhuu saliti uafrika wako hivyo ni vita vingine ndugu ambavyo havikuhusu wewe na participants dont give a fu#k about you.
Haaaaaahaaaaa! Utakuwa mtu wa kwanza kuweza kudisprove imani yangu! go ahead ktk jukwaa husika!
Uafrika wangu na imani yangu wapi na wapi? Uafrika wangu utabaki palepale bila kujali imani yangu... ungekuwa darasa la logic tunaita fallacy of false association! Vita hivyo vinanihusu maana wanaokufa ni wanadamu walioumbwa kwa mfano wa Mungu pia!

Halafu chunga lugha yako hasa kwenye rangi nyekundu. Next time ukinitukana nakuripoti ule ban!
 
Mi nimeongelea mauaji yanayofanywa na Janjaweed, na sikuongelea mafuta. Mbona kasi na hasira vipi? Na hao rebels unaowaongelea ni wapi? Hata Nyerere alikuwa rebel kipindi fulani kama ilivyokuwa kwa Samora Machel. Hayo maswali mengine unayouliza itakuwa vema ukimwaga data zako ziwe scrutinized!


America imenichotaje? Mi naamini Mungu kwa utafiti wangu na sio kumezeshwa madrassa! Nahisi umetoka ktk usingizi wa majinamizi...pole!


Haaaaaahaaaaa! Utakuwa mtu wa kwanza kuweza kudisprove imani yangu! go ahead ktk jukwaa husika!
Uafrika wangu na imani yangu wapi na wapi? Uafrika wangu utabaki palepale bila kujali imani yangu... ungekuwa darasa la logic tunaita fallacy of false association! Vita hivyo vinawahusu maana wanaokufa ni wanadamu walioumbwa kwa mfano wa Mungu pia!

Halafu chunga lugha yako hasa kwenye rangi nyekundu. Next time ukinitukana nakuripoti ule ban!

Sorry where you highlighted (nisamehe if you felt offendend) not that i care of the ban it would work on my favour trust. OK so ur one of the mod's dont ask me how i know that, hila shule niliyopitia mimi ki imani ya kidini is none of ya business honestly and even if i'm to tell you im one of those born into liberal families i know it wont make much difference (that is to say i dont espect you to understand the signifance of socialization nor how you came about to acquire your mind set, all i can say your full of naivity and that as nothing to do with Darwin pathetic theory).

Speaking to a man who hasn't done much investigation about his religion (that is you) it will be difficult to explain the western politics and how you never see them(western leaders) going into regular visits to worship temples, unless they happen to be in mass religious states. Sasa wewe ni mkumbo tu, if it was anyboby elsee i would have said to him 'washa nyasi' because its you and i know who you are id say go read that is you aka T.... that is one of your many aliases.

Mwisho nimalizie wewe auna mawazo binafsi kama unavyofikiri unayo hila utajisaidia kwa kupekuwa vitabu na tips nilizo kupa mawazo yanatoka wapi ndipo utakapo gundua mzungu, mwarabu and any other foreigner are not on your side. Hila unahitaji to construct your own believes na kuiamini kwa kuelewa na si kwa kupewa fikra trust me you would appreciate your christ even more.
 
hata mimi naona umoja wa sudan ni muhimu ili ufedhuri unaofanywa na waarab dhidi ya wasio waarab udumu.
Ufedhuli huo unaofanywa na waarabu ni upi?.
Hapo chini ni baadhi ya raia wa Sudan wanaorudi miji ya kusini baada ya vita ya wenyewe kwa wenyewe kusitishwa.Ulitaraji uone wote wakiwa wamevaa misalaba,lakini hali huko ni tofauti na propaganda zinazowafikia.

sudan1.jpg


Hao waarabu huko Sudan wanaishi wapi hasa?.Hapo chini ni sokoni watu wakichagua kondoo kwa ajili ya Idi katikati ya jiji la Khartoom

3835238-choosing_a_ram-Khartoum.jpg
 
Ikiwa ni hivyo itakuwa afadhali,tutapata walimu wazuri wa kiarabu.Kwa sababu wanazungumza na kuandika kiarabu fasaha.
Ndiyo lugha ya hawa wanajeshi.

images
wewe unazungumza nini banaa ama ndiyo ilimu hiyo sasa kiarabu wewe kitakusaidia nini miminipo Dubai
miaka mi2 sasa na sitaki kujifunza hiyo lugha maana haina msaada kwangu ndani ya hii inchi kitakuwa na msaada nje ya nchi?
si bora ujifunze kihindi?
 
Mimi nadhani katika Afrika kati ya nchi zitakazokua na historia ndefu ya binadamu kumfanyia binadamu mwenzie unyama Sudan Kaskazini inaweza kuongoza. Hiyo hapo chini ni mifano michache tu. Halafu bofya "Lostboys". NATAKA WOTE MKUMBUKE MUNGU IBARIKI TANZANIA!

By: Amanda Lee Myers,
PHOENIX -- When a humanitarian worker asked Ajak Dau Akech in 1988 why he fled civil war in Sudan and walked 1,000 perilous miles to a refugee camp in Ethiopia, the boy answered with words few 8-year-olds would know.
"We ran away from massacring and butchering of the people," the boy said.
More than 20 years later, Akech had no idea he had spoken those words until he read them from a document he didn't know until recently even existed.
Akech and other Sudanese war orphans, known as the Lost Boys of Sudan, are starting to receive eight-page records that include their family histories, the names of people they traveled with on their flight from war, the names of those who died along the way, medical information and observations about their well-being and photographs of themselves.
For many of the Lost Boys, the roughly 13,000 documents are the only record of their childhood and families, the photos the only ones taken of them as children.
The records were a project by Radda Barnen, the Swedish branch of Save the Children International, and were meant to document the histories of the boys who arrived at the refugee camp without parents in hopes they could be reunited later.
But the war lasted 21 years, nearly 2 million people were killed and many villages were destroyed, leaving reunions virtually impossible. The records had been moved repeatedly, were nearly destroyed by another agency intent on throwing them out, and were languishing in a Radda Barnen warehouse in Ethiopia when Kirk Felsman learned of them.
Felsman was a senior research scholar at Duke University and was working on a children's rights project with Radda Barnen when he saw the documents in 2004.
Felsman obtained a grant from the Andrew W. Mellon Foundation, and a team of anthropologists and others scanned more than 100,000 pages over four months before giving them to the Arizona Lost Boys Center in Phoenix, where about 600 Lost Boys have resettled.
It took the center and a team of mostly volunteers six more years to sift through the scanned documents, but all are now digitized and searchable online at www.lostboysreunited.org.
Of the 30,000 children who began the trek, only about 11,000 survived, according to the Lost Boys Center. In the first month that the database was available, the website got 4,000 hits from 32 countries and orders for 400 personal histories, which started going out in the mail from Phoenix last week.
Ann Wheat, founder of the Arizona Lost Boys Center, said the arduous task has been worth it.
"We venture out into the world from a platform, and that platform is provided by family, siblings, stories from our grandparents, and photo albums and reminiscing about family events," she said. "What if you never had that?
"We're right at the very beginning of this, and while we probably can't articulate or know what this means to them, it has to be huge, sort of just giving them that roadmap back, and that's where healing comes from," she said.
Wheat said the current system requires Lost Boys to have computer access and a mailing address, but that's not possible for many still living in Africa. The center also is trying to determine how to get documents of those who didn't survive to their family members.
Felsman, who is now a senior technical adviser for orphans and vulnerable children at the United States Agency for International Development's regional office in Pretoria, South Africa, wrote in an e-mail that part of being human is constructing one's personal story.
"From a child's rights perspective, I have always believed that children on the move should have access to the facts of their story, as it informs their reality, what those facts mean and feel like," he wrote.
David Turkon, an anthropology professor at Ithaca College in New York who helped get the documents in order, said the records mean different things for different Lost Boys.
He said some of the documents have provided the names of forgotten family members in a potential first step to a reunion, and one of the Lost Boys living in New York was planning to use his documents to prove he married his wife in Africa so she can be brought to the U.S.
For some, the documents are a curiosity. Others experience intense emotional reactions.
"To be able to look at your own eyes at this time in your life, these are terrified young children," Turkon said. "You can just see it in their faces ... It's terribly important for a lot of people."
For Akech, it was a reminder and a record of a stolen childhood.
He wept as he looked through his document for the first time recently in Phoenix, where he now lives.
He listed his activities before the war as tending cattle and playing, and said that he had finished the first grade. The humanitarian worker who conducted the interview noted that Akech was crying and frightened.
Akech had not only had escaped war and left all but one brother behind, he also had survived famine, thirst, sickness, ambushes, unforgiving desert conditions and attacks by wild animals during the months-long walk to Ethiopia.
"I didn't have my parents, and I was afraid the whole time that I wasn't going to survive," he said.
The photo taken of Akech at the refugee camp is quite the opposite of Akech now, whose ready grin led one of his former teachers to nickname him Mr. Smile.
"I can't imagine that was me," Akech said as he looked at the photo. "How can a young little kid like that survive all these tragedies?"
Akech's father died before the war. His mother and most of his siblings scattered to different parts of Africa.
Akech said he's grateful to have his document.
"It commemorates what went wrong, who I was, where I was," he said. "It's historical."
 
Mpendatz! uliyozungumza ni propaganda tu tena za kitoto.
Habari za Okech zipo nyingi na huwa zimekusanywa kwa malengo maalum kama hayo ya kuwachochea watu.Wewe mwenyewe hushangai kuwa habari zake zilirekodiwa kikamilifu na kuhifadhiwa hivyo.
Haya mashirikia ya Save the children,Mwezi na misalaba mwekudu moja ya kazi zao ni kuendeleza ukoloni na hayapo kuwasaidia watu.Zaidi ni kuwa mengi yanashiriki kuupiga vita uislamu.Kule afghanistan,Pakistan wanawachukulia kama maadui sawa na majeshi ya America ndio maana mara nyingi hutekwa na hata kuuliwa.
Mwanzoni mwa mchango wako hapo juu umesema
Mimi nadhani katika Afrika kati ya nchi zitakazokua na historia ndefu ya binadamu kumfanyia binadamu mwenzie unyama Sudan Kaskazini inaweza kuongoza. Hiyo hapo chini ni mifano michache tu. Halafu bofya "Lostboys". NATAKA WOTE MKUMBUKE MUNGU IBARIKI TANZANIA! .

Hakuna unyama mbaya wa kumfanyia mwanadamu mwenzako kuliko kumuwinda na hata kumla.Hivyo ndivyo eskimo wa Congo na sehemu nyengine za Afrika wanavyofanywa.Watekelezaji wa hayo ni wazungu na makabila mengine ya kiafrika.Hakuna mwarabu aliyeshiriki.Jee utakubali kuwa unyama haufanywi Sudan ya kaskazini kuliko kusini ya Afrika.
Angalia vipande hapo chini.
1. Besides a small number of so-called "wild" Khomani San Bushmen living their ancestral live as hunters-gatherers, a truly stone-age way of life, to which they have clinged for at least 20 thousand years, this traditional Bushman way of life is now very scarce, and becoming scarcer by the day. The Khomani San Bushmen have maintained their way of life against all odds, and yes, against many dedicated extermination campaigns! For many years the San or Bushmen were actually hunted as wild animals or "vermin"! Possibly by your forefathers or mine. White, Black and Coloured people, both together and separately, were involved in these exterminations, and there is ample historical evidence of this.

2.In South Africa, the Bushmen were hunted and killed by Nguni Tribes moving south in search of new grazing. The Nguni tribes like the Zulu and the Xhosa, originally came from central Africa and are not indigenous to South Africa. The poor Bushmen, used to living by hunting found the Nguni people's cattle very easy to 'hunt' and this obviously upset the Nguni people, and they retaliated by hunting the Bushmen. As the Bushmen fled the advancing Nguni tribes, they met the European trekkers and farmers moving north, also in search of grazing. The Bushmen hunted the European's cattle and oxen which they didn't take lightly either. Bushmen hunting parties were organised. Both the Nguni tribes and the Europeans, did not view the Bushmen as being human beings. They thought they were animals, something like the missing link. This forced the Bushmen to move into and adapt to the dry, more desert-like areas, of Southern Africa.
Ukipenda unaweza ukasoma zaidi hapa.

 
OK so ur one of the mod's dont ask me how i know that,
Hahaha! Mi sio Moderator, lakini asante kwa kunipa cheo ambacho sina. may be one day I will be!

hila shule niliyopitia mimi ki imani ya kidini is none of ya business honestly and even if i'm to tell you im one of those born into liberal families i know it wont make much difference (that is to say i dont espect you to understand the signifance of socialization nor how you came about to acquire your mind set, all i can say your full of naivity and that as nothing to do with Darwin pathetic theory).
So what are you trying to say here?


Speaking to a man who hasn't done much investigation about his religion (that is you) it will be difficult to explain the western politics and how you never see them(western leaders) going into regular visits to worship temples, unless they happen to be in mass religious states.
Who told you I'm following western leaders? I'm following Christ, so you get it!

Sasa wewe ni mkumbo tu, if it was anyboby elsee i would have said to him 'washa nyasi' because its you and i know who you are id say go read that is you aka T.... that is one of your many aliases.
Could you explain what you have written here! Your comment is unintelligible and I can't even understand it!

Mwisho nimalizie wewe auna mawazo binafsi kama unavyofikiri unayo hila utajisaidia kwa kupekuwa vitabu na tips nilizo kupa mawazo yanatoka wapi ndipo utakapo gundua mzungu, mwarabu and any other foreigner are not on your side.
What tips and book are you talking about? and which Mzungu and mwarabu are you talking about?

Hila unahitaji to construct your own believes na kuiamini kwa kuelewa na si kwa kupewa fikra trust me you would appreciate your christ even more.
Constructmy own belief? And so then making my own god? That is pathetic! God already exists and true belief is already there, why should I make one?

In short you need to learn how to argue intelligently than shouting nonsense as you have just done!
 
Yeshua,

Point taken kwenye maandishi yangu wengi wape yameshakuwa critisized a lot, unlike you thats how i improve by taking critisism in the chin and try to do somen about it.

Turudi kwenye mada nieona nikuulize kwanza mungu wako ni yupi kati ya hawa kwenye hiki kipengele nilichokiiba BBC News - Outrage at anti-Semitism comparison by Pope preacher nimepunguza kwa sababu ambazo wengine wangeona ni za kuattack dini za watu na aim nikutaka waafrica tujielewa kwanza ideologically
Meanwhile, a number of Palestinian Christians said Israel had denied them access to Easter Saturday celebrations in Jerusalem's Old City.
Israel said it had issued 10,000 permits and that numbers had to be restricted for security and safety reasons.
There are over 200,000 Christians living in Israel and on the West Bank and many need passes from Israel in order to visit Jerusalem.
Nauliza kwa kuwa hao watu wana miungu tofauti hapo kati ya waarabu hapo na hao waisraeli. Mainly waisrael ni wa jewish na wana 'hanikha' zao huku kwingine ndio kuna waarabu ambao ni christians and muslims ambao wote wanakula ma rocket ya Israel. Hiki ni kitu ambacho hawakizungumziwi sana kwa sababu wanajua kitaamsha western religious groups wakiya fahamu vizuri especially huko America uwanja mkuu wa propaganda na kuongeza antisemitic movement. Ukitaka na mi-video kama ya mzizimkavu anavyo ileta ntakuletea mpaka uone israel jewish priest aliyefungwa kwa kuwatumia bomu majirani zake likamlipua mtoto wa jirani kwa sababu ni wakristo. Sasa naomba kwanza unifahamishe wewe mungu wako ni yupi? kwa sababu wa waisrael sio wa christ.

On the subject of Sudan soma hapa kwa muongozo fulani na kwanini kuna hivi vita na wakati mwingine hizi western media mbona utia sababu za udini ni moja ya sababu ya hivi vita .Kwani darfur kuna wakristo pia na vile vile wanadai independent yao. Hii ni site yenye african interest and perspective ya investigative journalist wa kiafrica source AfricaSpeaks.com - Faith in UN Intervention in Darfur Misplaced nimeipunguza soma article yote kwa kufuata link.
By Stephen Gowans


Many Western activists have rallied around calls for sanctions on Sudan and UN intervention in Darfur. But a review of recent Western interventions in the world's trouble spots suggests their faith is misplaced. While the US and its allies, and the UN Security Council, point to lofty goals as the basis for their interventions, the true goals are invariably shaped by the economic interests of the corporations and investment banks that dominate policy making in Western countries. Worse, intervention has typically led to the deterioration of humanitarian crises, not their amelioration.

The United States and other imperialist powers look for conflicts, or provoke conflicts, in countries they do not dominate politically. They use these conflicts as pretexts to intervene in other countries in multiple ways: militarily, through proxies (which may include the UN), by funding an internal opposition, or by some combination of these means. The goal is to exploit these countries economically. Political control, through a strongman or puppet government, allows great nations to protect and enlarge the investments of their corporations and banks and to open doors to their exports. That is, the United States and other imperialist powers are engaged in a relentless pursuit of political domination of countries they do not currently dominate, in order to exploit their resources, assets and markets, by creating or looking for conflicts that provide pretexts for intervention.

Sudan is not today under US political control, and like Iraq, is a source of immense oil reserves and the potential for gargantuan petroleum profits to be reaped by foreign oil companies. The Bush administration complains that the Sudanese government interferes in Sudan's petroleum and petrochemical industries. Khartoum is not, then, a partisan of the three freedoms that matter most in Washington: free trade, free enterprise and free markets. This, from Washington's point of view, is a threat to US foreign policy (i.e., corporate) interests. If Sudanese policy prevents US oil companies from exploiting the country's oil resources, Sudan is a threat to the foreign policy interests of the United States. Accordingly, it must be treated as an enemy. And indeed it is an enemy - but only an enemy of the class of corporate board members, hereditary capitalist families and investment bankers in whose interest free trade, free enterprise and free markets are promoted and enforced. Sudan, its people, and the economically nationalist policies of its government are not, however, enemies of the bulk of Americans. (3)

There are existing conflicts in Darfur which the US and its allies have used to argue for Western intervention. There is a conflict over water and land between sedentary and nomadic peoples, made worse by desertification. There is a conflict between rebel groups, which have attacked government installations, and the government itself. And there is a conflict among rebel groups. These conflicts are used by the US and its allies as pretexts to impose sanctions and to argue for intervention. But the US is no more interested in resolving these conflicts than it was in resolving conflicts in Yugoslavia. It's interested in dominating Sudan politically, so that US and British oil companies can amass huge profits from Sudan's vast petroleum reserves.

Haya mafuta sasa hivi yameshikiliwa na wachina alafu jiulize hile meli iliyoshikwa na pirates ikiwa na vifaa vya vita iliishia wapi na vile vitu vilikuwa vinaenda wapi?

Inabidi ujielewa kwanza kuna mamia ya wamarekani weusi huko ulipo na ni wacha mungu vipi lakini mzungu amtambui, hata huko Israel ni more of a racial conflict and land than religious.

Tatizo mnakula sana propaganda alafu amtaki kujifunza sababu ya uzembe wetu waafrica na kwa taarifa yako one of the earliest form and undiluted forms of christianity are performed in the arab world, na ukitaka kuufahamu ukristo zaidi ya vatican nenda Syria huko ndio kuna ukristo wa mwanzo ulivyokuwa bila ya kuchujwa mpaka leo by now you should know the practitioners are Arabs.
 
Yeshua,

Point taken kwenye maandishi yangu wengi wape yameshakuwa critisized a lot, unlike you thats how i improve by taking critisism in the chin and try to do somen about it.

Turudi kwenye mada nieona nikuulize kwanza mungu wako ni yupi kati ya hawa kwenye hiki kipengele nilichokiiba BBC News - Outrage at anti-Semitism comparison by Pope preacher nimepunguza kwa sababu ambazo wengine wangeona ni za kuattack dini za watu na aim nikutaka waafrica tujielewa kwanza ideologically Nauliza kwa kuwa hao watu wana miungu tofauti hapo kati ya waarabu hapo na hao waisraeli. Mainly waisrael ni wa jewish na wana 'hanikha' zao huku kwingine ndio kuna waarabu ambao ni christians and muslims ambao wote wanakula ma rocket ya Israel. Hiki ni kitu ambacho hawakizungumziwi sana kwa sababu wanajua kitaamsha western religious groups wakiya fahamu vizuri especially huko America uwanja mkuu wa propaganda na kuongeza antisemitic movement. Ukitaka na mi-video kama ya mzizimkavu anavyo ileta ntakuletea mpaka uone israel jewish priest aliyefungwa kwa kuwatumia bomu majirani zake likamlipua mtoto wa jirani kwa sababu ni wakristo. Sasa naomba kwanza unifahamishe wewe mungu wako ni yupi? kwa sababu wa waisrael sio wa christ.

On the subject of Sudan soma hapa kwa muongozo fulani na kwanini kuna hivi vita na wakati mwingine hizi western media mbona utia sababu za udini ni moja ya sababu ya hivi vita .Kwani darfur kuna wakristo pia na vile vile wanadai independent yao. Hii ni site yenye african interest and perspective ya investigative journalist wa kiafrica source AfricaSpeaks.com - Faith in UN Intervention in Darfur Misplaced nimeipunguza soma article yote kwa kufuata link.

Haya mafuta sasa hivi yameshikiliwa na wachina alafu jiulize hile meli iliyoshikwa na pirates ikiwa na vifaa vya vita iliishia wapi na vile vitu vilikuwa vinaenda wapi?

Inabidi ujielewa kwanza kuna mamia ya wamarekani weusi huko ulipo na ni wacha mungu vipi lakini mzungu amtambui, hata huko Israel ni more of a racial conflict and land than religious.

Tatizo mnakula sana propaganda alafu amtaki kujifunza sababu ya uzembe wetu waafrica na kwa taarifa yako one of the earliest form and undiluted forms of christianity are performed in the arab world, na ukitaka kuufahamu ukristo zaidi ya vatican nenda Syria huko ndio kuna ukristo wa mwanzo ulivyokuwa bila ya kuchujwa mpaka leo by now you should know the practitioners are Arabs.
What are you trying to say?
My God is Jehova!
 
What are you trying to say?
My God is Jehova!
What was Juma saying is this:

The United States and other imperialist powers look for conflicts, or provoke conflicts, in countries they do not dominate politically. They use these conflicts as pretexts to intervene in other countries in multiple ways: militarily, through proxies (which may include the UN), by funding an internal opposition, or by some combination of these means. The goal is to exploit these countries economically. Political control, through a strongman or puppet government, allows great nations to protect and enlarge the investments of their corporations and banks and to open doors to their exports. That is, the United States and other imperialist powers are engaged in a relentless pursuit of political domination of countries they do not currently dominate, in order to exploit their resources, assets and markets, by creating or looking for conflicts that provide pretexts for intervention.

Sudan is not today under US political control, and like Iraq, is a source of immense oil reserves and the potential for gargantuan petroleum profits to be reaped by foreign oil companies. The Bush administration complains that the Sudanese government interferes in Sudan's petroleum and petrochemical industries. Khartoum is not, then, a partisan of the three freedoms that matter most in Washington: free trade, free enterprise and free markets. This, from Washington's point of view, is a threat to US foreign policy (i.e., corporate) interests. If Sudanese policy prevents US oil companies from exploiting the country's oil resources, Sudan is a threat to the foreign policy interests of the United States. Accordingly, it must be treated as an enemy. And indeed it is an enemy - but only an enemy of the class of corporate board members, hereditary capitalist families and investment bankers in whose interest free trade, free enterprise and free markets are promoted and enforced. Sudan, its people, and the economically nationalist policies of its government are not, however, enemies of the bulk of Americans. (3)

By Stephen Gowans

If you have not got the theme it is a clear sign that you are exhausted of you prapagandist points.It is time to keep away just like your fellows.Meantime you should stop sowing hatred among us;Africaans because of the western countries interests.

 
What was Juma saying is this:

The United States and other imperialist powers look for conflicts, or provoke conflicts, in countries they do not dominate politically. They use these conflicts as pretexts to intervene in other countries in multiple ways: militarily, through proxies (which may include the UN), by funding an internal opposition, or by some combination of these means. The goal is to exploit these countries economically. Political control, through a strongman or puppet government, allows great nations to protect and enlarge the investments of their corporations and banks and to open doors to their exports. That is, the United States and other imperialist powers are engaged in a relentless pursuit of political domination of countries they do not currently dominate, in order to exploit their resources, assets and markets, by creating or looking for conflicts that provide pretexts for intervention.

Sudan is not today under US political control, and like Iraq, is a source of immense oil reserves and the potential for gargantuan petroleum profits to be reaped by foreign oil companies. The Bush administration complains that the Sudanese government interferes in Sudan's petroleum and petrochemical industries. Khartoum is not, then, a partisan of the three freedoms that matter most in Washington: free trade, free enterprise and free markets. This, from Washington's point of view, is a threat to US foreign policy (i.e., corporate) interests. If Sudanese policy prevents US oil companies from exploiting the country's oil resources, Sudan is a threat to the foreign policy interests of the United States. Accordingly, it must be treated as an enemy. And indeed it is an enemy - but only an enemy of the class of corporate board members, hereditary capitalist families and investment bankers in whose interest free trade, free enterprise and free markets are promoted and enforced. Sudan, its people, and the economically nationalist policies of its government are not, however, enemies of the bulk of Americans. (3)

By Stephen Gowans

If you have not got the theme it is a clear sign that you are exhausted of you prapagandist points.It is time to keep away just like your fellows.Meantime you should stop sowing hatred among us;Africaans because of the western countries interests.

So you are denying the sufferings of southern people? Are you saying that suffering by Janjaweed and Khartoum have western hands or that Southern movements have western hand?
Are you there at Sudan? and Who is this Stephen Gowans and his source of info?
 
Back
Top Bottom