Think2
JF-Expert Member
- Jan 3, 2025
- 2,193
- 3,957
Njaa inawafanya watu kuwa machawa promax totally mtu akiwa chawa hua anaupungufu fulani wa kiakiri maana yeye huwaza pesa tu.
Ninasikitika kwamba serikali hii ndio serikali ya mazwazwa kuliko serikali zote zilizowahi kupita watumishi wamegeukia uchawa hata taasisi za kidini nazo zimefanywa kuwa machawa kusifia maovu.
Inakuaje serikali inakodi mabaa medi na wanawake sijui vikundi na kuita wakatoliki nini dhamira ya serikali ??
Mbaya zaidi hao wakatoliki ni hamnazo toka lini wakatoliki wakaimba et "mwamba mwamba yesu ndio mwamba"
Aliewalipa pesa hao uvccm wajiite wakatoliki ni nani? na ana dhamira gani kwa kanisa?
Sisi hatuungi mkono mauaji, utekaji na udhalilishaji kama huu unaendelea nchi, na tuko tayari kutoka ushirikiano na ushahidi wa matukio yote 29 October.
Serikali inanzishaje chuki na kanisa kama sio uzwauzwa ni nini
Ninasikitika kwamba serikali hii ndio serikali ya mazwazwa kuliko serikali zote zilizowahi kupita watumishi wamegeukia uchawa hata taasisi za kidini nazo zimefanywa kuwa machawa kusifia maovu.
Inakuaje serikali inakodi mabaa medi na wanawake sijui vikundi na kuita wakatoliki nini dhamira ya serikali ??
Mbaya zaidi hao wakatoliki ni hamnazo toka lini wakatoliki wakaimba et "mwamba mwamba yesu ndio mwamba"
Aliewalipa pesa hao uvccm wajiite wakatoliki ni nani? na ana dhamira gani kwa kanisa?
Sisi hatuungi mkono mauaji, utekaji na udhalilishaji kama huu unaendelea nchi, na tuko tayari kutoka ushirikiano na ushahidi wa matukio yote 29 October.
Serikali inanzishaje chuki na kanisa kama sio uzwauzwa ni nini
