Askari Kanzu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 4,596
- 1,236
Hii sasa ni balaaaaa, siyo njaa bali ni wageni waliopo mwilini kila mmoja anataka pande, duuuuu! hatari lakini salama, daaaaaa! taaaabu kweli kweli....
Jamaa ana macho mekundu kama amevuta bange vile, mana'ake bange nayo huwaga inaleta njaa!!!!!
...Hapo kwenye kwio umenikumbusha mbali sana. Tulipokuwa wadogo mkiwa mnafanya zali mahali e.g. kuiba mapera au machungwa kwenye shamba la mtu ukihisi noma unapiga kwio jamaa anajua kimenuka anatoka nduki.....:biggrin1:yalikuwa ni mashindano ya kumtafuna kwio.
Nadhani nyege ndo balaa zaidi unaweza okota hata milupo lolz :biggrin1::biggrin1::biggrin1:
Jamaa ana macho mekundu kama amevuta bange vile, mana'ake bange nayo huwaga inaleta njaa!!!!!