Niwaombe Watanzania "yeyote anayepita jamii za kimataifa kutuombea njaa" tumuone ni mhaini

Shida ninayoiiona kwa wanasiasa wengi ni kutumia wananchi kama chambo ya kupata kile wanachokitafuta wao na sio kwa maslahi ya wananchi.

Sasa mimi nasema nataka kuwa mwenyekiti wa chadema, au nataka kuwa kiongozi Mkuu wa ACT wazalendo

Je unadhani nitafanikiwa kumngoa mbowe Chadema? au nitafanikiwa kumung'oa zito ACT? Ninaamini vyama hivi si mali zao ila kwa hulka zilezile wanazoziona upande mwingine na kupiga kelele na wao wanazo.

kila uchaguzi ukifanyika kwenye vyama vyao leo wataendelea kubaki madarakani na kwao huo sio udikiteta bali uchaguzi ukifanyika serikalini na watu fulani wakabaki madarakani basi wanapiga kelele.

Hoja yangu ni kama hatutakuwa na double standard tutaona kuna hulka za kijamii ambazo ndizo zinapigiwa kelele.

Mimi sina Tatizo na mbowe kuendelea kuongoza chadema, au zito kuendelea kuongoza ACT au JPM kuwa raisi wa Tanzania ninachokisema

Watanzania tusikubali wahuni wavuruge nchi yetu kisa eti mbowe kashinda kuwa mwenyeti wa chadema tena na wao wanaamini mbowe anatumia ujanja kuendelea kukalia kiti hicho cha uenyekiti.

Watanzania tusikubali wahuni kuvuruga ama uchumi wetu au amani yetu kwa kisingizio eti Zito anaendelea kukalia kiti cha kiongozi mkuu wa act wazalendo na wao kuamini zito kukalia sio demokrasia.

Watanzania tusikubali wahuni kutuvuruga kwa kisingizio cha JPM anaendelea kuongoza nchi hii kwa wao kuamini sio demokrasia.
Nimekuelewa kiasi ingawa bado nahitaji kufahamu:-
(i). Ni kweli kwamba ktk uchaguzi uliopita walikuwemo wahuni wachache ktk kundi la upinzani? (Viashiria vya uhuni wao ni vipi?

(ii). Nchi marafiki kutupa misaada inaweza kuwa hiari yao - lkn je sababu zinazotajwa kutumiwa kutunyima misaada ni sababu zenye uzito au ni nyepesi i.e wanazungumzia uminywaji wa demokrasia - vipigo - na vifo kwa baadhi ya maeneo; je hizi sababu hazina ukweli na uzito?

Machache tu mkuu
 
Swali lako linaonyesha kabisa kuna watanzania wanatengeneza matukio ya kupatia pesa huko majuu.

hivi kweli kwenye kuhesabu kura wanafungua bahasha kutoa kura zilizoko ndani na kuzihesabu? haya ni mambo yanatengenezwa na baadhi ya watanzania kutafutia pesa huko majuu lakini siamini kuwa kuna mtu anaiba kura kwa kuweka kura nyingi kwenye mabahasha.

Ni lazima tuwabaini watanzania wote wenye akili za mitungi, kuharibu jina la nchi yetu ili wao wapate utajiri
........ Chaguzi zetu zina mapungufu tena ya kujitakia kabisa, msimamizi wa uchaguzi anapokataa kufuata miongozo ili kupendelea upande flani........
 
Kwanza kabisa niseme wazi kuwa mimi binafsi sio kwamba naridhika na kila kitu kinavyotendeka katika nchi yangu hii lakini ustawi wa watanzania wote, ustawi wa nchi yangu ni bora kuliko matakwa yangu binafsi.

Nilivyokuwa mdogo niliwaza sana kufanya kazi katika taasisi kubwa za nchi hii kwa maana mafanikio tuliyaona kama yanatokana na kuajiriwa na taasisi kubwa, lakini nilivyokuwa mkubwa haikuwezekana kuweza kufanya kazi katika taasisi hizo. Nadhani kila mtanzania anaelewa kuwa kwa mazingira tuliyokuwa haikuwezekana kwa kila mtanzania kupata ajira TRA, Bandarini, Benki kuu n.k. Kwa busara zetu watanzania hatuwezi kuzusha uhasama miongoni mwetu kwa mambo kama haya ila tunaamini kadiri mda unavyosonga mambo mengi yanabarika.

kwa kifupi hakuna mtanzania yeyote ambaye anaweza kujiona kila sehemu katendewa kama alivyostahili.

Hoja yangu kubwa leo ni kwa Wanasiasa wetu.

kuna wanasiasa wanatuaminisha wanatendewa ndivyo sivyo hivyo wameamua kututafutia njaa kwa kujaribu kushawishi jumuiya za kimataifa zituwekee vikwazo n.k.

Daima mimi huwa naamini hakuna familia isiyokuwa na ugomvi au changamoto ndani, kuna familia baba ananyimwa unyumba, kuna familia kutukanana kila siku ndiyo mfumo wa maisha, kuna familia kuna baadhi ya watoto wanapendwa zaidi kuliko watoto wengine. Yote haya hayampi kibali mmoja wa wanafamilia hii kuombea njaa familia yao.

kwamba baba ukinyimwa unyumba ambao ni haki yako ya msingi na kila mmoja anaelewa haihalalishi wewe baba wa familia kwenda kuchukua shoka na kuchinja mke na watoto wa familia. baba kunyimwa unyumba haikupi kibali cha kuwalaza na kuwashindisha njaa watoto wa familia yako. Siku ukifanya hivyo watu watakushangaa na kukudharau wewe baba.

Kwamba mtoto, kama baba yako anampendelea sana ndugu yako katika kila kitu na ninyi wengine mnabezwa na kudharauliwa na kunyimwa mahitaji, je hilo linaweza kuhalalisha wewe mtoto kuendesha harakati za kuhakikisha nyumbani kwenu hampati chakula au mahitaji? huo ndiyo ujinga ambao shule zetu zilitakuwa kuuondoa kwamba hauwezi kufocus kwenye tatizo dogo na kutengeneza tatizo kubwa kama suluhu la kutatua tatizo dogo.

Wapo wanasiasa wanapita pita jumuiya za kimataifa kutafuta sapoti kwa watanzania kuwekewa vikwazo na kunyimwa misaada eti kisa wanaona wanatendewa ndivyo sivyo.

Sijui kama watanzania wanaelewa maana ya jambo hili wanalolifanya hawa wenzetu.

Jambo la kwanza tanzania kunyimwa misaada na kuwekewa vikwazo hakuwezi kuwaathiri viongozi walioko madarakani hata kidogo bali wananchi wa kawaida tulioko mitaani ndiyo tutaumia na hatua hii. Watanzania wenzangu hebu tuitazame Zimbabwe ilivyokuwa.

Wazimbabwe walikuwa na siasa za mvutano baina ya Robert Mugabe aliyekuwa raisi wa nchi hiyo na Morgani Tsvangirai aliyekuwa upinzani. Waliendesha mivutano na wapinzani wakafanya kampeni za kutokuwepo demokrasia na kadhalika na kuishawishi jumuiya ya kimataifa kuiwekea vikwazo nchi yao. Kwa kifupi vikwazo viliwekwa maana mkishaanza kupiga kelele kutafuta vikwazo huko nje watatafuta kila namna na kila sababu watawawekea vikwazo hata kama havihusiani na hoja za wapiga kelele. Leo Hii tumesahau yale yote na kila mtu anapiga kelele Zimbabwe iondolewe vikwazo baada ya kubaini mateso makubwa wanayopitia Wazimbabwe kutokana na vikwazo.

Hivi vikwazo vimebadili siasa za Zimbabwe? Siasa zimebaki vilevile watawala wameendelea kuwa watawala na watawaliwa wakaendelea kuwa wataliwa. Hivi kweli mtanzania anayepita huko kutuombea vikwazo anatutakia mema sisi watanzania wa kawaida? na je mtu kama huyo tunaweza kumuwaza hata kumpa uongozi wa kijiji kimoja tu?

Sisi Tunatamani mtu ambaye anahitaji kuwa kiongozi wetu, ikitokea akaulizwa tuwatese watanzania tukufanye tajiri au kiongozi ? na yeye ajibu Kuwatesa watanzania kwa ajili ya mimi kuwa kiongozi au tajiri ni bora utajiri na uongozi niviache na watanzania waishi salama. Lakini hapo simaanishi kuwa ukiwa kiongozi basi wakitokea wahuni wakaaanza kuwatesa watu eti ili uachie madaraka na wao waongoze basi hapo nchi huwezi kuwaachia wahuni na huko ndiko kutetea watu wako.

Tuchukue mfano mwingine, tutazame libya jinsi watu walivyoamini Gadhafi alikuwa anawatawala kidekiteta na kutafuta msaada kumuondoa ghadafi, tutazame libya ya leo na libya ya Ghadafi. Tazama nchi zote ambazo watu wake wamekimbilia nje kutafuta msaada kwa "ujinga wa demokrasia" nchi zao wamezipeleka wapi?

Watanzania ni lazima tuelewe kuna mambo ambayo ni ya nyakati na kuondoka kwake, yanaondoka na nyakati.

Huko zamani tulikuwa na tawala za kifalme ambazo mfumo wake ulikuwa wa kibaguzi kabisa kwamba kuna familia moja ndiyo imechaguliwa sijui na nani ? na hiyo familia ndiyo ilitoa wafalme wa kutawala jamii zetu na kuna familia zilikuwa "branded" familia za mikosi. wazee wetu waliishi kwa amani kwa walikubaliana na mambo hayo ambayo yalikuwa ya nyakati hizo.

Hivi tujiulize kuna mtu gani angeweza kuleta mabadiriko ya kweli katika jamii za kifalme kama angewezakupambana kukataa utawala wa kifalme? kiukweli hakuna yeyote bali ni mtu kujiona hawezi kutawaliwa na mfalme na kutafuta yeye kujiweka kuwa mfalme na wengine kutawaliwa.

Lakini wahenga walisema " time heals" sasa Leo hii tawala hizi za kifalme ziko wapi? maana yangu ni kwamba yapo mambo ni ya nyakati na yataondoka na nyakati. hata hao hao wanaojifanya kupigana nayo ukweli ni kwamba wanatafuta kukalia nyadhifa za juu tu lakini wakifika huko na wao utawala wao utakuwa vilevile. kama uamini basi jaribu kufuatilia taasisi zinazopiga kelele juu ya demokrasia na uzitazame zenyewe zinaendeshaje demokrasia hiyo hiyo ndani ya tasisi zao?

ni mambo yaleyale ya kuwapa wake zao nafasi za viti maalumu, au watu kupita bila kupingwa kugombea katika majimbo au mwenyekiti hachalenjiwi.

Kuhusu uchaguzi mkuu mimi naamini vyama vya upinzani vimeshindwa kihalali kwa maana wananchi wameviadhibu kwa kuacha sera zinazochochea maendeleo ya wananchi na kubeba hoja za kupinga serikali kila inachokifanya.

Hebu tuvitazame vya vya upinzani miaka iliyopita vilikuwaje?

vyama hivi vilijenga hoja ambazo zilikuwa zikiwapendeza wananchi. walikuwa wakihoji iweje nchi yetu iwe na ndege moja na ka nchi kama rwanda kana ndege, uwekezaji katika miundo mbinu kama ya kuzalisha umeme walisema tanzania tangu ilipowekeza miaka ya 1970 basi, reli imekufa n.k

wananchi walivipenda na kuongeza ushawishi na uwakilishi.

leo hii watu wamebadilika wanapinga mambo yote ambayo waliyapigania mda mrefu na yakawapandisha chati, unategemea nini?

Sasa tutulie tujenge nchi yetu.

swala la kwamba mimi ninataka kuwa msanii lakini ma promota wana upendeleo wana wabeba badhi ya wasanii na kuwakataa wengine na hivyo unataka kutuharibia nchi kisa eti mapromota wamekubagua hilo haliwezekani.

swala la kwamba na wewe una vigezi na haki ya kuajiriwa BOT lakini eti wameajiriwa watu kwa upendeleo hivyo unataka kuvuruga maisha ya watanzania hilo halikubaliki

yapo mambo tunaweza kuyaona hayako sawa lakini ukitazama kile unachokitafuta nacho hakiko sawa hivyo tuvumiliane tujenge nchi yetu na yeyote anayewaza kubomoa nchi yetu kwa kigezo yeye kanyimwa kitu fulani huyo tumkatae sote.

mimi nilivyokuwa mdogo wazazi wangu walimpenda sana ndugu yetu ambaye alikuwa anasoma seminari na sisi kuonekana hatuna lolote. Ninachokuhahakishia Leo hii ninavyoongea ukubwani mambo yamebadirika na wazazi hawa hawataki hata kukumbuka kama kuliwahi kuwepo na mazingira hayo.

Nyakati zimeondoa hali iliyokuwepo na ninaamini chochote ambacho watanzania wanaona hakiko sawa, waendelee kuelimishana na mambo hayo yataondoka lakini watanzania tusitafute shida kwa watanzia wenzetu

Hili bandiko lote ni ili kutetea umwagaji wa damu na zile kura za kwenye mabeg? Ni kwa kuwa tu sina ushawishi kwa mzungu yoyote mwenye nguvu kwenye vyombo vya maamuzi. Ningekuwa na ushawishi huo, ningetaka vikwazo vianze mara moja. Usihalalishe uhuni kwa kigezo cha nchi. Kwani hao walionajisi uchaguzi ww huwezi kuwapelekea huu ujumbe, kuwa uchu wao wa madaraka ni balaa kwetu wote? Ni hivi, ule haukuwa uchaguzi bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Hao wazungu kama inawezekana wachukue hatua haraka sana.
 
Hakuna mwanasiasa mwenye mapenzi na wananchi wala nchi yake. Wanasiasa wapo kwa ajili ya utawala na si vinginevyo. Wanasiasa wapo kwa ajili yao binafsi.

Nakubaliana wewe kwa kuliona hilo. Politicians are after Power and no otherwise.

Basi tukabidhi nchi kwa jeshi kisha tufute mfumo wa vyama vya siasa.
 
Bandiko refuuu kama mnyoo wa tendegu, kifupi unachosema, WATAWALIWA WAKUBALI KUWA WATAWALIWA, waachie watawala wawe watawala.

Basi sawa! Ila hujaacha contact.

Everyday is Saturday............................... :cool:
 
Michakato ya ukpmbozi ??????

hizi nyimbo huwa tunasema wajinga ndiyo waliwao

hakuna mtawala anayeweza kutawala na watu wote, kila mmoja huiba nyimbo zake ili kupata madaraka na yeyote anayepata madaraka huchukua kikundi kidogo na kuwatawala walio wengi.

nimesema tazama vyama vya upinzani kimoja kimoja uniambie "reflection" ya ukombozi unaiona wapi katika yale wanayoyafanya ndani ya chama chao.

ni wangapi wamekimbia vyama vya upinzani kwa kudai kutendewa ndivyo sivyo? ipo mifano hai Ziko kabwe alitoka Chadema kwa sababu gani?

Sina maana ya kutetea watawala kuwa kila wanachokifanya ni sahihi ila watanzania tusiwe wajinga kwa wanasiasa kuharibu maisha yetu wakijifanya wanatafuta haki.

Yeyote anayeenda kushawishi tunyimwe msaada kisa eti anadai katendewa ndivyo sivyo kwenye siasa ni sawa na baba anayewanyima watoto wake chakula kisa eti mama kamnyima unyumba na huyo ni adui wa taifa letu.

kama taifa ni lazima tupambane na ujinga huu wa mtu kudanganya watu natafuta haki wakati anachokifanya ni kutaka kuvuruga maisha ya watu.

Zamani nikiwa mdogo nilikuwa naifutilia nchi ya burundi.

hawa jamaa tangu nikiwa mdogo ni vita ya wenyewe kwa wenyewe, kila raisi anayeingia madarakani basi hutokea waasi wa kupigania haki. mpaka Leo hii nchi haijatulia, maisha ya watu yamerudi nyumba kwa ujinga wa watu wachache kudhani wanatafuta haki.

Kamwe hatuwezi kuruhusu ujinga kwa bendera ya kutafuta haki na kamwe wewe mtanzania popote ulipo usije kuingia kwenye mkumbo usioujua.

Nguvu ya kufanya maamuzi au mabadiriko ya nchi hii unayo wewe mtanzania na utayatumia pale tu unapoona au inapobidi.

kama mtanzania alipiga kura yake na ikaibiwa yeye ataona na sio mtu ambaye ni mpigiwa kura ndiye anawaambia wapiga kura nimeibiwa kura.

Narudia sisemi kuwa nafurahia mambo yote wanayofanya watawala lakini busara inanituma kurithika na hiki kidogo ninachokipata kuliko kurubuniwa na wajanja wachache kutumia shida zangu kuvuruga nchi yetu.

Ninaamini mkombozi wa kweli atakuja kwa njia ya kujenga nasio kuharibu na mtu yeyote anayejaribu kuharibu hana sifa ya kuwa kiongozi.

Ww ni Mjinga mwenye maandishi ya busara.
 
Swali lako linaonyesha kabisa kuna watanzania wanatengeneza matukio ya kupatia pesa huko majuu.

hivi kweli kwenye kuhesabu kura wanafungua bahasha kutoa kura zilizoko ndani na kuzihesabu? haya ni mambo yanatengenezwa na baadhi ya watanzania kutafutia pesa huko majuu lakini siamini kuwa kuna mtu anaiba kura kwa kuweka kura nyingi kwenye mabahasha.

Ni lazima tuwabaini watanzania wote wenye akili za mitungi, kuharibu jina la nchi yetu ili wao wapate utajiri

Ule ushenzi tumeuona kwa macho yetu, usidhani tunaongea haya kwa kubahatisha. Rudi shule ukajifunze propaganda, huu utoto uliiongea hapa mpelekee mkweo.
 
Kwanza kabisa niseme wazi kuwa mimi binafsi sio kwamba naridhika na kila kitu kinavyotendeka katika nchi yangu hii lakini ustawi wa watanzania wote, ustawi wa nchi yangu ni bora kuliko matakwa yangu binafsi.

Nilivyokuwa mdogo niliwaza sana kufanya kazi katika taasisi kubwa za nchi hii kwa maana mafanikio tuliyaona kama yanatokana na kuajiriwa na taasisi kubwa, lakini nilivyokuwa mkubwa haikuwezekana kuweza kufanya kazi katika taasisi hizo. Nadhani kila mtanzania anaelewa kuwa kwa mazingira tuliyokuwa haikuwezekana kwa kila mtanzania kupata ajira TRA, Bandarini, Benki kuu n.k. Kwa busara zetu watanzania hatuwezi kuzusha uhasama miongoni mwetu kwa mambo kama haya ila tunaamini kadiri mda unavyosonga mambo mengi yanabarika.

kwa kifupi hakuna mtanzania yeyote ambaye anaweza kujiona kila sehemu katendewa kama alivyostahili.

Hoja yangu kubwa leo ni kwa Wanasiasa wetu.

kuna wanasiasa wanatuaminisha wanatendewa ndivyo sivyo hivyo wameamua kututafutia njaa kwa kujaribu kushawishi jumuiya za kimataifa zituwekee vikwazo n.k.

Daima mimi huwa naamini hakuna familia isiyokuwa na ugomvi au changamoto ndani, kuna familia baba ananyimwa unyumba, kuna familia kutukanana kila siku ndiyo mfumo wa maisha, kuna familia kuna baadhi ya watoto wanapendwa zaidi kuliko watoto wengine. Yote haya hayampi kibali mmoja wa wanafamilia hii kuombea njaa familia yao.

kwamba baba ukinyimwa unyumba ambao ni haki yako ya msingi na kila mmoja anaelewa haihalalishi wewe baba wa familia kwenda kuchukua shoka na kuchinja mke na watoto wa familia. baba kunyimwa unyumba haikupi kibali cha kuwalaza na kuwashindisha njaa watoto wa familia yako. Siku ukifanya hivyo watu watakushangaa na kukudharau wewe baba.

Kwamba mtoto, kama baba yako anampendelea sana ndugu yako katika kila kitu na ninyi wengine mnabezwa na kudharauliwa na kunyimwa mahitaji, je hilo linaweza kuhalalisha wewe mtoto kuendesha harakati za kuhakikisha nyumbani kwenu hampati chakula au mahitaji? huo ndiyo ujinga ambao shule zetu zilitakuwa kuuondoa kwamba hauwezi kufocus kwenye tatizo dogo na kutengeneza tatizo kubwa kama suluhu la kutatua tatizo dogo.

Wapo wanasiasa wanapita pita jumuiya za kimataifa kutafuta sapoti kwa watanzania kuwekewa vikwazo na kunyimwa misaada eti kisa wanaona wanatendewa ndivyo sivyo.

Sijui kama watanzania wanaelewa maana ya jambo hili wanalolifanya hawa wenzetu.

Jambo la kwanza tanzania kunyimwa misaada na kuwekewa vikwazo hakuwezi kuwaathiri viongozi walioko madarakani hata kidogo bali wananchi wa kawaida tulioko mitaani ndiyo tutaumia na hatua hii. Watanzania wenzangu hebu tuitazame Zimbabwe ilivyokuwa.

Wazimbabwe walikuwa na siasa za mvutano baina ya Robert Mugabe aliyekuwa raisi wa nchi hiyo na Morgani Tsvangirai aliyekuwa upinzani. Waliendesha mivutano na wapinzani wakafanya kampeni za kutokuwepo demokrasia na kadhalika na kuishawishi jumuiya ya kimataifa kuiwekea vikwazo nchi yao. Kwa kifupi vikwazo viliwekwa maana mkishaanza kupiga kelele kutafuta vikwazo huko nje watatafuta kila namna na kila sababu watawawekea vikwazo hata kama havihusiani na hoja za wapiga kelele. Leo Hii tumesahau yale yote na kila mtu anapiga kelele Zimbabwe iondolewe vikwazo baada ya kubaini mateso makubwa wanayopitia Wazimbabwe kutokana na vikwazo.

Hivi vikwazo vimebadili siasa za Zimbabwe? Siasa zimebaki vilevile watawala wameendelea kuwa watawala na watawaliwa wakaendelea kuwa wataliwa. Hivi kweli mtanzania anayepita huko kutuombea vikwazo anatutakia mema sisi watanzania wa kawaida? na je mtu kama huyo tunaweza kumuwaza hata kumpa uongozi wa kijiji kimoja tu?

Sisi Tunatamani mtu ambaye anahitaji kuwa kiongozi wetu, ikitokea akaulizwa tuwatese watanzania tukufanye tajiri au kiongozi ? na yeye ajibu Kuwatesa watanzania kwa ajili ya mimi kuwa kiongozi au tajiri ni bora utajiri na uongozi niviache na watanzania waishi salama. Lakini hapo simaanishi kuwa ukiwa kiongozi basi wakitokea wahuni wakaaanza kuwatesa watu eti ili uachie madaraka na wao waongoze basi hapo nchi huwezi kuwaachia wahuni na huko ndiko kutetea watu wako.

Tuchukue mfano mwingine, tutazame libya jinsi watu walivyoamini Gadhafi alikuwa anawatawala kidekiteta na kutafuta msaada kumuondoa ghadafi, tutazame libya ya leo na libya ya Ghadafi. Tazama nchi zote ambazo watu wake wamekimbilia nje kutafuta msaada kwa "ujinga wa demokrasia" nchi zao wamezipeleka wapi?

Watanzania ni lazima tuelewe kuna mambo ambayo ni ya nyakati na kuondoka kwake, yanaondoka na nyakati.

Huko zamani tulikuwa na tawala za kifalme ambazo mfumo wake ulikuwa wa kibaguzi kabisa kwamba kuna familia moja ndiyo imechaguliwa sijui na nani ? na hiyo familia ndiyo ilitoa wafalme wa kutawala jamii zetu na kuna familia zilikuwa "branded" familia za mikosi. wazee wetu waliishi kwa amani kwa walikubaliana na mambo hayo ambayo yalikuwa ya nyakati hizo.

Hivi tujiulize kuna mtu gani angeweza kuleta mabadiriko ya kweli katika jamii za kifalme kama angewezakupambana kukataa utawala wa kifalme? kiukweli hakuna yeyote bali ni mtu kujiona hawezi kutawaliwa na mfalme na kutafuta yeye kujiweka kuwa mfalme na wengine kutawaliwa.

Lakini wahenga walisema " time heals" sasa Leo hii tawala hizi za kifalme ziko wapi? maana yangu ni kwamba yapo mambo ni ya nyakati na yataondoka na nyakati. hata hao hao wanaojifanya kupigana nayo ukweli ni kwamba wanatafuta kukalia nyadhifa za juu tu lakini wakifika huko na wao utawala wao utakuwa vilevile. kama uamini basi jaribu kufuatilia taasisi zinazopiga kelele juu ya demokrasia na uzitazame zenyewe zinaendeshaje demokrasia hiyo hiyo ndani ya tasisi zao?

ni mambo yaleyale ya kuwapa wake zao nafasi za viti maalumu, au watu kupita bila kupingwa kugombea katika majimbo au mwenyekiti hachalenjiwi.

Kuhusu uchaguzi mkuu mimi naamini vyama vya upinzani vimeshindwa kihalali kwa maana wananchi wameviadhibu kwa kuacha sera zinazochochea maendeleo ya wananchi na kubeba hoja za kupinga serikali kila inachokifanya.

Hebu tuvitazame vya vya upinzani miaka iliyopita vilikuwaje?

vyama hivi vilijenga hoja ambazo zilikuwa zikiwapendeza wananchi. walikuwa wakihoji iweje nchi yetu iwe na ndege moja na ka nchi kama rwanda kana ndege, uwekezaji katika miundo mbinu kama ya kuzalisha umeme walisema tanzania tangu ilipowekeza miaka ya 1970 basi, reli imekufa n.k

wananchi walivipenda na kuongeza ushawishi na uwakilishi.

leo hii watu wamebadilika wanapinga mambo yote ambayo waliyapigania mda mrefu na yakawapandisha chati, unategemea nini?

Sasa tutulie tujenge nchi yetu.

swala la kwamba mimi ninataka kuwa msanii lakini ma promota wana upendeleo wana wabeba badhi ya wasanii na kuwakataa wengine na hivyo unataka kutuharibia nchi kisa eti mapromota wamekubagua hilo haliwezekani.

swala la kwamba na wewe una vigezi na haki ya kuajiriwa BOT lakini eti wameajiriwa watu kwa upendeleo hivyo unataka kuvuruga maisha ya watanzania hilo halikubaliki

yapo mambo tunaweza kuyaona hayako sawa lakini ukitazama kile unachokitafuta nacho hakiko sawa hivyo tuvumiliane tujenge nchi yetu na yeyote anayewaza kubomoa nchi yetu kwa kigezo yeye kanyimwa kitu fulani huyo tumkatae sote.

mimi nilivyokuwa mdogo wazazi wangu walimpenda sana ndugu yetu ambaye alikuwa anasoma seminari na sisi kuonekana hatuna lolote. Ninachokuhahakishia Leo hii ninavyoongea ukubwani mambo yamebadirika na wazazi hawa hawataki hata kukumbuka kama kuliwahi kuwepo na mazingira hayo.

Nyakati zimeondoa hali iliyokuwepo na ninaamini chochote ambacho watanzania wanaona hakiko sawa, waendelee kuelimishana na mambo hayo yataondoka lakini watanzania tusitafute shida kwa watanzia wenzetu
Utawala wa kidikteta lazima uondoshwe.
 
Kwanza kabisa niseme wazi kuwa mimi binafsi sio kwamba naridhika na kila kitu kinavyotendeka katika nchi yangu hii lakini ustawi wa watanzania wote, ustawi wa nchi yangu ni bora kuliko matakwa yangu binafsi.

Nilivyokuwa mdogo niliwaza sana kufanya kazi katika taasisi kubwa za nchi hii kwa maana mafanikio tuliyaona kama yanatokana na kuajiriwa na taasisi kubwa, lakini nilivyokuwa mkubwa haikuwezekana kuweza kufanya kazi katika taasisi hizo. Nadhani kila mtanzania anaelewa kuwa kwa mazingira tuliyokuwa haikuwezekana kwa kila mtanzania kupata ajira TRA, Bandarini, Benki kuu n.k. Kwa busara zetu watanzania hatuwezi kuzusha uhasama miongoni mwetu kwa mambo kama haya ila tunaamini kadiri mda unavyosonga mambo mengi yanabarika.

kwa kifupi hakuna mtanzania yeyote ambaye anaweza kujiona kila sehemu katendewa kama alivyostahili.

Hoja yangu kubwa leo ni kwa Wanasiasa wetu.

kuna wanasiasa wanatuaminisha wanatendewa ndivyo sivyo hivyo wameamua kututafutia njaa kwa kujaribu kushawishi jumuiya za kimataifa zituwekee vikwazo n.k.

Daima mimi huwa naamini hakuna familia isiyokuwa na ugomvi au changamoto ndani, kuna familia baba ananyimwa unyumba, kuna familia kutukanana kila siku ndiyo mfumo wa maisha, kuna familia kuna baadhi ya watoto wanapendwa zaidi kuliko watoto wengine. Yote haya hayampi kibali mmoja wa wanafamilia hii kuombea njaa familia yao.

kwamba baba ukinyimwa unyumba ambao ni haki yako ya msingi na kila mmoja anaelewa haihalalishi wewe baba wa familia kwenda kuchukua shoka na kuchinja mke na watoto wa familia. baba kunyimwa unyumba haikupi kibali cha kuwalaza na kuwashindisha njaa watoto wa familia yako. Siku ukifanya hivyo watu watakushangaa na kukudharau wewe baba.

Kwamba mtoto, kama baba yako anampendelea sana ndugu yako katika kila kitu na ninyi wengine mnabezwa na kudharauliwa na kunyimwa mahitaji, je hilo linaweza kuhalalisha wewe mtoto kuendesha harakati za kuhakikisha nyumbani kwenu hampati chakula au mahitaji? huo ndiyo ujinga ambao shule zetu zilitakuwa kuuondoa kwamba hauwezi kufocus kwenye tatizo dogo na kutengeneza tatizo kubwa kama suluhu la kutatua tatizo dogo.

Wapo wanasiasa wanapita pita jumuiya za kimataifa kutafuta sapoti kwa watanzania kuwekewa vikwazo na kunyimwa misaada eti kisa wanaona wanatendewa ndivyo sivyo.

Sijui kama watanzania wanaelewa maana ya jambo hili wanalolifanya hawa wenzetu.

Jambo la kwanza tanzania kunyimwa misaada na kuwekewa vikwazo hakuwezi kuwaathiri viongozi walioko madarakani hata kidogo bali wananchi wa kawaida tulioko mitaani ndiyo tutaumia na hatua hii. Watanzania wenzangu hebu tuitazame Zimbabwe ilivyokuwa.

Wazimbabwe walikuwa na siasa za mvutano baina ya Robert Mugabe aliyekuwa raisi wa nchi hiyo na Morgani Tsvangirai aliyekuwa upinzani. Waliendesha mivutano na wapinzani wakafanya kampeni za kutokuwepo demokrasia na kadhalika na kuishawishi jumuiya ya kimataifa kuiwekea vikwazo nchi yao. Kwa kifupi vikwazo viliwekwa maana mkishaanza kupiga kelele kutafuta vikwazo huko nje watatafuta kila namna na kila sababu watawawekea vikwazo hata kama havihusiani na hoja za wapiga kelele. Leo Hii tumesahau yale yote na kila mtu anapiga kelele Zimbabwe iondolewe vikwazo baada ya kubaini mateso makubwa wanayopitia Wazimbabwe kutokana na vikwazo.

Hivi vikwazo vimebadili siasa za Zimbabwe? Siasa zimebaki vilevile watawala wameendelea kuwa watawala na watawaliwa wakaendelea kuwa wataliwa. Hivi kweli mtanzania anayepita huko kutuombea vikwazo anatutakia mema sisi watanzania wa kawaida? na je mtu kama huyo tunaweza kumuwaza hata kumpa uongozi wa kijiji kimoja tu?

Sisi Tunatamani mtu ambaye anahitaji kuwa kiongozi wetu, ikitokea akaulizwa tuwatese watanzania tukufanye tajiri au kiongozi ? na yeye ajibu Kuwatesa watanzania kwa ajili ya mimi kuwa kiongozi au tajiri ni bora utajiri na uongozi niviache na watanzania waishi salama. Lakini hapo simaanishi kuwa ukiwa kiongozi basi wakitokea wahuni wakaaanza kuwatesa watu eti ili uachie madaraka na wao waongoze basi hapo nchi huwezi kuwaachia wahuni na huko ndiko kutetea watu wako.

Tuchukue mfano mwingine, tutazame libya jinsi watu walivyoamini Gadhafi alikuwa anawatawala kidekiteta na kutafuta msaada kumuondoa ghadafi, tutazame libya ya leo na libya ya Ghadafi. Tazama nchi zote ambazo watu wake wamekimbilia nje kutafuta msaada kwa "ujinga wa demokrasia" nchi zao wamezipeleka wapi?

Watanzania ni lazima tuelewe kuna mambo ambayo ni ya nyakati na kuondoka kwake, yanaondoka na nyakati.

Huko zamani tulikuwa na tawala za kifalme ambazo mfumo wake ulikuwa wa kibaguzi kabisa kwamba kuna familia moja ndiyo imechaguliwa sijui na nani ? na hiyo familia ndiyo ilitoa wafalme wa kutawala jamii zetu na kuna familia zilikuwa "branded" familia za mikosi. wazee wetu waliishi kwa amani kwa walikubaliana na mambo hayo ambayo yalikuwa ya nyakati hizo.

Hivi tujiulize kuna mtu gani angeweza kuleta mabadiriko ya kweli katika jamii za kifalme kama angewezakupambana kukataa utawala wa kifalme? kiukweli hakuna yeyote bali ni mtu kujiona hawezi kutawaliwa na mfalme na kutafuta yeye kujiweka kuwa mfalme na wengine kutawaliwa.

Lakini wahenga walisema " time heals" sasa Leo hii tawala hizi za kifalme ziko wapi? maana yangu ni kwamba yapo mambo ni ya nyakati na yataondoka na nyakati. hata hao hao wanaojifanya kupigana nayo ukweli ni kwamba wanatafuta kukalia nyadhifa za juu tu lakini wakifika huko na wao utawala wao utakuwa vilevile. kama uamini basi jaribu kufuatilia taasisi zinazopiga kelele juu ya demokrasia na uzitazame zenyewe zinaendeshaje demokrasia hiyo hiyo ndani ya tasisi zao?

ni mambo yaleyale ya kuwapa wake zao nafasi za viti maalumu, au watu kupita bila kupingwa kugombea katika majimbo au mwenyekiti hachalenjiwi.

Kuhusu uchaguzi mkuu mimi naamini vyama vya upinzani vimeshindwa kihalali kwa maana wananchi wameviadhibu kwa kuacha sera zinazochochea maendeleo ya wananchi na kubeba hoja za kupinga serikali kila inachokifanya.

Hebu tuvitazame vya vya upinzani miaka iliyopita vilikuwaje?

vyama hivi vilijenga hoja ambazo zilikuwa zikiwapendeza wananchi. walikuwa wakihoji iweje nchi yetu iwe na ndege moja na ka nchi kama rwanda kana ndege, uwekezaji katika miundo mbinu kama ya kuzalisha umeme walisema tanzania tangu ilipowekeza miaka ya 1970 basi, reli imekufa n.k

wananchi walivipenda na kuongeza ushawishi na uwakilishi.

leo hii watu wamebadilika wanapinga mambo yote ambayo waliyapigania mda mrefu na yakawapandisha chati, unategemea nini?

Sasa tutulie tujenge nchi yetu.

swala la kwamba mimi ninataka kuwa msanii lakini ma promota wana upendeleo wana wabeba badhi ya wasanii na kuwakataa wengine na hivyo unataka kutuharibia nchi kisa eti mapromota wamekubagua hilo haliwezekani.

swala la kwamba na wewe una vigezi na haki ya kuajiriwa BOT lakini eti wameajiriwa watu kwa upendeleo hivyo unataka kuvuruga maisha ya watanzania hilo halikubaliki

yapo mambo tunaweza kuyaona hayako sawa lakini ukitazama kile unachokitafuta nacho hakiko sawa hivyo tuvumiliane tujenge nchi yetu na yeyote anayewaza kubomoa nchi yetu kwa kigezo yeye kanyimwa kitu fulani huyo tumkatae sote.

mimi nilivyokuwa mdogo wazazi wangu walimpenda sana ndugu yetu ambaye alikuwa anasoma seminari na sisi kuonekana hatuna lolote. Ninachokuhahakishia Leo hii ninavyoongea ukubwani mambo yamebadirika na wazazi hawa hawataki hata kukumbuka kama kuliwahi kuwepo na mazingira hayo.

Nyakati zimeondoa hali iliyokuwepo na ninaamini chochote ambacho watanzania wanaona hakiko sawa, waendelee kuelimishana na mambo hayo yataondoka lakini watanzania tusitafute shida kwa watanzia wenzetu
Baba yako kila siku anampiga mamaako bila kosa,nani utatangulia kumwonya?

Kipigo kikizidi nani utamsaidia?

Au siku mama yako akipata wa kumsaidia kumpiga babaako,utakasirika au utafurahi?

Ccm mnaongea ushenzi tu.

Hela ya covid wanayodai wazungu ilitoka kwa cdm na act mpk mwone wanachochea?
 
Mhaini wa kwanza ni jiwe na serikali yake kwa kukwapua 1.5T, ningekuona wa maana kama ungekemea, vinginevyo nakuona punguani waheed
 
Kwanza kabisa niseme wazi kuwa mimi binafsi sio kwamba naridhika na kila kitu kinavyotendeka katika nchi yangu hii lakini ustawi wa watanzania wote, ustawi wa nchi yangu ni bora kuliko matakwa yangu binafsi.

Nilivyokuwa mdogo niliwaza sana kufanya kazi katika taasisi kubwa za nchi hii kwa maana mafanikio tuliyaona kama yanatokana na kuajiriwa na taasisi kubwa, lakini nilivyokuwa mkubwa haikuwezekana kuweza kufanya kazi katika taasisi hizo. Nadhani kila mtanzania anaelewa kuwa kwa mazingira tuliyokuwa haikuwezekana kwa kila mtanzania kupata ajira TRA, Bandarini, Benki kuu n.k. Kwa busara zetu watanzania hatuwezi kuzusha uhasama miongoni mwetu kwa mambo kama haya ila tunaamini kadiri mda unavyosonga mambo mengi yanabarika.

kwa kifupi hakuna mtanzania yeyote ambaye anaweza kujiona kila sehemu katendewa kama alivyostahili.

Hoja yangu kubwa leo ni kwa Wanasiasa wetu.

kuna wanasiasa wanatuaminisha wanatendewa ndivyo sivyo hivyo wameamua kututafutia njaa kwa kujaribu kushawishi jumuiya za kimataifa zituwekee vikwazo n.k.

Daima mimi huwa naamini hakuna familia isiyokuwa na ugomvi au changamoto ndani, kuna familia baba ananyimwa unyumba, kuna familia kutukanana kila siku ndiyo mfumo wa maisha, kuna familia kuna baadhi ya watoto wanapendwa zaidi kuliko watoto wengine. Yote haya hayampi kibali mmoja wa wanafamilia hii kuombea njaa familia yao.

kwamba baba ukinyimwa unyumba ambao ni haki yako ya msingi na kila mmoja anaelewa haihalalishi wewe baba wa familia kwenda kuchukua shoka na kuchinja mke na watoto wa familia. baba kunyimwa unyumba haikupi kibali cha kuwalaza na kuwashindisha njaa watoto wa familia yako. Siku ukifanya hivyo watu watakushangaa na kukudharau wewe baba.

Kwamba mtoto, kama baba yako anampendelea sana ndugu yako katika kila kitu na ninyi wengine mnabezwa na kudharauliwa na kunyimwa mahitaji, je hilo linaweza kuhalalisha wewe mtoto kuendesha harakati za kuhakikisha nyumbani kwenu hampati chakula au mahitaji? huo ndiyo ujinga ambao shule zetu zilitakuwa kuuondoa kwamba hauwezi kufocus kwenye tatizo dogo na kutengeneza tatizo kubwa kama suluhu la kutatua tatizo dogo.

Wapo wanasiasa wanapita pita jumuiya za kimataifa kutafuta sapoti kwa watanzania kuwekewa vikwazo na kunyimwa misaada eti kisa wanaona wanatendewa ndivyo sivyo.

Sijui kama watanzania wanaelewa maana ya jambo hili wanalolifanya hawa wenzetu.

Jambo la kwanza tanzania kunyimwa misaada na kuwekewa vikwazo hakuwezi kuwaathiri viongozi walioko madarakani hata kidogo bali wananchi wa kawaida tulioko mitaani ndiyo tutaumia na hatua hii. Watanzania wenzangu hebu tuitazame Zimbabwe ilivyokuwa.

Wazimbabwe walikuwa na siasa za mvutano baina ya Robert Mugabe aliyekuwa raisi wa nchi hiyo na Morgani Tsvangirai aliyekuwa upinzani. Waliendesha mivutano na wapinzani wakafanya kampeni za kutokuwepo demokrasia na kadhalika na kuishawishi jumuiya ya kimataifa kuiwekea vikwazo nchi yao. Kwa kifupi vikwazo viliwekwa maana mkishaanza kupiga kelele kutafuta vikwazo huko nje watatafuta kila namna na kila sababu watawawekea vikwazo hata kama havihusiani na hoja za wapiga kelele. Leo Hii tumesahau yale yote na kila mtu anapiga kelele Zimbabwe iondolewe vikwazo baada ya kubaini mateso makubwa wanayopitia Wazimbabwe kutokana na vikwazo.

Hivi vikwazo vimebadili siasa za Zimbabwe? Siasa zimebaki vilevile watawala wameendelea kuwa watawala na watawaliwa wakaendelea kuwa wataliwa. Hivi kweli mtanzania anayepita huko kutuombea vikwazo anatutakia mema sisi watanzania wa kawaida? na je mtu kama huyo tunaweza kumuwaza hata kumpa uongozi wa kijiji kimoja tu?

Sisi Tunatamani mtu ambaye anahitaji kuwa kiongozi wetu, ikitokea akaulizwa tuwatese watanzania tukufanye tajiri au kiongozi ? na yeye ajibu Kuwatesa watanzania kwa ajili ya mimi kuwa kiongozi au tajiri ni bora utajiri na uongozi niviache na watanzania waishi salama. Lakini hapo simaanishi kuwa ukiwa kiongozi basi wakitokea wahuni wakaaanza kuwatesa watu eti ili uachie madaraka na wao waongoze basi hapo nchi huwezi kuwaachia wahuni na huko ndiko kutetea watu wako.

Tuchukue mfano mwingine, tutazame libya jinsi watu walivyoamini Gadhafi alikuwa anawatawala kidekiteta na kutafuta msaada kumuondoa ghadafi, tutazame libya ya leo na libya ya Ghadafi. Tazama nchi zote ambazo watu wake wamekimbilia nje kutafuta msaada kwa "ujinga wa demokrasia" nchi zao wamezipeleka wapi?

Watanzania ni lazima tuelewe kuna mambo ambayo ni ya nyakati na kuondoka kwake, yanaondoka na nyakati.

Huko zamani tulikuwa na tawala za kifalme ambazo mfumo wake ulikuwa wa kibaguzi kabisa kwamba kuna familia moja ndiyo imechaguliwa sijui na nani ? na hiyo familia ndiyo ilitoa wafalme wa kutawala jamii zetu na kuna familia zilikuwa "branded" familia za mikosi. wazee wetu waliishi kwa amani kwa walikubaliana na mambo hayo ambayo yalikuwa ya nyakati hizo.

Hivi tujiulize kuna mtu gani angeweza kuleta mabadiriko ya kweli katika jamii za kifalme kama angewezakupambana kukataa utawala wa kifalme? kiukweli hakuna yeyote bali ni mtu kujiona hawezi kutawaliwa na mfalme na kutafuta yeye kujiweka kuwa mfalme na wengine kutawaliwa.

Lakini wahenga walisema " time heals" sasa Leo hii tawala hizi za kifalme ziko wapi? maana yangu ni kwamba yapo mambo ni ya nyakati na yataondoka na nyakati. hata hao hao wanaojifanya kupigana nayo ukweli ni kwamba wanatafuta kukalia nyadhifa za juu tu lakini wakifika huko na wao utawala wao utakuwa vilevile. kama uamini basi jaribu kufuatilia taasisi zinazopiga kelele juu ya demokrasia na uzitazame zenyewe zinaendeshaje demokrasia hiyo hiyo ndani ya tasisi zao?

ni mambo yaleyale ya kuwapa wake zao nafasi za viti maalumu, au watu kupita bila kupingwa kugombea katika majimbo au mwenyekiti hachalenjiwi.

Kuhusu uchaguzi mkuu mimi naamini vyama vya upinzani vimeshindwa kihalali kwa maana wananchi wameviadhibu kwa kuacha sera zinazochochea maendeleo ya wananchi na kubeba hoja za kupinga serikali kila inachokifanya.

Hebu tuvitazame vya vya upinzani miaka iliyopita vilikuwaje?

vyama hivi vilijenga hoja ambazo zilikuwa zikiwapendeza wananchi. walikuwa wakihoji iweje nchi yetu iwe na ndege moja na ka nchi kama rwanda kana ndege, uwekezaji katika miundo mbinu kama ya kuzalisha umeme walisema tanzania tangu ilipowekeza miaka ya 1970 basi, reli imekufa n.k

wananchi walivipenda na kuongeza ushawishi na uwakilishi.

leo hii watu wamebadilika wanapinga mambo yote ambayo waliyapigania mda mrefu na yakawapandisha chati, unategemea nini?

Sasa tutulie tujenge nchi yetu.

swala la kwamba mimi ninataka kuwa msanii lakini ma promota wana upendeleo wana wabeba badhi ya wasanii na kuwakataa wengine na hivyo unataka kutuharibia nchi kisa eti mapromota wamekubagua hilo haliwezekani.

swala la kwamba na wewe una vigezi na haki ya kuajiriwa BOT lakini eti wameajiriwa watu kwa upendeleo hivyo unataka kuvuruga maisha ya watanzania hilo halikubaliki

yapo mambo tunaweza kuyaona hayako sawa lakini ukitazama kile unachokitafuta nacho hakiko sawa hivyo tuvumiliane tujenge nchi yetu na yeyote anayewaza kubomoa nchi yetu kwa kigezo yeye kanyimwa kitu fulani huyo tumkatae sote.

mimi nilivyokuwa mdogo wazazi wangu walimpenda sana ndugu yetu ambaye alikuwa anasoma seminari na sisi kuonekana hatuna lolote. Ninachokuhahakishia Leo hii ninavyoongea ukubwani mambo yamebadirika na wazazi hawa hawataki hata kukumbuka kama kuliwahi kuwepo na mazingira hayo.

Nyakati zimeondoa hali iliyokuwepo na ninaamini chochote ambacho watanzania wanaona hakiko sawa, waendelee kuelimishana na mambo hayo yataondoka lakini watanzania tusitafute shida kwa watanzia wenzetu
Tanzania hatujawahi kupigishwa magoti,Never never
 
Tunachokisema "dhana ya kutengeneza kura" ni dhana ambayo inajengwa na watu wachache na nimesema hiyo hailalalishi mtu yeyote kutuvuruga.

Na dhana hiyo haiwezi kuondolewa na vikwazo mnavyovitafuta ndio maana watanzania wanatakiwa kuelimishwa na kuelewa.

nikupe mfano wa vyama vya upinzani vyenyewe, chama kinaweza kuongozwa na mtu mmoja miaka nenda rudi. Siamini kwamba katika vyama hivyo hakuna watu wengine wanaofaa kuongoza katika vyama hivi bali binadamu yeyote unayempa madaraka fulani, na huyo huyo ukamwambia asimamie mchakato wa kutafuta mtu mwingine ni wazi yeye huyu anakuwa na "added" advantage.

Ndiyo maana utakuta wengi mko maofisini, sio kwa sababu demokrasia ilifanyika, mkafanya interview mkapita bali kwa sababu mlifanyiwa mpango na watu wanaowafahamu.

ndio maana unakuta mtu anakuwa mwenyekiti wa chama miaka nenda miaka rudi kwa sababu anatengeneza mazingira ya yeye kila kukifanyika uchaguzi anashinda.

Nenda kwenye nafasi za viti maalumu za vyama vya upinzani waliokuwa bungeni, wafuatilie huyu ninani na alitoka wapi kupata nafasi utaona unachokilalamikia kinatendeka kila sehemu.

sasa kwa nini msinzie kusafisha vyama vyenu ndiyo mje kusafisha nchi?


Sisi wengine sio wanasiasa na tunasema haya mnayoyalalamikia ni mambo ya nyakati yamejaa kila idara. kupata kazi lazima uunganishwe na mtu ila kuna matapeli wanatambua changamoto hii katika jamii na hawaji na suluhisho bali kutumia hiyo kutafuta madaraka.
Nimecheka kwa nguvu, eti ww sio mwanasiasa lakini utetezi na mifano yako yote ni dhidi ya wapinzani! Mbona kwenye mifano yako yote hutolei mapungufu yoyote ya chama tawala, ili tuone how neutral you are?
 
Tanzania hatujawahi kupigishwa magoti,Never never

Ila tuliwahi kupiga mswaki kwa chumvi, kujipaka mafuta ya kula, kufulia na majani ya mpapai, kutumia pipi kama sukari mbadala. Sasa sijui kama kuna kupigishwa magoti kama kule?
 
Kwanza kabisa niseme wazi kuwa mimi binafsi sio kwamba naridhika na kila kitu kinavyotendeka katika nchi yangu hii lakini ustawi wa watanzania wote, ustawi wa nchi yangu ni bora kuliko matakwa yangu binafsi.

Nilivyokuwa mdogo niliwaza sana kufanya kazi katika taasisi kubwa za nchi hii kwa maana mafanikio tuliyaona kama yanatokana na kuajiriwa na taasisi kubwa, lakini nilivyokuwa mkubwa haikuwezekana kuweza kufanya kazi katika taasisi hizo. Nadhani kila mtanzania anaelewa kuwa kwa mazingira tuliyokuwa haikuwezekana kwa kila mtanzania kupata ajira TRA, Bandarini, Benki kuu n.k. Kwa busara zetu watanzania hatuwezi kuzusha uhasama miongoni mwetu kwa mambo kama haya ila tunaamini kadiri mda unavyosonga mambo mengi yanabarika.

kwa kifupi hakuna mtanzania yeyote ambaye anaweza kujiona kila sehemu katendewa kama alivyostahili.

Hoja yangu kubwa leo ni kwa Wanasiasa wetu.

kuna wanasiasa wanatuaminisha wanatendewa ndivyo sivyo hivyo wameamua kututafutia njaa kwa kujaribu kushawishi jumuiya za kimataifa zituwekee vikwazo n.k.

Daima mimi huwa naamini hakuna familia isiyokuwa na ugomvi au changamoto ndani, kuna familia baba ananyimwa unyumba, kuna familia kutukanana kila siku ndiyo mfumo wa maisha, kuna familia kuna baadhi ya watoto wanapendwa zaidi kuliko watoto wengine. Yote haya hayampi kibali mmoja wa wanafamilia hii kuombea njaa familia yao.

kwamba baba ukinyimwa unyumba ambao ni haki yako ya msingi na kila mmoja anaelewa haihalalishi wewe baba wa familia kwenda kuchukua shoka na kuchinja mke na watoto wa familia. baba kunyimwa unyumba haikupi kibali cha kuwalaza na kuwashindisha njaa watoto wa familia yako. Siku ukifanya hivyo watu watakushangaa na kukudharau wewe baba.

Kwamba mtoto, kama baba yako anampendelea sana ndugu yako katika kila kitu na ninyi wengine mnabezwa na kudharauliwa na kunyimwa mahitaji, je hilo linaweza kuhalalisha wewe mtoto kuendesha harakati za kuhakikisha nyumbani kwenu hampati chakula au mahitaji? huo ndiyo ujinga ambao shule zetu zilitakuwa kuuondoa kwamba hauwezi kufocus kwenye tatizo dogo na kutengeneza tatizo kubwa kama suluhu la kutatua tatizo dogo.

Wapo wanasiasa wanapita pita jumuiya za kimataifa kutafuta sapoti kwa watanzania kuwekewa vikwazo na kunyimwa misaada eti kisa wanaona wanatendewa ndivyo sivyo.

Sijui kama watanzania wanaelewa maana ya jambo hili wanalolifanya hawa wenzetu.

Jambo la kwanza tanzania kunyimwa misaada na kuwekewa vikwazo hakuwezi kuwaathiri viongozi walioko madarakani hata kidogo bali wananchi wa kawaida tulioko mitaani ndiyo tutaumia na hatua hii. Watanzania wenzangu hebu tuitazame Zimbabwe ilivyokuwa.

Wazimbabwe walikuwa na siasa za mvutano baina ya Robert Mugabe aliyekuwa raisi wa nchi hiyo na Morgani Tsvangirai aliyekuwa upinzani. Waliendesha mivutano na wapinzani wakafanya kampeni za kutokuwepo demokrasia na kadhalika na kuishawishi jumuiya ya kimataifa kuiwekea vikwazo nchi yao. Kwa kifupi vikwazo viliwekwa maana mkishaanza kupiga kelele kutafuta vikwazo huko nje watatafuta kila namna na kila sababu watawawekea vikwazo hata kama havihusiani na hoja za wapiga kelele. Leo Hii tumesahau yale yote na kila mtu anapiga kelele Zimbabwe iondolewe vikwazo baada ya kubaini mateso makubwa wanayopitia Wazimbabwe kutokana na vikwazo.

Hivi vikwazo vimebadili siasa za Zimbabwe? Siasa zimebaki vilevile watawala wameendelea kuwa watawala na watawaliwa wakaendelea kuwa wataliwa. Hivi kweli mtanzania anayepita huko kutuombea vikwazo anatutakia mema sisi watanzania wa kawaida? na je mtu kama huyo tunaweza kumuwaza hata kumpa uongozi wa kijiji kimoja tu?

Sisi Tunatamani mtu ambaye anahitaji kuwa kiongozi wetu, ikitokea akaulizwa tuwatese watanzania tukufanye tajiri au kiongozi ? na yeye ajibu Kuwatesa watanzania kwa ajili ya mimi kuwa kiongozi au tajiri ni bora utajiri na uongozi niviache na watanzania waishi salama. Lakini hapo simaanishi kuwa ukiwa kiongozi basi wakitokea wahuni wakaaanza kuwatesa watu eti ili uachie madaraka na wao waongoze basi hapo nchi huwezi kuwaachia wahuni na huko ndiko kutetea watu wako.

Tuchukue mfano mwingine, tutazame libya jinsi watu walivyoamini Gadhafi alikuwa anawatawala kidekiteta na kutafuta msaada kumuondoa ghadafi, tutazame libya ya leo na libya ya Ghadafi. Tazama nchi zote ambazo watu wake wamekimbilia nje kutafuta msaada kwa "ujinga wa demokrasia" nchi zao wamezipeleka wapi?

Watanzania ni lazima tuelewe kuna mambo ambayo ni ya nyakati na kuondoka kwake, yanaondoka na nyakati.

Huko zamani tulikuwa na tawala za kifalme ambazo mfumo wake ulikuwa wa kibaguzi kabisa kwamba kuna familia moja ndiyo imechaguliwa sijui na nani ? na hiyo familia ndiyo ilitoa wafalme wa kutawala jamii zetu na kuna familia zilikuwa "branded" familia za mikosi. wazee wetu waliishi kwa amani kwa walikubaliana na mambo hayo ambayo yalikuwa ya nyakati hizo.

Hivi tujiulize kuna mtu gani angeweza kuleta mabadiriko ya kweli katika jamii za kifalme kama angewezakupambana kukataa utawala wa kifalme? kiukweli hakuna yeyote bali ni mtu kujiona hawezi kutawaliwa na mfalme na kutafuta yeye kujiweka kuwa mfalme na wengine kutawaliwa.

Lakini wahenga walisema " time heals" sasa Leo hii tawala hizi za kifalme ziko wapi? maana yangu ni kwamba yapo mambo ni ya nyakati na yataondoka na nyakati. hata hao hao wanaojifanya kupigana nayo ukweli ni kwamba wanatafuta kukalia nyadhifa za juu tu lakini wakifika huko na wao utawala wao utakuwa vilevile. kama uamini basi jaribu kufuatilia taasisi zinazopiga kelele juu ya demokrasia na uzitazame zenyewe zinaendeshaje demokrasia hiyo hiyo ndani ya tasisi zao?

ni mambo yaleyale ya kuwapa wake zao nafasi za viti maalumu, au watu kupita bila kupingwa kugombea katika majimbo au mwenyekiti hachalenjiwi.

Kuhusu uchaguzi mkuu mimi naamini vyama vya upinzani vimeshindwa kihalali kwa maana wananchi wameviadhibu kwa kuacha sera zinazochochea maendeleo ya wananchi na kubeba hoja za kupinga serikali kila inachokifanya.

Hebu tuvitazame vya vya upinzani miaka iliyopita vilikuwaje?

vyama hivi vilijenga hoja ambazo zilikuwa zikiwapendeza wananchi. walikuwa wakihoji iweje nchi yetu iwe na ndege moja na ka nchi kama rwanda kana ndege, uwekezaji katika miundo mbinu kama ya kuzalisha umeme walisema tanzania tangu ilipowekeza miaka ya 1970 basi, reli imekufa n.k

wananchi walivipenda na kuongeza ushawishi na uwakilishi.

leo hii watu wamebadilika wanapinga mambo yote ambayo waliyapigania mda mrefu na yakawapandisha chati, unategemea nini?

Sasa tutulie tujenge nchi yetu.

swala la kwamba mimi ninataka kuwa msanii lakini ma promota wana upendeleo wana wabeba badhi ya wasanii na kuwakataa wengine na hivyo unataka kutuharibia nchi kisa eti mapromota wamekubagua hilo haliwezekani.

swala la kwamba na wewe una vigezi na haki ya kuajiriwa BOT lakini eti wameajiriwa watu kwa upendeleo hivyo unataka kuvuruga maisha ya watanzania hilo halikubaliki

yapo mambo tunaweza kuyaona hayako sawa lakini ukitazama kile unachokitafuta nacho hakiko sawa hivyo tuvumiliane tujenge nchi yetu na yeyote anayewaza kubomoa nchi yetu kwa kigezo yeye kanyimwa kitu fulani huyo tumkatae sote.

mimi nilivyokuwa mdogo wazazi wangu walimpenda sana ndugu yetu ambaye alikuwa anasoma seminari na sisi kuonekana hatuna lolote. Ninachokuhahakishia Leo hii ninavyoongea ukubwani mambo yamebadirika na wazazi hawa hawataki hata kukumbuka kama kuliwahi kuwepo na mazingira hayo.

Nyakati zimeondoa hali iliyokuwepo na ninaamini chochote ambacho watanzania wanaona hakiko sawa, waendelee kuelimishana na mambo hayo yataondoka lakini watanzania tusitafute shida kwa watanzia wenzetu
Hakuna Cha uhain hapa, Cha msingi sio kulalama na kutoa maneno yenye ukakasi bali tujiulize ,tumefikaje hapa, why haikutokea vipindi vyote vilivyotokea iwe leo, nini kimesababisha ,nini kimetokea, kwanini tuko hapa,haya ndo maswali ilitakiwa jiuliza kabla ya kupost, huwezi kimbilia tatua tatizo bila jua chanzo Cha tatizo,
 
Jamaa umeongea point nzuri sana kama baba yako angewaza kama unavyowaza we we hakika tungekua na furaha kilicho Baki hatupigani kwa marungu tunapigana kwa hisia ndo mama watu wanatamani ufalme huu ufitinike mpaka basi kisiwepo chochote kitakacho salia salama baba yako alisema hataki uwepo upinzani sasa kama MTU kakukataa utajipendekeza! Noooo lkn alisema hanashida na misaada nchi yetu tajiri tutazalisha wenyewe na tutajiuzia wenyewe hatuna shida na watu wengine manake tumejitoshereza
 
Back
Top Bottom