Turnkey
JF-Expert Member
- Jul 9, 2013
- 7,359
- 5,831
Kuwa na IQ kubwa basi sio kila kitu kuwa serious....huwezi kujua ni utani ndio maana nikaweka emoji.....Hilarious eehSwali lako linaonyesha kabisa kuna watanzania wanatengeneza matukio ya kupatia pesa huko majuu.
hivi kweli kwenye kuhesabu kura wanafungua bahasha kutoa kura zilizoko ndani na kuzihesabu? haya ni mambo yanatengenezwa na baadhi ya watanzania kutafutia pesa huko majuu lakini siamini kuwa kuna mtu anaiba kura kwa kuweka kura nyingi kwenye mabahasha.
Ni lazima tuwabaini watanzania wote wenye akili za mitungi, kuharibu jina la nchi yetu ili wao wapate utajiri