Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,618
- 27,596
- Thread starter
- #161
Mmmmhhh ahahahahahahahahahahahahahah jinga sana wewe kwa hiyo umebadili fastaHutaniw ninayo 32
Hata mi namjua ni Mkulima wa viazi vitamu huko kijiji cha Songambele.Hahahahahaha
Kwahiyo mleta uzi ni sepuka tu?!
Albadil kitu gani ingekuwepo tushakufa wengi mnoShauri yako Mama Sabrina utasomewa ALBADILI kwa kosa la kudhulumu halafu uka buloku, hahahahaa
Kadri unavyopokea hela yake kuna siku utampa tu.Kwani pesa ina sura mbaya mkuu
hahah... eti sura yake chungu... wenye sura chungu wanaweza kupiga mechi umbali wa chalinze - segera bila kupumzikaHeheh yaan sijui alifikiria nini aisee,halaf sura yake chungu aisee hata hamu hupati![]()
Mmmmhhh ahahahahahahahahahahahahahah jinga sana wewe kwa hiyo umebadili fasta



hataricious
Halaf tena nichukuliwe na mkulima mwenzangu ,,haiwezekaniiHata mi namjua ni Mkulima wa viazi vitamu huko kijiji cha Songambele.
Hahaaaaa mama sabrina bwanaEti kweli,,ndio maana mi nakupenda we muelewa sana bora angenipeleka kule baharini ulisema kuzuri ningeenda kushangaa eti,,sio kushikishwa manumbu
Siwezi mponda kwa watu,,halaf siwezi kuwa nae kabisaKadri unavyopokea hela yake kuna siku utampa tu.
Unajua kosa moja mnalolifanya unakuta tena mbele ya rafiki zake unaponda ana sura mbaya ntampeleka wapi, siku ukija kuwa naye, unaanza kuwaamind rafiki kisa wanamponda kwa kutumia maneno yako yale yale.
Kasoro za mtu ni bora ukakaa nazo moyoni, ili hata kikitokea cha kuwa naye pamoja usione aibu kwa maneno uliyomponda mwanzoni.
Nami nimejionea huruma maana sitaki kukumbuka marehemuMuonee huruma
Mwambie na huyo asikuzoe akuache kabisaKua kwanza basi fikisha hata 30 halaf nicheki boss
Kwahyo vp mumy,.. tuyajenge
Siwezi mponda kwa watu,,halaf siwezi kuwa nae kabisa
Tena nimemuambia asinisumbue kabisaa,bora nije kwako twende zetu baharini nikale raha na uniache kuleHahaaaaa mama sabrina bwana
Kule baharin kuna raha sana huko ndo panafaa kwenda watoto wazur kama wewe
Afu yeye anataka akakulishe manumbu na chubu na makande yake eti kisa tu mdogo wa waziri
Mwambie kama kashindwa kukupeleka kupata upepo mwanana asikugas gas

