Thubutuu,,mi mpaka kugongwa mwanaume awe wa kweli ati,,hata ukinifumania roho lazima ikuumeHii ni kutunga mwanamke hakatai kutoa papuchi hapa unatuzuga tu pengine ushagongw tayari
Yaan unaanza hadi kuwakumbuka marehemu waliojifia,hiyo ni haki kwelihataricious
Hicho kipande kimeniacha hoi zaidiYaan unaanza hadi kuwakumbuka marehemu waliojifia,hiyo ni haki kweli
Aisee yaan ningeenda huko leo ingekua vilio kabisaHicho kipande kimeniacha hoi zaidi
my ribs oAisee yaan ningeenda huko leo ingekua vilio kabisa
Hapana maisha magumj na mwanaume wa kukupa raha nae akuletee kero ,si maisha yatakua mafupi mnojf wanawake wote ni wazuri, wana elimu kubwa, maisha safi. . . Duh! Mitandao hii
We oaDaah kwa matukio haya daah bado sanaa kuoa
Maana unaweza jifunga kitanzi bure tu.
Kama ndo wanawake wenyewe ndo hawa hapana kwa kwel
Ehehhehndio maana mnafumuliwa marinda,,
Kwani pesa ya mwanaume hua inatosha?Vihela vya mbuzi ukavipokea!? Kakuona una hadhi ya hiyo hela ya mbuzi!!
Kwani pesa ya mwanaume hua inatosha?
Aaa wapii,,,wa kuolewa ntakuwa miyeeUnaonekana kuwa mke wa lakini, tulia kwako acha kula kula kuna siku itatokea puani usije na uzi wa kuanza kutusumbua kwa nyuz ndefu apa
Kuna nyuzi zenu maalum nyingi tu.Aaa wapii,,,wa kuolewa ntakuwa miyee