Niwachekeshe kidogo

Niwachekeshe kidogo

Khaaa yamekuwa haya tena.... ?


Halafu mbon wanaume tuliona sura chungu na vimbaumbau unapenda kutupiga vita hivyo . Pesa mtu hana sura chungu utatuuatuaa mama.....
Eheheheh ,we mzuri bana japo kimbaumbau ina maana pizza hazijakukubali?
 
Eheheheh ,we mzuri bana japo kimbaumbau ina maana pizza hazijakukubali?
.. Nitafutie dawa basi maana hazitaki kunikubali.

Nataka na mimi nianze kutembea kifua wazi kama naniii ...halafu huyo ndiyo yule kaka yake waziri mkali mkali eeeh?
 
.. Nitafutie dawa basi maana hazitaki kunikubali.

Nataka na mimi nianze kutembea kifua wazi kama naniii
Ahahahah halaf bora we ubaki kama ulivyo,,we ukijaa utanisumbua sana baki hivyo hivyo
 
unaonekana n babie mwenye msimamo wake, na ushobok na wapuuz wanataka kukulaghi kw lengo la kukuchezea tu

Hivyo bac , ijapokuwa bado hatujafahamiana vyema na n kama bahati kwangu sasa kuwa na mchumba kama ww , nmeona kabis tunaenda

Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
Tunaendana mi na wewe kiaje?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom