Niwachekeshe kidogo

Niwachekeshe kidogo

Unavyojipa promo...watafikiri ni bonge la demu kumbe gumegume used!! unakula hela ya mtu kwa kutanua domo lako ilihali humtaki si uache kuchukua? njaa mbaya sana na jamaa akikufuma lazima akutie,
Ingekuwa mie wala usingeleta hizi sarakasi, eti upelekwe Mombasa kwa hadhi gani uliyonayo?

Hujui taabu ya hela wewe, sikuungi mkono kwa hili....utongozwe weye halafu utuletee mikwara sie....Arlaaaaa
Hahahahahaha



Kwahiyo mleta uzi ni sepuka tu?!
 
Mama sabrina huyo

Hakujua kama wewe unapenda kushikishwa shampen mkonon ana taka akakushishe viaz vitamu huko kanda ya ziwa

Kataa mwaya tena akiendelea kukushobokea mwambie utamsema kwa BEIRA BABY BOY
 
Unavyojipa promo...watafikiri ni bonge la demu kumbe gumegume used!! unakula hela ya mtu kwa kutanua domo lako ilihali humtaki si uache kuchukua? njaa mbaya sana na jamaa akikufuma lazima akutie,
Ingekuwa mie wala usingeleta hizi sarakasi, eti upelekwe Mombasa kwa hadhi gani uliyonayo?

Hujui taabu ya hela wewe, sikuungi mkono kwa hili....utongozwe weye halafu utuletee mikwara sie....Arlaaaaa
,,,povu
 
Heheh yaan sijui alifikiria nini aisee,halaf sura yake chungu aisee hata hamu hupati

Wanawake mna mambo za kijinga sana, mwanzo unaponda, siku ukitoa mpapa unasifia kama siyo wewe.

Sipendi wanawake wajinga wajinga wenye kung'ong'a watu wanaowatongoza huku pesa unapokea.
 
Mama sabrina huyo

Hakujua kama wewe unapenda kushikishwa shampen mkonon ana taka akakushishe viaz vitamu huko kanda ya ziwa

Kataa mwaya tena akiendelea kukushobokea mwambie utamsema kwa BEIRA BABY BOY
Eti kweli,,ndio maana mi nakupenda we muelewa sana bora angenipeleka kule baharini ulisema kuzuri ningeenda kushangaa eti,,sio kushikishwa manumbu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom