hebu sikia nikwambie nakuja kukutongoza kisha unaniambia una wako mi nikaendelea tu kukutongoza ukanionea huruma ukakubali
hii haimaanishi yule wako umemuacha ila umeniongeza mimi
halafu wanawake hapo inaonekana umewapanga hata watatu ila tatizo hawajuani
Tatizo ni mimi kujua au kupangwa wengi ??